Wednesday, 29 August 2018

MAHUSIANO NI INTIMACY II

❤❤ *RELATIONSHIPS IS ALL ABOUT INTIMACY/MAHUSIANO UJUMLA WAKE NI UKARIBU*❤❤
     *Sehemu ya II*
_Whatsapp 0755444078_
Facebook Elisha Kazimoto
.......
.......
_Karibu katika mwendelezo wa somo letu la Mahusiano ujumla wake ni Ukaribu wenu,bado mchambuzi ni mimi Mwanasaikolojia na mchambuzi wa mahusiano na Ndoa Ev Elisha Kazimoto_
❣Uchumba mwingi,na ndoa za wana wa Mungu zinaendelea kuchechemea na zingine kuvujia ndani kwa ndani, changamoto kubwa ni ya Kisaikolojia wala siyo ya Kiroho(kwamba kuna pepo) kama ni pepo utalikarisha mwenyewe kwakukosa kwako maaraifa,na kudharau mambo madogo, ya kishamba, kipuuzi, ya kitoto yaliyo uhai wa kisaikolojia na kujizamisha sana kiroho  kisicho kusaidia katika mahusiano yako wala ndoa yako,utaendelea kuimba,kuhubiri na kufanya yote ya Kimungu ila kwenye mahusiano unachechemea na unahisi mwiba mkuu,kumbe ungeuchomoa kwa kuongeza Maarifa ya Kisaikolojia baada ya kujiweka vizuri kiroho.( _Kwenye Biblia hutakuta mpige busu mkeo au mmeo,hutakuta mfanyie mkeo au mmeo surprise haya utayapata kwa wanasaikolojia_).
❣ *Intimacy ina Kazi zake na Raha yake katika Maisha ya Mahusiano* Mahusiano yaliyo Hai yanafurahia  Amani na furaha katika ndoa na ndicho Mungu alikikusudia katika ndoa.
❣Mahusiano yaliyo hai Kuna Kuaminiana na kulinda kuamiana.
❣Mahusiano yaliyo hai kuna mawasiliano ya Caring.(kujali)
❣Mahusiano yaliyo hai kuna Kuthaminiana(kumwona mwenzako ni pekee na kulinda nafasi yake)
❣Mahusiano yaliyo hai kuna Kumsikiliza mwenzako na kujua nini cha kufanya.
*ALAMA ZA MAHUSIANO YALIYO POA/KUFA*
👉 *Hakuna kuaminiana* hata kidogo,kila mmoja anasiri zake(hapa wala hakuna kitu kinacho lindwa chochote,kiwe cha kiroho au kimwili hapa ni matokeo ya harufu ya Mauti katika mahusiano)unahitaji kuanza harakati mpya za kumwamini mwenzako kwa sehemu kubwa maana huyo ndo wa moyo wako na maisha yako,mjenge,mtengeneze kwa upendo Aaminike.
👉Kuna *Dharau/Kudharauliana* hapa kila mmoja anafanya bidii kushusha uwezo,nafasi na utu wa mwenzake. Hapa ndo mtu humuona mwenzake hafai kwa chochote cha maana.
👉 *Kutoa Siri za ndani za mwenzako nje kwa watu* Kwakuwa moyo umejaa uchungu na kutoridhika na kukubaliana na mwenzake hapa mtu upunguza uchungu kwa *Kumsema mwenzake katika udhaifu na mapungufu yake tu* jambo ambalo uendelea kupanua Distance (umbali)wa mahusiano.
👉 *Kutimiza baadhi ya wajibu ila Siyo Hisia kwa mwenzake* Mahusiano yaliyo poa,au kufa utasikia lugha hizi, *_Unakosa nini?Hauli?Huvai? Unataka nini sasa.._*kila kitu na kupa au najufanyia, yaweza kuwa kweli ila *Unatoa Material support siyo Emotional support* wana mahusiano wengi wanajificha nyuma ya wajibu kumbe kihisia hawapo, Hisia zikitangulia ndizo zinazaa Wajibu. Ndani ya Kutimiza hisia za mwenzako ndo kuna wajibu, ila ndani ya wajibu hakuna Hisia.(Unaweza mpya mwenzako vyote,Usipo mpa Hisia zako anaoana zero)
👉 *Kujihesabia haki katika makosa* mahusiano yaliyopoa au kufa Kila mmoja hupenda kujiona yeye ndo mwenye haki na mwenzake ndo mwenye makosa, ndiyo maana kwenye mahusiano yaliyopoa au kufa hakunaga neno Samahani mwenzangu,ila kila mtu anapambana ashinde atakama anajua anamakosa.
💈💈 *Aina za Watu wagumu wasio weza Kutengeneza Intimacy katika Mahusiano yao na ndoa zao*💈💈
1⃣ *Watu wenye Asili ya Ubishi* yaani watu wabishi kisaikolojia niwagumu wa kutengeneza mazingira ya Ukaribu, kwa sifa yao ya Ubishi uwasogeza mbali na wenzao,uwafanya wawe wakali na wakorofi kwa wenzao.
2⃣ *Watu wajuaji* Aina hii ya watu ambao huona Kila Kitu anakijua,niwagumu sana kutengeneza Ukaribu na wenzi wao,uona wenzao hawajui ila wao wanajua kwa maana hiyo Ufuata mawazo yao tu,jambo ambalo upanua umbali wa mahusiano na wenzi wao.
3⃣ *Watu wenye Dharau ya Jinsia* Kati ya Kundi ambalo wanaishi kwenye mahusiano kiugumu ni kuwa na Mke au Mme anayedharau jinsia yako na kutukuza jinsia yake. Mara nyingi watu wa kundi hili hawafurahii mahusiano yao,maana utegemea kupokea,kuona mwenzake anafanana naye(jambo ambalo kisaikolojia wala kirohi haliwezekani)Mungu aliweka utofauti kubalance maisha.
4⃣ *Watu wasio amini katika Positive* Kundi hili kila kitu Ukisemea,Uamini katika Negative kwanza,lolote kwao ni baya hata kama ni zuri,wanajua ndani ya moyo ni zuri ila hawapendi kuonyesha uzuri huo kwa kukiri kwa kinywa. Hali hii haiwaruhusu kutengeneza Intimacy na wenzi wao..
5⃣ *Watu wasiopenda Kutambua Kazi za wenzao na Kuzikubali* Kundi hili Uamini katika ayatendayo yeye ndiyo sahii,ndiyo bora na ndiyo yakufuatwa ila ya wengine yana makosa na mapungufu( *Failure of Appreciation*) kwa tabia yao hawawezi kujenga Intimacy na wenzi wao lazima wawe mbali kimahusiano kwa maana hawatazami jema kwa wenzao na kulipalilia ila makosa na kuyalalamikia.
6⃣ *Watu wenye Itikadi Binafsi zisizo badirika*(STATIC PEOPLE) Kundi hili ni gumu kujenga ukaribu na wenzi wao kwakuwa *_Utafuta watu wengine/wenzi wao wajiingize kwenye imani zao siyo Kubadirishana matamanio ya pamoja(Sharing of common Interests)_* huwa hawaoni kama wanaweza kupata kitu cha ziada kwa mwenzake. Hawaingizi kipya,hawasomi mazingira na nyakati za wenzi wao na kuji Tune katika mwelekeo wa kuboresha,kulinda Mahusiano.
_Makundi haya na baadhi kati ya mengi yaliyo na shida ya kujenga Intimacy/ukaribu na wenzi wao,jambo ambalo upelekea migogoro baina yao ya mara kwa mara,na kuishi maisha ya Ukame katika ndoa au mahusiano na wengine hali ikizidi kuwa ngumu,Distance ikipanuka zaidi na kufikia mwisho uamua Ku Break Mahusiano yao katika uchumba na katika ndoa Divorce/Kuachana hutokea_
👉Ushauri wa Kisaikolojia ambao waweza kuutumia ukakusaidia ambao unaenda sambamba na Neno la Mungu,ni huu *_Chagua mahusiano ya Urafiki,na Utoto_* Yesu anasema Siwaiti tena Watumwa ila *Rafiki zangu* Mahusiano ya kirafiki katika ndoa yanajenga Amani ya uchumba au ndoa,Mtatofautiana ila mtasamehana na kuendeleza urafiki,Kumfanya mwenzako afurahie uwepo wako kwenye maisha yake,hutaki kumkwaza,kumuumiza,kumdharau,kumsogeza mbali ila karibu,unaona ni bora kama wewe,unathamini umoja wenu.( *Kutendeana vitu vya kihisia na kutafuta kufurahishana* kasome Bible hizi ni falsafa za Kisaikolojia ila zipo kwenye Bible,ukizipinga Hujui neno la Mungu ni Ugumu wako tu.)
👉Chagua Mahusiano ya Kitoto( _Yesu akasema Msipo kuwa kama watoto wachanga kamwe hamtaingia katika ufalme wa Mungu_) Sifa ya mtoto Hatunzi Makosa moyoni ni mtu wa Kuachilia(Ndoa na uchumba)vina haribika kwa kosa la Kutunza makosa ya mwenzako moyoni,unasamehe mdomoni ila moyoni unasubiria kuhesabu kosa lingine.
👉Sifa ya mtoto nibKumwamini mwenzake,watoto hawajawahi kutoaminiana,mdo maana wanacheza wote,wanamegeana chakula wote na vyovyote moyo wake umefunguka kwa mwenzake muda wote,hata wagombane kesho wanacheza wote kwa vicheko.
👉Sifa ya mtoto ni kutafuta michezo ya furaha ya kucheza na mwenzake. *_Wana ndoa wengi utani,michezo,iliishia honeymoon wengine kwenye wiki la kwanza la ndoa yao_* hamuwezi kwenda mbali kimahusiano mtaishi kiugumu ugumu.
NAFUNGA UCHAMBUZI KWA SENTENSI NA FALSAFA YA KISAIKOLOJIA.
_Kila mtu ana mtazamo wake juu ya kitu,uzuri wa kitu haupo juu ya kitu ila juu ya macho ya mtu akitazamaye,na Ishi unavyo amini wewe na si watu wengine wanavyoamini, Penda kuongeza maarifa mapya maana si kila unacho kiamini ni sahihi na kinaendana na wakati huo, Maana Ukikosea katika unacho kiamini utajirekebisha na utakuwa umejifunza,ila Ukikosea kwa ulichoaminishwa Utaumia na Kuwalaumu watu._"
    *Mchambuzi wa Masuala ya Mahusiano na ndoa Psychologist & Counselor Ev Elisha Kazimoto*
Whatsapp 0755444078
Facebook Elisha Kazimoto

