Monday, 31 December 2018

UJUMBE WA MWAKA 2019

2⃣0⃣1⃣9⃣ *MWAKA WA BWANA KUTUFANYIA NAFASI NA KUTUZIDISHA* 2⃣0⃣1⃣9⃣
.......
.......
*_By Ev Elisha Kazimoto(Anointed)_*
WhatsApp 0755444078
Facebook Elisha Kazimoto
..............................
_Shalom mwana wa ufalme,mteule wa Mungu,uliye pata Nehema na Rehema za Mungu kuvuka mwaka 2⃣0⃣1⃣8⃣ na kuingia mwaka mpya huu 2⃣0⃣1⃣9⃣. Ni neema pekee na Upendeleo wa Mungu kwako na kwangu. Sasa nikukaribishe katika  *Meza ya Kinabii* juu ya mwaka mpya,upate Neno la Bwana utakalo safiri nalo ukimkumbusha Bwana kwa kila pito,changamoto na baraka zote katika mwaka 2019. Karibu_
🕰 *ANDIKO KUU: MWANZO 26:18-22, MSTARI MKUU 22* 🕰
🏁Kwanza kuna mambo ya kujifunza juu ya Jina la Mwaka, na kumshukuru Mungu. Katika jina la Mwaka kuna vitu muhimu kama 2.
1⃣ *_Mwaka wa Bwana kutufanyia nafasi_* Hapa kuna siri kubwa na Neema ya pekee, ikituonyesha kuna mazingira ya watu wameishi mwaka 2018 kwa *Kukosa mpenyo wa vitu kadha wa kadha* ,kuna vitu vimeshindikana,kuna kukata tamaa kwingi kulitokea baada ya kukosa NAFASI ya kufanikisha matarajio yao, sasa *_Bwana wa huruma mwaka huu 2019 anakuja na Kauli ya Kututengenezea Nafasi ya kupokea,kutumia,kuanzisha,kumiliki vitu mbalimbali ambavyo tulivitamani sana ila NAFASI haikupatikana_* Nafasi yaweza kuwa......
⌚Kibali mbele za Mungu na mbele za wanadamu.
⌚Mtaji wa kibiashara
⌚Mpenyo wa Kihuduma
⌚Wazo jipya la maendeleo
⌚Majibu ya maombi ya muda mrefu yasiyo na majibu.
_Na vitu vingine vingi ambavyo Vilikosa mpenyo wa kufanikiwa kwa mwaka 2018 kutokana na sababu za kimazingira,za vita ya kiroho, Hila za wanadamu, Muda kutotosha nk_
2⃣ *_Mwaka wa Kutuzidisha sana_* Hapa kuna siri kubwa ya kiroho ya Kulipiza mara dufu baada ya adui kutuchelewesha kufikia ndoto zetu,maono yetu,mipango yetu ambayo tulitamani kuwa tumeifikia tayari mpaka sasa,ila adui akaingilia kati na kubadiri majira,nyakati na kusudi.... *_Hayo Mungu katika mwaka huu anahitaji kuyatimiza haraka sana na kuyazidisha ili kufidia muda alotupotezea Adui_* Kumbuka Mungu wetu ni Mungu wa fidia kumbuka kwa Ayubu( *Ayubu 42:10-17*) ndiyo kazi ya Mungu akiamua KUZIDISHA, anaitwa Mungu mwenye wingi wa nguvu na akili zake hazina mipaka ( *Zaburi 147:5*) Jipange kwa 2019.
🏁 *_Sasa Tuliangalie Neno alotupa Bwana kwa mwaka huu 2019 tulichambue juu ya maisha yetu_* 🏁
Katika andiko hili kuna vitu vya kujifunza na kutiwa nguvu juu ya ufunuo huu wa KUCHIMBA VISIMA,NA KUGOMBANIWA KWA VISIMA VYAKO( *Mwanzo 26:18-22*)
1⃣ Visima, katika tafsiri ya Kiufunuo ni Vyanzo vya Baraka zako,mafanikio yako,ni chaneli za kutoka kimaisha; Hapa ndipo palipo na shuguli zako zote zinazo kuwezesha kuendesha maisha yako ya kiroho na kimwili( *_Hapa kuna huduma,kuna uchumi,kuna Elimu,kuna uchumba kuna ndoa,kuna ofisi nk_*) Mwanzo 31:1-9.
🏁Kuna vitu kadha wa kadha ambavyo 2018 tulivianzisha ili *Vitufae kwenye maisha* Kama vile ISAKA alivyo chimba visima ili apate maji ya mifugo yake na matumizi mengine ili maisha yaende lakini kukatokea UPINZANI MKUBWA kwa kila KISIMA alicho chimba, kiligombaniwa na Kuporwa.
🏁 Wewe je, 2018 umejitahidi kuanzisha au kufanya nini lakini hukufanikiwa?adui Aliziba,Alipora,Aliumiza na mpaka hicho kitu UKAKIKATIA TAMAA? Lisikie Neno la Bwana 2019 _Bwana atakufanyia Nafasi na Hakuna atakaye pora kisima chako kipya utakacho chimba kwa jina la Yesu_.
2⃣ Kugombaniwa kwa Visima vyako; ( *_Siri ya kiufunuo iliyopo hapa ni Vita ya kiroho uliyokutana nayo katika harakati za kutoka kiroho au kimwili_*) Ni huduma yako imekuwa ya vita toka pande zote,kwenye ulimwengu wa roho hata kwa Wanadamu yumkini kutoka kwa watu walio wa Mungu.
🏁Isaka kila kisima alicho chimba Wachungaji wa Gerari walikigombania,Isaka akawaachia,akaenda mahara pengine na kuchimba kingine nacho wakagombania.... Akawaachia......ikawa ni mchezo huo huo.
🏁 *Huu ndo mchezo mchafu walofanyiwa watu wengi 2018* Kila jambo lililo jema unalolifanya linapigwa, unatulia,unafanya lingine, linapigwa,linaharibiwa, unajitia nguvu kutokata tamaa, Unasongwa na kukatishwa tamaa, unabadiri mwelekeo, na adui,wanadamu wenye hila wakahisi ni kama WANAKUWEZA VILEE, Nisikilize mtu wa Mungu huo mchezo mchafu ulochezewa umeishia 2018, mwaka huu _Bwana anatufanyia nafasi za kutosha,usikate tamaa, CHIMBA KISIMA KINGINE na Ole wake mtu au adui Akigombanie, ajifanye anafanya Harakati za KUKIZIBA/KUKUZIBA USIONEKANE, *Atapigwa yeye,atazibiwa mambo yake yeye, atashuka yeye*. Huu mwaka nataka ni kwambie kuna nguvu kubwa ya Mungu ya kupambana na kila Wazo ovu la Adui au la wanadamu wenye hila juu yako_ yaani huu mwaka miongoni mwa kauli zetu ni *_Usijaribu Kunizibia Kisima Changu kwa Njia yoyote Utaabishwa na Bwana anaye nifanyia nafasi_* hii kauli ni moto, itangaze kwenye maombi yako, iseme kinywani mwako,unapo hisi changamoto yoyote kiroho au kimwili.
*Ngoja nikuongezee Neno hili uone kauli hii ilivyo moto kwa Mtu YEYOTE atakaye taka kushugulika na Kisima chako mwaka 2019,bila kujali Umri,Nafasi,Jinsia,jina,Umaarufu au uwezo wa mtu, Kauli hii itawakata wote(KIKUBWA ILINDE HAKI YAKO MBELE ZA MUNGU USIWE NA HATIA).
29 Ninao uwezo mkononi mwangu wa kukufanyia madhara; lakini Mungu wa baba yako usiku huu ameniambia, akisema, Ujihadhari, usimwambie Yakobo neno la heri wala la shari.
Mwanzo 31:29

36 Yakobo akakasirika, akagombana na Labani. Yakobo akajibu, akamwambia Labani, N'nini hatia yangu? Nayo ni nini dhambi yangu, hata ukanifuatia namna hii?
Mwanzo 31:36

41 Miaka hii ishirini nimekaa nyumbani mwako; nilikutumikia miaka kumi na minne kwa binti zako wawili, na miaka sita kwa wanyama wako, nawe umebadili mshahara wangu mara kumi.
Mwanzo 31:41

42 Kama Mungu wa baba yangu, Mungu wa Ibrahimu na Hofu ya Isaka, hangalikuwa pamoja nami, hakika sasa ungalinifukuza mikono mitupu. Mateso yangu na kazi za mikono yangu Mungu ameziona, akakukemea usiku huu.
Mwanzo 31:42

👆👉MUNGU hajawahi Kubinya haki ya mwenye haki, ataonewa,atayumbishwa ila ni kwa kitambo tu(YAKOBO ILIPITA MIAKA 10) anabadirishiwa mshahara kwa Hila na mkwe wake... ila Kuna muda wa KUMKEMEA ADUI YAKO,bila kujali nafasi yake kwako(Labani alikuwa Baba mkwe wa Yakobo)Ila Bwana alimkemea Labani kwa Hila zake alizokuwa akimfanyia mkwe wake. Soma sura yote utapata utamu wa kupiganiwa na Mungu kwa wanadamu wenye hila kwako. *Mwanzo 31 yote*

3⃣ Majina ya Visima vilivyo gombaniwa na wachungaji wa Gerari; ( *_Hapa kuna siri ya kiufunuo, Isaka kisima cha kwanza alicho chimba wakagombania akakiita Eseki,kingine akachimba wakakigombania akakiita Sitna.... Haya majina ya tafsiri ya majina na lugha ulizo zisema,uliyo yatoa baada ya vitu ulivyo kusudia kufanikisha Kugoma,kuharibika,kuharibiwa_*)  haya siyo majina mazuri ni majina ya uchungu,... Nimepata hasara, Uchumba umevunjika,Huduma yangu Imepigwa vita na kudhohofishwa, kanisa langu limegawanyika, ndoa yangu tumetengana,hatuekewani,uchumi umeyumba,mtaji umefirisika ,nimefeli mtihani nk.... *Usikate tamaa, Chimba kisima kingine Kitakaa na utakipa jina jipya la Ushindi na furaha* Usikubali kuishia kwenye Eseki na Sitna ikawa ndo historia yako imeishia hapo, Songa mbele kuna *Rehobothi* haleluyaaa na Rehoboth ipo mwaka huu 2⃣0⃣1⃣9⃣.
4⃣Kuchimba Kisima kingine cha 3,ambacho *Hakitagombaniwa*; ( _Hapa kuna siri kubwa sana,inayoonyesha moyo wa Kutokata tamaa,kutosikiliza maneno ya Kejeli,kuvunja moyo,vikwazo nk na kuamua kusonga mbele kufanya kile ulicho kikusudia maishani mwako_)
🏁Nataka ni kwambie, ni kweli mwaka 2018,umesongwa,umekatishwa tamaa,na ulikuwa Umeapa *Huendelei tena* Lisikie Neno la Bwana, 2019 Songa mbele Bado Liko Tumaini kwa Bwana.( *Yeremia 31:17*) zamu hii utatembea kwa mkono wa Bwana akitufanyia nafasi na kutuzidisha sana
🏁Yakobo akachimba kisima cha 3 hawakukigombania, akakiita *Rehoboth akisema Bwana ametufanyia Nafasi na kutuzidisha katika nchi* kuna siri kubwa katika kuto kata tamaa na kuangalia vikwazo,mazingira na kusikiliza kelele za watu.
🏁 2⃣0⃣1⃣9⃣ Huu ndiyo muda ambao Bwana atatwambia, mlivyo kandamizwa,tukanwa,tendewa hila,poteza mweleko YATOSHA, tunageuka kuitazama nafasi mpya Bwana anayotufanyia kama familia,kama kanisa kama mtu binafsi. ( *Kumbukumbu la Torati 1:6-7, 2:3*)
🏁 2⃣0⃣1⃣9⃣ Huu ni kuda wa Maadui kuzuiliwa wasiendelee kukufatilia na kukuharibia mwelekeo wako.( *Kutoka 14:13-14, Malaki 3:11*)
🏁2⃣0⃣1⃣9⃣ Ni Muda wa Kushinda,kujenga maboma ya ulinzi kwenye ulimwengu wa roho,kufanikiwa kwa kuongezeka kwa mazidisho yatokayo kwa Bwana.( *2Mambo ya Nyakati 14:7,Kumbukumbu la Torati 5:33*)
5⃣Jina jipya la *Rehoboth* ni lugha mpya utakayo itamka katika mwaka 2019, _Bwana amenikumbuka amenipa mtoto,amenipa mke au mme,amenipa ofisi,amenipandisha cheo,nimefauru mtihani,nimejenga,nimepata usafiri, huduma yangu imepata kibali kila kona nk.( *Isaya 62:1-2*)
🏁2⃣0⃣1⃣9⃣ Huu ni mwaka wa kuachiliwa kwa kila kilichokuwa kimeshikiliwa( *Isaya 35:3-6*)
*ANGALIZO*
_Maneno haya,Unabii huu ni kwa wenye Haki wa Mungu na watakao kaa katika mstari wa Utakatifu,bidii kumtumikia Mungu na kuutafuta uso wake na Kulisikiliza Neno La Bwana na Si Maneno ya watu_
*Kama Bwana alivyo nipa nami nimekuwa mwaminifu kukufikishia, Ujumbe huu, Unanihusu kwanza mimi wa pili ni wewe ndugu katika Kristo*
By Ev Elisha Kazimoto(Anointed)
WhatsApp 0755444078
Facebook Elisha Kazimoto
              ©2⃣0⃣1⃣9⃣

02:UJUMBE WA MWAKA 2019SEHEMU YA 2

🇹🇿 *_Sehemu ya Pili ya Ujumbe wa Mwaka 2019, MWAKA WA BWANA KUTUFANYIA NAFASI NA KUTUZIDISHA_*🇹🇿
_Uko na mimi Mnenaji wa Siri hii ya Ujumbe wa Mwaka 2019 *Ev Elisha Kazimoto (Anointed)* WhatsApp 0755444078_
..........................
Andiko letu kuu ni *Mwanzo 26:18-22*
3⃣ Majina  Visima vilivyo gombaniwa na wachungaji wa Gerari; ( *_Hapa kuna siri ya kiufunuo, Isaka kisima cha kwanza alicho chimba wakagombania akakiita Eseki,kingine akachimba wakakigombania akakiita Sitna.... Haya majina ya tafsiri ya majina na lugha ulizo zisema,uliyo yatoa baada ya vitu ulivyo kusudia kufanikisha Kugoma,kuharibika,kuharibiwa_*)  haya siyo majina mazuri ni majina ya uchungu,... Nimepata hasara, Uchumba umevunjika,Huduma yangu Imepigwa vita na kudhohofishwa, kanisa langu limegawanyika, ndoa yangu tumetengana,hatuekewani,uchumi umeyumba,mtaji umefikisika ,nimefeli mtihani nk.... *Usikate tamaa, Chimba kisima kingine Kitakaa na utakipa jina jipya la Ushindi na furaha* Usikubali kuishia kwenye Eseki na Sitna ikawa ndo historia yako imeishia hapo, Songa mbele kuna *Rehobothi* haleluyaaa na Rehoboth ipo mwaka huu 2⃣0⃣1⃣9⃣.
4⃣Kuchimba Kisima kingine cha 3,ambacho *Hakitagombaniwa*; ( _Hapa kuna siri kubwa sana,inayoonyesha moyo wa Kutokata tamaa,kutosikiliza maneno ya Kejeli,kuvunja moyo,vikwazo nk na kuamua kusonga mbele kufanya kile ulicho kikusudia maishani mwako_)
🏁Nataka ni kwambie, ni kweli mwaka 2018,umesongwa,umekatishwa tamaa,na ulikuwa Umeapa *Huendelei tena* Lisikie Neno la Bwana, 2019 Songa mbele Bado Liko Tumaini kwa Bwana.( *Yeremia 31:17*) zamu hii utatembea kwa mkono wa Bwana akitufanyia nafasi nankutuzidisha.
🏁Yakobo akachimba kisima cha 3 hawakukigombania, akakiita *Rehoboth akisema Bwana ametufanyia Nafasi na kutuzidisha katika nchi* kuna siri kubwa katika kuto kata tamaa na kuangalia vikwazo,mazingira na kelele za watu.
🏁 2⃣0⃣1⃣9⃣ Huu ndiyo muda ambayo Bwana atatwambia, mlivyo kandamizwa,tukanwa,tendewa hila,poteza mweleko YATOSHA, tunageuka kuitazama nafasi mpya Bwana anayotufanyia kama familia,kama kanisa kama mtu binafsi. ( *Kumbukumbu la Torati 1:6-7, 2:3*)
🏁 2⃣0⃣1⃣9⃣ Huu ni Muda wa Maadui kuzuiliwa wasiendelee kukufatia na kukuharibia mwelekeo wako.( *Kutoka 14:13-14, Malaki 3:11*)
🏁2⃣0⃣1⃣9⃣ Ni Muda wa Kushinda,kujenga maboma ya ulinzi kwenye ulimwengu wa roho,kufanikiwa kwa kuongezeka kwa mazidisho yatokayo kwa Bwana.( *2Mambo ya Nyakati 14:7,Kumbukumbu la Torati 5:33*)
5⃣Jina jipya la *Rehoboth* ni lugha mpya utakayo itamka katika mwaka 2019, _Bwana amenikumbuka amenipa mtoto,amenipa mke au mme,amenipa ofisi,amenipandisha cheo,nimefauru mtihani,nimejenga,nimepata usafiri, huduma yangu imepata kibali kila kona nk.( *Isaya 62:1-2*)
🏁2⃣0⃣1⃣9⃣ Huu ni mwaka wa kuachiliwa kwa kila kilichokuwa kimeshikiliwa( *Isaya 35:3-6*)
*ANGALIZO*
_Maneno haya,Unabii huu ni kwa wenye Haki wa Mungu na watakao kaa katika mstari wa Utakatifu,bidii kumtumikia Mungu na kuutafuta uso wake na Kulisikiliza Neno La Bwana na Si Maneno ya watu_
*Kama Bwana alivyo nipa nami nimekuwa mwaminifu kukufikishia, Ujumbe huu Unanihusu kwanza mimi wa pili ni wewe ndugu katika Kristo*
By Ev Elisha Kazimoto(Anointed)
WhatsApp 0755444078
Facebook Elisha Kazimoto
              ©2⃣0⃣1⃣9⃣

