Wednesday, 15 February 2017

KWA NINI WADADA HUCHUKIA MAHUSIANO BAADA YA BREAK UP

❤❤IJUE SAIKOLOJIA YA MABINTI KWA NINI HUAPA KUTO OLEWA BAADA YA KUWA NA BREAK UP ZAIDI YA MOJA KATIKA MAHUSIANO ❤❤
   *_By Ev Elisha Kazimoto_*
          *0755444078*
❤Ifike mahari, vijana wa kiume wahurumieni vijana wa kike, ili Kuponya kizazi kijacho, la sivyo tunategemea baada ya miaka 20 ijayo kuwa na kizazi cha watu wenye uchungu, stress kali, roho za kukataliwa, watu makatiri, lakini wahuni kupitiliza na jamii kubwa ya watu wasio na ndoa, na wasio Amini katika maisha ya Ndoa
❤Lakini pia, wadada mjitambue, mjiamini, mjieheshimu, na mjue kuwa ninyi ni Wahanga wa mapenzi kwa 75% once you mercy up, you remain with 25% credits to win marriage life, contrary to boys are vice versa to you
🌲Kwanza, nature ya Wasichana wakipenda ubwaga moyo wote kwa kijana haraka (wanasahau kupima kama anaye mbwagia moyo wote ni mtu sahihii au tapeli)
🌲Pili, nature ya Wasichana ni wepesi wa kuamini na kushawishika (Niwagumu kupima maneno sahihii, na maneno ya kudanganyia)
🌲Tatu, nature ya Wasichana ni Waoga wa kuachwa katika mahusiano (wako tayari kukupa chochote utakacho ili mradi umuhakikishie kuwa naye daima) nafasi hii vijana wahuni wa mapenzi wsmeitumia ipasavyo kuwajeruhi Mabinti wengi
🎁Kwakuwa mioyo yao upenda sana mtu (kijana) kuliko maelezo, pale anapo salitiwa, hujeruhika kiwango kile kile cha upendo (hivyo uchukia sana mahusiano kuliko maelezo)
🎁Kwakuwa huamini sana (humwamini sana mpenzi wake), siku akisalitiwa upoteza Uaminifu juu ya wanaume kiwango kile kile alicho kuwa nacho
🎁Kwakuwa, wao wana Siri ya miili yao, (Ubikra) humfunulia Siri hiyo mtu aliye mwamini sana, na akisalitiwa na huyo,(Siri ikaondoka uhisi kutokuwa na thamani tena ya kuwa katika mahusiano mengine, na huamini, hakuna tena mahusiano atakayo yafurahia kama ya Mwanzo wakati bado amebeba Siri ya mwili wake)
🎁🎁Hii ni sehemu ya pili, usikose sehemu ya Tatu ya Ufumbuzi wa changamoto hii ya saikolojia mbaya na hatari katika maisha ya wadada kuwajeruhi.
🌳Huwezi Kutenganisha maisha ya mapenzi na maisha ya mwanadamu, by nature (Love =inachukua 75% ya maisha ya mtu)
🌳Kujiapiza kuwa hutaolewa, au Kuingia katika mahusiano mengine tena, kwa sababu umeumizwa siyo Suluhisho, ila ni kutengeneza msongo wa mawazo wa baadaye utakao kuwa mkubwa kuliko wa kwanza
🌳Nini Maono Ukifanye, Wewe uliye umizwa au mdada kwa ujumla;🌳🌳🌳🌳
🌳Kwanza, jua makosa ni sehemu ya maisha katika kujenga maisha yasiyo na makosa tena
🌳Pili, Usilazimishe Nafsi kuona ubaya ulo tendewa na watu 2,3 kuwa ni sample ya watu wote 10,100,1000.
🌳Usijitetee, kujipa haki katika ubaya ulo kukuta na kujiona wewe hukuchangia hata kidogo ubaya huo kutekelezwa kwako (Lazima na wewe una sehemu ya makosa ya ubaya ulotendewa)
🌳Jifunze kusoma lugha matendo ya upendo wa Dhati na lugha na matendo ya upendo wa Ngono
🌳Hili lishike sana, Upendo na Kuaminiwa, akujengwi kwa kutoa ngono kwa mpenzi wako, ila unamjengea wasi wasi wa uhakika wa kuwa mke aliye tulia ndani baada ya kukuoa (Wanaume wengi Wanapenda kuiba ila si kuibiwa)
🌳Usijweke maisha ya kuwadharau wanaume, kisa Kuna mmoja, wawili walikusaliti (Unajitengenezea mazingira magumu ya kuonekana hufai)
🌳🌳Ukiwa mtu wa kukubali haraka au kwa shingo upande Ngono kabla ya ndoa, kisa ni mchumba wako, Usimlaumu mtu yeyote (Mwanaume) wewe ndo umekuwa Tatizo
🌳Saikolojia ya Mwanaume, akimtumia mdada kumuoa zina baki 15% kati 100%)kwa nini? Anapoteza Imani na wewe ya kuendelea kuwa mwaminifu kwake
💔💔NB;Kila aliye jeruhiwa katika mahusiano, yeye naye ana mchango katka Jeraha hizo, hivyo Usimlaumu sana alokujeruhi, jilaumu kwa kushindwa kulinda moyo wako 💔💔
By Ev Elisha Kazimoto (Psychologist and Counsellor)