MAHUSIANO NI INTIMACY I

❤❤ *RELATIONSHIP IS ALL ABOUT INTIMACY(MAHUSIANO UJUMLA WAKE NI UKARIBU)*❤❤
     *Sehemu ya I*
     By Ev Elisha Kazimoto
    Whatsapp 0755444078
   Facebook Elisha Kazimoto.
_Shalom wana mahusiano,kwa mara nyingine Mchambuzi wa Masuala ya Mahusiano na Ndoa  Psychologist & Counselor Ev Elisha Kazimoto,nakuletea Kipengele cha Kisaikolojia kinacho linda Mahusiano na Kuonyesha uhai,harufu nzuri katika mahusiano yoyote,yawe ya kiurafiki,kiuchumba,kindoa hata Kiroho,ukikosa haya umekosa vitu vikubwa mno,waweza jikaza kusafiri katika ulimwengu wa Mahusiano ila utafika umechoka au waweza usifike mwisho wa safari,au ukafika na makovu mengi na majeraha mengi_.
❣Ukweli ni kwamba wana mahusiano wengi,wanaendesha mahusiano yao *_Kiugumu ugumu_* na si kwamba wanafurahia,au hawaoni kuwa kuna mapungufu,ila hawana namna ya kufanya,wengine ni matokeo ya kimfumo,wengine ni matokeo ya Kihistoria,wengine ni matokeo ya Kutopenda kujifunza mambo mapya,wengine ni *Ujuaji wa Kutojua* haya yote yamefanya mahusiano mengi ya wana mahusiano Kuishi kiugumu ugumu( _Hapa si wana wa Giza wala wana wa Nuru_)wote wanapita katika ugumu ugumu.
❣Kisaikolojia, *Mahusiano yanajengwa na Ukaribu* na ndo maana ya mahusiano (Ukaribu/Intimacy )ndo uzaa neno Mahusiano kama hakuna Intimacy/ukaribu Kisaikolojia hakuna Mahusiano ila  kuna *Kushikiriana* Neno KUSHIKIRIANA halina Taste ya Love(maana yake kuna Conditions/Mazingira Hali zinazo wafanya Kuwa wote ila isingekuwa hizo hakuna sababu ya kubaki katika mahusiano hayo).
❣Kisaikolojia kuna mahusiano *Hai*, Mahusiano yaliyo *Poa* mahusiano yaliyo *Kufa* katika aina zote hizi watu wapo wanaoishi katika aina hizi zote, Aidha yaliyo Hai, au uwe kwa yaliyo Poa,au yaliyo Kufa.
❣Raha ya Mahusiano yoyote yawe na Intimacy/Ukaribu, ukaribu ukikosekana ndo unazaa Kupoa,kupoa kunazaa Kufa. *_Marafiki wengi wanaoelekea uchumba au uchumba umeyeyuka na wengine kuishi kwa Stress/Msongo wa Mawazo kwa namna ya mahusiano yalivyo,hawafurahii mahusiano(hamwelewi elewi mwenzake) ila wanaenda kwasababu Anatamani aolewe,au aoe,au kwakuwa ameisha lipa mahari,au kwakuwa amepita mahusiano mengi sasa anaona na haya nayo avunje atakuwa wa nani sasa,au umri umeenda ngoja ajikaze waende hivo hivo ila HANA RAHA NA MAHUSIANO HAYO_*
❣Ndoa nyingi zimebaki zikishikiriwa na WATOTO, KIAPO CHA MADHABAHUNI,KUOGOPA UPWEKE AKIAMUA KUACHANA NA MWENZAKE, BASI TU WOKOVU HAURUHUSU KUACHANA WALA KUCHEPUKA. Hayo ndo yameshikiria ndoa, ila SI INTIMACY/UKARIBU.
❣ *Wana Mahusiano yoyote, Intimacy Ndo inayoshikiria Mahusiano ya uchumba na Ndoa, hata Wokovu wetu unashikiriwa na Intimacy na Mungu wetu* ukipoteza Intimacy umepoteza Raha na Radha ya Mahusiano na Ndoa.
❣❣ *INTIMACY/UKARIBU UNAZAA MAMBO YAFUATAYO*❣❣
1⃣Intimacy inazaa Upendo kati ya wanao husiana kwa mahusaino yoyote. Ukaribu katika Fikra,katika Matendo usipo kuwepo mtakuwa hamna upendo ila mna KIFUNGO(Kinyume cha Upendo ni Kifungo )maana upendo ni Hisia Huru. Sasa kifungo ni Kulazimika Kukaa na huyo kwasababu hakuna namna nyingine(kwa waliookoka)wasiookoka hapo ndo Unapiga chini unatafuta mwingine.
2⃣Intimacy inazaa KUAMINIANA. Ukaribu ndo kunakupa kumjua mwenzako,madhaifu yake na kuyabeba,uwezo wake na kuupa nguvu na Kumwamini. *_Intimacy isipo kuwepo, Hakuna Kuaminiana_* Mahusaino mengi ndoa nyingi WANAISHI BILA KUAMINIANA, Hapo Hakuna pepo,wala uchawi Ni mtu Binafsi Uwezo wake wa Kujenga Ukaribu/Intimacy ni mdogo mno kutokana na Kuishi maisha ya Kimfumo(Kabila,familia,misimamo binafsi),Historia za maisha ya awali alikopita,Kutokubali mabadiliko ya Kujifunza, *Ujuaji wa Kutojua.*
👉Kuaminiana kuna kua kulingana na LEVELS za Mahusiano mliyopo na Time ya kukaa katika mahusiano.
👉Mahusiano ya urafiki yana kuaminiana kwa kawaida,uchumba kuaminiana kunaongezeka maana na Intimacy imeongezeka na muda ni mrefu kidogo, Ndoa ndo Kuaminiana kunaongezeka sana maana na Intimacy imekuwa kubwa kiasi cha Ku share Miili. _Ila maajabu ya Kisaikolojia ni kwamba, wan ndoa ndo Hawaaminiani kwa level ya juu sana_ Shida hapa ni Ugumu wa Fikra, Imani Potofu ya Misimamo iliyo Kufa.
3⃣Itimacy ina zaa Kumfurahia Mwenzako na Amani. Ni ukaribu wenu ndo unaopelekea kumfurahia mwenzako, awe karibu au mbali moyo unamfurahia, una Amani naye. Huu mdo ustawi wa mahusiano na ndoa.
👉Kama hakuna Ukaribu, mwenzako awe mbali au awe karibu unamuona wa kawaida,na uhisi chochote juu yake na haya ndo ( *Mahusiano yaliyo kufa*)
4⃣Intimacy inazaa *Mawasiliano hai* huu ni ugonjwa wa wana mahusiano na wana ndoa. (Problems in Communication )Mahusiano yoyote yaliyo hai yanadhihirika katika mawasiliano na katika mawasiliano tunaangalia ( *Purpose/Sababu ya kuwasiliana, State of Communication/Hali ya mawasiliano(lugha,sauti, na Awamu za mawasiliano/levels)*
👉Mawasiliano kwa wachumba na wana ndoa baadhi yamekuwa ni *Makavu,ni Viporo* kwa kisingizio cha Ubize, kuwa haya ni mambo ya kitoto,ya kujishaua,ya wale waliooana wenye mchecheto bado( *Hizi uwa ndo lugha za watu walioona wao Wamefeli kwenye kipengele hicho*) sawasawa na wanaosema HAKUMA MTAKATIFU DUNIANI, baada ya wao kufeli kuishi maisha matakatifu wanahisi na wengine wote wameshindwa.
👉Wana mahusiano wengi na wana ndoa wamebaki kuwasiliana kwa  *_Matatizo, Maagizo na kwa Dharula ikitokea_* (Purpose) Siyo kwa Caring
👉Na wengine wanawasiliana kwa Sauti isiyo Vutia,isiyoonyesha utaofauti wa Intimacy kati ya mwenzi wake(mpenzi wake)na mtu baki mwingine... na wengine kwa lugha ya Ukali na Kufoka(State of communication)
👉Wengine wanawasiliana baada ya kipindi Kirefu kuondoa LAWAMA(Level/Times)
👉Mfano,mwenzako mmeachana kwa muda kikazi au kimajukumu(hasa mlo kazini) yale masaa 12 ya kazi mpaka 14 _Unawasiliana na mwenzako mara ngapi kwa sms,au call?_ au Umesafiri kwa siku1 hadi mwaka nk, mara ngapi unawasiliana na mwenzako kwa siku nzima 24hrs? *_Hiyo inaonyesha Intimacy yenu au Distance yenu na aina ya mahusiano mliyo nayo_*
👉 Kuna wengine wanao wasiliana kwa *_Care & Love,(Purpose ),Kwa lugha ya kupenda,kuthamini,(State of communication)na mara kwa mara(Level/Times)_* hawa watu Mahusiano yao yatakauwa Imara, pamoja na changamoto nyingine kuwakumba lakini Mahusiano yao ni Imara, hawa si wa Kubeza wapo kwenye kona ya Kufanikiwa kwa lolote kiurahisi.
❣ *Mahusiano siyo kujivunia Kutoa Matumizi yote ya Familia(mama au baba),hiyo ni Sawa na Kujivunia kutoa sadaka na zaka kanisani lakini HUNA MPANGO NA IBADA* ibada ni Fellowship na Mungu(Intimacy)ndo lolote unalolifanya kwa Mungu lina maana. Hivyo hivyo, Mwenzako anahitaji INTIMACY kwanza ndo lolote utakalo fanya litakuwa na Maana Kwake.(Kuwa muda na mwenzako,time yo chat with people and with your Partner )Siyo mda wote umeinama kwa simu au laptop mpaka unakuwa kero kwa mwenzako unakuwa mtumwa wa Teknolojia ( _Haya ni mambo madogo ya kisaikolojia ila ndo uleta migogoro katika mahusiano na ndoa,ushusha thamani na upendo kati yenu_)
*_Hii ni sehemu ya Kwanza ya Lecture hii ya Mahusiano ujumla wake ni Ukaribu,usikose sehemu ya pili ya mwendelezo wake_*
Mchambuzi ni Mwanasaikolojia na mchambuzi wa masuala ya ndoa na Mahusiano Ev Elisha Kazimoto
Whatsapp 0755444078
Facebook Elisha Kazimoto

MAHUSIANO NI INTIMACY I

❤❤ *RELATIONSHIP IS ALL ABOUT INTIMACY(MAHUSIANO UJUMLA WAKE NI UKARIBU)*❤❤
     *Sehemu ya I*
     By Ev Elisha Kazimoto
    Whatsapp 0755444078
   Facebook Elisha Kazimoto.
_Shalom wana mahusiano,kwa mara nyingine Mchambuzi wa Masuala ya Mahusiano na Ndoa  Psychologist & Counselor Ev Elisha Kazimoto,nakuletea Kipengele cha Kisaikolojia kinachoblinda Mahusiano na Kuonyesha uhai,harufu nzuri katika mahusiano yoyote,yawe ya kiurafiki,kiuchumba,kindoa hata Kiroho,ukikosa haya umeokosa vitu vikubwa mno,waweza jikaza kusafiri katika ulimwengu wa Mahusiano ila utafika umechoka au waweza usifike mwisho wa safari,au ukafika na makovu mengi na majeraha mengi_.
❣Ukweli ni kwamba wana mahusiano wengi,wanaendesha mahusiano yao *_Kiugumu ugumu_* na si kwamba wanafurahia,au hawaoni kuwa ni mapungufu,ila hawana namna ya kufanya,wengine ni matokeo ya kimfumo,wengine ni matokeo ya Kihistoria,wengine ni matokeo ya Kutopenda kujifunza mambo mapya,wengine ni *Ujuaji wa Kutojua* haya yote yamefanya mahusiano mengi ya wana mahusiano Kuishi kiugumuugumu( _Hapa si wana wa Giza wala wana wa Nuru_)wote wanapita katika ugumu ugumu.
❣Kisaikolojia, *Mahusiano yanajengwa na Ukaribu* na ndo maana ya mahusiano (Ukaribu/Intimacy )ndo uzaa neno Mahusiano kama hakuna Intimacy/ukaribu Kisaikolojia hakuna Mahusiano kuna *Kushikiriana* Neno KUSHIKIRIANA hakina Taste ya Love(maana yake kuna Conditions/Mazingira Hali zinazo wafanya Kuwa wote ila isingekuwa hizo hakuna sababu ya kubaki katika mahusiano hayo).
❣Kisaikolojia kuna mahusiano *Hai*, Mahusiano yaliyo *Poa* mahusiano yaliyo *Kufa* katika aina zote hizi watu wapo wanaoishi katika aina hizi zote, Aidha yaliyo Hai, au uwe kwa yaliyo Poa,au yaliyo Kufa.
❣Raha ya Mahusiano yoyote yawe na Intimacy/Ukaribu, ukaribu ukikosekana ndo unazaa Kupoa,kupoa kunazaa Kufa. *_Marafiki wengi wanaoelekea uchumba au uchumba umeyeyuka na wengine kuishi kwa Stress/Msongo wa Mawazo kwa namna ya mahusiano yalivyo,hawafurahii mahusiano ila wanaenda kwasababu Anatamani aolewe,au aoe,au kwakuwa ameisha lipa mahari,au kwakuwa amepita mahusino mengi sasa anaona na haya nayo avunje atakuwa wa nani sasa,au umri umeenda ngoja ajikaze waende hivo hivo ila HANA RAHA NA MAHUSIANO HAYO_*
❣Ndoa nyingi zimebaki zikishikiriwa na WATOTO, KIAPO CHA MADHABAHUNI,KUOGOPA UPWEKE AKIAMUA KUACHANA NA MWENZAKE, BASI WOKOVU HAURUHUSU KUACHANA WALA KUCHEPUKA. Hayo ndo yameshikiria ndoa, ila SI INTIMACY/UKARIBU.
❣ *Wana Mahusiano yoyote, Intimacy Ndo inayoshikiria Mahusiano ya uchumba na Ndoa, hata Wokovu wetu unashikiriwa na Intimacy na Mungu wetu* ukipoteza Intimacy umepoteza Raha na Radha ya Mahusiano na Ndoa.
❣❣ *INTIMACY/UKARIBU UNAZAA MAMBO YAFUATAYO*❣❣
1⃣Intimacy inazaa Upendo kati ya wanao usiana kwa mahusaino yoyote. Ukaribu katika Fikra,katika Matendo usipo kuwepo mtakuwa hamna upendo ila mna KIFUNGO/Kinyume cha Upendo ni Kifungo maana upendo ni Hisia Huru. Sasa kifungo ni Kulazimika Kukaa na huyo kwasababu hakuna namna nyingine(kwa waliookoka)wasiookoka hapo ndo Unapiga chini unatafuta mwingine.
2⃣Intimacy inazaa KUAMINIANA. Ukaribu ndo kunakupa kumjua mwenzako,madhaifu yake na kuyabeba,uwezo wake na kuupa nguvu na Kumwamini. *_Intimacy isipo kuwepo, Hakuna Kuaminiana_* Mahusaino mengi ndoa nyingi WANAISHI BILA KUAMINIANA, Hapo Hakuna pepo,wala uchawi Ni mtu Binafsi Uwezo wake wa Kujenga Ukaribu/Intimacy ni mdogo mno kutokana na Kuishi maisha ya Kimfumo(Kabila,familia,misimamo binafsi),Historia za misha ya awali alikopita,Kutokubali mabadiliko ya Kujifunza, Ujuaji wa Kutojua.
👉Kuaminiana kuna kua kulingana na LEVELS za Mahusiano mliyopo na Time ya kukaa katika mahusiano.
👉Mahusiano ya urafiki yana kuaminiana kwa kawaida,uchumba kuaminiana kunaongezeka maana na Intimacy imeongezeka, Ndoa ndo Kuaminiana kunaongezeka sana maana na Intimacy imekuwa kubwa kiasi cha Ku share Miili. _Ila maajabu ya Kisaikolojia ni kwamba, wan ndoa ndo Hawaaminiani kwa level ya juu sana_ Shida hapa ni Ugumu wa Fikra, Imani Potofu.
3⃣Itimacy ina zaa Kumfurahia Mwenzako na Amani. Ni ukaribu wenu ndo unaopelekea kumfurahia mwenzako, awe karibu au mbali moyo unamfurahia,moyo Amani naye. Huu mdo ustawi wa mahusiano na ndoa.
👉Kama hakuna Ukaribu, mwenzako awe mbali au awe karibu unamuona wa kawaida,na uhisi chochote juu yake( *Mahusiano yaliyo kufa*)
4⃣Intimacy inazaa *Mawasiliano hai* huu ji ugonjwa wa wana mahusiano na wan ndoa. (Problems in Communication )Mahusiano yoyote yaliyo hai nadhihirika katika mawasiliano na katika mawasiliano tunaangalia ( *Propose/Sababu ya kuwasiliana, State of Communication/Hali ya mawasiliano(lugha,sauti, na Awamu za mawasiliano/levels)*
👉Mawasiliano kwa wachumba na wana ndoa baadhi yamekuwa ni *Makavu,ni Viporo* kwa kisingizio cha Ubize,mambo ya kitoto,ya kujishaua,ya wale waliooana wenye mchecheto bado( *Hizi uwa ndo lugha za watu walioona wao Wamefeli kwenye kipengele hicho*) sawasawa na wanaosema HAKUMA MTAKATIFU DUNIANI, baada ya wao kufeli kuishi maisha matakatifu wanahisi na wengine wote wameshindwa.
👉Wana mahusiano wengi na wana ndoa wamebaki kuwasiliana *_Matatizo,Maagizo na kwa Dharula ikitokea_* (Purpose)
👉Na wengine wanawasiliana kwa Sauti isiyo Vutia,isiyoonyesha utaofauti wa Intimacy na mtu baki,na wengine kwa lugha ya Ukali na Kufoka(State of communication)
👉Wengine wanawasiliana kwa kipindi Kirefu kuondoa LAWAMA(Level/Times)
👉Mfano,mwenzako mmeachana kwa muda kikazi au kimajukumu(hasa mliokazini) yale masaa 12 ya kazi mpaka 14 _Unawasiliana na mwenzako mara ngapi kwa sms,au call?_ au Umesafiri kwa siku1 hadi mwaka nk, mara ngapi unawasiliana na mwenzako kwa siku nzima 24hrs? *_Hiyo inaonyesha Intimacy yenu au Distance yenu na aina ya mahusiano mlio nayo_*
👉 Kuna wengine wanao wasiliana kwa *_Care & Love,(Purpose ),Kwa lugha ya kupenda,kuthamini,(State of communication)na mara kwa mara(Level/Times)_* hawa watu Mahusiano yao yatakauwa Imara, pamoja na changamoto nyingine kuwakumba lakini Mahusiano yao ni Imara.
❣ *Mahusiano siyo kujivunia Kutoa Matumizi yote ya Familia(mama au baba),hiyo ni Sawa na Kujivunia kutoa sadaka na zaka kanisani lakini HUNA MPANGO NA IBADA* ibada ni Fellowship na Mungu(Intimacy)ndo lolote analolifanya   kwa Mungu lina maana. Hivyo hivyo, Mwenzako anahitaji INTIMACY kwanza ndo lolote utakalo fanya litakuwa na Maana Kwake.
*_Hii ni sehemu ya Kwanza ya Lecture hii ya Mahusiano ujumla wake ni Ukaribu,usikose sehemu ya pili ya mwendelezo wake_*
Mchambuzi ni Mwanasaikolojia na mchambuzi wa masuala ya ndoa na Mahusiano Ev Elisha Kazimoto
Whatsapp 0755444078
Facebook Elisha Kazimoto