01:UJUMBE WA MWAKA 01/01/2019 SEHEMU YA 1

2⃣0⃣1⃣9⃣ *MWAKA WA BWANA KUTUFANYIA NAFASI NA KUTUZIDISHA* 2⃣0⃣1⃣9⃣
.......
.......
*_By Ev Elisha Kazimoto(Anointed)_*
WhatsApp 0755444078
Facebook Elisha Kazimoto
..............................
_Shalom mwana wa ufalme,mteule wa Mungu,uliye pata Nehema na Rehema za Mungu kuvuka mwaka 2⃣0⃣1⃣8⃣ na kuingia mwaka mpya huu 2⃣0⃣1⃣9⃣. Ni neema pekee na Upendeleo wa Mungu kwako na kwangu. Sasa nikukaribishe katika  *Meza ya Kinabii* juu ya mwaka mpya,upate Neno la Bwana utakalo safiri nalo ukimkumbusha Bwana kwa kila pito,changamoto na baraka zote katika mwaka 2019. Karibu_
🕰 *ANDIKO KUU: MWANZO 26:18-22, MSTARI MKUU 22* 🕰
🏁Kwanza kuna mambo ya kujifunza juu ya Jina la Mwaka, na kumshukuru Mungu. Katika jina la Mwaka kuna vitu muhimu kama 2.
1⃣ *_Mwaka wa Bwana kutufanyia nafasi_* Hapa kuna siri kubwa na Neema ya pekee, ikituonyesha kuna mazingira ya watu wameishi mwaka 2018 kwa *Kukosa mpenyo wa vitu kadha wa kadha* ,kuna vitu vimeshindikana,kuna kukata tamaa kwingi kulitokea baada ya kukosa NAFASI ya kufanikisha matarajio yao, sasa *_Bwana wa huruma mwaka huu 2019 anakuja na Kauli ya Kututengenezea Nafasi ya kupokea,kutumia,kuanzisha,kumiliki vitu mbalimbali ambavyo tulivitamani sana ila NAFASI haikupatikana_* Nafasi yaweza kuwa......
⌚Kibali mbele za Mungu na mbele za wanadamu.
⌚Mtaji wa kibiashara
⌚Mpenyo wa Kihuduma
⌚Wazo jipya la maendeleo
⌚Majibu ya maombi ya muda mrefu yasiyo na majibu.
_Na vitu vingine vingi ambavyo Vilikosa mpenyo wa kufanikiwa kwa mwaka 2018 kutokana na sababu za kimazingira,za vita ya kiroho, Hila za wanadamu, Muda kutotosha nk_
2⃣ *_Mwaka wa Bwana Kutuzidisha sana_* Hapa kuna siri kubwa ya kiroho ya Kulipiza mara dufu baada ya adui kutuchelewesha kufikia ndoto zetu,maono yetu,mipango yetu ambayo tulitamani kuwa tumeifikia tayari mpaka sasa,ila adui akaingilia kati na kubadiri majira,nyakati na kusudi.... *_Hayo Mungu katika mwaka huu anahitaji kuyatimiza haraka sana na kuyazidisha ili kufidia muda alotupotezea Adui_* Kumbuka Mungu wetu ni Mungu wa fidia kumbuka kwa Ayubu( *Ayubu 42:10-17*) ndiyo kazi ya Mungu akiamua KUZIDISHA, anaitwa Mungu mwenye wingi wa nguvu na akili zake hazina mipaka ( *Zaburi 147:5*) Jipange kwa 2019.
🏁 *_Sasa Tuliangalie Neno alotupa Bwana kwa mwaka huu 2019 tulichambue juu ya maisha yetu_* 🏁
Katika andiko hili kuna vitu vya kujifunza na kutiwa nguvu juu ya ufunuo huu wa KUCHIMBA VISIMA,NA KUGOMBANIWA KWA VISIMA VYAKO( *Mwanzo 26:18-22*)
1⃣ Visima, katika tafsiri ya Kiufunuo ni Vyanzo vya Baraka zako,mafanikio yako,ni chaneli za kutoka kimaisha; Hapa ndipo palipo na shuguli zako zote zinazo kuwezesha kuendesha maisha yako ya kiroho na kimwili( *_Hapa kuna huduma,kuna uchumi,kuna Elimu,kuna uchumba kuna ndoa,kuna ofisi nk_*) Mwanzo 31:1-9.
🏁Kuna vitu kadha wa kadha ambavyo 2018 tulivianzisha ili *Vitufae kwenye maisha* Kama vile ISAKA alivyo chimba visima ili apate maji ya mifugo yake na matumizi mengine ili maisha yaende lakini kukatokea UPINZANI MKUBWA kwa kila KISIMA alicho chimba, kiligombaniwa na Kuporwa.
🏁 Wewe je, 2018 umejitahidi kuanzisha au kufanya nini lakini hukufanikiwa?adui Aliziba,Alipora,Aliumiza na mpaka hicho kitu UKAKIKATIA TAMAA? Lisikie Neno la Bwana 2019 _Bwana atakufanyia Nafasi na Hakuna atakaye pora kisima chako kipya utakacho chimba kwa jina la Yesu_.
2⃣ Kugombaniwa kwa Visima vyako; ( *_Siri ya kiufunuo iliyopo hapa ni Vita ya kiroho uliyokutana nayo katika harakati za kutoka kiroho au kimwili_*) Ni huduma yako imekuwa ya vita toka pande zote,kwenye ulimwengu wa roho hata kwa Wanadamu yumkini kutoka kwa watu walio wa Mungu.
🏁Isaka kila kisima alicho chimba Wachungaji wa Gerari walikigombania,Isaka akawaachia,akaenda mahara pengine na kuchimba kingine nacho wakagombania.... Akawaachia......ikawa ni mchezo huo huo.
🏁 *Huu ndo mchezo mchafu walofanyiwa watu wengi 2018* Kila jambo lililo jema unalolifanya linapigwa, unatulia,unafanya lingine, linapigwa,linaharibiwa, unajitia nguvu kutokata tamaa, Unasongwa na kukatishwa tamaa, unabadiri mwelekeo, na adui,wanadamu wenye hila wakahisi ni kama WANAKUWEZA VILEE, Nisikilize mtu wa Mungu huo mchezo mchafu ulochezewa umeishia 2018, mwaka huu _Bwana anatufanyia nafasi za kutosha,usikate tamaa, CHIMBA KISIMA KINGINE na Ole wake mtu au adui Akigombanie, ajifanye anafanya Harakati za KUKIZIBA/KUKUZIBA USIONEKANE, *Atapigwa yeye,atazibiwa mambo yake yeye, atashuka yeye* huu mwaka nataka ni kwambie kuna nguvu kubwa ya Mungu ya kupambana na kila Wazo ovu la Adui au la wanadamu wenye hila juu yako_ yaani huu mwaka miongoni mwa kauli zetu ni *_Usijaribu Kunizibia Kisima Changu kwa Njia yoyote Utaabishwa na Bwana anaye nifanyia nafasi_* hii kauli ni moto, itangaze kwenye maombi yako, iseme kinywani mwako,unapo hisi changamoto yoyote kiroho au kimwili.
*Ngoja nikuongezee Neno hili uone kauli hii ilivyo moto kwa Mtu YEYOTE atakaye taka kushugulika na Kisima chako mwaka 2019,bila kujali Umri,Nafasi,Jinsia,jina,Umaarufu au uwezo wa mtu, Kauli hii itawakata wote(KIKUBWA ILINDE HAKI YAKO MBELE ZA MUNGU USIWE NA HATIA).
29 Ninao uwezo mkononi mwangu wa kukufanyia madhara; lakini Mungu wa baba yako usiku huu ameniambia, akisema, Ujihadhari, usimwambie Yakobo neno la heri wala la shari.
Mwanzo 31:29

36 Yakobo akakasirika, akagombana na Labani. Yakobo akajibu, akamwambia Labani, N'nini hatia yangu? Nayo ni nini dhambi yangu, hata ukanifuatia namna hii?
Mwanzo 31:36

41 Miaka hii ishirini nimekaa nyumbani mwako; nilikutumikia miaka kumi na minne kwa binti zako wawili, na miaka sita kwa wanyama wako, nawe umebadili mshahara wangu mara kumi.
Mwanzo 31:41

42 Kama Mungu wa baba yangu, Mungu wa Ibrahimu na Hofu ya Isaka, hangalikuwa pamoja nami, hakika sasa ungalinifukuza mikono mitupu. Mateso yangu na kazi za mikono yangu Mungu ameziona, akakukemea usiku huu.
Mwanzo 31:42

👆👉MUNGU hajawahi Kubinya haki ya mwenye haki, ataonewa,atayumbishwa ila ni kwa kitambo tu(YAKOBO ILIPITA MIAKA 10) ila Kuna muda wa KUMKEMEA ADUI YAKO,bila kujali nafasi yake kwako(Labani alikuwa Baba mkwe wa Yakobo)Ila Bwana alimkemea Labani kwa Hila zake alizokuwa akimfanyia mkwe wake. Soma sura yote utapata utamu wa kupiganiwa na Mungu kwa wanadamu wenye hila kwako. *Mwanzo 31 yote*
*_Hii ni sehemu ya kwanza ya ujumbe wa mwaka 2019,nimezifanya kuwa sehemu 2  kuruhusu wepesi wa kusoma post hii ila ni somo moja, sasa nikukaribishe katika mwendelezo wa sehemu ya pili_*
Uko nami Mnenaji wa Siri hii ya Ushindi wa mwaka 2019 *Elisha Kazimoto(Anointed)* WhatsApp 0755444078

Wednesday, 19 December 2018

INTERVIEW YA UONGOZI

*INTERVIEW YA KUTEULIWA KUWA KIONGOZI WA PSYCHOLOGICAL HEALING UNIVERSITY*
1⃣Majina yako kamili.................
2⃣Eneo unalo ishi...........
3⃣Unasali kanisa gani...............
4⃣Umeoa/Olewa/Upo kwenye mahusiano?............
5⃣Unahisi unauwezo wa kumwelekeza mtu hata aliye mkorofi akaelewa?..............
6⃣Unauwezo wa kumsikiliza mkubwa wako(Admin mkuu)kwa mashauri?...........
7⃣Utakuwa na mahusiano mazuri na viongozi wenzako na hutafanya maamuzi binafsi bila kutoshirikisha wenzako?..........
......
......
✅ *HONGERA UMEPITA KUWA KIONGOZI*
❎ HUJAKIZI VIGEZO (JARIBU TENA)
       _By Admin Mkuu Ev Elisha Kazimoto_

Friday, 23 November 2018

MWANA DINI NI NAREHEMU?

🖤🖤 *SINTOFAHAMU YA KUOANA NA MPAGANI, NA UKAKASI WA DINI/IMANI ZINAZO ZALISHA WATU NILIOWAITA KWENYE POST YANGU "MAREHEMU WANAOTEMBEA" UFAFANUZI WAKE KWA WALIOPATA UKAKASI*🖤🖤
............
............
_Ev Elisha Kazimoto(Mjumbe Mkali *Mithali 17:11*)WhatsApp 0755444078_
..................

👆👉 Sasa niweke sawa Kuhusu Imani,na wokovu na Maana halisi ya post ya Marehemu.

*MTU YEYOTE AMBAYE HAJAOKOKA(NI MTENDA DHAMBI NI MAREHEMU ANAYE TEMBEA) NA HUU NDO MSIMAMO WA NENO LA MUNGU,SIPINDISHI WALA KUPUNGUZA MAKALI MTU YEYOTE AMBAYE NAFSI YAKE INA HATIA JUU YA DHAMBI,UOVU,MATENDO ANAYO YA TENDA SI YA KUMPEMDEZA MUNGU,HAIJALISHI UPO DINI GANI WALA DHEHEBU GANI WEWE NI MAREHEMU UNAYE TEMBEA.*

1 Nanyi mlikuwa wafu kwa sababu ya makosa na dhambi zenu;
Waefeso 2:1

2 ambazo mliziendea zamani kwa kuifuata kawaida ya ulimwengu huu, na kwa kumfuata mfalme wa uwezo wa anga, roho yule atendaye kazi sasa katika wana wa kuasi;
Waefeso 2:2

3 ambao zamani, sisi sote nasi tulienenda kati yao, katika tamaa za miili yetu, tulipoyatimiza mapenzi ya mwili na ya nia, tukawa kwa tabia yetu watoto wa hasira kama na hao wengine.
Waefeso 2:3
👆 *Wokovu Ni Badiriko la Moyo na Matendo* kinachofuata baada ya Badiriko la moyo na matendo ni Kupata watumishi sahihi/Mahala sahihi panapo Fundisha NENO LA MUNGU HALISI SIYO MAPOKEO na maneno ya wanadamu. Na hapa Haijalishi dini gani,dhehebu gani, Uzuri kweli,huwa inajitenga na uongo na Yesu alisha sema mtawatambua kwa matunda yao, SI LAZIMA NIKUBAINISHIE kuwa dhahebu hili ni sahihi ili si sahihi.....TUNAJUA TU KWA KUTUMIA NENO LA MUNGU,kuwa huu ni utapeli,haya ni mapokeo ya wanadamu siyo MAAGIZO ya Mungu, ili NI NENO LA MUNGU.

1 Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani.
1 Yohana 4:1

2 Katika hili mwamjua Roho wa Mungu; kila roho ikiriyo kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili yatokana na Mungu.
1 Yohana 4:2

3 Na kila roho isiyomkiri Yesu haitokani na Mungu. Na hii ndiyo roho ya mpinga Kristo ambayo mmesikia kwamba yaja; na sasa imekwisha kuwako duniani.
1 Yohana 4:3

👆Kwa hiyo imani yoyote tunaipima kama imekidhi matakwa ya Neno la Mungu, kama haikidhi matakwa ya Neno la Mungu, dhehebu hilo,imani hiyo, kanisa hilo, mchungaji huyo ANAZALIZA MAREHEMU WENGI WANAO TEMBEA.
Na kwa malaika wa kanisa lililoko Sardi andika; Haya ndiyo anenayo yeye aliye na hizo Roho saba za Mungu, na zile nyota saba. Nayajua matendo yako, ya kuwa una jina la kuwa hai, nawe umekufa.

Ufunuo wa Yohana 3:1
👆Hilo ndo neno la Bwana.
Uzuri neno la Bwana limejikamilisha,halina mapungufu lina COVER maeneo yote kwa kipimo sawa.

5 Kila neno la Mungu limehakikishwa; Yeye ni ngao yao wamwaminio.
Mithali 30:5

👆Neno la Mungu limehakikishwa tena ni safi, linafaa kwa mafundisho na kutengeneza watu Hai walio uhishwa na Kristo kwa kumwamini kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yao.
6 Maneno ya Bwana ni maneno safi, Ni fedha iliyojaribiwa kalibuni juu ya nchi; Iliyosafishwa mara saba.
Zaburi 12:6

👉👆 *DINI NI NJIA TU,* ila njia yaweza kukupeleka shimoni,au eneo unalotamani kwenda.(NENO DINI NI LA KIARABU MAANA YAKE NJIA)  umakini ni JE, NJIA HIYO INAKUPELEKA WAPI?