Monday, 13 February 2017

VALENTINE DAY

❤❤ *HAPPY LOVE IN MY MARRIAGE/RELATIONSHIP*❤❤
    *_By Ev Elisha Kazimoto(Baba Eve)_*
      *0755444078*
( *14 February 2017*)
_Shalomwana ndoa,uliye katika mahusiano ya uchumba,uliye katika mahusiano ya urafiki na wewe unaye fumba macho na kufumbua ukiwaza nani atakuwa sehemu ya furaha ya maisha yangu kama mke/mme wangu,nikukaribishe katika uchambuzi huu muhimu wa siku hii ya WAPENDANAO_ Si hiitaji kukufundisha maana,wala chimbuko la Valentine day,sihitaji kukufundisha kama ni siku ya shetani,mizimu,wafu,wazinifu,wala siku takatifu,wala ibada kwa Mungu wala kwa shetani,hiyo si kazi yangu leo maana hainiongezei kitu wala kunipunguzia kitu kimwili wala kiroho, *_maana niliye rohoni nitazamavyo na nitafsirivyo sivyo kama watu wadunia watazamavyo,watafsirivyo na watendavyo,siku zote,tarehe zote ni za Bwana adui kadandia njiani_* Laikini *Mithali 23:7a* _Maana aonavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo_.
❤Siku hii ya Leo inayo baba ujumbe wa siku ya wapendanao,nataka niwatafakarishe walio kwente ndoa,mahusiano na uchumba,wakati wengine wanaitazama ni siku ya michepuko,zinaa,siku ya miungu....ndo tafsiri huwenda ni kweli,au siyo kweli (kama zikivyo siku za juma, huziita na kuzitafsiri hivi, *Saturday =Satan day, Sunday=Sun day nk*)Tafsiri hizi mbovu hazitufanyi kuacha kuzitumia siku hizi kumwabudu Mungu wetu na kumfurahia Yesu Kristo, just ufahamu wako ukoje wa kiroho, *_Hivyo hivyo siju ya leo 14/2/2014  nakutafakarisha saikolojia ya mahusiano ya wapendanao Intimate love_* uwe na uwezo wa kufurahia mahusiano yako daima. *( Ev Elisha Baba Eve nakukaribisha kwenye uchambuzi*)
❤ *ULIYE KATIKA NDOA*(MME) Unakumbuka kwa nini ulienda kumchumbia huyo mkeo?unakumbuka mara ya kwanza ulipo mwona moyo wako na akili yako ilimtafsiri vipi?Unakumbuka maneno ya kwanza ya kumtamkia nia yako ulivyo yapangilia?Unakumbuka baada ya kumwambia hisia zako juu yake,alikujibuje? Unakumbuka ule muda wa kusubiria jibu lako la ombi la kumuoa moyo wako ulikuwa katika hali gani?je,unakumbuka siku ya Kupewa jibu lako la NDIYO(YES)ulikuwa una furaha gani,?Je unakumbuka neno la kwanza ulilo mwambia baada ya jibu la Yesu? ( *_Majibu ya maswali hayo ndiyo Nguzo ya siku hii ya Wapendanao,kurudisha Harufu ya PENZI LA KWANZA lililo na harufu nzuuri kwenu wana ndoa_*)
(MKE) Una kumbuka vijana wangapi walikuahidi kukuoa na kukuacha?,unakumbuka vijana wangapi walisema sitakuumiza moyo wako lakini wakakuumiza hata wengine(wakakujua kimwili,kukubebesha mimba na kukuacha?),Unakumbuka Siku alipo kuja huyo mmeo uliwaza huwenda ni kama wale walivyo tangulia kukuumiza?Unakumbula alipo kupa ombi lake ulijibuje,siku unapanga kumrudishia jibu ulivyokuwa unasikia moyoni, unakumbuka safari ya uchumba wenu tabia uliyokuwa unaionyesha kwake?unakumbuka siku ya harusi ulikuwa na furaha gani kuona wadada wote wanakumezea mate ukiwa kwenye shera wao wako kwa sare za purple,kitenge na saee za baby yellow?unakumbuka honeymoon?unakumbuka maisha ya kwanza na huduma za mwezi wa kwanza wa ndoa ulizo kuwa unazitoa? ( *Majibu ya maswali hayo ndo Muhimili wa siku hii ya wapendanao na harufu nzuri ya ndoa yako*)