Saturday, 25 August 2018

KUCHUMBIA NA KUACHA KOSA LI WAPI

💈💈 *Swali nirefu ila Mahudhui yake ni: Kijana ni mtumishi wa Mungu,alianzisha mahusiano ya urafiki na binti kanisa anako sali(tumika),baadaye yakavunjika bila (bila kufikia uchumba na kuoana),akachumbia binti kanisa lingine,akafunga na ndoa...Shida ni Watu wanamlaumu kwa kumuacha yule wa kwanza na kuoa mwingine*💈💈
..........
..........
_Anajibu Mchambuzi wa Masuala ya Mahusiano na ndoa Msaikolojia Ev Elisha Kazimoto_
WhatsApp 0755444078
Facebook Elisha Kazimoto
.........................................
*KATIKA MADA HII NI AINISHE VITU AMBAVYO WAHANGA, NA WASOMAJI TUVIFAHAMU* Ntachambua kimoja kimoja.
1⃣Kulingana na maelezo ya sms hii.....( *Hawa watu kijana na dada wa kwanza walikuwa Marafiki,urafiki uliolenga kuelekea uchumba*)
2⃣Mahusiano ya urafiki yalikuwa makubwa kiasi cha kuwashawishi watu kujua hawa watu watakuja kuoana(makosa pande 2, wahusika na kanisa)
3⃣Hawa watu wakavunja mahusiano ya Urafiki( *Siyo uchumba wala ndoa*) Tafsiri potofu ya hisia.....
4⃣Kijana akapata msichana mwingine,kanisa lingine wakawa wachumba mpaka kufunga ndoa( *Dhambi iko wapi kwa kijana,kanisa,au binti wa zamani*)ntachambua
5⃣Kuna lugha ya kijana amewachezea wengi wadada( *Chumbia chumbia.....Tutatafuta Kosa na tatizo*)
6⃣Kijana amepewa sifa ya kuwa alikuwa anatumika(mtumishi wa Mungu) *Je,mtumishi ndo hana hisia? Akubali udhaifu kisa ni mtumishi, asimame vipi kulinda nafasi yake* ntachambua.
7⃣Tunamsaidiaje maneno yaliyozagaa ya kulaumiwa?( *Swali la msingi, break up zote alizopitia alizihitimishaje*) ntachambua
1⃣ Hapa niweke mambo kama mawili sawa,utofauti wake,usahihi wake na ubaya wake.......
_Mtoa mada anasema kijana alikuwa *Rafiki na binti* urafiki unaoelekea *Uchumba*_
👉Usahihi wake, kijana yuko sahihi katika hatua za kuelekea ndoa kuna aina 2 za kutumia, moja Ni kuanzisha URAFIKI na msichana ambao lengo kubwa ni kumdadisi,kumsoma mtu kujua kama anafaa *Kupewa Tamko,Nia ya Kuanza safari ya uchumba* (Njia ya Pili ni Kuchumbia moja kwa moja bila kupitia urafiki)
Urafiki una level, kuna urafiki wa kawaida wa mbali ambapo mna mahusiano ya kimajukumu.... Kama ni kwenye kwaya,praise,idara ya vijana,wanachuo mnasoma wote nk, kuna urafiki wa Kuzoeana na Kushirikishana na kusaidiana mambo kadha wa kadha, hapa pamoja mnaweza kuwa mnaunganishwa na majukumu au mazingira lakini huyo rafiki anakuwa mshauri mkuu na mtu wa kutafuta msaada kwake akiwa wa kwanza,na aina nyingine ni Urafiki wa uliokolea wa kutafuta Kujua uwezo wa mtu kuthamini maisha yako kama akitokea anakuwa ndiye mchumba au mme au mke. Hapa mawasiliano,kujaliana,kusaidiana kwa mzigo mkubwa kupo hapa....Lakini katika level hizi zote, kila mmoja anakuwa Anamshtuka mwenzake, *Anataka nini,anaweza akanitamkia kunichumbia?anaweza kukubali ombi langu?* hapa hakuna anaye jua maana Hawajatamkiana,ila kuna SENTENSI ZA KUTEGANA zinazo ashiria NIA YA MTU ya ndani juu ya urafiki wenu.
NB: *_Kwenye urafiki hakuna Agano,hakuna kisingizio cha huyu wangu, hatumilikigi Rafiki,Hatuna wivu kwa Rafiki, Hatuna masharti kwa Rafiki, Hatuna Idadi ya Rafiki,hata kama urafiki wenu ni mkuuubwa, Usijipe Asilimia 9⃣5⃣za kuchumbiwa na huyo. UNAWEZA KUWA RAFIKI ANAYE FAA KWAKE ILA HUWEZI,HUNA VIGEZO VYA KUWA MME AU MKE WAKE. Ndo maana wengi wamejikuta wanashangaa, yaani katika urafiki uliokolea sana Akiingiza Wazo la Kumchumbia Anakataliwa au Urafiki unakufa,au Anasubiria aambiwe Nakupenda uwe mke wangu mtarajiwa,anashangaa Anapewa kadi ya Harusi 🙄🙄🙄🙄anajiuliza urafiki ule amechumbia mwingine ameniacha mimi‼Ndiyo amekuacha, unafaa kuwa Rafiki ila siyo kuwa mme au mke.(Mambo ya Kisaikolojia hayo,usipo jua utawalaumu sana wakaka,au wadada.... Usijichumbie kabla Hujachumbiwa_* Tafuta google/Facebook  Somo langu la *Saikolojia ya Wavulana katika Mahusiano*( _By Ev Elisha Kazimoto_) utapata majibu zaidi.
👉Kutokuwa sahii ni pale ambapo kijana amemtamkia binti kutaka uchumba,binti akakubali,na wakawashirikisha baadhi ya watu,halafu kijana akavunja uchumba kinyemela kwa kumpata mtu mwingine bila Kufikia maridhiano na wa kwanza kuachana kwa Amani.( Tunapaswa kujua Urafiki, Uchumba si Ndoa Muda wowote Unaweza kuvunja ila ufuate taratibu za Amani siyo za kihuni katika kuvunja.)
2⃣Mahusiano yao ya urafiki inaonekana yalikuwa ya ukaribu wa daraja la 3 nililosemea la ndani,kiasi cha watu kuhisi uwenda wanachumbiana.
👉Kosa la kiufundi la kijana na binti ni kutoweka mipaka ya kirafiki wakati wanajua hawaja kubaliana kuwa wachumba,katika ukaribu wao wangeonyesha bado wao ni marafiki siyo wachumba hata kwa wadadisi wangejua kuwa hawa urafiki umezidi ila siyo wachumba.(japo ni vigumu ku Control urafiki wa daraja la 3)
👉Kosa la jamii au kanisa ni Kuwachumbisha watu wakati hakuna ambaye ameisha letewa Taarifa Rasmi kuwa Nataka kumchumbia au namchumbia huyu dada,au kaka flani ananichumbia.(shida ni kutokuwa na ufahamu wa Saikolojia ya Mahusiano)kila wakiona watu wanaelewana sana basi NIWACHUMBA hayo ndo yametapakaa makanisani, *_Kujadiri ukaribu wa vijana na kuwachumbishana au kuwazinishana bila ya watu walio na Hekima kuwaita pembeni aidha mmoja au wote na kutaka kujua Ukaribu wao unamaanisha nini_* ili kuponya mioyo ya watu wawaonao, kuponya wokovu wao walio marafiki, kulinda ushuhuda wa kanisa. *Huu ndo udhaifu wa makanisa yetu ya sasa* tofauti na tuliko toka miaka ya 1995 kurudi nyuma.(pale wamama,wazee wa kanisa,mama mchungaji,kiongozi wa vijana wameisha kufikia na kukwambia kwa upendo ndugu VIPI hatuelewi,tuweke wazi tusiingie kwenye dhambi ya uzushi,uongo na makwazo,ndo unatiririka...Basi wanakushauri,punguza ukaribu,au Toa msimamo mjulikane Rasmi su Jitahidi kulinda Ushuhuda kuweni na mipaka na kiasi.
👉(Labda niwape siri ya Saikolojia ya Mahusiano ya Kirafiki au Uchumba, *_Wale wanaohusiana(Marafiki/Wachumba) Hawaonagi Ukaribu wao kama ni Mkubwa,uwa wanaona bado wako mbali wanapambana sana kuwa karibu,ila mnao tazama mnashika vichwa kuwa wamezidi_* ndo maana ukiwambia mpo karibu sana wanakushangaa na wanaweza kukatalia kuwa sisi tuko mbali mpaka Washirikiane kimwili ndo uona na kujua kuwa ukaribu wao ni mkubwa.Sasa hawa wanahitaji kusaidiwa kwa upendo si kuwalaumu na kuwanungunikia pembeni.
👉Kwa hiyo hapo Wanao mlalamikia Kijana,baada ya kuoa mwingine ukiwauliza nani aliongea naye wakati anamahusiano na binti wa kwanza kujua ni wachumba au rafiki tu,hayupo,au alipo chumbia mwingine walio mfuata kumuuliza vipi yule wa kwanza utakuta hayupo.
*_Tuache Kuhisi na kuzungumzia Hisia huo ni Umbea wa Kiroho_* Tafuta kweli na Usaidie kama huwezi mwambie anayeweza afanye kazi hiyo badala yako.Huo ndo Wokovu.
3⃣Nisahii kabisa *Kuvunja Mahusiano* yoyote yawe ya Urafiki au Uchumba pale unapo hisi kuna shida ambayo haibadiriki,au haitaruhusu mfike kwenye ndoa na muishi kwa amani, ni vema kuvunja kabla hamjaingia hatua muhimu na za ndani kama kulipa Mahari na kusambaza kadi...Lakini siyo urafiki kuvunjwa hata Uchumba Unavunjwa hata *Siku hiyo hiyo ya Harusi kabla ya kuweka Pete ya Agano* Ndo maana huwa wanaulizwa _Kuna neno lolote la kukufanya USIFUNGE NDOA na huyu kijana au binti?_ kila mtu anaulizwa mmevaa shera na suti, ukisema NDIYO  kwisha biashara mpaka sababu hiyo itatuliwe au ndo uchumba umeishia hapo na hapo HAKUMA DHAMBI YOYOTE, watu ndo mtalia,mtalaani,mtatukana ila ni heri kuvunja urafiki,uchumba Kuliko kuvunja Ndoa( unajikaza ile ya watu watanielewaje unahisi kwenye ndoa ni Soka ⚽ linalo chezwa vipindi viwili tofauti, 45 halafu Half time dk 15 halafu 45 za mwisho🤸‍♀🤸‍♀🤸‍♀🤸‍♀ ukishaingia umeingia ukiingia kwa bahati mbaya nenda kazibe bati hizo mbaya ziache kuvuja,au vumilia kuvuja mpaka kaburini.
👉Wanao sema au mlaumu kijana walimuuliza kujua kwa nini amevunja urafiki? halafu sasa ni Urafiki si uchumba 😏😏? Je walimsikia binti analalamika, na kama analalamika amesema makosa yake katika mahusiano yaliyopelekea kijana avunje mahusiano? Je,walitaka kijana aoe mtu ambaye amegundua hawataishi kwenye ndoa kwa amani,ajikaze amuoe kwakuwa watu wengi wanajua ni marafiki wataoana? Kwani anawaolea watu au anaoa mke wake? Kwani kwenye ndoa watu watakuwepo *_Watakapo kuwa wanalala mzungu wanne_*  wacha mtu afanye maamuzi atakayo jilaumu mwenyewe si kuwalaumu ninyi mlio *Mshinikiza kuingia kwenye ndoa na huyo mtu* hii tabia imeua ndoa nyingi za vijana wa kiroho makanisani
4⃣Kijana kupata mchumba mwingine siyo dhambi, isitoshe mpaka anachumbia,mpaka anafunga ndoa binti muhusika alikuwepo,hajalalamika, *_Kisheria uwa kuna siku 21 za kutangaza uchumba na tarehe ya ndoa,huo muda ndo una ruhusiwa kupeleka kipingamizi kwa msajili wa ndoa atakaye fungisha,hata siku ya harusi ukiweka pingamizi lenye mashiko,kati ya mmoja wapo alikupotezea muda akakuaminisha kukuoa na una vielelezo,ndoa aifungwi mpaka usuluhishi ufanyike uridhie_* Je binti alifanya lolote? Kama hakuna maanake BINTI ALIBARIKI NDOA YA EX WAKE.
5⃣Lugha hii ya chumbia chumbia, ina tafsiri 2, moja kijana anamatatizo ya kupanga mabinti foleni yaani anawatu zaidi ya mmoja wote amewaahidi kuwaoa *Hilo ni kosa kubwa katika mahusiano na kiroho* (Tafuta google au Facebook somo langu la *_Athari za kuwa na mahusiano ya uchumba zaidi ya mtu mmoja, By Ev Elisha Kazimoto_* Lakini kama kijana anachumbia wanafika mahala hawaelewani,wanaamua kuvunja anachumbia mwingine, shida ikowapi? Walitaka waoane watu wasiopatana? Lakini kuchumbia hata watu 100 siyo shida,shida unapoenda kuchumbia mtu mwingine *_Wakwanza mmeachanaje?_* kwa makubaliano au kihuni umedanganya ukampotezea? Na je ulikuwa ni uchumba au urafiki? Uchumba ni kitu kingine Rasmi,kwa kanisa,rasmi kwa familia zenu nk.
6⃣Kijana analaumiwa sana kwakuwa ni Mtumishi *Swali la msingi, Mtumishi anaishi mbinguni au duniani?* na yeye ni binadamu ila Neema aliyo nayo ndo inamtofautisha na wengine.Lakini Tunategemea mtu mwenye Viwango vya kiutumishi Afanye mambo ya Maana, ya staha maana anauwezo flani mkubwa wa Kimungu kuliko wengine,na anaonekana sana kuliko wengine kwakuwa yuko mbele anatazamwa na watu wote. *_Ila sifa hizo hazimfanyi kutokutana na changamoto_* kwa hiyo asilaumiwe kama Malaika aishiye mbinguni bado anamwili ila tumsaidie alinde Heshima ya Nafasi yake ya utumishi. Lakini pia anaweza kuwa vizuri eneo hili, eneo lingine likawa linanampa Changamoto ndo maana *Tunakamilishana kama viungo katika mwili wa Kristo* Ukimtazama mtumishi kama Alfa na Omega,akija kukoseshwa akakosea ndo mwisho wa wokovu wako. _Still is a humani being he can meet a challenge like other humani being_ Ila Neema yake ni tofauti na yako,usiige utapotea hutoonekana. (Jifunze kwa Miriam na Haruni *Hesabu 12*)Dhambi moja vichapo tofauti.
7⃣Namna ya kumsaidia kijana, *_Atulie na mke wake ameishaoa hatachumbia tena,ampende mke wake kwa bidii, amridhishe mkewe na Mungu aachane na kusikiliza watu huku ameisha oa,sasa atamwacha mkewe aoe yule wa kwanza waridhike? Ajue Huwezi wapendeza,kuwaridhisha watu wote,kila mtu ana mtazamo wake kwa kila tendo na tukio na mawazo,asiishi kwa kelele za watu aishi kwa mapenzi ya Mungu_* kama alimjeruhi ex wake kinyume na taratibu amwombe msamaha ambariki maisha yaende halafu aimarishe mahusiano yake na Mungu.
_Binadamu wote mara nyingi wanapenda ufuate wanacho kiamini wao, siyo unachojiamini vyovyote vile ufuate sasa kumbuka katika kundi la watu 50 kila watu 10 wana mawazo tofauti na kundi lingine,utafuata yupi.... Katika mskunfi 5 kila kundi linataka uamini na ufuate wanachokiamini? Hapo ndo tunashauri Sikiliza nafsi yako ina kupa Kuona nini na Mungu wako anasemaje, Achana na lugha za sauti ya wengi sauti ya Mungu...(Eliya na manabii wa Baali 450 Mungu alijibu yupi? Jua jambo moja huto waridhisha watu mpaka unaingia kaburini_
*_Ulikuwa nami mchambuzi wa Masuala ya Mahusiano na Ndoa Psychologist & Counselor  Ev Elisha Kazimoto_*
WhatsApp 0755444078
Facebook Elisha Kazimoto