12 Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu, Lakini mwisho wake ni njia za mauti.
Mithali 14:12

👆Suala hapa si kuangalia *Dini/Dhehebu langu limefananishwa na nini...... Suala ni NJIA YANGU NINAYOTEMBELEA INA VIGEZO VYA KUNIFIKISHA MBINGUNI*? Mimi liwe kanisa langu,dhehebu langu lifananishwe na nini, Hainihusu swala ni YESU WANGU AMEFANANISHWA NA NINI maana Yesu ndo Sura ya Uhai,dini hakuna uhai..... *DHEHEBU/DINI NISAWA NA MWILI WA MTU PASIPO ROHO* Huu mwili wangu ikiondoka Roho nitaitwa Marehemu, Roho ndo inanifanya niitwe EV ELISHA, vivyo hivyo DINI/DHEHEBU kama HAKUNA ROHO WA BWANA (ROHO MTAKATIFU-NA NENO LA MUNGU LILILO HAI)dini au dhehebu linabaki kuitwa KUSANYIKO MFU.

27 Dini iliyo safi, isiyo na taka mbele za Mungu Baba ni hii, Kwenda kuwatazama yatima na wajane katika dhiki yao, na kujilinda na dunia pasipo mawaa.
Yakobo 1:27

👆Kama njia(mtu)hajilindi na dunia PASIPO MAWAA(dhambi na uovu) hiyo dini(mtu)ni Marehemu.
*UKWELI NI HUU*
_Wale watu wa zamani kidogo kuanzia utawala wa mkapa mpaka nyerere,mmtajua jambo hili na ntaleta lecture kama 2 juu ya Imani,dini,wokovu...... MADHEHEBU KADHAA unayoyajua mengi yalikuwa HAYAAMINI KWA HABARI YA WOKOVU,NA MTU KUWA MTAKATIFU AKIWA DUNIANI LABDA AKISHA KUFA,ndo atatangazwa kuwa mtakatifu._ Sasa *Huu ni Utapeli wa shetani na Kwenda kintume na NENO LA MUNGU NA NDO UMAREHEMU UNAANZIA HAPO KUZALISHWA, kwakuwa wanakiuka andiko hili la Mungu anapendezwa na watakatifu WALIOPO DUNIANI siyo waliokufa*

3 Watakatifu waliopo duniani ndio Walio bora, Hao ndio niliopendezwa nao.
Zaburi 16:3

👆Miaka ya hivi karibuni kuanzia miaka ya 2000 ndo kumeanza kushika kasi ya KILA MTU KUSEMA AMEOKOKA,KILA DINI,DHEHEBU KUSEMA NA SISI TUMEOKOKA, vikumdi vya UHAMSHO, vya kiinjili kuanzishwa na kuwa kanisa B ndani ya kanisa A..... Kumbe WOKOVU UPO, ningekuwa group la Be strong ningeeenda ndani zaidi na kutoa historia ya vikundi vyote na aababu ya kuanzishwa, dhehebu moja badala ya lingine,ila hapa na jibu hoja kwa jumla kuhusu KUOANA NA MAREHEMU(MPAGANI)....
*HOJA SIYO DHEHEBU WALA DINI, HOJA HAPA NI  2 TU*
1⃣Wewe mtu binafsi UMEOKOKA? Unaishi maisha MATAKATIFU? Nafsi yako haikupigii kelele kuwa wewe HAPANA NI TAPELI(unafanya hivi,hivi,hivi Mungu hapendi?)

3 Na kila mwenye matumaini haya katika yeye hujitakasa, kama yeye alivyo mtakatifu.
1 Yohana 3:3

4 Kila atendaye dhambi, afanya uasi; kwa kuwa dhambi ni uasi.
1 Yohana 3:4

5 Nanyi mnajua ya kuwa yeye alidhihirishwa, ili aziondoe dhambi; na dhambi haimo ndani yake.
1 Yohana 3:5

6 Kila akaaye ndani yake hatendi dhambi; kila atendaye dhambi hakumwona yeye, wala hakumtambua.
1 Yohana 3:6

8 atendaye dhambi ni wa Ibilisi; kwa kuwa Ibilisi hutenda dhambi tangu mwanzo. Kwa kusudi hili Mwana wa Mungu alidhihirishwa, ili azivunje kazi za Ibilisi.
1 Yohana 3:8

9 Kila mtu aliyezaliwa na Mungu hatendi dhambi, kwa sababu uzao wake wakaa ndani yake; wala hawezi kutenda dhambi kwa sababu amezaliwa kutokana na Mungu.
1 Yohana 3:9

10 Katika hili watoto wa Mungu ni dhahiri, na watoto wa Ibilisi nao. Mtu ye yote asiyetenda haki hatokani na Mungu, wala yeye asiyempenda ndugu yake.
1 Yohana 3:10

20 ikiwa mioyo yetu inatuhukumu; kwa maana Mungu ni mkuu kuliko mioyo yetu naye anajua yote.
1 Yohana 3:20

21 Wapenzi, mioyo yetu isipotuhukumu, tuna ujasiri kwa Mungu;
1 Yohana 3:21

👆👉Mistari muhimu ya mtu binafsi kujipima wala hapa uhitaji kuambiwa wewe ni MAREHEMU AU HAI,binafsi unajihukumu kwa NAFSI YAKO. Japo ukitaka kujitetea ili ujulikane umwema utazuga kwa watu lakini nafsi inasema wewe HAPANA HUJAOKOKA.
Ndo maana siku ya hukumu Mungu hatahitaji Shahidi kama mahakamani No unaye shahidi wako NAFSI YAKO inaongea kila te do,kila wazo,na kila njia yako.(sasa hapa haijalishi upo dhehebu gani wala dini gani) MAANA WENGI UKIKBILIA KUSEMA NA KWA WALOKOLE WAPO WATENDA DHAMBI WAKUBWA KULIKO WAPAGANI......Jibu jepesi sana nikweli kwani *Hata Yesu likuwa na wanafunzi 12 ila moja alikuwa Yuda msaliti na Yesu hakuwahi kusema si mwanafumzi wangu ila hakwenda mbali panga la haki lilimpitia,ila alionywa kila mara....Yesu alisema kati yenu mmoja atanisaliti* na ndicho kinahubiliwa huko kwa walokole ACHA DHAMBI wakusikia anasikia asiye sikia njia yake ni fupi.
2⃣Hoja ya pili ni *ALIYE MBELE YAKO,AU ENEO LAKO LA IBADA LINAIFUNDISHA KWELI? Lina kemea dhambi?lina imiza maisha matakatifu? Kama hayo hakuna linapita kwa mwaka mara 1 tayari unajua watu gani wanazalishwa. Maana kuna madhehebu mengine na imani nyingine.... Dhambi kwao siyo agenda,ndo maana mtu anaweza kwenda nyumba ya ibada akiwa na promise ya Ngono baada ya ibada,au anatoka ibada anapitia Bia na sigala,hawala nk, anaenda ibadani KUPUNGUZA DHAMBI, SIYO KUKUTANA NA MUNGU. 
👉Imani zingine zinaenda ibadani kupata nafasi ya kuzikwa atakapo kufa aombewe aende mbinguni siyo kuyaandaa maisha yake ya baadaye akiwa hai.....

27 Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu;
Waebrania 9:27

👆Hilo andiko hawalisomi na hawalioni.
*SHIDA NI MOJA NA ITABIDI NIISHIE HAPA MAANA HUMU NI MAHUSIANO NA NDOA ILA KISAIKOLOJIA NAKIROHO*

_Watu wengi sana wakisha Penda wanahitaji na Mungu apende kama wanavyopenda,wanataka Mungu awafuate matakwa yao siyo wao wafuate mapenzi ya Mungu,ndo maana mtu anaweza sema SI NIKIOANA NA MPAGANI MIMI NAWEZA MBADIRISHA AKAOKOKA AKAMJUA MUNGU?_
*NOTE*. Msingi wa wokovu SIYO MAPENZI NI msimgi wa wokovu NI MOYO WA TOBA ULOTAMBUA HATIA YA DHABI NA UOVU, kumleta mtu wa Yesu kwa msingi wa mapenzi nisawa na KUMTUNUKU PhD kondakita wa gari akiyeishia darasa la 2 halafu ukaaza kujisifu kwamba huyu ni msomi hatari ana PhD ni mtaalamu wa uchumi huku ukijua wewe ndo umempa hiyo phd hewa.
Kwa Mungu hakunaga kufoji.

Shida ya pili watu wanahitaji wasikie maneno laini na ya uongo yakuwafurahisha siyo kweli inayo choma ili kubadirika.

9 Kwa maana watu hawa ni watu waasi, watoto wasemao uongo, watoto wasiotaka kuisikia sheria ya Bwana;
Isaya 30:9

10 wawaambiao waonaji, Msione; na manabii, Msitoe unabii wa mambo ya haki, tuambieni maneno laini, hubirini maneno yadanganyayo;
Isaya 30:10

👆👉Hii ndo shisa na kizazi cha sasa na kilichokuwepo tangu zamani.
...........
...........
*_Ev Elisha Kazimoto(Mjumbe Mkali -Mithali 17:11) WhatsApp 0755444078_*

WACHUMBA KUITANA MAJINA YA MAHABA

💝💝 *Swali: Jaman hivi ni sahihi kwa marafiki tu wa kawaida au wadada kuitana Honey,love,sweetheart, n.k mf unakuta mdada anamuita mkaka sweetheart sio mpenx wake wala nn, au anapewa au kafanyiwa kitu na mkaka anasema asante my love. Namm huwa napenda kweli kuita watu hvo*💝💝
............
............
_Anajibu Msaikolojia Ev Elisha Kazimoto(WhatsApp 0755444078)_
*MADA HII IPO KISAIKOLOJIA NA KIROHO*

_Kwanza tujue kitu kimoja jina lolote ni ANWANI ya mtu aitwaye,na niufafanuzi wa Hisia alizo nazo mtu juu ya mtu,mazingira au mapito_
👉Mtoto akizaliwa anapewa jina,watoa jina HAWAITI ILI MRADI JINA, wanakuwa *Wanamsukumo* aidha wa Shukrani kwa Mungu,Mapito magumu, muujiza,mahusiano mabaya ndo utasikia majina kama SIKUJUA,TABU, SHIDA, EBENEZA,SHANGWE nk..... Kwa maana hiyo USIDHARAU NGUVU YA JINA.
👉Biblia inasema heri kuchagua jina jema kuliko mali nyingi, kwa nini.... Kwa sababu *_Jina linabeba nguvu ya matendo utakayo tenda_*
👉Kwa nini mtu aitwe jina zuri afurahi, naaitwe jina baya achukie? Ni kwa sababu jina lina *Tibua Hisia*
👉👆Kwamaana hiyo kama jina linatibu hisia zinazotakiwa zitoe *Matendo sawasawa na jina likiloitwa* je,vijana kuitana majina ya *Kimahaba*(Mpenzi,mke wangu,Laazizi,)nk lina athari zozote.
👆👉Kumbuka Nguvu ya neno kwa maisha yako ni *Kuishi sawasawa na Maneno yako* Biblia imesema mwanadamu ATASHIBA mema ya matunda ya midomo yake.... Jina lolote unalimwita mwenzako naye kukuita linaunda BOND kwenye akili,inayoanza taratibu kufuta mipaka muhimu kati yenu, hisia za ukaribu zinatibuliwa,na mzizi wa urafiki ukomaa,namzizi huo unaweza pelekea kuwa huru nje ya mpaka wamahusiano yenu na mwisho LOLOTE LAWEZA TOKEA(Aidha kuanzisha mahusiano ambayo hayakutarajiwa,au sex ambayo haikutarajiwa.
*NB:* UTUMIAJI WA MAJINA katika mahusiano ufuata Levels of Intimacy ndomaana tuna jina kama jina la mtu,tuna jina la rafiki,tuna jina la mchumba mtarajiwa natuna jina la mke au mme.
Swali kwako, je ukimuita rafiki mpenzi,honey,sweetheart nk mmeo,mkeo utamwitaje.....?unaweza usione shida ila KISAIKOLOJIA umejipunguzia nguvu ya Hisia za kutofautisha mwenzi wako na rafiki yako wa karibu.

*UHURU WAKO wakutumiajina hilo ndo kipimo chako cha usalama wa kihisia*
NOTE: Kwa kawaida mtu anamwita jina mtu zuri,la mahaba kulinganana degrees za huyo mtu katika moyo wake na jina likikolea uendelea kupandisha degree kwenye moyo na hisia, sasa kama rafiki atachukua jina la *Mpenzi wa Moyo* na Mchumba wako au mmeo,mkeo atachukua degrees ngapi maana hatunaga *WAPENZI WA MOYO* tuna mpenzi wa moyo....Kisaijolojia...Ndo maana inashauliwa mwite mtu jina lenye mpaka wa kuhifadhi nafasi maalumuya mtu maalumu kwako.
*_Ni sawa na mtu hata akikuiendezaje,na akakuhudumia sana huwezi muita/kumpa jina la MUNGU WANGU, nafasi hii unaiacha kwa kuwa unajua huyu nikimpasifa na jina la Mungu na Mungu ntapa lipi_*
Weka mpaka ulinde nafasi ya hisia za mtu maalumu kwako.
   *Ev Elisha Kazimoto(WhatsApp 0755444078)*

VIPI KUMKISS MCHUMBA WAKO

😘😘 *Swali: Hivi ni sahihi kumkiss rafiki yako au mchumba?*😘😘
........
........
_Anajibu msaikolojia Ev Elisha Kazimoto(WhatsApp 0755444078)_

*MADA YA KIHISIA*
_kila tendo au neno linakuwa na msukumo wa Nia nyuma yake,suala hapa la kujiuliza ni KWA NINI UMKISS? hilo tu ukilijibu utajua ubaya na uzuri wa kiss_
👉Suala la msingi hapa ni Aina za Kiss na Lengo lake.
1⃣Kiss ya kumwansha hisia mwenzako tayari kwa kuitikia sex( Romance,kiss ya muda mrefu zero distance)
2⃣Kiss ya Chap chap ya salamu( cheek kiss)
3⃣Kiss ya deep love and Intimacy (confusing kiss) kwa paji la uso.
4⃣Kiss of special care(ya mkononi)
5⃣Sex Kiss( Romance + Zero distance Hug)
_Katika hali ya kawaida,wengi upenda kiss simple ila hujikuta wanaingia sex kiss_ ndio maana  wachumba au waba mahusiano wasiopebda kuanguka dhambini, wanashauliwa kuwa open kwenye nazingira,jana ni kiss usijifiche piga openly jwa ujasiri,usisubiri mkiwa wa 2 tu, mtaanguka.
*Msaikolojia Ev Elisha Kazimoto*

KUACHANA NA UMPENDAYE

🎁🎁 *Swali Muhimu la Kimahusiano:* _Hivi ufanye nini au utafanyaje kama mmependana na mtu(dada/kaka)mkiwa mnajiandaa kuanza michakato ya uchumba na ndoa, MUNGU akwambia HUYU SIYE MTU SAHII KWAKO muachane. *Unafanyaje*_🎁🎁
.......
.......
_Anajibu Mchambuzi wa Masuala ya Mahusiano na Ndoa Ev Elisha Kazimoto(Whatsapp  0755444078)_