❤Katika siku za maisha yako,furaha,upendo na amani vinatengenezwa na wewe siyo vina shushwa kama mvua🌧🌧🌧🌧. Huna haja ya kuchepuka,kuchana,kuikimbia ndoa,kumkatia tamaa mwenzako,bado kuba nafasi ya kuifurahia ndoa. *_Love(upendo)tafsiri yake nyepesi ni Nguvu ya kugundua madhaifu ya mwenzako na kumkubali katika madhaifu yake huju ukimsaidia kwa moyo wa furaha kuondoka katika madhaifu ili mfurahie uwepo wa kuwa pamoja, udhaifu wake usikufanye kumsukumia mbali,ila mlete karibu kwa sura ya upole na matumaini_* Walio na Mungu tunaongeza na maombi ya kumfungua,kumtengeneza kunfanya akufae. (mwisho usikubali kupoteza kuamini mwenzako hakufai tena kwasababu ya changamoto za mpito katika maisha ya mahusiano. Amini uzuri wake wa kwanza Utarejea) *YEREMIA 31:17*
*_Yeremia 31 : 17 - Tena liko tumaini kwa siku zako za mwisho, asema Bwana; na watoto wako watarejea hata mpaka wao wenyewe._*
❤ *ULIYE KWENYE UCHUMBA* Katika siku hii ya wapendanao,tafakari haya, Je,msukumo wa kumtafutavau kumkubali huyo awe mtarajiwa wako wa maisha,ulitokana na nini?na umbo lake,pesa,elimu,kabila,classmate,schoolmate,ukoo,au shinikizo la familia,au kwasababu mlijuana kimwili mkiwa marafiki,ana mimba yako,una mtoto wake?au kwasababu *_Uliona vitu adimu ulivyo vipenda vya Kimungu,kimawazo yake,na mtazamo wake ni wa kwenda mbali kimaisha,na nitafauti na wengine ulio dhani waweza kuwa wazuri? Umejipangaje kumfanya mwenzako aendelee kujuona wewe wa thamani maishani mwake na usimkere wala kukukera?...katika mambo yote usidharau vichocheo vya upendo sasa na baada ya ndoa,heshima,utii,kunyenyekea,zawadi,lugha nzuri,care na kumwambia mwenzako we mzuri Nakupenda_*
❤ *ULIYE SINGLE* Unanafasi kubwa kufanya maamuzi sahihi kama ukitulia na kutafuta maarifa ya mahusiano,usitumie mifano ya walioshindwa kuandaa safari ya ndoa yako,ndoa yako itakuwa mbaya kuliko za walio shidwa tayari. Amini Mungu ni mtoa vyema,omba mtumikie usijichanganye ukapoteza sifa ya kupata kitu kizuri.
_Mwana Saikolojia na Mchambuzi wa mahusiano na Ndoa Ev Elisha Kazimoto(Baba Eve)naishia hapo nikutakie Mwanzo mpya wa Mahusiano yako na mwenzako katika tarehe hii 14/2/2017 siku ya wapendanao_
Makala hii ni kwa Watu wote Walioko kwenye Ndoa,Uchumba na Wanao tafuta na kutafutwa.
*_Special thanks ni kwa Mpe dwa wangu, Queen Evelyne Elisha,Much Appreciations to your love God bless you_*
Kwa mawasliano zaidi;
Facebook Elisha Kazimoto
Instagram Elisha Kazimoto
WhatsApp 0755444078
Group WhatsApp Material Adimu University.
Blog. Materialadimuuniversity2017email babaeve75@gmail.com
   *_Utakuwa na nguvu na ubora kwa kitu ulicho na Maarifa ya kutosha kwacho,usicho kijua utakuwa Dhaifu_*