Friday, 24 August 2018

KUMPATA MME

*KUPATA MME*
( _Anaandika Msaikolojia Ev Elisha Kazimoto-0755444078_)
👉Suala la ndoa ni jambo jema na ni Ahadi ya Mungu kwa watu wake ni haki yao.
👉Ila ndoa inapingwa sana na ufalme wa giza kwa kuwa ndoa ndiyo ufunguo wa baraka za mtu. Kuna baraka za pekee ambazo ukiwa peke yako hata uwe na upako wa kufufua watu hutazipata kama haujaingia katika ndoa( _Unakumbuka Andiko la Apataye mke apata kitu chema naye Ajipatia Kibali kwa Bwana?_) Kibali kinakuja na baraka( *Ikiwemo baraka ya Uzao, baraka ya kuufurahia mwili wa mwingine kiuhalali*)nk... Uzao ndo unaotoa watumishi wa Mungu,na ndo unaotoa waganga wa kienyeji-watumishi wa shetani.
👉 Kuufurahia mwili wa mwenzako ndo tiba ya Saikolojia ya mwanadamu(stress nk) ndo enjoyment ya mwisho ya mwanadamu hapa duniani.
👉Kucheleweshwa kuingia katika ndoa, anachokitafuta shetani kwako dada *_Ni kukuchanganya kisaikolojia,uondoke mbele za Mungu(uachane na kumgoja Mungu)uvamie yoyote asiyetoka kwa Mungu,shetani akupigize tapeli wa kukuumiza maishani ili upoteze baraka,azalishe watu wa kumtumikia_* (Migogoro ya ndua, stress,michepuko na Divorce )kwa hiyo unapoona kucheleweshwa *_Kuingia kwenye ndoa_*, Usichanganyikiwe na kukata tamaa bali jipange vizuri,omba ongeza viwango vya kumpenda Mungu.
👉Kupata mme,hakuhitaji nguvu nyingi za kimwili,bali maarifa ya kiroho na kisaikolojia ili ukae vizuri *Site* kwenye nafasi ya kukutana na mtu wako kutoka kwa Bwana.
👉Muda wa Kuchelewa,ndo muda *_wa kujifunza na kupunguza changamoto zako na kuongeza uwezo kimwili na kiroho wa kumumiliki mume,ni muda wa kuonyesha upendo wako kwa Mungu kuwa uoendo wako kwa Mungu haufungwi na vitu au hali ila Uzuri wa Kristo wa Kukuumba kwa Kusudi lake_* kwa hiyo unahitaji kumwamini Mungu hata katika ukimya wa Mungu usioonyesha Dalili ya matokeo unayo yahitaji.Hiyo ndo Imani Kuu.
( _Haujachelewa kwakuwa we Mbaya,No,kila kitu alichokiumba Mungu alikiona ni Chema,nawe umeumbwa kwa uzuri wako pekee wa kushangaza yupo atakaye ugundua na kuutafuta_)
*Nitakushukuru kwa kuwa nimeumbwa Kwa jinsi ya ajabu ya kutisha. Matendo yako ni ya ajabu, Na nafsi yangu yajua sana,*
*Zaburi 139:14*
_Walio chelewa kuolewa wameisha kufa tayari,ila uliye hai bado,unangoja muda wa Kusudi la Mungu kwako kuwa katika ndoa_
Inuka iambie nafsi yako sijacheleweshwa, nimesubirishwa kwa kusudi kubwa la Kimungu nililo libeba.
*_By Ev Elisha Kazimoto_*
Whatsapp 0755444078.