*Nihitimishe Mada hii kwa kusema mambo kama 3 hapa la kiroho na kisaikolojia na kimwili*
👉Kuanzisha mahusiano inaweza kuwa rahisi sana  maana unakuwa juu ya Hisia na nguvu ya furaha, ila kuvunja mahusiano ni kazi kubwa na gharama kubwa kwa maana *_Unakuwa chini ya Hisia na maumivu ya moyo_*
👉Kuanzisha mahusiano ni kujiongezea *Stability of mind* ila kuvunja mahusiano ni kujiongezea *Stress and Depression of heart*
👉Kwa msingi huo ni muhimu sana kutulia unapoenda kuanzisha mahusiano na mtu. Maana kuna kuhitimisha mahusiano kwa furaha( *Kuungana*) au kumaliza kwa Stress( *Kuacha au kuachwa*)
👉Katika mahusiano ni *Heri kuachwa kuliko Kuacha* anayeachwa anaulinzi wa kihisia, anayeacha anaongeza wingi wa wasiwasi kihisia.( _Anayeacha lazima aunde sababu za kutosheleza maamuzi yake ambazo baadaye kama si sahihi zaweza mgharimu katika mahusiano mengine au ndoa,ila anaye achwa anabaki na sababu moja tu nimesalitiwa nina haki_)
👉 *Nijibu swali sasa* Kumuacha mtu unaye mpenda ni kazi Kisaikolojia,ila kiroho ni kazi ndogo.
🥦Kama wote mliopendana mnamjua Mungu vizuri,haina sababu ya kuogopa ni kuitana mkakaa mkaambiana sisi tunapendana,ili tungie katika ndoa takatifu,na ndoa ni kusudi la Mungu,sasa kama *Hakuna amani kwa mmoja wetu,basi tujipe muda wa kuomba kuuliza amani hii inayopotea inamaanisha nini* wote mshugulikie hilo mpaka mpate jibu,ndo muagane kwa upendo na kuombeana kila mmoja Mungu ampe mtu wake.
🥦Suala la mtu mmoja kufanya maamuzi ya kuvunja mahusiano eti Kisa *SIJISIKII AMANI MOYONI JUU YA MAHUSIANO HAYA NI UTAPELI NA UHUNI MKUBWA* kwa nini? *_Wakati unaanza mahusiano hukulazimishwa, na pengine ulienda mbali na kusema Hakika nasikia Amani sana juu yako,nakupenda,nahisi hakuna mwingine kama wewe,namshukuru Mungu kunipa mtu kama wewe_* hayo yote uliyatoa kwenye Amani gani, ya nafsi yako,ya macho yako, au ya Kristo? Sasa kwakuwa ukimwaminisha mwenzako kuwa wa mpenda kwakuwa unaamani kuu Basi mkae tena muombe mdhibitishe hiyo hali ya amani kupotea
👉Maana kuna watu amani inapotea kwasababu zifuatazo:
🥦Walikurupuka kusema huyu ndiye kabla ya kujua Mungu karidhia au la( *Kwa tamaa zake*)
🥦Baada ya kuona Maslahi anayo tegemea huwenda hayatatimia akiwa na huyo( *Hofu ya maisha hasa kiuchumi*)
🥦Ushawishi wa marafiki,au wazazi kuhusu huyo mtu kuwa hakufai.
🥦Matarajio makubwa,lakini unaona madogo katika mahusiano
✍Kuanzisha mahusiano mapya kwa siri huku ukiwa na mtu mwingine( Huleta utata wa kujua nani ni chaguo sahihi...na lazima mmoja atavuta sana kuliko mwingine moyoni mwako)mmoja ataanza kupoteza sifa na amani juu yake itapotea.
*_Hayo mambo ndo watu uanza kusema sina Amani na mahusiano yetu,nakuanza kutafuta gia za kupiga chenga_* hapo si busara,busara kabla hamjaenda mbali,humtaki mtu mwambie mapema mkubaliane muachane kwa amani na si kiuadui.
👉Kuna wengine ambao Nature yao ni *_Ni ku hold wakaka au wadada tu,kula hela zao,muda wao,vitu vyao au kuwatumia kimwili,wakiwa hawana malengo nao, wakiona wenzao wamekazana,wanania ya Kuingia kwenye ndoa, ndipo huanza lugha za SINA AMANI MOYONI, wakiogopa hatua inayofuata ni Aidha kulipa mahari,kupelekwa kwa mchungaji au wazazi kutambulishwa,sasa anajiwahi kuvunja mahusiano kwa kisingizio cha sina Amani_* huu utapeli si mzuri.
🥦Rai yangu ya mwisho Kuvunja mahusiano si Ugomvi wala uadui,kama mlivyo toka out kuanzisha mahusiano,basi tokeni out mzungumze kuvunja mahusiano. Isipokuwa kwa mahusino ambayo huonyesha hati hati ya Revenge za ngono,huwa hayo tunashauri yavunjwe kimya kimya.
Mchambuzi na mshauri wa masuala ya mahusiano na ndoa
        *Mwanasaikolojia*
*Ev Elisha Kazimoto(Whatsapp  0755444078)*

Monday, 12 November 2018

WADADA WALIO ADIMU

🍇 *MWANA DADA ALIYESOKONI NA NI BIDHAA ADIMU*🍇🍇
_Huu ni Ujumbe wangu Mtumishi wa Mungu Ev Elisha Kazimoto na Mchambuzi wa Masuala ya Mahusiano na Ndoa_
🍇Mdada aliyesokoni ni yule anaye *Jitambua kuwa ni Mdada wa Kutafutwa* hii Siri weeengi inawashinda Kabisa kabisa, wadada wanaingia kwenye nafasi ya *Kutafuta badala ya Kutafutwa* hapa unaweza maliza miongo hata 4, 4.5 huja fanikiwa kupata mme.
👉Mdada anayejua yeye ni Bidhaa Adimu inayotafutwa, *Anajipanga kutafutwa* anaishi maisha ya kutafutwa, na huyo akipatikana na watafutaji *Aachiwi,achezewi wana wahi kushugulikia hatua zote awe Queen of the house* aachwi muda wa uchumba, wala kuchezewa.
*_Sifa za Mdada Adimu aliyejipanga Kutafutwa_*
🎁Maisha yake Ameyawekeza Kwa Mungu. ( _Huyu ni mdada amchaye Bwana,anajikita na mambo ya Mungu, amejiapiza kuishi maisha matakatifu na kujitenga na dhambi, Ratiba zake nyingi ni za Kiroho, kusoma Biblia,Maombi,Ibada,Huduma na utumishi mwingine wa nyumba ya Mungu_) Binti huyo anatafutwa sana maana watafutaji wanajua moyo wa huyo unamilikiwa na Mungu,majanga hayatakuwepo kwenye ndoa.
🎁Hajirahisishi kwa wanaume,ila anawapima wanaume, ( _Hana pressure ya kuolewa kiasi kwamba kila kijana anayekuja anahisi ni mwokozi wake amekuja kumwondolea aibu...Ila yeye anapima huyu aliyekuja amekuja kwa Mkono wa Bwana au wa Tamaa zake au shetani ili kuniangusha?_)kama ni kwa mkono wa Bwana anaitafuta amani ya (Kristo na Kusudi la Mungu juu ya aliye kuja huku akiyasoma maisha ya kijana ni mtakatifu au ni
mwigizaji)
🎁Anaye jishugulisha kuyamudu maisha yake ili moyo wake usinaswe na watoa zawadi ili waharibu maisha ya wadada.( _Mdada wa aina hii hakai nyumbani na kusubiri wa kumbariki au kumpa vizawadi ndo atokelezee, hapa utakuwa na mahusiano hata 10 na utaanza utapeli. Mdada Adimu anasoma mazingira yake anaanza kujishugulisha na vitu vya kuingiza kipato hata kama ni kidogo lakini anauwezo wa kumudu mahitaji madogo madogo ya kila siku huyu dada anatafutwa sana maana atakuwa msaada wa familia akiolewa si Mzigo_)
🎁Kauli zake ni Kauli za Staha( _Mdada mwenye uwezo wa kukubali kwa adabu na kumkataa mtu kwa adabu ndo bidhaa adimu, wengi wanaponzwa na mdomo wanajifanya kuwa rohoni sana, kwa wale wasiowapenda wakiwa approach wanawajibu majibu ya mkato,ya dharau,ya matusi kiasi kwamba kijana anamshukuru Mungu kwa wewe kukataa maana kama una majibu mabovu hayo hujaolewa,ukiolewa mkakwazana ndo utatukana mpaka basi_) Kinywa chako kifanye kiwe na Nidhamu ya kupendeka.
🎁Mdada asiye tumia Mahusiano kama *Chanzo cha Mapato yake*( _Kuna wadada wanageuza mahusiano kama kitega uchumi au Saccos yao ya maendeleo, huwa wavulana wao hawawaambii ila wanaumia na wanawasema kwa wenzao kuwa mchumba wake *Ni Chuma Ulete* kila kitu,kila siku ni pesa,pesa....Jiulize kama usingekuwa kwenye mahusiano ungekuwa unatunzwa na nani? Lakini kuhudumiwa ni upendo wa kutoa kama zawadi siyo Madai, mdada ambaye anaweza kukaa kwenye mahusiano hadai kutunzwa,kuhudumiwa,mpaka mkaka mwenyewe ndo anaamua kukuhudumia,huwa wana sifa kubwa na si rahisi kuachwa,ila hata yeye mdada anaweza mtafutia zawadi mkaka wake hawa ni Adimu_) Wadada wengi ni Mchwa,wanakulaa wee ili wakiachwa waseme bora nilikula vitu vyake.
🎁Mdada anayechukia NGONO kabla ya ndoa( _Wadada wenye msimamo kwenye mahusiano ya kutovuliwa nguo,kunyonywa ndimi(Romance),kuchezewa mwili wao(sexual plays,kushikwa maziwa,sehemu za siri nk)mpaka unakuwa wet unatamani umalizie kabisa sex ila basi tu, mdada ambaye hata akitishiwa kuachwa kama hatakubali sex yuko tayari kuachwa, huyo mdada Ni bidhaa Adimu_) Wengi wa wadada wamejirahisisha sana mahusiano hayaishi,hawaingii kwa ndoa wakiwa na siri kwa wachumba zao,wanakuwa wamezoeleka miili yao si mara 1,4,10.
*_Hiyo ni Hekima zangu kwako dada, ukizingatia utatafutwa na ukipatikana uachwi njiani mpaka ndoa_*
       By Ev Elisha(whatsapp 0755444078)

Thursday, 4 October 2018

BINTI AMEJIPANGIA MAHARI MIL2

♠♠ *Swali bintibanajipangia Mahari ni Milioni 2 huna kaa chini*♠♠
Ninaye rafiki wa kike. Nampenda sana. Ananipenda pia. Natamwani mwakani disemba nimuoe. Kwa ndoa ya kanisani na sherehe ndoogo tu ya kawaida. Ndog isiyojaza watu mia. Mwenzangu anataka kuolewa na mimi mwakani pia. Ilaa anadai km nispomlipia mahali mil 2 ambazo alijiwekea km ahadi kwa wazazi wake,kwamba nikimtolea mahali chini ya izo HATAISHI NA MIMI KWA FURAHA. alaf anaithamini sana harusi. Anataka iwe kubwa na watu wengi jambo ambalo kwa uchumi wangu naona haliwezekani. Maandalizi ya kama anavyotaka yeye labda nisogeze muda mwaja mmoja tena baadae wakat mi naona wakati sahihi wa kuoa ni mwakan disemba.

ndugu yangu,binti wa hivi ni mtafsiri vipi? Kuna lugha anajarbu kunieleza siielewi au ndio tayari ashajipatia kwigine mimi tu nd namchelewesha?
Wote tumeokoka
........................................
*_Anajibu Mchambuzi wa Masuala ya Mahusuano na Ndoa Ev Elisha Kazimoto(whatsapp 0755444078)_*
........
........
*SI KILA UNAYE INGIA NAYE KWENYE MAHUSIANO ANAAKILI TIMAMU*(UTANIELEWA MWISHONI)
👉Kuna mambo mengi kwenye mahusiano yanafanyika mengine ukiyasikia unahisi *_Hapa ufahamu wa Kimungu ni mdogo,hapa Kisaikolojia hakuna kitu,hapa akili ya kawaida hakuna kabisa_* kuma matatizo mengine hayahitaji kuumwa njaa ya masaa 12,24,36,48 au 72 ukimuuliza Mungu huyu ni mtu sahihi au la,nipige chini au nibebe ndo maana Biblia ikasema TUTUMIE AKILI IPASAVYO.
Tumieni akili kama ipasavyo, wala msitende dhambi; kwa maana wengine hawamjui Mungu. Ninanena hayo niwafedheheshe.

1 Wakorintho 15:34
👉👆Ndoa,ni makubaliano ya watu 2,binti na kijana,walopendana na kuamua kuishi pamoja ( *Yaani kuacha familia zao,na kuunda familia yao*)
👉Kikawaida(katika akili timamu, *Wachumba wanafahamiana hali zao za kuuchumi,na famikia zao* lakini hawa watu wawili wana kazi ya *Kujenga Familia yao iwe na nguvu kiuchumi ili wazisaidie familia zao* kwa watu wenye akili timamu.
👉Pili suala la Mahari,ni Mgao unaofanywa na familia ya binti kwa kijana anaye mtaka bibti yao, na mgao huo *Kimantiki haulengi kuwa mtaji wa sendoff,au biashara,au kuuza,au kufidia gharama za matunzo* ni zawadi na heshima ya shukrani ya kijana kwa wazazi wa binti.(kiafrika) lakini kimaendeleo na kimaana halisi( *Familia ya binti na ya kijana zijipinde kuwatafutia kiwango cha uchumi wa kianzio cha maisha,hawa wanaanza maisha,ninyi ndo mnakaribia kumaliza maisha,nani anamzigo?* yule anaye anza.
👉Binti mwenye akili timamu ya kimaisha na kisaikolojia anacheza *midfield* kuhakikisha mme wake mtarajiwa *Haumii kwa mahari* maana akiumia si kwamba anaumia kijana,ila wote mnaumia maana si unaolewa naye,kama madeni si mtalipa wote?kwani wee utaishi wapi?kama kula vibaya mtakula vibaya mpaka deni liishe. Ok anayway nini nasema hapa kulipa mil 2,siyo shida hata kama 10,je mmeo mtarajiwa anauwezo?
*KABLA SIJA HITIMISHA NIKUPE SIFA ZA BINTI HUYU NA KAMA UNATAMANI NDOA YA AMANI PIGA CHINI HUYU HARAKA SANA KABLA WEWE HUJAWA REMOTE*
1⃣Ni binti mwenye dharau kubwa, dharau yake imepita viwango kiasi cha kujuonyesha thamani yake ikoje tofauti na unavyoweza kuwa unamtazama.
2⃣Ni binti mwenye jeuri na moyo wa kutawala, huyu dada kumuoa unaweza jikuta unatawaliwa badala ya kutawala. Mdada anayejipangia Mahari aisee huyu hafai kuolewa ila kupiga *umalaya*(unielewe,neno gumu ila waweza likumbuka baada ya kuishi si zaidi ya miaka 3.
3⃣Ni binti mwenye moyo wa ushindani wa kipumbavu. Aisee huyu ni miongoni mwa wanawake wanaoshindana na watu kuvaa,kula,mitindo bila kujali *Uchumi wa familia yake ukoje* huyu ukioa umeumia.( yaani mtu anayejipangia mahari kisa anataka kushindananadada zake walotangukia kuolewa,awapite kiwango cha mahari,huyu hamna kutu)
4⃣Ni binti mwenye misimamo isiyo faa, yaani, *Amejiwekea kuolewa kwa mil 2* hapo haijalishi kijana anauwezo gani huyu ni hafai kwa familia.
*LABDA NI MUHOJI HUYU DADA KIDOGO*
👉Ulipiwe mahari mil 2,kwakuwa una nini *Kipya* ambacho hakioatikani kwa wengine ili mtu apambane na hicho.
👉Kuwa na bikira ndo kuwa na tabia njema⁉,ndo kuwa na akili ya kuendesha familia? Bikira ni upekee?wapo wengiii wenye bikira ila wametulia,sanapanga na kuelewana na wachumba zao kulingana na hali zao za kiuchumi.
👉Kwani unahisi mil 2 ni pesa nyiiiingi kiasi kwamba ukiolewa kwa mahari ya mil 2 utakuwa wapekee⁉ wakati wenzako mil 2 *Nipesa ya pete tu za harusi* ndo unalilia iwe mahari yako(mpaka hapo unaonyesha level ya familia yenu kiuchumi)
👉Nikusaidie, wewe huna haki ya kupanga chochote,kabda mmeo mtarajiwana wazazi wako,yaani wewe jeuri huna,maana unasubiri kutafutwa,na unaweza kuachwa leo na akapata mwingine wiki moja,ila wewe kupata mwingine na mwaka waweza isha.
*_Mwisho,huyu kijana anaweza pata tabu sana kuoana na huyu mdada,yaani hapa hapahitaji maombi ya kufunga,huyu nikumuita nakumwambia ukweli kwamba masharti yako siyawezi,na kwa hari hii kwenye ndoa ndo nitakuwa house boy,tafuta atakaye weza lipa mil 2 za mahari, na kufanya harushi kuubwa,mimi nitatafuta wa kuendana na uwezo wangu_*
NB: _Ukipenda usiwe kipofu na kiziwi,usione athari za baadaye, heri kuvunja uchumba kuliko ndoa_
Mchambuzi wa Masuala ya Mahusiano na Ndoa *Ev Elisha Kazimoto* (whatsapp 0755444078)