Wednesday, 22 August 2018

CHAGUO LA KWANZA NA CHAGUO LA PILI KATIKA KUOA NA KUOLEWA

💢💢 *CHAGUO LA KWANZA NI LA WENYE SIFA ZOTE,CHAGUO LA PILI NI KWA BAADHI YA VIGEZO - USICHEZEE UJANA*💢💢
     _By Mwanasaikolojia Ev Elisha Kazimoto_
WhatsApp 0755444078
Call 0657557570
Facebook Elisha Kazimoto
.........................................
*_Shalom karibu katika Meza ya Uchambuzi wa Kisaikolojia katika Mahusiano na Ndoa, na mchambuzi Ev Elisha Kazimoto_* Ambapo leo naangazia Changamoto ya Kisaikolojia inayo sumbua mahusiano na ndoa baadhi za watu zimeyumba. Ili kuwasaidia vijana wa aina mbili wajipange vizuri Kisaikolojia......
1⃣Kwa vijana wote ambao bado wao ni vijana haswa kwa maana ya kwamba hawajakutana na changamoto ya *_Kuzaa mtoto/watoto kabla ya ndoa_* bado ni vijana na bado ni Bikira  hao ndio nawaita *Chaguo la Kwanza*(First Selection/First Priority ) Naomba ufuatane nami hatua kwa hatua waweza ukapata *Ukakasi wa kunielewa mwanzoni* kwakuwa wewe ni Muhanga wa Daraja hili(Haumo) hapa nazungumzia mambo ya Kisaikolojia na Kanuni za Kisaikolojia ili kukusaidia wewe uliyemo kwenye Daraja hili au ambaye Haumo kwenye Daraja hili, *_Ili ujue namna ya kuendesha maisha yako usije jipa stress na baadaye ukafanya maamuzi mabaya ya kukugharimu_* Lakini usije ishi maisha flani kama mwenye sifa zote kumbe hauna,au ukaishi maisha kama asiye na sifa zote kumbe unazo, hapa mimi nakupa Experiences za Kisaikolojia.
2⃣Vijana ambao kwa *Bahati mbaya* wao wamejikuta wanaishi maisha ya Uzazi lakini bado ni vijana kwa maana kwamba *Hawako kwenye ndoa* wanahitaji bado kupata wenzi wao,ila changamoto ni *_Kwanza anamtoto/watoto amezaa kabla kuoa au kuolewa_* amepoteza ubikira wa kike au wa kiume katika maisha ya *Duniani* kabla ya kuokoka, na wengine ndani ya wokovu lakini *_Amemrudia Mungu na anampenda Mungu kweli_* lakini anakutana na changamoto kubwa za kupata mtu anaye mpenda jinsi alivyo baada ya kupoteza sifa kadhaa( _Nitegee sikio, siyo muda wa kujilaumu,Inuka uwe hodari na moyo wa ushujaa Bado liko Tumaini kwa Bwana_) Imarisha Saikolojia yako umgojee Mungu mme wako/mmke wako yupo.
*_Mwanasaikolojia Ev Elisha Kazimoto_* naendelea kukufunulia siri za kisaikolojia namna uwezavyo kuishi na ukafanikiwa kupata mwenza wako.
🌡Kwanza kijana inabidi ujue kuwa kila mtu( mwanadamu) *_Anapenda Upekee na Usiri(Uniqueness & Privacy ) hiyo ni kanuni ya kisaikolojia na mara nyingi hata asiye na sifa hizo mbili upekee na usiri utafuta watu wenye sifa ya upekee na usiri. kuamua kuzipotezea sifa hizo siyo Nia ya moyo Ni Mazingira yamelazimisha_* ila nafsi yake ilitaka sifa hizo.
🌡Kwa maana hiyo kijana jua *Chaguo la kwanza* la kijana au binti moyoni mwake ni _Apate Kijana au Binti aliyejitunza, ambaye niyeye kama yeye hana majukumu nyuma yake ya kiuzazi,au anauzoefu wa miili ya watu tofauti tofauti_  *Swali ni kwa nini wana taka hao na wana sita kwa waliopoteza sifa hiyo ya usiri na upekee?* Ni kwasababu ya hofu yakuweza Kumiliki mahusiano ya Ndoa kwa mtu ambaye ameisha tangulia mbele yake(kimajukumu na kisaikolojia), uwezo wa kukidhi mahitaji ya kihisia kama au zaidi ya walio mtangulia mbele yake (kuujua na kuutumia mwili wako)kama atakuwa chini ya viwango je itakuwaje, au akiwa juu ya viwango itakuwaje, Hofu ya Kulinganishwa(Worry of Comparison)kati yake na alopita, Uwezo wa kudhibiti mawasiliano,mahusiano kati ya mwenza wake na Mzazi mwenza wa mwenzake( Ex-B/G) wa mwenza wake aliyefanikiwa kuujua mwili si mara moja wala mara mbili wa mwenza wake, haya ni maswali ya Kisaikolojia,wewe unaweza usiyawaze sasa kwakuwa bado hujaingia katika Ligi la Utafutaji au Utafutwaji na kuona milango inagoma kufunguka,ila *_Nakushauri kama mwanasaikolojia, Kijana kama bado Huja Zaa/Kuwa na mahusiano ya Kimapenzi_* usijaribu kabisa Linda sifa zako za chaguo la kwanza( *_Utakuwa na Nafasi na Uwanja mpana wa Kuchagua au Kuchaguliwa_*)
👉Unapaswa kujua jambo la msingi katika Saikolojia za watu wanatofautiana mtu na mtu,Unavyo tazama sivyo mwingine anavyotazama, _Ukidhani unavyoona ndivyo wote wanaona waweza walaumu watu wengi kumbe ni mtazamo wako tu_ ila unapaswa kujua kuna *Variation of Perceptions* Kuna vijana ambao kwenye maisha wako Tayari wakae hata miaka 45 bila kuoa ila *Asioe mtu Mwenye Mtoto Nje* hivyo hivyo na wadada kuna ambao walishajiapiza *Heri achelewe kuolewa au asiolewe kuliko kulea mtoto wa mwanamke mwenzake* hawa wote ni vijana wenye haki zao za kisaikolojia kuwaza hivyo na kusimamia maamuzi yao ( *Hapa Tunaondoa mambo ya Mapenzi ya Mungu*) Saikolojia ni Saikolojia na Mapenzi ya Mungu ni ya Mungu lakini ni muhimu kujua kuwa Kuvuruga Kanuni moja wapo ya Kisaikolojia inaweza kuvuruga pia Mapenzi ya Mungu(Kwa sababu Saikolojia haipingani na Mapenzi ya Mungu)
👉Kwa maana hiyo Kuna namna ya Kuishi Kisaikolojia kama *Huja Poteza Sifa zako za Kimwili,kiujana na Kuna namna ya Kuishi kama Umepoteza sifa moja wapo ya Ujana* Huu ni ushauri wa Kisaikolojia utakusaidia.
👉Ukiwa mwenye sifa zote za ujana jua *Upo kwenye Mioyo ya Watu wote wenye Listi ya Chaguo la kwanza la watu wanao pendwa kama chaguo la kwanza hivyo punguza Stress za nimechelewa,na ondoa Nyodo za Chambua chambua sana Be Smart and Focused* ila kama umepoteza sifa moja wapo utakuwa kwenye Listi ya Chaguo la Pili la *Kama nikikosa wooote,na nisione njia basi Hata wa sifa hii naweza mchukua* Vijana kuwa Makini, mengine si Mapepo,wala Roho za Kukataliwa ila Sifa(Qualifications)zimepungua ndo zinaongeza changamoto ya kukataliwa
🌡 *Kwako kijana ambaye ni Kijana ila ni Mzazi au umepoteza Heshima ya mwili wako* Kwanza jikubali,usijione asiye faa ili ujenge Ujasiri wa Kisaikolojia ila ukweli unabaki palepale kuwa Sifa moja,mbili au tatu Umepoteza ila haujapoteza Maisha umepoteza nafasi ya Kwanza ila bado ipo ya pili,( *_Tafuta somo langu la Uzaliwa wa kwanza kwenye Google, by Ev Elisha Kazimoto_*) na bado Unauwezo wa Kufanya vizuri sana katika nafasi ya pili ukawashangaza watu hata wa nafasi ya kwanza.
👉Pili hakikisha Unampenda Mungu sana, sana yaani miongoni mwa watu wanao upendeza moyo wa Mungu nawe uwe miongoni mwao kwa kujiachilia kwa Bwana ili *_Akuvike Vazi la Heshima_* katika nafasi yako hiyo ya Pili uonekane *Unafaa* hapa ndo watu wanapoteza mwelekeo, *_Sifa za Kimwili Hana na Sifa za Kiroho hana_* unategemea muujiza gani? Muujiza ni wewe kuvaa sifa za Kiroho ili pamoja na mapungufu yako uonekane bado wee ni dhahabu yaani watu waone kwa sifa zako *_Pamoja na kuwa upo changuo la pili ila unafaa kuliko walio daraja la chaguo la kwanza_* sasa hapo unahitaji kufanya kazi ya ziada na inawezekana kwa kanuni za Kimungu tu,siyo kusoma sana,kumiliki pesa na vitu ndo utamshawishi mtu wa kuwa nawe kama mke au mme, No, kama siyo sifa za Kimwili basi sifa za kiroho.
🔭 *Vitu vinavyo tizamwa kwa Darubini*🔭
♦Nidhamu ya mahusiano kati yako na watu wa jinsia nyingine. _Kuwa makini unavyo husiana na watu wengine,kuwa na nidhamu,adabu na heshima_ na hasa ukiwa na watu wa upande wa pili wa jinsia yako kuwa makini sana, usije ukajirahisisha ukaruhusu kuchezewa mwili wako kwa namna yoyote kwa sex,au sexual plays( *Wakati unakovu la sifa*) eti kwa kisa una mlinda asije akakuacha hapo ndo utakuwa unazidi kupunguza CV yako na kuonyesha makosa yako ya Awali hayakuwa ya bahati mbaya ilikuwa ni Tabia yako.
♦ *Kauli zako* Hapa ni seme na vijana wa kike,kuwa makini na kauli zako unapo kuwa unatafutwa kuingizwa kwenye safari ya mahusiano, kauli za Dharau,Kibabe, kuchagua sana zinaweza kukugharimu pale *_Aidha umri ukianza kupanda sana,au umeisha poteza sifa moja wapo,umeingia daraja la pili_* utakuta umejizalishia jaribu la kusubiri sana watu ambao wengi wanataarifa Hasi juu yako.( *_Uwe Daraja la Kwanza,au la Pili Chunga Kauli zako kwa jinsia nyingine isiyo yako_*)waweza poteza nafasi mara 2.
♦ *Tabia yako* Tabia ni matendo yako ya kila siku,huwa yana nguvu ya kushawishi watu kukubalika au kutokubalika(Personality yako). _Hapa kuna tabia za Kiroho na za Kimwili_ wapo wanaopendelea tabisa za kiroho kuliko za kimwili na wengine za kimwili kuliko za kiroho sasa mjanja wa Kisakkolijoa *_Anajitahidi Kumiliki zote za Kiroho na za Kimwili_* asionekane ana pwaya eneo.
♦ *Namna ya Kuwasilisha Maisha yako ya Nyuma* hapa kuna changamoto kubwa, Nimekwambia kila anaye kuja kwako awe ni kijana wa kike au wa kiume, Kisaikolojia hataki kusikia Historia yenye Hitirafu, anataka asikie ulivyo pambana na kushinda, sasa kama ulishindwa unafanyaje?
👉Wapo ambao ufanya kosa la kuficha hali halisi ya maisha yao ya nyuma,wakiogopa kukataliwa, *_Ndugu wee unatengeneza bomu moja hatari kwa ndoa yako_* lisilo poa wala pozwa na mtu yeyote pale ukweli utakapo julikana wa uhalisia wa maisha yako na tayari safari imeisha enda mbali katika mahusiano au mmeishaoana.
👉Saikolojia ya mwanadamu inahitaji ijijenge katika kweli kama kuna mapungufu iji *Adjust* (ijisogeze)mpaka ikubaliane na matokeo hapo amani inakuwepo,ila ikiaminishwa kisicho unazalisha *Intra conflict and enter conflict*(Vita,ugomvi wa ndani kwa ndani Nafsini Mgogoro wa mtu na mtu)usio isha hapo No Adjustments.
👉Na kuna ambao Uwa wawazi sana bila kupima Mazingira nao ujikuta wanabeba sifa mbaya kila mtu anawaona hawafai. ( *Ndo maana nikasema namna ya kuwasilisha Maisha yako ya awali kwa mwenza wako ndo changamoto*) unahitaji kutumia saikolojia kubwa kujua saikolojia ya mwenzako ndo ujue namna ya kuwasilisha maisha yako ya nyuma.
1⃣Hakikisha Haujidharau kama asiye faa baada ya kupoteza sifa,onyesha uwezo wako wa upya wako wa sasa na uwezo wako kwa mwenzako na unavyo chukia kosa la awali.
2⃣Usipende kuongelea ma ex, ex zako sana  na huyo mtu anayeanza kuonyesha kama anakuhitaji hata kama walikujeruhi sana au walikupa raha sana. Ongelea sana maisha ya wapendanao sasa(upendo wenu) na namna ya ku care,ku love na kulinda mwenzako ulo mpata.
3⃣Usipende kujieleza in and out kabla ya kujua mtazamo wa mtu huyo juu ya *watu wenye sifa kama zako* anawachukuliaje...Unaweza jikuta unapoteza muda naye kumbe hana mpango na watu kama wewe tumia mifano aidha ya kutunga ukiwazungumzia watu wenye sifa kama zako walivyopata shida kwenye mahusiano, na wewe onyesha kama vile watu hao unawakubari nusu na nusu huwa kubari na muulize angekuwa yeye,au yeye watu wa aina hiyo anawachukuliaje?, zoezi hilo liwe endelevu kabla ya kutoa siri ya Asili yako.
4⃣Jiridhishe kama ni miongoni mwa watu wanaofaa kuwa nao,anasifa ulizokuwa unatamani.
5⃣Mwonyeshe wasiwasi wa kumkubalia,lakini kuwa Caring person kwake,chunguza kama amezamilia kukupenda kwa ndoa au kwa sex.
6⃣Muulize kama anauwezo wa kulea mtoto asiye wake kama wake,wakati baba au mama yake yupo, na Kwa nini amlee au asimlee. Zoezi hilo liwe miongoni mwa maswali yakujirudia rudia si kila siku ila baada ya muda flani.
7⃣Utakaye jiridhisha amekupenda pia,mwambie Mistake yako ya kimaisha uloifanya lakini unaichukia isimtokee mtu yeyote wa karibu nawe,lakini onyesha jinsi ilivyo kuchonga na kukufundisha na kukupa kuwa bora zaidi ya awali.
*_Ukianza mahusiano onyesha uwezo wako wa kupenda na kupendwa na kujali sana,mahusino yanahitaji Akili kubwa sana kuliko Nguvu_* haya yote ni mambo ya kisaikolojia usipo kuwa nayo makini waweza subiri sana bila majibu.Lakini kuna wengine wanadharau na kuchezea maisha ya ujana sana kwa mlo mmoja( *Tafuta kwenye google somo langu ka Usichee Mwili wako Tena by Ev Elisha Kazimoto*)utaona mambo niloweka bayana.
_Niishie hapo ulikuwa nami mchambuzi wa Masuaka ya Mahusiano na Ndoa, Mwanasaikolojia Ev Elisha Kazimoto_
Whatsapp 0755444078
Facebook Elisha Kazimoto

Thursday, 16 August 2018

MAMKWE ANAMZUIA BINTI YAKE ASIRUDI KWA MMEWE

*Swali*:
habar ndugu
Naomba mnisaidie nini nifanye
nilioa tumekaa na mke mpaka akashika mimba kakaaa miez 9 akiwa anakaribia kujifungua akaomba akajifungulie nyumban kwa uangalizi zaid kwakuwa tuko jilani na kwao mwendo wa vijiji 3
sasa baada yakujifungua  anagoma kurudi kwangu

tatizo analodai ni watoto nilio zaaga enzi za ujana nikiwa mwislam nilivo okoka ndo nikamuoa yeye na hayo yote nilimwambia kabla ya kumuoa

saizi mama mkwe ananiambia uyu mwanangu sio wakumsuka twende kilioni au kilimanjalo
na staki mwanagu awe mke wa 4
lakini mihao mabinti nilio zaa nao wote wameolewa na wanafamilia zao
   jamani imenivuruga akili nilishukuru kanisani nikiwa nafuraha mke wangu akiwa na mimba ila leo nalia sipati jibu naomba nisaidieni jaman
..........................................
*_Anajibu Msaikolojia na Mchambuzi wa Masuala ya Mahusiano na Ndoa Ev Elisha Kazimoto_*
........
........
*Nihitimishe Mada hii kwa Mtazamo wa Kisaikolojia na Kifamilia*
     Mchambuzi Ev Elisha(whatsapp 0755444078)
❣ _Maisha ya ndoa yanahitaji mambo kama 3 kwa watu makini waliokusudia Kuoa au Kuolewa_
1⃣ *Ndoa inamwitaji Mungu* _Hii ni kwa wale wanaoamini katika Mungu na nguvu zake na ukombozi wa mwanadamu kwa njia ya Yesu Kristo_ Hapa mwana ndoa inakulazimu kila siku katika maombi yako kujiombea ( *Mapungufu yako yasiwe mwiba kwa mwenzako*) na kumfanya ajute kuoana nawe,lakini mapungufu yako yasiwe chanzo cha migogoro katika ndoa yenu. Pili unahitaji kumwombea mwenzako(Mapungufu yake uyaone ni sehemu ya ubinadamu kila mwanadamu anamapungufu,ila Mungu akupe Neema ya kuyajaza/kuyafunika ili muishi kwa amani).
👉Katika sekta hii ya kumwitaji Mungu katika ndoa,ni muhimu sana wana ndoa kujua, Amani,Upendo na Furaha katika ndoa ndiyo ustawi wa mafanikio ya familia ya wana ndoa na ndo sumu ya kuua ubaya wowote unaokuja kutoka nje ya ndoa yenu,lakini mnapaswa kujua *_Hakuna kitu kinawindwa katika maisha haya ya mwili kama ndoa_* ni kwasababu ndoa ndo chimbuko la mambo yote mema na mabaya,(ibada safi kwa MUNGU na ibaya ovu ya mashetani vyote vinaitegemea ndoa.)
👉Kwa maana hiyo,kwa changamoto yoyote inayotokea katika ndoa kwa mwenzako *_Usiwahi kwanza kumshambulia mwenzako na kumuona mwenye makosa,kwanza angalia nini MTEGO WA SHETANI kupitia changamoto hii analenga KUKUDHOHOFISHA upande upi?, kiroho,kihuduma,kiuchumi,nk_* tafakari kwa muda,uwe mfupi au mrefu kidogo ndipo uombe Neema ya njia ya kutatua changamoto hiyo.
👉Mbali na hapo jiwe moja mnalo rushiwa na adui la changamoto ndogo au kubwa linaweza kupiga vitu 5 mpaka 7 na kuvijenga inakuwa ni gharama na makovu ya kudumu.. *Jiwe lina kuja moja ila*....
i)Linapiga ndoa inatokea Divorce(kuachana)
i)Linapiga amani mnaanza kuishi kwa kupishana ndani kama basi na bodaboda(kununiana)
iii)Linapiga kiroho chako(aliye na majeraha ya moyo hawezi kumsogelea Mungu kwa furaha)
iv)Linapiga huduma(unaanza kuona huduma ni ngumu,unaifanya kiubishi maana ndani moto unawaka)
v)Linapiga watoto(mnakuwa na malezi mawili tofauti,kuna watoto wa baba na wamama,au wanakosa kauli moja ya wazazi wanapata kauli nyingi)
vi)Linapiga maendeleo, (katika migogoro huwa hakuna maendeleo kuna kupambana kujihami)
*_Mwana ndoa, ndoa yako niyakuombea sana kila siku inawindwa mno ila Mungu niwa Neema anatupa kushinda_*) Point to Note: Kumbuka HUJAOA AU KUOLEWA NA MALAIKA,WALA HAMPO MBINGUNI,kwa hiyo jipange kumsaidia mwenzako kama mwanadamu aliyeko duniani na Si kumlaumu kama malaika aishiye mbinguni.
*Kwa hiyo baba huyu kama anamjua Mungu ayatafakari haya,na kuyafanyia kazi Bado nafasi ipo ya kubadiri mabaya kuwa mema.*
♦Bado uko na mimi Mwanasaikolojia na mchambuzi wa Masuala ya mahusiano na Ndoa  *Ev Elisha Kazimoto* tuigeukie sehemu ya Saikolojia.
2⃣ *Kisaikolojia* _Ndoa ni Hisia ya upendo kwa mwenzako,zinazo kuonyesha upekee,uzuri,ubora wa mwenzako na uwezo wake wa kutimiza furaha yako ya maisha_.  👉Kama *Ndoa ni Hisia* basi hisia huja,hisia utoweka,hisia ulindwa,haya mambo 3 ni muhimu kuyajua kama mwana ndoa.
👉 *Hisia uja, Hisia Ulindwa* Hisia kwa lugha nyingine zinatengenezwa, kuna mazingira yakiwekwa namna flani yanatibua hisia,kazi ya mwana ndoa ni kuhakikisha anajitahidi To develop(kutengeneza) hisia zilizo mfanya mwenzake aone yeye anafaa kuwa mwenza wake na kujitahidi kila mara kutafuta vitu vipya na kuboresha vilivyopo ili kuhakikisha hisia za mwenzake zina kaa juu yake.
👉 *Biblia ina sapoti Saikolojia hapa ona kitu hiki anachokisema mtume Paulo ni cha kisaikolojia cha kulinda Hisia,kuchochea hisia*
33 bali yeye aliyeoa hujishughulisha na mambo ya dunia hii, jinsi atakavyompendeza mkewe.
1 Wakorintho 7:33