WACHUMBA WALOANGUKA

🖤🖤 *Swali la Wachumba waloanguka kwenye Zinaa*🖤🖤
Alikua kweny mahusiano na huyo mdada wote ni born again christians
Katika mahusiano yao walikuwa hawa date kipendwa Namaanisha walikuwa Wameangk kweny dhambi ya Uzinzi .Ila Sasa huyo kaka Kamshauri mdada wake wakatubu kanisani na Waweke wazi kwa mchungaji na wazee wa kanisa hiyo dhambi Ili watubu .Swali linakuja hawa watu baada ya hapo Wavunje uchumba Kila mtu amwombe Mungu ampe mwingine au Waendelee na mahusiano Yaliyo ya mipaka nasio kama ya mwanzo Ya kuhusisha dhambi hapo inakaaaje .
.......................................
*_Anajibu mchambuzi wa Masuala ya Mahusiano na Ndoa Ev Elisha Kazimoto(Whatsapp 0755444078)_*
(Mjumbe Mkali- *Mithali 17:11*)
........
........
*NI HITIMISHE HII MADA*
_Kwanza kabisa, nawapa polee kwa kushindwa KIPIMO CHA UAMINIFU WAO KATIKA UCHUMBA KITAKACHO WAGHARIMU HATA KATIKA NDOA wawe wametubu au hawakutubu,watafauru sehemu A,ila sehemu B itawagharimu_
Pili, niweke sawa kwanza msimamo wa Kiroho na kisaikolojia. *Hatutoi Faraja Feki kwa watu walioshindwa kwa Kigezo cha Mungu anasamehe,au Kuna Reference za watu walioanguka dhambini nawakatubu kama DAUDI. Isitoshe kizazi hiki hakuna mwenye hata robo ya moyo wa TOBA KAMA DAUDI,kijana wa sasa akiambiwa afanye toba kama aloifanya Daudi ATAACHA WOKOVU,kwa hiyo kiufundi Usijilinganishe hata kidogo kwa mtu ambaye hata theruthi ya viwango vyake Huna*
👉Andiko la Daudi kuanguka na mke wa Uria wamelitumia vijana wengi( *wahuni na wachafu*)kujihalalishia ZINAA kabla ya ndoa, na kujifariji eti watatubu kama Daudi.....Hivi mnauelewa wa Toba ya Daudi⁉ ukiielewa Toba ya Daudi utatetemeka, Lakini *Mnasomaga Majibu ya Mungu baada ya Toba ya zinaa,Alivyo Gharimika kwa zinaa ile pamoja na kuomba Toba⁉*
👉God is not cheap like people assuming. Daudi Alisamehewa ila Alilipigia gharama ya zinaa, soma Bible uone,mtoto wake alobebesha mimba Mungu *Alimuua*,lakini ikawepo laana kwa uzao wake *NDUGU WAKA BAKANA*(Tamari na Amnoni),tena akaambiwa mchana kweupe watu watalala nawakeze..... *Usijifariji kwa Zinaa*
👉Tatu, Zinaa kabla ya ndoa inafanya kazi kuu 2 kwenye ndoa yenu kiroho na kisaikolojia.
1⃣Hamtaaminiana kamwe mpaka mnazeeka(hiyo ni Biblically )hata mkitubu mtasamehewa,ila Moyo wa uaminifu *Unaondolewa kwenu* (Ninashuhuda nyingiii)kwa watu walofoji ndoa, hawakuwa salama,hata kama mnapendana namna gani, hii ni Kanuni ya Mungu( *Uaminifu kati yenu nimatokeo ya kutunza siri ya miili yenu mpaka mruhusiwe rasmi*)mkiindoa HAKUNA MUUJIZA,WALA MAOMBI YAKUOMBEA AMANI,WALA UAMINIFU KATI YENU, mtakula matunda ya kazi yenu(kiroho kama mtatubu toba ya kweli,aaha ninyi watakatifu na mbinguni mnaenda,ila ishu za amani na uaminifu mta struggle sana)
👉 *NIWASHAURI SASA HAWA*
*_Fanyeni toba kamilifu,ntatuma lecture ya zinaa kama 2,3 zisome vizuri,kama kuna mtu mwingine alihisi afanye atatubu,KIMBIA,SI RAHISI KIVILE,unaweza ukatubu,hata miaka 10 bado hupati amani,na kila kitu unaona hakiendi._* na kwakuwa wanapendana WAOANE kwasababu kuachana eti kila mtu atafute mwingine ni KUENDELEZA UHALIBIFU,ukienda kwa mwingine ukamwangusha naye?maana wee mzoefu,utaacha wangapi? Lakini ukichumbiwa au kuchumbia ambaye hajawahi kuanguka na bahati mbaya tamaa ileile ikainuka ukamwangusha,umeongeza kundi la majeruhi.
*Ni heri bhana mkachukuana mlofoji marks pamoja za mtihani* kila mtu abebe mzigo wake( Na hapa Tusiweke ukiroho kupita Yesu,kwamba nikunyanyapaa,tukitubu tumekuwa kiumbe kipya,kiumbe kipya cha wapi, *Upya wa wapi wa roho au kimwili,au vyote*? Kama wa kiroho, *Roho anahusika nayo Mungu,mume au mke anahitaji upya wa mwili* mambo ya upya wa roho mpelekee Yesu Kristo aliye mbinguni,ila hapa duniani,tuletee mwili mpya.
🎁👆Kwanini nasema haya yote, *Watu wameirahisha Zinaa sanaaaaa,na kutuumizia mabibti zetu,na vijana wetu, eti tuta Tubu*
KAURI YANGU USIFANYE ZINAA NA MCHUMBA WAKO,AU RAFIKI YAKO KWA NAMNA YOYOTE. Na HAKUNAFA BAHATI MBAYA YA ZINAA...Haipo.
*HAWA WAOANE,WAZIDI KUSAIDIANA MUDA HUU WASIANGUKE TENA,JAPO NI KAZI KUBWA,KUONJA HALAFU USIENDELEE,ILA WAWEKEANE MIPAKA,JAPO HESHIMA MPAKA SASA HAKUNA,WANAONANA KAWAIDA SANA,ILA WAJITAHIDI KUMPENDA MUNGU SANA ILI MZIGO WAO UWE MWEPESI*
By Ev Elisha Kazimoto(whatsapp 0755444078)
Mithali 17:11(Jina la Kazi)

Tuesday, 2 October 2018

JENGA MOYO NA NAFSI YAKO

🎾SOMO: *UJENGE MOYO WAKO NA NAFSI YAKO KATIKA UWEZO WA KUTO YUMBISHWA NA TUFANI YOYOTE*🎾
_By Ev Elisha Kazimoto(whatsapp 0755444078)_
🎁 *_Utangulizi Wa Somo_*🎁
*28 Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha. Mathayo 11:28*
🥦Kwenye andiko hili kuna mambo ya kuzingatia kama 4,ambayo yatakusaidia kama mwamini wa Yesu Kristo Kuujenga Moyo wako na Nafsi yako.
🥦Hapa kuna mwito wa Yesu kwa watu wote( walio nje na walio ndani ya Kanisa)
🥦wanaoitwa na wale wenye kusumbuka,wenye masumbufu maishani mwao
🥦Kundi lingine ni wale waliolemewa na Mizigo(mizigo ya aina yote)
🥦Lakini pia kuna jibu la Yesu au Suluhisho la Yesu ni kuwapumzisha.
*_Sasa kwa mujibu wa andiko hili Mizigo siyo dhambi tu,au magonjwa tu, hapa mizigo ni Hali zote,zilizoongezwa kwenye maisha yako ambazo Hukuumbiwa na Mungu,chochote kinacho Athiri amani yako alokuumbia Mungu ni mzigo_*
🎁KUNA MAENEO MATATU YANAYO HUSIKA NA KUBEBA MIZIGO HIYO KATIKA MAISHA YA MWANADAMU🎁
1⃣ *MOYO* ni kiti cha mizigo yote ya Maamuzi mabaya. Matendo yote yasiyo ya haki,yaletayo hatia, matendo yote yanayolenga kuumiza mtu, matendo ya kutendewa kinyume na matarajio yako ni *Mzigo wa Moyo*.

20 ikiwa mioyo yetu inatuhukumu; kwa maana Mungu ni mkuu kuliko mioyo yetu naye anajua yote.
1 Yohana 3:20

21 Wapenzi, mioyo yetu isipotuhukumu, tuna ujasiri kwa Mungu;
1 Yohana 3:21
👉👆Kuna watu usema moyo unaniuma,mapigo ya moyo yanaenda kwa kasi,pressure,kifua kubana,kutenda mambo kwa Hasira,kuzira na kununa ni matokeo ya Moyo kubeba Mizigo Isiyo stahili.
2⃣ *AKILI/NAFSI* Hiki ni kiti cha kubeba mizigo yote inayotoka kwenye mazingira kwa kuona au kusikia mambo magumu yasiyo na majibu kwa muda huo unao hitaji majibu. *_Ni mawazo Makali yasiyoonyesha mlango wa kutokea_*
🎁👆 Kuna watu anasema kichwa kinauma bila ugonjwa,kichwa kizito,macho yanauka,machozi yanalengalenga,hasira kwenye uso,majibu makali naya mkato,kutukana na kizunguzungu, hayo ni matokeo ya *Akili/Nafsi kubeba jambo lisilo na Majibu wakati huo unaohitaji majibu*

20 Akamwambia, Mwalimu, haya yote nimeyashika tangu utoto wangu.
Marko 10:20

21 Yesu akamkazia macho, akampenda, akamwambia, Umepungukiwa na neno moja. Enenda, ukauze ulivyo navyo vyote, uwape maskini, nawe utakuwa na hazina mbinguni; kisha njoo unifuate.
Marko 10:21

22 Walakini yeye akakunja uso kwa neno hilo, akaenda zake kwa huzuni; kwa sababu alikuwa na mali nyingi.
Marko 10:22
🎁👆Akili ikikosa majibu inatoa picha nje haraka kwenye uso kuwa hapa majibu hakuna kwa muda huu,ni baada ya kusikia inapelekea mzigo wa akili.
3⃣ *MWILI* Hiki ni kiti cha mizigo itokanayo na hali ya hewa,vita ya kiroho,au changamoto za dunia.
🎁👆Kuna watu anasema Mwili wangu hauko vizuri,naumwa,hauko kawaida,sijui nimekuwaje,au anakuonyesha Jeraha la mwili,au anajiona mnyonge sana,wa chini,hafai kati ya watu, hayo yote ni matokeo ya Mizigo itokayo katika mazingira,adui kama wachawi na mapepo juu ya mwili wake.
3 Bwana akamwuliza Shetani, Je! Umemwangalia huyo mtumishi wangu Ayubu? Kwa kuwa hapana mmoja aliye kama yeye duniani, mtu mkamilifu na mwelekevu, mwenye kumcha Mungu na kuepukana na uovu; naye hata sasa anashikamana na utimilifu wake, ujapokuwa ulinichochea juu yake, ili nimwangamize pasipokuwa na sababu.
Ayubu 2:3

4 Shetani akamjibu Bwana, na kusema, Ngozi kwa ngozi, naam, yote aliyo nayo mtu atayatoa kwa ajili ya uhai wake.
Ayubu 2:4

5 Lakini sasa nyosha mkono wako, uuguse mfupa wake na nyama yake, naye atakukufuru mbele za uso wako.
Ayubu 2:5

🥦Kwa mtazamo wa hapo juu,utagundua *Kila mwanadamu aliye duniani,ana mizigo,awe kanisani au nje ya kanisa ila tunatofautiana aina ya mizigo, kuna mizigo inayokuumiza ila Haikuzuii uzima wa milele,japo yaweza kukukwamisha,na kuna mizigo ambayo inakuzuia moja kwa moja kumuona Mungu* Hapa ndo utaona umuhimu wa Kanisa na watumishi wa Mungu.
🥦Kanisa ni Mahali ambapo tunakuja Kutuliwa mizigo yetu yote, na Neno la Mungu ndilo nyenzo ya kutua mizigo ya watu.
🥦Kwa kadri unavyosikia au nenwa Neno la Kristo,katika uimbaji,kuabudu,kusifu mahubiri vikimnena YESU KRISTO automatically mizigo yako inashushwa, na kwa Kadri yakinenwa matatizo,watu mizigo inaongezeka.
🥦Na hapa ndo Mtihani na Huku kwa wasimamao madhabahuni pa Bwana,mwimbaji,mwombaji,muhubiri Yesu Asikike sana kuliko hali,vitu na maisha. Mizigo itatuliwa.
*_Msingi wa Somo_*
👉 _Maisha ya wokovu ni safari yenye mwanzo wa safari na mwisho wa safari._ *Nami niliaminilo ndilo hili, ya kwamba yeye aliyeanza kazi njema mioyoni mwenu ataimaliza hata siku ya Kristo Yesu; Wafilipi 1:6*
👉Na mfumo wa safari ya wokovu kuna vituo rasmi na vituo visivyo rasmi, kila kituo kina mchango wake katika safari yako. ( *_Vipo vituo vya kupumzika na kustarehe,vituo vya uchungu, vituo vya kujifunza, vituo vya kukatisha tamaa,na vituo vya kutiwa moyo na nguvu_* vyote vipo katika safari yako moja ya wokovu.)
*58 Basi, ndugu zangu wapendwa, mwimarike, msitikisike, mkazidi sana kutenda kazi ya Bwana sikuzote, kwa kuwa mwajua ya kwamba taabu yenu siyo bure katika Bwana. 1 Wakorintho 15:58*
👉Uwezo wa kutambua utofauti wa vituo katika safari,ndiyo nguvu yako ya kufika mwisho wa safari yako salama.
20 Bwana akasema, Mimi nimewasamehe kama neno lako lilivyokuwa;
Hesabu-Numbers 14:20

21 lakini hakika yangu, kama niishivyo, tena kama dunia hii nzima itakavyojawa na utukufu wa Bwana;
Hesabu-Numbers 14:21

22 kwa sababu watu hawa wote, ambao wameuona utukufu wangu na ishara zangu, nilizozitenda huko Misri, na huko jangwani, pamoja na haya wamenijaribu mara hizi kumi, wala hawakuisikiza sauti yangu;
Hesabu-Numbers 14:22

23 hakika yangu hawataiona hiyo nchi niliyowaapia baba zao, wala katika hao wote walionidharau hapana atakayeiona;
Hesabu-Numbers 14:23

24 lakini mtumishi wangu Kalebu, kwa kuwa alikuwa na roho nyingine ndani yake, naye ameniandama kwa moyo wote, nitamleta yeye mpaka nchi hiyo aliyoingia; na uzao wake wataimiliki.
Hesabu-Numbers 14:24
*KIINI CHA SOMO*
*_4 Tena angalieni merikebu; ingawa ni kubwa kama nini, na kuchukuliwa na pepo kali, zageuzwa na usukani mdogo sana, ko kote anakoazimia kwenda nahodha.Yakobo 3:4_*
👉 _Katika somo letu kuna mambo muhimu kama 5 unapaswa kuya fahamu vema ili somo hili liwe baraka na nguvu na ufunguo wa maisha yako ya kiroho na kimwili_
1⃣Kujenga moyo wako.
2⃣Kujenga Nafsi yako
3⃣Uwezo
4⃣Kuto yumbishwa
5⃣Tufani yoyote
👉 *Kujenga Moyo wako* ni kuuzoeza moyo wako ambao ni Kisima cha Maamuzi, Kujua kuwa Mfumo wa maisha yako Unaratibiwa na Mungu na si Mazingira wala Mtu yeyote na kwa maana hiyo *Hakuna mwenye uwezo wa kubadiri Hatima yako* iliyopangwa na Mungu.
*23 Linda moyo wako kuliko yote uyalindayo; Maana ndiko zitokako chemchemi za uzima. Mithali 4:23*
👉 *Kujenga Nafsi yako* Ni Kuizoeza Akili yako ambayo ni Lango(barabara) ya Matukio yote yatokayo katika milango mitano ya fahamu kuupelekea moyo ufanye maamuzi,kujua yakuwa Si kila Tukio uonalo lina Maana, Si kila sauti(maneno)usikiayo yote yanakufaa wewe,sikila hisia zikujiazo ni sahihi bali Kila jambo lina maana yake kwa muda wake CHAMBUA LA KUKUFAA.
*3 Lakini nachelea; kama yule nyoka alivyomdanganya Hawa kwa hila yake, asije akawaharibu fikira zenu, mkauacha unyofu na usafi kwa Kristo 2 Wakorintho 11:3*
👉 *Uwezo* ni Nguvu ya kubeba mazito yanayokulemea moyoni na akilini na ukaonekana hukubeba kitu,pia ni nguvu ya kufanikisha lengo lako katika vikwazo vingi, nguvu inayo kusaidia kunyamaza wakati unatakiwa kusema, na kusema wakati unatakiwa kunyamaza( *Huo ndio Uwezo*)
1 Mara kulipokuwa asubuhi wakuu wa makuhani walifanya shauri pamoja na wazee na waandishi na baraza nzima, wakamfunga Yesu, wakamchukua, wakamleta mbele ya Pilato.
Marko 15:1

2 Pilato akamwuliza, Wewe ndiwe mfalme wa Wayahudi? Akajibu, akamwambia, Wewe wasema.
Marko 15:2

3 Nao wakuu wa makuhani walikuwa wakimshitaki mambo mengi.
Marko 15:3

4 Pilato akamwuliza tena akisema, Hujibu neno? Tazama ni mambo mangapi wanayokushitaki!
Marko 15:4

5 Wala Yesu hakujibu neno tena, hata Pilato akastaajabu.
Marko 15:5
👉 *Kutoyumbishwa* Ni namna unavyozidi kukaa katika Tumaini,Imani yako,lengo lako pindi inapotokea chamgamoto za kiroho au kimwili,au kimazingira za kukutoa katika Njia yako.( *To Stay Focused No Matter what circumstances  come across*) huko ndo kutoyumbishwa.
👉 *Tufani yoyote* Tufani ni chamgamoto,vikwazo,hali ya kukatisha tamaa,hali ya kuleta uzuni, vitu vyote vinavyo tishia Hali yako ya uthabiti na kufanikiwa na kusonga mbele ni *Tufani* Usiyumbishwe.
31 Saa ile ile Mafarisayo kadha wa kadha walimwendea, wakamwambia, Toka hapa, uende mahali pengine, kwa sababu Herode anataka kukuua.
Luka 13:31