34 Tena iko tofauti hii kati ya mke na mwanamwali. Yeye asiyeolewa hujishughulisha na mambo ya Bwana, apate kuwa mtakatifu mwili na roho. Lakini yeye aliyeolewa hujishughulisha na mambo ya dunia hii, jinsi atakavyompendeza mumewe.
1 Wakorintho 7:34
👉Ukiyajua hayo changamoto nyingi zitapungua katika ndoa yako. Wengi wa wana ndoa wamesahau kipengele cha Saikolojia wamezama rohoni na rohoni nako hawafanyi yote yanayo takiwa wamebaki katikati, wengi wao *_Wakioa na kuolewa wanaona WAMETIMIZA NDOTO basi wanabaki kuishi kawaida bila kuhangaika kwa mwenzako.Ndo maana mtu anaweza ona mwenzake kawaida,asijiangaishe kutafuta namna gani ampendeze ila tu bora liende,na ikiwa bora liende ndo Kuumizana kunaanza kuja na mtu hajali kwamba amekuumiza,anaendelea na maisha yake. Huu ni UDHAIFU WA KUTOJUA SAIKOLOJIA,kila siku tunajifunza tufanye vizuri,si kwamba tumejua yoote yatosha ila Tunaongeza maarifa siku kwa siku ili tulinde Furaha yetu_* hapo ndo tunazitendea haki nafsi zetu.
👉 *Hisia Ufa* Kufa kwa Hisia ni kifo kibaya katika ndoa(kwakuwa ndoa ilikuwepo baada ya Hisia Kuzaliwa kati yenu na kuwa hai), Hisia ikifa ndo mwisho wa Mategemeo yako yote ya kimaisha katika kuwa na mwenzi. ( Hisia kufa ni matokeo ya Kurundika changamoto na makosa madogo madogo yasiyo tafutiwa ufumbuzi),lakini pia Hisia ufa ikiwa ni matokeo ya Kutojali Hisia za mwenzako na zako zinakufa juu yake. *_Ndo maana wana ndoa wengi waweza ona wanaishi,lakini wanaonana kama mtu baki tu,basi tu nimezaa naye watoto,_*) _Yaani asikii shahuku,mvuto,hamu kwa mwenzake kama aliyokuwa nayo wanachumbiana au wameoana wiki za kwanza_ (Kataa kumzoea mwenzako kiasi cha kupoteza hisia zote juu yake) Watu ambao hisia zimekufa utaona mambo yafuatayo:-
i)Haoni faida,furaha,na umuhimu wa kushiriki tendo la ndoa na wewe,anaweza shiriki au akatamani kushiriki na hata watu baki wa nje,watoto, vijana wakike au wakiume wadogo,wazee tena kwa shangwe kubwa ila kwako hakuna.
ii)Hana muda hata wa kuongea na mwenzake(chatting /kupiga story) hakuna kitu kama hicho,ila anaweza piga story na wengine kwa furaha na vicheko ila kwa mwenzake ni *Maswali na majibu* ( _Hiki kiko wapi,.... Pale...., pesa ya mboga....... Njoo uchukue..._) hiyo ndo life style ( Tafsiri ya kisaikolojia ni Hisia zimekufa juu ya mwenzake)
iii)Kumzungumza vibaya mwenzako kwa watu wengine nje. Yaani kati ya viashiria vibaya sana kwa ndoa iliyokufa hisia ni mwana ndoa kuzungumza Udhaifu wa ndani kwa watu wengine si kwa kumsaidia ila kama kumkomoa,kumwaibisha aonekane ovyo,si lolote,...Kumbe anajivua yeye mwenyewe. Hisia zikiwa bado hai wana ndoa wanakuwa na lugha moja,wanafichiana Aibu,wanalindiana Heshima.(Soma Matendo ya Mitume 5:1-12)  *_Baadhi ya wengine waweza kupigana,kutofautiana ndani ila wakienda nje kwa watu utadhani wanaishi mbinguni_* hawa si kwamba ni wazuri kwa wafanyacho,kuna kona ya saikolojia na kiroho bado imewashinda ila HISIA HAZIJAFA, zinapotea na kurudi.Wanahitaji wasaidiwe ili walinde hari ile wanayoonyesha kwa watu ikae na nyumbani mwao.
👉Kwa mantiki hiyo, baba huyu inabidi afanye Assessment (uchanganuzi) wao wapo level gani hisia zimekufa au bado na maisha yao kabla ya kwenda nyumbani yalikuwaje,kuna changamoto zilikuwa zinajitokeza wanazi handle(tatua)vipi,au zilijirundika zikatengeneza sumu baada ya kwenda kwao zimeanza kurudi moyoni na akilini ndo zinampa ugumu wa kurudi. Akisha fanya uchambuzi huo na kujua apate nafasi ya kwenda kukaa na mke wake waongee kama wana ndoa kiufundi siyo kimamlaka aone kama anaweza fyonza sumu yote na kupanda sura mpya ya mabadiriko.
3⃣ *Ndoa Kijamii/Kifamilia* Hapa niongee na mke,mme na wazazi wote mnaosoma uchambuzi huu. _Ndoa niya watu wawili walopendana katika shida na raha,wao ndo wanayatazama maisha yao na kuyapenda au kuyachukia,na wao ndo wana mikakati ya kuyaboresha, wengine wooote ni washauri wasio na Maamuzi kwa ndoa( *Biblia imesema ndoa na hiheshimiwe na watu wote*) wazazi,ndugu,marafiki yaani wote... Inapotokea wazazi,ndugu,watu wakaruhusiwa Kuisemea ndoa yako,kuwa na maamuzi ya ndoa yako,kuwa nauwezo wa kuzuia au kuruhusu hisia zako mpaka hapo ndoa yako ipo matatani haiwezi simama_ kumbuka Binadamu wote tumeumbwa kwa hisia na mitazamo tofauti tofauti, *_Unachokipenda wewe mwingine anakichukia,unachokiona wewe kinashida,mwingine anakiona kawaida sana, unachokiona tabu mwingine anakiona ni changamoto ya kawaida_* sasa hapa ndo watu upoteza ndoa, maana wewe mwenzako ulimpenda, anawatoto,anamaisha ya chini, ila wazazi,ndugu,marafiki wanakwambia HAIWEZEKANI ukaishi maisha hayo kaa hapa nyumbani, nawe unakubali.. Tafsiri ni kwamba hujui Hisia zako na maana ya ndoa.
👉Lakini anayekushauri usirudi kwa mmeo,au muachane yeye *Ana mume wake,au mke wake* hawajaachana,si kwamba wao hawana changamoto,zipo nyingi ila wanavumiliana,wanalindana wanaenda bado wapo pamoja,ila wewe unashauriwa usikae kwa mmeo.(TUMIA AKILI)
👉Na mwingine anakujaza jeuri,ila kaachana na mwenzake hana la kukujenga kulinda wewe msiachane,mpaka awe mtu mwenye busara sana wakutumia mapungufu yake kuongoza wengine.
👉Mwingine hajaingia kwenye ndoa ndo anakuteka na kukujaza jeuri,hajui umuhimu na uchungu wa ndoa(TUMIA AKILI)
*_Kwenye Post yangu moja nimesema, Ukiona Umepata ndoa,Jaribu kutumia Akili yako yote na nguvu zako zote kuilinda,kuna watu miaka inasonga 30s,40s,50s hawana ndoa wana viruka njia(au wapo kama wao wametulia,tabia safi,elimu ipo,pesa ipo) ila no Partner  wanatamani walale waamuke wakute wanaitwa Mr/Mrs ndoto hiyo haijawai timia,wanatamani wampate hata huyo mwenye mapungufu lakini haji...Linda ndoa yako._*( By Ev Elisha Kazimoto 0755444078)
👉 _Kuishi kama *Single Mother, single Father Siyo dili* kuna wengine kwa tabia zao Feki na ovyo wamejikuta wameachika halafu wanatamba na kujisifu eti maisha ya kuishi peke yako Raha Sana, Hakuna Stress..... Uongo mkubwa,miongoni mwa watu wenye Stress kubwa na Chungu, kuliko ambaye hajaolewa ni Walioachika Kizembe halafu Hawajaolewa tena,hawa wana stress ambazo ni sumu hata kuwa sikia usitamani kusikia story zao_ kuna wale waandaaji wa vicheni pati hawa watu *Si wakupewa Maiki kuzungumza* wana sumu mbaya kwa watoto wetu wa kike,uchungu wote wa kuachika wanaumimina kwa wadada wanaoenda kuanza maisha mapya ya ndoa,wanajifanya wanawapa mbinu za kukomaa wao kama wao watengeneze maisha wasitegemee mme kumbe anakupa mbinu ya kuachika. *Wewe Mama Rudi kwa Mmeo* mama yako anayekushikiria hapo yuko na Mme wake ambaye ni Baba yako.
*_Mwisho niseme baba huyu, atulie aombe,aende amwambie mama mkwe na baba mkwe na mke wake wote 3 hivi, Mke wangu njoo,rudi nyumbani tujenge maisha yetu,tulee watoto wetu, maisha ni yetu wawili,tulipendana katika mazingira haya,na umaskini na utajiri ni vipindi vya maisha kama ulivyo usiku na mchana,ambacho hatujui ni masaa(saa ngapi),ifike asubuhi au usiku ila mchana unakuja twende nyumbani. Wazazi wape neno la Hekima, kwamba wazazi wetu,tunategemea ninyi mtushauri na kutuunganisha katika changamoto zote za kimaisha ili nasi tuwaandalie watoto wetu maisha ya baadaye,maisha ni mabadiriko yanayo ratibiwa na Mungu huwezi jua baada ya muda mimi nitakuwa msaada wenu,kutoka katika changamoto hizi zote maisha yaweza badirika kwakuwa uchafu wote nilisha uacha na sasa nina Mungu muda wowote naweza kunena lugha mpya ya maishavmapya ya mafanikio. Mruhusuni mwanenu ambaye ni mke wangu twende tujipange na maisha,kukaa hapa si Suluhisho ila nikuanzisha historia mpya ya kuitwa aloachika,aliyeshindwa ndoa. Na maneno mengine mengi sema na mkeo akuelewe. Akigoma Rudi ukae nyumbani kimya mwombe Mungu mkeo atajileta mwenyewe bila kufuatwa_*
Imeandaliwa na Mwanasaikolojia na mchambuzi wa masuala ya ndoa na Mahusiano *Ev Elisha Kazimoto*
Whatsapp 0755444078
Facebook Ekisha kazimoto

Tuesday, 14 August 2018

KESI YA KUACHANA NA KURUDIANA

🔥🔥🔥🔥Shalom mwalim natumaini ujambo
  Naomba ushauri nilikua nimeoa tukaja tukaachana na mke wangu akidai kachoka kukaa namimi skumpa taraka akaenda kwao baada ya miezi 3  akaolewa mi nilibaki na mtoto akiwa na miaka 4 sasa anamiaka 5 sasa kule aliko olewa kaachika tena anaomba arudiane nami sasa mimi siko tayar kurudiana nae koz atakule aliko olewa alikua ni mke wa pili
mimi sina mapenzi nae tena nisaidien🔥🔥🔥🔥
*_Nionavyo mimi kwa Kesi hii,ila wewe nawe usomaye una namna unaona_*
    Ev Elisha Kazimoto(Whatsapp  0755444078)
........................................
*Hapa kunahitaji Operation ya Kiroho na Kisaikolojia*
_Nianze na Operation ya Kiroho kwa kumsaidia huyu mwanaume aujue mtazamo wa ndoa Kiroho kama anasema Mkristo,sijui ni Mkristo tu au aliyeokoka, kwa vyovyote maadamu amekuja Wodini ngoja Aingizwe Theatre_
👉Ndoa ni Agano ambalo linahitaji kulindwa kwa namna yoyote lisivunjike,ndiyo maana kabla ya mtu kuingia kwenye ndoa watumishi wa Mungu wa Kiroho wanafundisha na wanasaikolojia tunataadharisha, *_Usiingie kwenye ndoa na mtu kwa kumtamani tu,kwa hisia ambazo uchemka muda mfupi baadaye zinakata,ingia kwenye ndoa na mtu ambaye nafsi,moyo na mwili umemkubali kwa aina yoyote umejitathimini kuwa mpaka uzeeni na kifo sita mwacha_* kwakuwa agano la ndoa lina nguvu kubwa ya kuunganisha mioyo,miili na nafsi na linabeba hatima ya kesho yenu(likivunjwa inabindi livunjwe lisijengwe tena kiholela)
10 Lakini wale waliokwisha kuoana nawaagiza; wala hapo si mimi, ila Bwana; mke asiachane na mumewe;
1 Wakorintho 7:10