32 Akawaambia, Nendeni, mkamwambie yule mbweha, Tazama, leo na kesho natoa pepo na kuponya wagonjwa, siku ya tatu nakamilika.
Luka 13:32
👉 *_Kutoyumbishwa siyo kiburi,siyo dharau ni uwezo wa kupangua hoja dhaifu zinazo lenga kukudhahofisha utoke kwenye lengo la tumaini la wito wako_*
👉Sasa waweza kujua na kuona wapi tunaelekea katika somo letu na sasa utakuwa na hamu ya kusogea hatua nyingine ili uwe hodari katika maisha yako ya kiroho na kimwili. _Andiko letu kuu tulisome ili tuanze uchambuzi_
*4 Tena angalieni merikebu; ingawa ni kubwa kama nini, na kuchukuliwa na pepo kali, zageuzwa na usukani mdogo sana, ko kote anakoazimia kwenda nahodha.Yakobo 3:4*
👉Yakobo kuna kitu kikubwa hapa anajaribu kukifunua na kutupa ufunuo mpya kupitia chombo( *Merikebu, Usukani na Bahari na mawimbi yake na Nahodha*) hapa kuna siri kubwa ya maisha ya kiroho ukielewa itakusaidia sana.
👉 *Naodha* ndiye mwenye nia na lengo la safari yake inaanzia wapi na kuishia wapi. ( _Nahodha ni wewe mtu wa Mungu_)
👉 *Merikebu*  ni chombo kinacho beba abiria(watu)ambao imewapasa kutoka eneo moja kwenda lingine( _Chombo ni Wokovu wako_) na abiria ni mfumo wako wa maisha kama( Ndoa,uchumi,afya,elimu,huduma,nk)ambayo vipo kwenye Merikebu kubwa ya wokovu inabidi vifike salama mwisho wa safari yako Nahodha.
👉 *Usukani* _Uwezo wako_ wa Kiroho na Kiakili wa kuratibu mambo,kusikiliza,kuona,kuhisi na Ukayatolea maamuzi kwa kadri ya Nia yako,imani yako mbele za Mungu bila Kubadirishwa na Mazingira,watu,hali ili ufike uliko kusudia,uishi sawa sawa na ulivyo kusudia.
👉 *Bahari* ni ulimwengu huu ambao tunaishi wenye *Mawimbi* maudhi,vikwazo,changamoto nyingi.... Laini *_Nahodha anakokusudia kwenda anakwenda_* pamoja na misukosuko yote ya mawimbi,merikebu haifuati mawimbi ila inafuata Usukani ulioshikiliwa na Nahodha mwenye lengo la Merikebu inaenda wapi.
👉Katika safari yoyote ya kimaisha,ili usiharishe safari au kwenda mwelekeo ambao *Hukukusudia kwenda* tambua kuwa *_Si kila anayekuona kwenye safari anajua ulianzaje safari,nia ya kusafiri ni ipi, unasafiri na nini(ulivyo beba)na unaelekea wapi mwisho wako_* hivyo huna haja ya kupambana na msafiri mwenzako,kudharau,au kumuona kawaida, unamjua ni msafiri kwenye gari moja ila hujui ni nani katika safari hiyo,umuhimu wake kwako na anaishia wapi.
👉 Abiria wengine *Ni wezi, wengine  wana uwezo na taaluma ya Uokoaji pale chombo kinazama,wengine ni wabishi na wakorofi,wengine ni watu wema tu* hao wote ili ufike salama lazima ujue kucheza kwenye maeneo yao kulingana na hali zao.
👉 Kwa *Abiria wezi* tunza mizigo yako vizuri(na nena kwa habari ya mambo ya kiroho)
👉Kwa *Abiria wakorofi na wabishi* Kaa Kimya Usijibu hoja zao, utaharibu Radha ya safari yako na utaonekana nawe ni mpumbavu kama alivyo mpumbavu. ( *_Watu Dhaifu ujibu kila Neno, watu Hodari Unyamaza ili kupata hekima ya Kujibu sahihi_*)  Kanuni hii usipo ijua kiroho utakuwa mtu wa Kurudi nyuma kiimani kila mara.
👉 Kwa *Abiria wenye uzoefu wa uokoaji* Huwezi kuwajua mpaka itokee dhoruba na upate matatizo ya kuzama na wakuokoe katika kuzama( _Kwa maana hiyo hapo Unahitaji kutengeneza sura ya amani kwa kila mmoja,usiwe Kero kwa abiria wenzako safarini,maana nani wa kukuokoa humjui_) wezi hawajulikani,na waokokaji hawajulikani ila wakorofi na wabishi hujionyesha kwa maneno yao ndani ya merikebu.
48 Yesu akamwambia, Yuda, wamsaliti Mwana wa Adamu kwa kumbusu?
Luka 22:48

49 Na wale waliokuwa karibu naye walipoona yatakayotukia, walisema, Bwana, tuwapige kwa upanga?
Luka 22:49

50 Mmoja wao akampiga mtumwa wa Kuhani Mkuu, akamkata sikio la kuume.
Luka 22:50

51 Yesu akajibu akasema, Mwe radhi kwa hili. Akamgusa sikio, akamponya.
Luka 22:51
👉 Kwa *Abiria waungwana* kaa nao kwa sura ya uungwana maana hao ndiyo wanaoifanya safari yako Usiboreke.( *_hawa hawanaga muda na mambo ya watu,wao wanamuda na mambo yao,hata itokee nini wao kimyaa safari iende hadi mwisho_*
👉Unapaswa kujua anayejua *Thamani ya safari yako,na mizigo muhimu uloibeba ni wewe mwenyewe* wala si Abiria mwingine, ndo maana Abiria aweza kukanya mzigo wako,begi lako ili avuke apite atoke nje,maana hajui ukicho beba, yeye anaona ni gunia,au begi tu la kawaida, wewe huoni begi, *Unaona vitu vya thamani na muhimu ulivyo beba* Unaangaika kulikwepesha begi lisikanyagwe au kurushwa rushwa Ovyo.( *_Thamani ya wokovu wako na huduma yako, maisha yako unaijua wewe,kwepesha kwepesha wasiojali wasikanyage au kurusha rusha ovyo_*)
17 Basi, wapenzi mkitangulia kujua hayo, jilindeni nafsi zenu, msije mkachukuliwa na kosa la hao wahalifu mkaanguka na kuuacha uthibitifu wenu.
2 Petro 3:17

18 Lakini, kueni katika neema, na katika kumjua Bwana wetu na Mwokozi Yesu Kristo. Utukufu una yeye sasa na hata milele.
2 Petro 3:18
*ILI USIENDELEE KUYUMBISHWA KATIKA SAFARI YAKO YA WOKOVU NA MAISHA JIULIZE MASWALI HAYA*
1⃣ Kwa nini nilianza safari hii?(huwezi ishia njiani au kupotezwa njia na wapuuzi kama unajua Lengo la kuanza safari hiyo na umuhimu wa kule uendako)
2⃣Nimeanza safari na nani? (hapa utajua safari inakuhusu wewe na si watu wengine) hii itakulinda usikatishwe tamaa na abiria waendao karibu hawafiki mwisho wa safari
3⃣Jiulize abiria wote ni kama mimi? (utajua kuwa abiria wanatofautiana sana pamoja nakuwa gari moja ila tabia ni tofauti) Hii itakusaidia usiangaike na abiria na kuumiza kichwa na tabia zao safarini angaika na uwezekano wako wa kufika salama(Vumilia maudhi niya muda, wengine wanaishia njiani,wengine wanapita kwenda kaa nyuma kabisa mbali nawe)
👉Jambo muhimu na la pekee ni muhimu kujua *Tumaini /lengo la wito wetu, halibadirishwi na mazingira,au kelele za watu tunaosafiri nao, bali tumaini letu linabatilika kwa maamuzi yetu wenyewe ya kukubali kukata tamaa na kurudi nyuma*
25 Usiogope hofu ya ghafula, Wala uharibifu wa waovu utakapofika.
Mithali 3:25

Kwa kuwa Bwana atakuwa tumaini lako, Naye atakulinda mguu wako usinaswe.
Mithali 3:26

Maana bila shaka iko thawabu; Na tumaini lako halitabatilika.
Mithali 23:18
👉Uongoze moyo wako( *wewe mwenyewe*) usiruhusu mazingira au mtu mwingine nje na Bwana na neno lako wauongoze watakavyo wao utaishia njiani.
19 Sikia, mwanangu, uwe na hekima, Na kuuongoza moyo wako katika njia njema.
Mithali 23:19

Basi utaijua hekima kuwa tamu kwa nafsi yako; Ikiwa umekwisha kuiona; Ndipo itakapofuata thawabu; Wala tumaini lako halitabatilika.
Mithali 24:14.
*_Nimalize kwa kusema hivi, katika maisha ya kiroho au ya kimwili kuna vitu viwili au vitatu vikuu vyenye uwezo mkubwa wa Kuathiri Maisha yako yote mpaka unaondoka duniani_*
1⃣ *Adaptation*
2⃣ *Revolution*
3⃣ *Unique*
👉 *Adaptation* You lose your characters, Qualities then you absorb of other people( _Yaani unapoteza sifa zako na tabia zako unaanza kuishi za wengine_) Kuwa makini na adaptation inaweza kukugharimu pale itakapo hitajika uhalisia wako wewe kama wewe na si wa mazingira kutatua changamoto mbele yako.
👉 *Revolution*  Ambition,and struggle to change the existing system to follow your perception /desires ( _Yaani unafanya harakati na unatamani ugeuze mazingira au watu wawe kama wewe au upendavyo_) Hii ni nzuri sana ila hakikisha ulivyo unafaa mazingira yote na rika zote na hali zote na wewe una vitu muhimu vya kusaidia wengine. Ila utatumia nguvu kubwa sana na unaweza umia na kupiteza baadhi ya vitu vyako muhimu.
👉 *Unique* To be distinguished from other people, to possess your  own characters.( _Yaani maisha ya upekee sawa sawa na ulivyoumbwa,ulivyo chagua uwe sawa sawa na Nature yako_) Hii itakusaidia usigongane na watu,usiwe na stress utaenjoy maisha yako..
*_Imeandaliwa na Ev Elisha Kazimoto_*
         Whatsapp 0755444078

Saturday, 15 September 2018

VITA YA KIROHO NA KISAIKOLOJIA

💣💣 *UNAWEZA KUSHINDA VITA YA KIROHO ILA UKASHINDWA VITA YA KISAIKOLOJIA(ENVIRONMENTAL PRESSURE )*💣💣
    *_Na Ev Elisha Kazimoto(WhatsApp 0755444078)_*
.......
.......
_Shalom mtumishi wa Bwana,wewe uliyeokoka ni mwana wa ufalme wa Mungu,na ni Askali wa kiroho katika jeshi la Bwana,nakusalimu katika jina la Bwana_
🔫Moyoni mwangu limewekwa neno hili kwa nguvu sana,niseme nawe uliye mtumishi wa Bwana na muhudumu wa Madhabahuni pa Bwana,kwanza wewe ni wa muhimu katika ufalme wa Mungu,pili wewe ni mtu hatari sana katika ufalme wa giza,tatu Vita yako na mawindo yako hayapangwi kireja reja yanakuwa *_Carefully,Systematic Organized_* sijui kama umeelewa, yaani yanakuwa yanaandaliwa kwa Umakini mkuu,na kwa mpangilio maalumu na balaza la kuzimu la shetani.
🔫Unajua kwa nini vita ya mtu wa Mungu,mtumishi wa Mungu aliyesogezwa katika daraja ka kuwa muhudumu wa madhahuni pa Bwana,vita yake inapangwa kimkakati na utulivu wa hali ya juu sana ili kumnasa? *_Ni kwa sababu, Level yako nirahisi Kumshtukia adui yeyote kwa njia zozote na ukamshinda_* kwa mitego yoote ya dhambi,na ukengeufu wowote ni rahisi kuushutukia ukiletwa kwako. _kwa hiyo wewe unaletewa vita ya Kisaikolojia(Environmental Pressure )ambayo inaambata zaidi na *Nature yako/Personality & Character /Mfumo wa mazingira yako* yaathiri saikolojia yako ili ikupelekee Kukosa_
💣Nisikilize nikupitishe kwa watu hawa ambao ilikuwa ni *Vigumu shetani kuwa kosesha,kulingana na viwango vyao vya kumjua Mungu na nafasi zao mbele sa Mungu* ila Adui alitumia Saikolojia (Environmental Pressure )kuwakosesha, si semi kukuvunja moyo,au kuhalalisha kushindwa,ila NAKUTAADHARISHA kama mtumishi wa Bwana,na mtu wa vita ujipange kushinda kote kote kiroho na kisaikolojia. Tuna watumishi wengi Kiroho wako vizuri sana na adui anajua hilo,ila Kisaikolojia ni wadhaifu,kwa hiyo muda wowote faulu inaweza chezwa maishani mwao kupitia saikolojia na mambo mengi yakaenda ndivyo sivyo,hawajatenda dhambi,bado wako na Mungu ila Wamepunguzwa kasi kisaikolojia.
1⃣ *Musa* ni miongoni mwa wanadamu wenye sifa pekee ya kuongea na Mungu *Uso kwa uso* mtu wa aina hii kumkosesha ni vigumu mpaka utumie NATURE( environmental pressure ). Katika upako wake ule ule, *_Aliambiwa na Mungu auambie mwamba utoe maji Israeli wanywe, yeye Akaupiga kwa fimbo mara 2_*
7 Bwana akasema na Musa, akinena,
Hesabu-Numbers 20:7

8 Twaa ile fimbo, ukawakusanye mkutano, wewe na Haruni ndugu yako, ukauambie mwamba mbele ya macho yao utoe maji yake, nawe utawatokezea maji katika mwamba, na hivyo utawanywesha maji mkutano na wanyama wao.
Hesabu-Numbers 20:8

9 Musa akaitwaa hiyo fimbo kutoka mbele za Bwana kama alivyomwamuru.
Hesabu-Numbers 20:9

10 Musa na Haruni wakawakusanya kusanyiko mbele ya mwamba, akawaambia, Sikieni sasa, enyi waasi; je! Tuwatokezee maji katika mwamba huu?
Hesabu-Numbers 20:10

11 Musa akainua mkono wake akaupiga ule mwamba kwa fimbo yake mara mbili; maji yakatoka mengi, mkutano wakanywa na wanyama wao pia.
Hesabu-Numbers 20:11

12 Bwana akamwambia Musa na Haruni, Kwa kuwa hamkuniamini mimi, ili kunistahi mbele ya macho ya wana wa Israeli, basi kwa sababu hiyo, hamtawaingiza kusanyiko hili katika ile nchi niliyowapa.
Hesabu-Numbers 20:12
👉👆Kosa la Kisaikolojia lilifanyika hapa ndo likapelekea kosa la Kiroho kuto mtii Mungu. Sababu ya Musa kupiga Mwamba mara 2 badala ya kuuambia mwamba ni( *Environmental Pressure*) Maudhi ya watu kwenye mazingira,kumbuka wako mwilini(upako wako haukuondoi mwilini,haukufanyi usisikie,usione, ila unaweza kukusaidia kukwepa matokeo yakusika,na kuona)sasa inategemea Unaijuaje saikolojia yako katika mazingira yenye changamoto ndo Uiombee isivurugwe. Kilichofanyika kwa Musa na Haruni ( *Walipata Stress kutoka kwa watu*)Matusi,dharau,kelele tunataka maji,tunataka maji, mmetuleta kutuua, wakati hawa wanaowaongoza wamejitoa muhanga kwa Farao kwaajili yao,wamefanya mambo mengi wakati wako jangwani,lakini bado *_People they are shouting to them as the useless leaders_*  Sasa kutibu Stress yao Musa na Haruni ilibidi ifanyike powerful Reaction, Majibizano yakuonyesha how strong and important they are kwa watu ili Saikolojia zao zikae sawa ndo waendelee na safari. Wakapiga mwamba mara 2 na maji yakatoka,wakanywa, heshima yao ikarudi,wakaonekana katika sura waliyotaka wao waonekane wasidharauliwe,lakini kumbe wakawa wameharibu Destiny  yao. _Kwenye maisha si kila mara utashambuliwa kiroho *Unaweza shambuliwa kisaikolojia ili ukosee kiroho* Kuwa makini na Nature yako ni ipi( Hasira,Kutokubali kushidwa,Mwongeaji sana,Mwoga,nk)vyaweza kukufanya ushambuliwe kisaikolojiana ukakosea kiroho._
2⃣Mtu mwingine ni *Eliya* huyu ni mtu hatari sana katika huduma yake,ni mmoja wa Manabii wenye nguvu aliye mkabili mfalme Ahabu,akafunga mvua isinyeshe kwa muda wa miaka 3.5 na akairuhusu ikanyesha,na akawachinja Manabii wa Bahali 450 mwenyewe. Mtu huyu ni vigumu kumtikisa kiroho, *_Nabii huyu alishambuliwa Kisaikolojia na Mwanamke mmoja, Yezebeli mke wa mfalme Ahabu,kwakumtumia ujumbe kuwa,kesho nakuchinja kama ulivyo chinja manabii wangu 450_* Taarifa hii tu,ilichanganya Eliya kisaikolojia( Hii ni *Environmental Prsussure*)akaamua kukimbia kwa hofu na kujiombea kifo kwa Mungu. Swali,Je, waweza amini mtu aliye mkabili mfalme,kufunga mvua na kuiruhusu,kuchinja manabii 450 peke yake anaweza leo letewa taarifa ya mwanamke kuwa kesho atamuua naye Akakimbia? *Jibu si kwamba hakuwa na Imani, alipata Psychological Attacks* kutoka kwenye mazingira,reaction ikawa ni kuponya roho yake.
1 Basi, Ahabu akamwambia Yezebeli habari ya mambo yote aliyoyafanya Eliya, na jinsi alivyowaua manabii wote kwa upanga.
1 Wafalme 19:1