11 lakini, ikiwa ameachana naye, na akae asiolewe, au apatane na mumewe; tena mume asimwache mkewe.
1 Wakorintho 7:11

15 Lakini yule asiyeamini akiondoka, na aondoke. Hapo huyo ndugu mume au ndugu mke hafungiki. Lakini Mungu ametuita katika amani.
1 Wakorintho 7:15

👆Andiko hapo limesema, Mtu asimwache mwenzake,ila atakayethubutu kuacha,siyo kuachwa,...Ukiacha kama unapenda kukaa katika haki basi hesabu Biashara ya ndoa kwako mwisho kaa single mpaka kaburini, na yule uliyemwacha hapaswi kuoa au kuolewa kwakuwa mwenye agano naye bado yuko hai,hapo ndo Biblia imesema mkikaa mkaona usingo umewashinda RUDIANENI katika angano lenu maisha yaende.
👉Ila alieyondoka aliyeondoka AKIOA AU KUOLEWA(yule aliyeachwa AGANO LAKE LIMEVUNJIKA maana yule ameanzisha agano lingine,katika ulimwengu wa roho hatunaga maagano 2,kuna agano moja,kwahiyo aliyeachwa YUKO HURU KUOA AU KUOLEWA,au aliyeondoka Akifa uko huru kuoa au kuolewa huna aganao na mtu tena.
👉Huyu baba ayakue hayo,asiumize kuchwa,mwanamke alishajichanganya,na alisha vunja agano lake liko kwa mwingine,Temdo la kuolewa ndo alivunja agano la mme wa kwanza,so mume huyu ana haki ya kuoa au kukaa bila kuoa ila SI KURUDIANA NA MKE YULE.
👉Mpaka hapo yule mke wa kwanza hana sifa kiroho za kurudi kwa mme wake wa mwanzo,kwakuwa Alishaolewa( *_Huo ni udhalilishaji,dharau kwa mme wa kwanza_*)mpaka unaolewa inamaana Umefunga mafaili yoote ya mme wa kwanza moyoni mwako na kuyatia moto ili usajiri maifaili mapya,upendo,hisia zoote alishaondoa kwa mme wa kwanza,mpaka unaolewa tayari yule wa kwanza unamuona kama kaka yako,mahaba yanahamia kwa mwingine.
👉Kisaikolojia hana ukweli wowote wa anarudi kwakuwa anampenda mme wa kwanza,ila kwasbabu AMEACHIKA KULE, swali ni angekuta kule Raha mstarehe,ASINGE RUDI. Tendo la kutaka kurudi katika lugha ya Kisaikolojia ni, *_Wewe usiye na malengo nihifadhi,wewe usiye na hisia maalumu nitunze, wewe nahitaji kuoata mahitaji ya kutunzwa ila sina mapenzi na wewe_*)
Kuna lugha nyingi sana za dharau, ambacho baba huyo anapaswa kujua,asidhani mwanamke huyo anampenda kama kipindi wanaoana ajue anahitaji asikae wa kutanga tanga anatafuta hifadhi..
👉Niseme huyo mwanamke ni miongoni mwa wanawake ambao hawakutakiwa kuolewa mpaka wanaingia kabulini maana moja, *_Hawana sifa ya kuitwa wazazi, laiti wasingepewa uzao wakaishi wakiwa TASA,hawafikirii gharama ya mtoto kukosa malezi ya wazazi wote(hasa mama) akiwa mdogo miaka 4,unakuwa umemwathiri kisaikolojia maisha yake yote_* sasa kwanini usihesabu gharama ya mtoto asiye na hatia?unamwadhibu mmeo na mtoto?mwadhibu mmeo tu....4yrs mtoto is too young.
👉Kurudi kwa mmewe wa kwanza si kwamba anakuja kulea watoto ila ndoa anawapandikiza maroho machafu na tabia mbaya wanaweza wasimweshimu hata baba.
👉Lakini mpaka hapo huyu mwanamke ni Sumu, anaweza akaua muda wowote ndani yake anakisasi kujiliza na kurudi ni Lugha za Delila na kwa Samsoni,hakuwa anampenda ila alikuwa anatafuta one day akamilishe mission yake ya Kisasi.
👉Ogopa mtu ambaye umemuoa,akatoka akaolewa,halafu akataka akurudie Huyo kama ni chakula ni kipolo kilicho chacha,kama ni bidhaa badi tayari Expired date yake inamiaka mingi ndo zile bidhaa za kuchomwa hata kama zinaonekana mpya.
NB:ASINGEOLEWA BAADA YA KUACHIKA,TUNGEMWEKA MIONGONI MWA WANAWAKE WENYE BUSARA NA WANAOHITAJI KUHURUMIWA NA KUSAMEHEWA YAANI HAPA NINGEKUWA NATOA KAULI ZA KISAIKOLOJIA NA KIROHO ZA KURUDIANA KWA NAMNA YOYOTE.
Ila kwa huyu ndugu......  PIGA CHINI,MUWE MLIFUNGA NDOA KANISANI,MAHAKAMANI,MKEKA,MLIOKOTANA MWAMBIE MIMI SIYO mnyama (mbwa)alotolea mfano bible KURUDIA MATAPISHI..... Abaki ni mzazi mwenzako wa mbali,anq haki kuwaona watoto,watoto kumtembelea,kuwahudumia ila HANA HAKI YA KUWA MKE.
*_Ukipata ndoa,jua kuna watu wanaililia ndoa miaka inaenda, hawana wa kuwashika mkononi,bado wanavumilia,wanaadamu na wanaapa wakija kuolewa au kuoa watawapenda wenzao na kuwa tunza,wewe unapata ndoa, changamoto ndogo unamuona mwenzako hafai na unaamua kulianzisha,ukisha poteza ndo utajua thamani yake pamoja na usumbufu wake_*
👉Hii tabia si nzuri mpaka kwa walioko kwenye uchumba, yaani mtu anamnyanyasa mwenzake,anamuendesha,anatesa hisia zake mpaka mtu najuta kukupenda,kukupa moyo,kuingia kwenye mahusiano nawe.
👉Mtu akisha fanya maamuzi ya KUKUPIGA CHINI kwakuwa huvumiliki, au unaamua kumuacha mtu kwa ubabe,kwa kejeki,kwa kumuumiza,kwakuwa aidha umepata KIPYA, bado anamoto wa ku care,unaamua kumtupilia mbali mlotoka mbali naye,unamuona WASTE MATERIAL yakikushinda na kule ukaachwa ndo unamuona mtu anarudi kwa uso wa huruma na upole kama kondoo,ila aliondoka kwa uso wa Dubu na Nyati, aloo ogopa watu wa aina hiyo NEVER GIVE HIM/HER ANOTHER CHANCE( hiyo ni kisaikolojia) hakuoni kama una thamani ila wewe umekuwa ZIADA,BASI TU mweda bure si kama mkaa bure. Kwenye ndoa hatuna mahusiano ya aina hiyo.
👉Ndiyo maana huwa tunawashauri wana mahusiano, ku break na kurudiana ni jambo la kawaida ila *_Kuwa makini na breaking yako, tumia busara,tumia lugha nzuri,ondoka kwa amani maana waweza rudi dunia hii inazunguka,usije taka rudi kumbe ukisha pachoma moto utapata aibu_* kwa wana ndoa ukiondoka punguza maneno ya kutafuta haki yako na kumchafua mwenzako,tulia uombe neema ya kurejeana kwa amani.Na usii gie kwa mme au mke mwingine tukia ungoje muujiza wa kurudiana.Lakini hata ukikengeuka ukaoa au olewa LINDA SIFA,NA HESHIMA ya mzazi mwenzio. Huwezi jua siku moja mtakutana wapi na nani atakuwa anahitaji kubwa la kusaidiwa na mwenzake.
............................................
*_Mtu mwovu ataki kusikia Neno ila Kuasi tu,hivyo Mjumbe Mkali Atatumwa Kwake_*
(MITHALI 17:11)My Signature.
*Ev Elisha Kazimoto(WhatsApp 0755444078*)

Thursday, 9 August 2018

SEMINA SEHEMU YA 11(ZINAA)