2 Ndipo Yezebeli akampelekea Eliya mjumbe, kusema, Miungu wanifanyie hivyo na kuzidi, nisipokufanya roho yako kesho, panapo wakati huu, kama roho ya mmojawapo wa hao.
1 Wafalme 19:2

3 Naye alipoona hayo, aliondoka, akaenda aihifadhi roho yake, akafika Beer-sheba, mji wa Yuda, akamwacha mtumishi wake huko.
1 Wafalme 19:3

4 Lakini yeye mwenyewe akaendelea katika jangwa mwendo wa siku moja, akaenda akaketi chini ya mretemu. Akajiombea roho yake afe, akasema, Yatosha; sasa, Ee Bwana, uiondoe roho yangu; kwa kuwa mimi si mwema kuliko baba zangu.
1 Wafalme 19:4

5 Naye akajinyosha akalala chini ya mretemu; na tazama, malaika akamgusa, akamwambia, Inuka, ule.
1 Wafalme 19:5
👉Shambulio la Kisaikolojia linakupata kama wanadamu wa kawaida, siyo kama mtumishi wa Mungu,likikupata tafakari kabla ya maamuzi yoyote,Tafuta connection kati ya saikolojia yako na Roho yako ndo ufanye maamuzi,ila ukijiona kwakuwa mimi nimeokoka,natumika,ni mtumishi mkubwa,siwezi kushambuliwa kiroho ni kweli we kiroho ni vigumu kushambiliwa, Kisaikolojia je? Maana wee bado ni binadamu kama wengine,unasikia,unaona,unasema,Unaumia,unapenda kama binadamu huko ndo unashambuliwa,fanya maamuzi yako yoyote kwa kutuliza saikolojia yako kwanza Utatenda kwa Busara sana,utashinda vita nyingi mno.
3⃣Mtu wa tatu na mwisho katika ujumbe huu(japo wapo wengi ) ni *YESU KRISTO* Hapa ndipo utaona Ukubwa wa Vita ya Kisaikolojia katika maisha ya watumishi wa Mungu(Tunao simama madhahuni) _Yesu alikuwa mwanadamu kwa asilimia kadhaa,(kwa kuwa aliuvaa mwili huu wetu,na kuishi duniani kama sisi miaka 33)na alikuwa Mungu asilimia kubwa kwa kuwa alikuwepo tangu milele,nakuzaliwa kwake hakukuwa kwa hatua za kibinadamu(Yohana 1:1-5),na Yesu alikuja duniani Akijua kabisa ninakuja kuokoa wanadamu kwa njia ya mateso na kufa msalabani,na kufufuka siku ya 3._ kwa hiyo Yesu kwa lugha nyingine alikuwa anaishi akijua mwanzo na mwisho wake,siyo kama sisi tunaoishi kwa imani tukitazamia mwisho wetu kwa imani,no.... yeye alijua kila hatua,anayopitia,nani atahusika na atakuwaje mpaka mwisho.
👉Yesu huyu huyu(Mwana wa Mungu/Mungu mwenyewe)katika mwili alikutana na *_Shambulio la kwanza la kiroho-akiwa kwenye maombi siku 40_* MATHAYO 4:1-10 Alilipiga kiurahisii kwakuwa lilikuja kiroho naye kiroho ni chuma.
👉Shsmbulio la pili kwa *_Yesu lilikuwa la Kisaikolojia(Hisia za uchungu na mateso)alipo enda kuomba wakati saa inakaribia ya kukamatwa na kuteswa ili atimize kusudi lake, aliogopa,akaomba maombi haya "Baba Ikiwezekana Kikombe hiki kiniepuke...."_* Hapa alikuwa anapambana na Environmental Pressure(Mwili ulikuwa una sense maumivu ya mateso yatakavyo kuwa)Akili ikaanza kusoma kukwepa dhoruba hiyo,....Ila *Yesu alitulia,aka connect Saikolojia yake akairudisha kiroho akapata jibu,papo hapo akabadiri maombi akasema, "Si kama ni takavyo mimi bali mapenzi yako yatimizwe"* 

Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe.
Mathayo 26:39

hiyo ndo tofauti ya walioshindwa na akiye shinda.
_Nimalizie kwa kusema watumishi wa Mungu,tupo katika dunia yenye *Pressure kubwa* juu ya sakolojia zetu, katika mwili tulio nao Tumevaa saikolojia ya Hisia(hasira,furaha,uzuni,uchungu na kupenda) Tulia sana,sana katika kufanya maamuzi ya maisha yako popote pale(Ukiroho Hauondoi Nature yako,ila unaweza kukusaidia kufunika Nature yako ukitulia vizuri na kujitambua wewe una React vipi katika changamoto zinazo shambulia maisha yako,status yako,kazi yako,huduma yako,ndoa yako ndo uombe Mungu akusaidie kutulia kabla ya kufanya maamuzi,yawe ya vitendo au ya Maneno,waweza hisi adui anakuandama kumbe uwezo wako wa Ku Control Nature yako wakati wa shambulio la Kisaikolojia ni Mdogo_.
*Mungu akubariki,ukiyajua haya,nyumbani kwako,kwenye ndoa,kazini,kwenye huduma yako utakuwa mtu wa pekee sana.*
Imeandaliwa na Ev Elisha Kazimoto
WhatsApp 0755444078
Facebook Elisha kazimoto.

Monday, 10 September 2018

WADADA KUWA SINGLE MOTHER

*Swali: hili limeulizwa lina jibiwa na Mchambuzi wa Masuala ya Mahusiano na Ndoa*
.kumekuwa na wimbi LA mabinti nawaskia wanasema wanataka kuwa single parents, kwba wazae tu watoto wao na wawalee na wasiwe na attachment yoyote ya mume na mke,

1. Je ni kwamba wadada hao hawataki kuolewa
2. Je ni kwamba wanapeda kuolew ila wanaume wanakataa kuwaoa
3. Je wamekosa wa kuwaoa?
4. Je km MTU anahiari kuzaa zao ni kwanini wasiishi pamoja?

Note: walio wengi ni wadada wanaofanya kazi za kuajiriwa au kujiajiri
........................................
*_Ev Elisha Kazimoto,Whatsapp 0755444078_*
*Kwanza hii lugha ya Single Mother ni ya Ushetani,upagani na Ukengeufu*
👉Huu ni uhuni,uasherati wa machukizo kwa Bwana.
👉Unaanzaje kuzaa bila ndoa?, unakusudia kulea mtoto peke yako hivi utamlea katika njia zipi?naye akuwe awe single mother au father? Mungu alikusudia malezi ya baba na mama(mithali 22:6).
👉Suala siyo sababu ya msingi ya kuhitaji kuwa Single mother, shida ni Vijitabia vinavyo chipuka baada ya kuanza kuona Nuru ya Uchumi mzuri na Umaarufu
1⃣Wadada wengi wakisha kuwa na elimu au pesa WANAOTA VIBURI na kujiona wanaweza endesha maisha,hawahitaji kuwa chini ya mtu,wanahitaji uhuru sana,hawahitaji kunyenyekea mtu,(hicho ndo kiburi cha wadada) *_Ndo maana hawataki kuolewa,maana ndoa kanuni yake lazima uwe chini ya mwenzako(mwanamke)_* hutaki kuww chini ya mwenzako Usiolewe.
*_16 Akamwambia mwanamke, Hakika nitakuzidishia uchungu wako, na kuzaa kwako; kwa utungu utazaa watoto; na tamaa yako itakuwa kwa mumeo, naye atakutawala. Mwanzo 3:16_* wanawake baadhi waliosoma na kuwa na vijisenti hawataki kutawaliwa Wanahitaji watawale kwakuwa wamepata pesa au umaarufu.
👉Angalia wimbi kubwa la *Wadada/Wamama WAIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI,angalia niwangapi wapo kwenye ndoa,wangapi wanahitaji ndoa,wangapi WAMEWAACHA WAUME ZAO na kuwa Single mother na kujiita MADAM....,hawa watu hawajawahi kuokoka ila WALIOKOKESHWA na mazingira,ila ukija kufatilia kiundani, ni KIBURI kwa waume zao,hawahitaji kutawaliwa,kupangiwa ratiba, wanahitaji waende sawa sawa na umaarufu wao* Wengi waimbaji wanajiita Madam,Single mother, ila ni Vijitabia vyao ndo vimewapelekea kuachika,SIYO USUMBUFU WA WANAUME ila wao ndo wasumbufu. _Hivi wanaume wa waimbaji wote wa nyimbo za injili ndo wasumbufu tu_‼kama hawajaachika,wana mgogoro mkubwa wa ndoa. (Hapa kunahitajika tafakari kubwa siyo kurusha mpira kwa mtu)
👉 *_Ndoa niya watu wawili wenye Akili Timamu_* akisha patikana mmoja mwenye kichaa,inabidi mmoja aongeze uwezo zaidi mara mbili ya mwanzo ili kutuliza kichaa cha mmoja.
2⃣Si kwamba Wanaume wa kuwaoa hawapo wanaume wapo wengi, *Ila wanaume wa kuoa wadada wa type ya tabia zao hawapo* Labda kuwasaidia wadada,wanaume hawaoi Sura,wala shape,wala elimu yako na pesa, wanaoa Mke anayefaa kuishi naye wakatimiza ndoto zao za maisha. Sasa mtu wa kutimiza ndoto za mwenzake lazima awe amejipanga kwa NIDHAMU(Awe na akili timamu)ya kutotanguliza maslahi yake ila ya mwenzake.
3⃣Wanaokubali kuzaa nao hawawezi kuwa walezi, *Mnapaswa kujua kuna watu wanafaa kwa Sex ila si kwa Ndoa, na wengine wanafaa Kwa ndoa ila si sex* ( _Mpaka utafakari sana ndo uelewe sentensi hii ya kisaikolojia_). Kwa hiyo wanaume hawazai nao kwasababu wanahitaji kulea watoto nao ila kwasababu Wanaweza kutimiza Tamaa zao za sex za muda mfupi bure bila kuonga ila kuongwa.
*_Nihitimishe kuwa, wadada wenye mawazo haya na wale mlojichomoa kwa waume zenu mna Laana kubwa ya Matumbo yenu,hampaswi kuwaza kuzaa wala kulea watoto Hamna Maadili ya Kulea_* Msituharibie kizazi cha kesho Rudini kwa Mungu Mfuate neno la Mungu kama mmeamua Kuokoka, kama hamkuamua kuokoka basi jivueni hilo jina la ULOKOLE.
_By Ev Elisha Kazimoto(Mjumbe Mkali - Mithali 17:11)_
WhatsApp 0755444078
Facebook Elisha Kazimoto.

Friday, 7 September 2018

WAIMBAJI NA NDOA

💔💔 *CHANGAMOTO YA WAIMBAJI KATIKA NDOA*💔💔
*_Swali linaulizwa,na linajibiwa na Mchambuzi wa Masuala ya Mahusiano na Ndoa, Mwanasaikolojia Ev Elisha Kazimoto(Mjumbe Mkali- Mithali 17:11)_*
...........
...........
salaam mwalim wa class

Kabla sjaokoka nilioa baadae nikapata neema ya wokovu mimi na mke wangu
tuumeenda na kuzaa watoto wa 3
maisha yalikua poa tu
teacher kilicho tokea mpaka tumetengana na mke wangu ni hiki

mke wangu ali record albam ya nyimbo 9 tumekua begakwa bega nae
mpaka siku yauzinduzi wa albam yake
ugomvi ulianzia kat yangu na baba mkwe kunitaka nitoe laki7
akidai yeye anagalimia shorting na matangazo kwenye Radio
nika mwambia mzee iyo pesa sina ila ninalak 3 tu akakasilika na kuonda kwa mchungaji wangu nakunisemea nina kibuli simsikilizi
mbaya zaidi anamwambia mchungaj mimi sio type ya kumuoa mtoto wake
mi nimka vumilia mpaka siku ya uzinduz
sasa baada ya uzinduz mke akagomewa kuja kwangu baba mkwe akidai kwa binti kua anakuja kuitajilisha familia yangu
baada ya mwezi mke aliludi akakaa kidogo akarudi tena kwao mpaka leo ajarudi

binti anadai misiwezi kuja kwako wewe umskilizi baba yangu na ulinioa bahat mbaya tu
mi si type yakuolewa nawe

teacher nambie nifanyaje

je pana wokovu kweli apo
maana anaendelea kuimba makanisa mbalimbali

naomba ushauri wako mwalimu wangu

kazi njema😭😭
..................................
..................................
*Anajibu Ev Elisha(Whatsapp 0755444078)*
...................................
*HUYU NI MGONJWA MAHUTUTI, TUFUNGE MADA KWA KUMSAIDIA KIROHO NA KISAIKOLOJIA*
_Kwanza kijana nampa polee kwa changamoto hiyo ya ndoa,Lakini pia nampa polee kwani alikuwa mpagani akaokoka akitegemea akiokoka anatua mizigo,bahati mbaya mke,na mkwe wake wakamtwika nyingine ila Asikate tamaa Bado Liko Tumaini kwa Bwana_
👉Ni seme na mke, kwanza mwanamke huyu amegeuka kuwa miongoni mwa WANAWAKE WAPUMBAVU(MITHALI 14:1) yaani ni miongoni mwa wadada ambao HAWAKUSTAHILI KUOLEWA na mtu yeyote maana,hawajui Thamani ya mume,thamani ya Ndoa,thamani ya Malezi ya watoto(unaachaje watoto walelewe na mzazi mmoja kisa pesa za uzinduzi) na thamani ya Wokovu(Kwa lugha nyingine Huyu mmama ALISHAACHA WOKOVU,NI MPAGANI,HAJUI MAANDIKO,HAJUI MAANA YA HUDUMA ya Madhabahuni.(Tafuta google Semina yangu ya masomo 11,shemu 1 hadi ya 11 kuhusu Utumishi wa Kweli katika Kristo Yesu, Huduma ya Madhabahuni)-By Ev Elisha Kazimoto)andika MATERIAL ADIMU
👉Tendo la kuruhusu moyo wako ufanye maamuzi ya kutoka kwa mme wako bila kufukuzwa,bila ugomvi, kisa ni PESA ZA UZINDUZI WA ALBUM(Huduma)huu siyo Uchanga kiroho ila ni UKENGEUFU WA MOYO.
👉Huduma unayopigania kuifanya,hiyo ni huduma ya 2 kwako, HUDUMA YA KWANZA NI NDOA YAKO(Huyu ni mpagani kabisaa)si kwamba na MUHUKUMU ila ndivyo barua ya Matendo yake inasomwa
*_Ninyi ndinyi barua yetu, iliyoandikwa mioyoni mwetu, inajulikana na kusomwa na watu wote;_*
*2 Wakorintho 3:2*
(Yesu alitwambia tutawatambua kwa Matunda yao)ntawaoa vigezo vya matunda yake.
👉Nimesema huyu mwanamke anamtumikia Mungu gani? Huduma gani anayofanya? Huduma ya kwanza SI UIMBAJI,huduma ya kwanza ni NDOA YAKE.👇👇👇👇
*_34 Tena iko tofauti hii kati ya mke na mwanamwali. Yeye asiyeolewa hujishughulisha na mambo ya Bwana, apate kuwa mtakatifu mwili na roho. Lakini yeye aliyeolewa hujishughulisha na mambo ya dunia hii, jinsi atakavyompendeza mumewe._*
*1 Wakorintho 7:34*
👉Mpaka hapo amekwenda kinyume na Neno la Mungu,amekengeuka, Kwa tabia hii anakazi kubwa ya kupenya katika utumishi, ila nikimtafakari kiroho nakuta ameisha Vamiwa na Maroho yanayowashambulia waimbaji( *_Roho za  Kiburi,Roho ya Tamaa ya Pesa,Roho ya Zinaa_) Mpaka hapo viashiria vya hizi roho zote 3 anazo.(NTALETA SOMO LAKE BY EV ELISHA KAZIMOTO)
1⃣ *Kiburi* Tayari anakiburi kikuu biblia imekiita cha Uzima.Yaani kumgomea mmeo na kurudi nyumbani kwenu,kumshtaki kwa mchungaji kisa pesa hazikukamilika laki 7,yeye amepata 3,ni dharau,ni jeuri ni Kiburi kikuu(hapa hakuna unyenyekevu wowote inaousema Biblia wa mke kuwa nao kwa mmewe.

*_Kadhalika ninyi wake, watiini waume zenu; kusudi, ikiwa wako wasioliamini Neno, wavutwe kwa mwenendo wa wake zao, pasipo lile Neno;_*
*1 Petro 3:1*
👉👆Huyu mwanamke anaweza kumfundisha nini mwanamke mwenye changamoto ya ndoa ambaye mme wake hajaokoka? _Kwanza nachelea kama kati ya hao watoto 3 walozaa kuna wa kike, Anahitaji kuombewa sana maana mama yake amemuharibia SOKO LA KUOLEWA tangu kwenye ulimwengu wa mwili mpaka wa roho.
2⃣ *Tamaa ya Pesa* Hii roho imeisha mvaa tayari,unaweza ona lugha za baba yake ndo za mtoto,baba anasema ukirudi unaenda kuitajirisha familia(yaani wamefanya uimbaji wa huduma kuwa mradi wa biashara)hapo utasema anamtumikia Mungu au anatafuta ugali? na mwanae anakaa HARUDI KWA MMEWE( *Hivi wee mwanamke Umeolewa na Baba yako?*)au ndo tambiko la kuzimu ili utoke kimziki uachane na mme wako ukae na baba yako ndo nyota yako itoke.( _Natamani ujumbe huu umfikie unapozunguka kwenye magroup halafu anitafute ni msaidie, Mauti inamtafuta tena mauti zote ya kiroho tayari alishaanguka bado ya kimwili_) Ndoa ni zaidi ya pesa hizo( *Ka albamu kwanza ni kamoja,anahisi yeye amekuja na upako awafunike watu wenye mafuta ya uimbaji moaka ukitazama sura zao unaona utukufu wa Mungu? Huyu mafuta ni ya magomvi na mafarakano*) Si hitaji kuwa Nabii kwake ila nisemalo ni hili kwa mwendo wake huu,asipo tubu Ataishia ALBUM 1 nayo itakosa soko,kabda ATOE KAFARA KUZIMU WA MWEZESHE ila kwa Mungu ninaye mjua anaye tumia Roho wake mtakatifu kuinua huduma asahau kusonga mbele.
*_Kwa maana Mungu si Mungu wa machafuko, bali wa amani; vile vile kama ilivyo katika makanisa yote ya watakatifu._*
*1 Wakorintho 14:33*
👉Kwa hiyo aimbe ila ajue anaimba chini ya uongozi wa *Roho Chafu/roho Mtakafujo siyo Roho Mtakatifu.* wote wanaoongozwa na Roho wa Mungu hao ndiyo wana wa Mungu.(Warumi 8:14)
3⃣ *Roho ya Zinaa* mpaka sasa roho ya zinaa inamwendesha,aidha inamwandaa vema aitumikie au mpaka hivi ninavyoongea NI MZINIFU WA KUTOSHA.( _Sababu ni kwamba,unatoka kwa mme,tendo la ndoa unashiriki wapi,waweza kutoliona lina umuhimu sasa,ila shetani yupo,washawishi wapo,wengineunaowaita mabosi wako,waimbaji wenzako roho ya zinaa inatembea. Ukikutana mwimbaji mwenye pepo kama lako amemuacha mke wake kisa hawaendani wote mtaanza zinaa chafu_)
👉Wewe mwanamke haya maneno ya kwanza Alikuoa kwa bahati mbaya( *yawe yanasemwa nawe au baba yako*)wote wewe na baba yako mnawokovu wa kifafa, Kama ni kwa bahati mbaya jua wewe mke NDO BAHATI MBAYA(TENA MKOSI) na mwanaume alifumbwa macho kuja kwenye Familia ya watu Wanaoolewa kwa Bahati mbaya si kwa mapenzi ya Mungu,kwa lugha nyingine familia yenu mnahitaji maombi ya ukombozi kuwavua huo ubahati mbaya.
👉Nikuulize imekuwaje Umezaa na mmeo watoto 3 Kwa bahati mbaya? Najua SEX YOYOTE UWA INAFANYWA NA WATU WANAOFURAHIA NA KUPANGA ISIPO KUWA YA KUBAKWA.(nina somo langu la sex siya bahati mbaya niya makusudi kabisa masna ina hatua 11,tafuta google somo hilo by Ev Elisha Kazimoto) ilikuwaje hao watoto 3 mkawazaa kwa bahati mbaya?
👉Kabla ya kuanza kuimba hamkuoana kwa bahati mbaya baada ya uzinduzi ukaanza kujiona kwenye screen na mwenzako haonekani ndo ukahisi alikuoa kwa bahati mbaya.‼
👉Aisee na baba yako hakustahili kupewa uzao,ilibidi Mungu afunge tumbo Lake awe tasa *Maana hana uwezo wa Kulea* baada ya kuzalisha watumishi wa Mungu anazalisha vibaraka wa shetani tena kwa makusudi si bahati mbaya.
*_6 Mlee mtoto katika njia impasayo, Naye hataiacha, hata atakapokuwa mzee._*
*Mithali 22:6*
👉👆 _Haya maneno yaweza kuwa magumu kwa watu wenye roho nyesi,ila kwa watu wa rohoni hii no tiba,kuna watu wanahitaji Kukaripiwa na kuonywa_

*_Nena maneno hayo, onya na kukaripia kwa mamlaka yote; asikudharau mtu awaye yote._*
*Tito 2:15*

👉Kuna watu wanatuchafulia wokovu inatia uchungu. *WAIMBAJI MNATUPELEKA WAPI MNA NINI LAKINI*
1⃣Single mothers wengi ni waimbaji,si kwamba waume wao wamekufa ila WAMEACHIKA(ninyi mna laana ya Lusifa ila hamjui kuikimbia)
2⃣ Wanaoongoza kwa uzinzi na uasherati waimbaji wenye vi Cd na vi DVD(shida ni nini?)
3⃣Wenye kiburi ni waimbaji(mmemuiga Role model  wenu ibirisi eeh) naye alikuwa mwimbaji hatari.
4⃣Wasiofanya kazi za kuwaingizia vipato ila wanazunguka kanisa hadi kanisa kuimba,kuuuza CD,DVD na kuomba pesa baada ya kuimba eti ya nauli na kutegemezwa ni WAIMBAJI, kwa hiyo huduma imekuwa kitega uchumi? Kafanye kazi za kuwaingizia vipato ndo mtatumika bila kutolea macho kikapu cha sadaka.
👉 *_Ndo maana wengi mnatunga nyimbo za ajabu ajabu,siyo za mwongozo wa Roho mtakatifu,mnatunga za mashabiki_*) Badirika.
👉Nije kwa baba wa huyu mwanamke,sijui kama yeye bado yupo kwenye ndoa,ana mkewe bado au walishaachana,au amekufa,maana hata si msikii mama akitoa kauli kwa mwanae kwamba Rudi kwa mmeo. *_Umri mlio nao kama wazazi hata mpka mkaozesha,mnawajukuu huu ni Umri wa Busara_* yaani ilibidi umfukuze mwanao mwambie karudi kwa mmeo.
👉Eti unamsemelea mkweo kwa mchumgaji eti mkweo HAKUHESHIMU kwa pesa tu ndo hakuheshimu,hujui ndoa ni TAASISI INAYOJITEGEMEA, huna Mamlaka YOYOTE ya kunyoosha mkono wala mdomo kwa Ndoa ya mwanao HATA KIDOGO, sijui imani ya dhehebu lako ni ipi...Biblia imesema MTU ATAMWACHA BABA NA MAMA ATAAMBATANA NA MME WAKE/MME WAKE sasa wee unataka mwanao aambatane nawe?kwani wee ndo mmewe na mme wake ndo mzazi?
👉Umejitafutia Laana baba,maana kinachotenganisha ndoa NI KIFO TU(BIBLIA IMESEMA) sasa wewe ni KIFO?
👉Wazazi ni washauri katika ndoa ya mtoto wao SIYO WAAMUZI, waamuzi ni hao wawili waliooana,nimekerwa na lugha ya (UKIMUOA KWA BAHATI MBAYA),hukupokea Mahari,hukufanya harusi,hata kama walibenana hawakuja kujitambulisha walipokuwa bado wapagani?mzee mbona unaaibisha rika yako na wokovu wako..
👉Unataka mkwe wako Akusikilize,akutii....Maandiko ya wapi,yaani umenyosha mkono umegusa ndoa yake akutii na kukuheshimu TENA AMEKUSTAHI NA AMEOKOKA KWELI ungekutana na Wainjilisti ilibidi Uongozwe sala ya Toba upya na kufundishwa neno la Mungu.
👉Pesa unapanga laki 7 atoe,wee unajua kipato chake,hata ungejua kwani hazina matumizi mengine? Na mwenye jukumu la kuhakikisha pesa inapatikana siyo wewe baba ni ULIMI WA MKE WAKE,kama mke amekuwa Jehuri kisa ka album 1,hata hiyo laki 3 ametoa basi tu kwakuwa ameokoka ila ilibidi hata sh 10 asitoe.Maana huduma inayo bomoa ndoa haipaswi kusapotiwa na watu hata mbingu.
👉Mwisho ni mshauri huyo baba, *_Amwambie mke wake aseme kauli ya mwisho anarudi au harudi,na amuulize baba mkwe wake umeamua kunivunjia ndoa yangu?au unamrudisha mke wangu jibu watakalo toa akubaliane nalo atulie amshukuru Mungu,asimame na Yesu wake huyo mke amemwacha mwenyewe soon huyo mwimbaji mtasikia kaolewa, au ndo walee wanaojiita MADAM( nina somo la Unajiita Madam kumbe kahaba umeshimdwa ndoa tafuta google by Ev Elisha Kazimoto). Wakati ukifika Mungu atakuondolea kikombe hicho mbele huko waweza pewa mke mwingine,ila siyo sasa tulia lea watoto wako_
*_Ukikuwa nami mchambuzi wa masuala ya ndoa na mahusiano, Ev Elisha Kazimoto(MJUMBE MKALI -MITHALI 17:11)_*
Whatsapp 0755444078
Facebook Elisha Kazimoto

Tuesday, 4 September 2018

KULIPA MAHARI KUBWA AU NDOGO

💰💰 *TAFSIRI YA MAHARI KUBWA AU NDOGO KATIKA NDOA*💰💰
_Anajibu Mchambuzi wa Masuala ya Ndoa na Mahusiano Mwanasaikolojia_ *Ev Elisha Kazimoto*
Whatsapp 0755444078
.......
.......
*MADA YA MAHARI HII IKO KIJAMII ZAIDI NA KISAIKOLOJIA KWA SEHEMU*
_Labda niseme kwanza, *Kiwango Cha Mahari,Hakitafsiri Thamani ya mwanamke,Tabia yake,Ubora wake na Faida anayo kwenda kuizalisha kwenye Familia yake* Ni mfumo tu ambao familia(Mzazi)ameamua kuuchagua Kujiridhisha Husia zake na moyo wake na mazingira yake ya kiuchumi basi,na uwezo alio nao wa kuitafsiri ndoa ya mtoto wake_
🏓Mahari kubwa,haituonyeshi kuwa huyu binti amelewa kwa *Maadili pekee* ambayo mmewe ataenjoy tangu anamuoa mpaka wanazeeka. Badala yake waweza lioa hata mil 100,na Ng'ombe 100 hata msimalize mwaka mmeisha achana, na mwingine akaleta Kilo 50 za sukari kama shukrani wakaishi kwa amani mpaka uzee na wakawa baraka kwenu wazazi.
👆Unielewe sijasema Mahari ndogo mdo inakupa ndoa ya Amani, mimi nakuonyesha *_Hakuna mahusiano ya mahari kubwa na Ubora wa mwanamke_* Suala linabaki pale pale kuwa Ubora wa mtu unategemea na Yeye binafsi anavyo mjua Mungu.
🏓 *Vijana kuogopa mahari kubwa na kuchelewa kuoa* hizi nisababu Binafsi za Kiuchumi japo yaweza kuwa kichocheo ila siyo sababu ya kimsingi, maana wapo *_Vijana ambao hata akiambiwa Mahari mil 20 haimpi shida,ila nao wanachelewa kuoa_* Shida ni Kumpata mtu Sahii wa kuishi naye Milele mpaka kaburini na Usipoteze Ndoto zako(Hilo ndo linawapa watu shida na kusababisha kuchelewa)
👉Unajua kuna watu *Wanajipenda,wana Vision kubwa* hawahitaji kuvipoteza kirahisi na kujipa stress ya maisha,ukizingatia ndoa ni Mkataba wa Kudumu(wa milele).Uchague vizuri,au vibaya na Excuse.
🏓Lakini wazazi kazima tujiulize kabla ya kupiga mtu mahari, *_Nini tafsiri ya Mahari,je ni shukrani kwako mzazi,ni kifuta jasho,ni kodi,ni mshahara wa kazi uloifanta ya kulea?_* ukijiuliza haya maswali hutaoanga mahari kubwa,isitoshe watu hawajui, *_Mahari yoyote iwe ndogo au kubwa, ukimpiga kijana jua Umemuunganisha na mwanao_* oesa anatoa mme wa mwanao,Akiangaka popote akapata oesa ata akauza gari kale(kama analo)ili kulipa mahari Maisha magumu siyo ya wazazi wa kijana,au kijana peke yake ni ya kijana na mwanao(mke wake)na watoto wao ambao niwajukuu wako.
👉Mbaya zaidi umebana nafasi ya wewe kusaidiwa na wanao (hao familia mpya)kwa viwango vikubwa. Ambapo ungepata dharula ya gari mkwe akaja na binti yako wajakubeba ukaenda kama mfalme,watakoia pesa kukutumha uende kwa daladala au tax ya kukodi.(kwa hiyo *Maumivu ya Mahari kubwa,anaugulia kijana na wewe mzazi*) huna ulicho save.
🏓Binti ni Referee mkubwa awezaye kuweka mambo sawa kuhusu mahari na kijana akalipa kwa wakati bila maumivu.
👉Wadada mnapaswa kujua *_Kutolewa Mahari kubwa Siyo kuthaminiwa,wala kuishi maisha ya kutodharauliwa kwenye ndoa_* Maisha ya ndoa ni kitu kingine,mahari kitu kingine,elimu au uchumi mkubwa wa familia yenu ni kitu kingine. Havina mahusuano na maisha ya amani,furaha na upendo,badala yake anaweza Laaniwa baba yako na mama yako kwa kukuozesha kwa mahari kubwa kumbe ndani we ni USELESS(MITHALI 14:1).
🏓Wewe binti ndo unayeenda kuishi na huyo mme ambaye leo anakamuliwa hadi senti ya mwisho(mnaanza maisha mkiwa hoi,madeni kibao kika kona,na hamuwezi rudi kwa wazazi kuomba wawasaidie muendeshe maisha,utapata faida gani sasa)
👉Ilibidi binti *_Usimame kuwashawishi wazazi mpaka walegeze kwa kiasi ambacho mmeo ataweza kiurahisi_* halafu mkishaoana mnajipanga Kuwahudumia wazazi wenu pande zote kwa ukaribu mkuu.
*_Ni hitimishe hivi,Kupanga ni kuchagua na kuchagua ni kupanga, Lolote utakalo litamani litaleta majibu,hasi au chanya ila ujue, Mahari kubwa,au ndogo,sherehe kubwa au ndogo Haipimi Ubora na Uzuri wako,ila mwisho wa mzunguko wewe ndo Utaumia na Mwenzako wengine tutabaki na kumbukumbu ukilipiwa mahari mil 15,harusi mil 70,ila maisha ya Amani au Kilio ni yako na Mmeo_*
Mchambuzi wako wa Masuala ya Ndoa na Mahusiano Mwanasaikolojia *Ev Elisha Kazimoto.*
Whatsapp 0755444078