🛣 *SEMINA YA NENO LA MUNGU KUHUSU UTUMISHI WA MADHABAHUNI PA BWANA*🛣
   By Ev Elisha Kazimoto(Whatsapp  0755444078)
......................................
_Utumishi wa Kweli katika Kristo Yesu_
     *SEHEMU YA 11*
*Tambua Nguvu Kuu 3 Zinazo Pambana na Huduma yako*
..........
..........
..........
_Yesu Kristo Bwana wetu apewe sifa tangu sasa na milele Amina,nikukaribishe mtumishi wa Kristo katika sehemu yetu ya 11,na katika kuitazama Silaha ya 3 iliyo hatari sana kuliko zote inayosukumwa kwenye huduma ikiwa ni ya mwisho ili kusambaratisha huduma kabisa na kukuacha ukiwa Mkame Jangwani. Lakini kwakuwa Bwana ametufunulia siri hizi hatuta sambaratishwa bali tutamsambaratisha adui mwenyewe na silaha zake_  KARIBU.
💣3⃣ *Silaha ya 3 ni Zinaa(Uzinzi na Uasherati)*⚰⚰
👉 Miongoni mwa Silaha inayotesa Huduma nyingi,( *Madhabahu nyingi*) ni Zinaa. Zinaa imekuwa biashara ya shetani makanisani, siyo waumini,siyo waimbaji,wainjilisti,wachungaji mitume na manabii Zinaa inawaka moto katika nyakati hizi.
👉Huduma nyingi zimefutika,zimepoteza mwelekeo,kibali na uwepo wa Kimungu mara baada ya mbeba huduma *Kunaswa na Zinaa* kila jambo linaanza kuporomoka kwenye huduma (maombi yanazima,kusoma neno kuna zima,maisha ya utakatifu yanazima)na hayo ndiyo malengo makuu ya Ibirisi.
👉Silaha hii ya zinaa *Inatumiwa sana na shetani* kama silaha ya mwisho endapo Mtumishi wa Mungu ameshinda silaha mbili za mwanzo( *Kiburi na tamaa ya mali na pesa*) au amenaswa katika hizo silaha za mwanzo basi zinaa inaletwa kama Kifuniko cha Kukamilisha usajili na Umiliki halali wa ufalme wa kuzimu. ( _Zinaa inakuwa chapa maalumu ya utambulisho wa kumilikiwa na ufalme wa kuzimu,ukitaka kujua  Zinaa kwenye huduma ni Muhuri wa kuhamisha umiliki wa Kimungu kwako na kumilikiwa na kuzimu, kawaulize Watumishi wote Fake( *Fake pastors,fake Prophets,fake Apostles, fake Singers etc*) wanaoenda kuzimu kutafuta Upako,mvuto,utajiri miongoni mwa masharti yao ya kuimalisha Upako wao Sharti wafanye ZINAA SANA aidha na waumini wao,waumini wenzao, ndugu zao,watoto wao na viumbe vya ajabu kuzimu(majini maalumu) nk_ ) hii ni Silaha iliyo na Muhuri wa Moto wa Madhabahu ya shetani,ni nguvu ya YEZEBELI mama wa Makahaba.
👉Kwa nini silaha hii ni hatari kuliko zote na huwa inajaribiwa ikiwa ya mwisho aidha umeshinda au umeshindwa na silaha 2 za mwanzo? Ni kwa sababu silaha hii inapotumwa kwa mtumishi yeyote katika huduma inakuja ikiwa na Nguvu na Kazi kuu 3.
💪 *_1.Kuondoa ujasiri na Nguvu ya Kukemea dhambi katika maisha yako yote ya utumishi_* Fatilia kwa makini huduma nyingi hautakuja kusikia Madhabau siyo leo au kesho ikiikemea dhambi wala kusimamia misingi ya Utakatifu kwa watu(mafundisho ya Utakatifu). Kwa nini? Zinaa ikiingia katika Nafsi ya mtu, *Inazalisha Hatia katika Nafsi,na kuondoa ujasiri wa Kweli* nguvu ya kuusemea utakatifu ipasavyo inapotea,kukemea dhambi na hasa ya zinaa inapotea ndipo mtu ujielekeza katika jumbe nyepesi za mlengo mmoja wa kuwafurahisha watu tu.
👉Ikumbukwe Injili ya Yesu Kristo mwanzo wake inaanza na *Tubuni kwa maana ufalme wa mbinguni umekaribia* yaani ile Kiki,starter tu ya Yesu inaanza na Toba(ndo kusudi kubwa la Injili ya Yesu) MATHAYO 4:17,yaani Injili ya Yesu Kristo ukiondoa Toba haibaki kuwa Injili tena inabaki kuwa Taarifa zifurahishazo(kama uponyaji,miujiza nk) siyo lengo kuu la Injili japo ni sehemu ya Injili.
💪 *_2.Kazi ya 2 ni Kuondoa Hali ya Kujiamini Mbele za Mungu_* Ujasiri mbele za Mungu katika huduma ndo upelekea huduma yoyote kutimiza kusudi la Mungu. Lakini dhambi ya zinaa ikiingia kwenye huduma ya mtu,tayari anapoteza hali ya kujiamini,anakuwa mtu wa mashaka,anafanya mambo kwa kujikakamua ila siyo kwa mwongozo na nguvu ya Roho mtakatifu.
👉Na huduma nyingi za watu *_Hazina mafuta ya Roho mtakatifu,ni Kavu_* wengi wao ukiwafatilia wameisha mezwa na nguvu ya zinaa, *Hata ujikaze Vipi Mambo hayaendi* ndo maana utaona kama ni waimbaji _Wamejikita kutunga nyimbo nyepesi sanaaa zenye mlengo wa kufurahisha watu,wanasikiliza watu wanapenda nini sasa ndo wanaimba, siyo Roho wa Bwana anapenda nini sasa kuwahudumia watu wake, mpaka imefikia wengi wao kubadiri tu maneno ya mziki wa msanii wa bongo fleva na kuweka tumaneno twa Yesu, anaweza, nakupenda ila biti, maadhi yote ni wimbo wa msanii flani_) *Utapataje mafunuo ya wimbo wa kuimba verses,wakati umetoka Kuzini na Producer wako,umetoka kutoa mimba,utaingiake kwenye maombi wakati mwalimu wako wa kwaya ni kama mme wako,au mke wako, kwaya zimekuwa shida humo humo wanakulana,pigana mimba,utukufu wa Mungu utatoka wapi? Inabidi mjikite kwenye kutafuta step za sarakasi watu wacheke na kufurahi ila hakuna ujumbe wowote* mara chache sasa wagonjwa kupona na mapepo kuondoka kipindi wanaimba waimbaji kwaya au PRAISE TEAM( Praise team hivi madhabahu mbona imeguzwa Guest house yenu) mpaka sasa uwepo wa Mungu kwenye ibada ni adimu kuupata zinaa imekuwa zinaa na nado nakuja kushika Mic na kutupigia vyombo tumwabudu Mungu(OMG) mbona hii ni aibu? Uanona watu hawazami unalalamika,kwani unataka tuzame na wewe kwenye zinaa,wewe umejazwa na roho ya zinaa sisi tumejazwa na Roho Mtakatifu wapi na wapi utatuzamishaje?(MUOKOKE UPYA)
👉Ndo maana nyakati hizi tunaabudu na mapepo mwanzo mwisho January to December mpaka *Aje mgeni kufaya semina au mkutano ndo mapepo yanalipuka mpaka kwa Wana kwaya,wana Praise team pepo zinawaangusha*) hii ni hatari, na mapepo yakiripuka makanisani watu wote wanayakimbia anabaki pastor tu wengine wanajifanya wako busy na mambo mengine au wanawahi nyumbani kumbe *wanajijua njia zao ni fake wanaweza kuumbuliwa na mapepo* Ewe Muhudumu wa Madhabahu Tubu na Umrudie Bwana atakusamehe na uanze upya.
👉Ndugu zangu Mitume na Manabii huduma yenu ni nzuri sana na watu wengii wanaitamani na kuikimbilia ila *_Huduma Nyingi zimejaa Tope la Zinaa_* kila anaye kuja kufanyiwa Deliverance hatoki ofisini bila kuvuliwa nguo 👙👙wake za watu hawaponi, *Mafuta ya Upako siku hizi yanapakwa sehemu za Siri*❗❗⁉🤔🤔Mnatupeleka wapi,tunafungua watu kwa *Romance* ma waumini mpo mmekaa mnashangilia Haujui madhabahu yako ulipo ipo chini ya uongozi wa YEZEBELI( *Zinaa*)⁉ Na kwakuwa watu wamewaamini,wanashida lolote unalomwambia anakubali Maskini ya Mungu. Wachache wenye ufahamu ndo Utimua mbio na kuwagomea kufanya Ngono ila wengi wao mmewaharibu,wengine wadada bado mabikira,na kuzimu wamewaagiza mlale na mabikira mnaharibu watu wa Mungu.( *Hamtasalimika, Jehanamu inawangoja*) Uzuri si kwamba hamfahamu mnalofanya mnajua kabisa, Polee ni kwa Waumini wenu wanaoona mnafanya maajabu na miujiza wanashangilia na kuwaita BABA na kuwa pigia magoti,kuwasujudia kama Mungu kumbe mashetani waharibifu walovaa ngozi ya malaka. Ikumbe tiyari mmewaunganisha kwenye madhabahu ya kuzimu ni ole kwao maana hamuwapeleki popote wanaishia motoni.
👉Wewe mwanini hushtuki,unahisi Kuzini na Nabii au mtume au mchungani inakufanya kuondolewa dhambi nakuwa Special? Huyo hana mbingu ya kukupeleka adhabu yako iko pale pale. *Dada,mama kijana baba KIMBIA TOKA KWENYE KANISA HILO* Upo kuzimu kwenye madhabahu ya shetani na muda wowote waweza tolewa kafara.
💪 *_3.Kazi ya 3 ya Zinaa ni Kuharibu maono yako yote yaliyo mbele yako_* kuna watu wengi wakianza huduma wanakuwa na maono makubwa Mungu anawasemesha na anatia ndani yao ya kuelekea sehemu flani,ila Waki naswa na Zinaa kila kitu kinapanguliwa wanabaki kwenda wakiwa Vipofu. *Zinaa ina futa Maono yako huwezi kuyatimiza* labda ufanye njia mbadala ya kujiungaisha na kuzimu utumikie upande wa pili wa shilingi(ufalme wa shetani)Kwa kulijua hilo ndo maana Biblia ikasema IKIMBIE ZINAA(1WAKORINTHO 6:18-19)
👉Mbeba maono mmoja anaitwa YUSUFU(Mwanzo 39:6-12,21-23) anaonyesha msimamo wa kuukataa ubaya(zinaa)ili alinde maono yake.
👉Wewe unayeingia kwenye Huduma hakikisha unaipinga zinaa kwa nguvu zote ili ubaki katika maono yako sahii ya Kimungu.
👉Nilitoa angalizo mapema watu wengine wanadanganyika kwa kuona mtumishi yule mbona ana upako kama atakuwa ni fake? Upo upako wa kishetani na upako wa Kimungu( Biblia imetuambia  Tutawatambua kwa matunda yao)watajitahidi kuigiza mambo yoote ya Mungu lakini sharti wachepuke watimize Matakwa ya Ufalme wa kuzimu. Lazima tutaona tu mambo yanayo pingana na Neno la Mungu ndo hayo wanayafaya kwenye huduma zao mara moja moja au muda wote.
👉 *_Mimi leo niishie hapa niseme neno moja,Anashambulia kwa Awamu na kwa Plan,lengo kuu Usitimize Ndoto zako na malengo ya Kuujenga Ufalme wa Mungu,kwa namna yoyote atatumia silaha zote aidha akufute katika Tasnia ya hutumishi uitwe mpagani,au Utumike chini ya Madhabahu ya shetani na uovu uikose mbingu na utumike kuwapoteza wengi.Hii ni hatari ombi langu kwako ni kwamba jipange kumshinda shetani na silaha zake zote kwakuwa Aliyeko ndani yetu na tunaye mtumikia ni mkuu ana nguvu kuliko huyo anaye tuwinda. ZABURI 147:5_* USIKOSE SEHEMU YA 12 YA NAMNA YA KULINDA HUDUMA YAKO IKAE NA KIBALI MBELE ZA MUNGU NA MBELE ZA WANADAMU.
_Ulikuwa nami katika uchambuzi wa somo hili la Utumishi wa Kweli katika Kristo Yesu Ev Elisha Kazimoto( *Mjumbe Mkali Mithali 17:11*)_
WhatsApp 0755444078
Facebook Elisha Kazimoto
Call 0657557570
_Kwa ushauri na maombezi_
@Pia google andika MATERIAL ADIMU utapata masomo mengi ya kukusaidia,tafuta somo la IPO GHARAMA YA KULIPA BAADA YA DHAMBI YA ZINAA. Utaichukia na kuikimbia.
      *Mungu akubariki*

Wednesday, 8 August 2018

MAHUSIANO YASIYO NA MAWASILIANO

💞 *USIMUUMIZE MWENZAKO KAMA UMUHITAJI,UMEMCHOKA*💞
   *_Anaandika Mwanasaikolojia na Mchambuzi wa Masuala ya Mahusiano na Ndoa_*
       Ev Elisha Kazimoto(WhatsApp 0755444078)
Facebook Elisha Kazimoto
Call 0657557570
.........
.........
_Karibu katika kona ya Saikolojia ya mahusiano na mchambuzi wako Ev Elisha Kazimoto_
❣Kumekuwa na *Changamoto kubwa* ya watu walio katika mahusiano ya uchumba,au urafiki wenye lengo la kuelekea kwenye uchumba,uchumba uzae ndoa changamoto ya *_Kusua sua,kuyumba,kushuka kwa Mawasiliano yao_* ikiwa na kisingizio cha mmoja wapo yuko busy, au basi tu hana Mood ya kuwasiliana na Mpenzi wake. ( _Usiumize moyo wa mwenzako, kama umuhitaji au umemchoka_)Mwambie ukweli aendelee na misha yake atapata mtu wa kumpetipeti.
❣Kwanza niwasaidie kitu kimoja wana mahusiano(wachumba), *_Uhai wa Mahusiano(Uchumba) yoyote ni Mawasiliano_* nguvu ya na kiwango cha mawasiliano baina ya wapenzi ndicho kiwango cha *Upendo* kati yenu,au alicho nacho mwenzako juu yako.
❣Angaiko la mwenzako kukutafuta(kukuona au kukusikia kwanjia ya simu kwa siku,ndicho kiwango cha Hisia alicho nacho juu yako)
❣Ikumbukwe,upendo ni Hisia,na hisia hazionekani kwa macho zinaonekana kwa vitendo( *Reaction*) na Njia kuu ya Reaction ni Mawasiliano..
❣Mahusiano hayakui,mahusiano hayawi imara kwa zawadi,kwa maneno ya Nakupenda,yanakua, na yanaimarika kwa ninyi kuwasiliana mara kwa mara.
❣Utajuaje yakuwa umejaa moyoni mwa mwenzako au mwenzako amejaaje moyoni mwako, ni pale ambapo *unapita muda flani bila kuwasiliana na mwenzako,masaa 6,12siku 1 pengine kwa sababu maalumu kubwa* nini unasikia moyoni,angaiko la kumtafuta? Unahisi upweke? Unahisi kuwa down,au unasikia Kawaida tu muda wowote utamtafuta tu haina shida?( _Hapo ndo utajua Mahusiano haya yana Afya,haya yapo ICU haya ndo yameisha ingizwa kwenye jeneza ni muda wa Kumuaga marehemu_)
❣Mtu yeyote aliyekwenye mahusiano Hai,yasiyo na migogoro,ambayo watu bado wanahitajiana,mawasiliano yao ni *Hot(ya joto kubwa)* muda wote.
❣Angalizo, hakuna *_Kigezo chochote ambacho mtu anaweza shikilia kuwa Yuko Busy kiasi cha kumaliza siku 1,2 wiki bila kuwasiliana na mwenzake na ikawa ni Tabia_* kama si kwa dharula kubwa.
❣Najua ziko kazi flani mazingira yake ni magumu sana kwa mawasiliano, ila maswali yangu kwako ni kama 2,3.
1. *Uko busy mpaka kwamba Huli chakula?* Dakika za kula huwezi kuchati na mwenzako? Akaona unavyo jali?
2. *Huna muda wa mapumziko hata dakika 10,tangu asuhi mpaka usiku?* ukamwambia mwenzako Hi.... Niko busy ila nimeona dk 5 nisikie sauti yako?
3. *Huwa hulali masaa 24 wewe uko busy kazini*?(muda huo wa kulala ndiyo ungemjulisha mpenzi wako mkatumia hata dakika 10 tu kuwasiliana na yeye kwakuwa anajua mazingira yako ya kazi basi,muda huo angekusubiri).
4. *Huna salio kabisa hata la kubip*( miongoni mwa Angalizo la kisaikolojia kabla ya kuingia kwenye mahusiano,ni _"Kabla ya kuanzisha mahusiano lazima ujue Mahusiano ni Gharama"_ huwezi kugharimika kulinda mahusiano,kujenga mahusiano basi Usiingie kwenye mahusiano *Utamsumbua bure mwenzako na kumpa mawazo ya bure* Miongoni mwa vitu vinavyo gharimu Akili ya mtu na moyo wake ni Mahusiano kuwa Hafifu.
*Ukiona Mwenzako katika Mahusiano ya Uchumba anakwambia niko busy,niko busy,siku ya 1,2 4,5 wiki jua kuna viashiria vifuatavyo*
1⃣Umeanza kuchuja moyoni mwake,umeanza kupungua umuhimu na uzito wako kwake.( Jiandae kisaikolojia break up iko njiani)
2⃣Kuna mtu anajaza nafasi yako(nafasi yako imeisha zibwa na mtu ila uwezi ambiwa kwakuwa hamja itirafiana ikatokea sababu ya kukuacha.) _Kaa mkao wa kutokosea ukikosea utalimwa kadi nyekundu ya kukutoa nje_
3⃣Unaandaliwa kisaikolojia kupokea taarifa za kusitisha mahusiano.(anakuandaa uanze kumuondoa moyoni na akilini ili hata akikuacha usiumie)huyo ametumia kanuni ya Yusufu... *kukuacha kwa siri*.
4⃣Hiyo ni ishara na Alarm kwako ya aina ya mme au mke utakaye oana naye alivyo na moyo wa *Kuto jali*( _Jipange kuzoea hali hiyo usije ukapata ulcers bure_)
👉Mlioko kwenye mahusiano yoyote, kwa nini Umtese mwenzako kama huna mpango naye tena kwa nini usimwache huru? Kwa nini uendelee kumpotezea muda kukutafuta huku unamwambia uko busy lakini una mpenda *Huu ni uongo,unajua mtu anayependa anagharimika kutimiza hisia zake na za yule ampendaye?* wewe Hukumpenda Ulimtamani sasa tamaa imeisha umeanza kupiga chenga.
👉Mahusiano yoyote yakipoteza mwelekeo wa Mawasiliano hayo HAYAPO TENA kuna kivuli ila Halisi alishaondoka.
*_Nimalizie kwa kusema,ukiona mwenzako mwanzoni mawasiliano yalikuwa moto,kuonana,kupigiana simu,chatting za hapa na pale saizi inapita siku,3 wiki na mkiongea ni dk 10 na lugha unaisikia siyo ya mapenzi ya dhati ni kavu kavu,majibu ya mkato,vi sms vifupi na vikavu, anza kujindaa kuokoa moyo wako kutoka katika kujeruhiwa VUNJA MAHUSIANO HAYO HARAKA bila huruma Kama hataki kubadirika_*
          Ulikuwa nami mchambuzi wa Masuala ya Mahusiano na Ndoa *Ev Elisha Kazimoto*
Whatsapp 0755444078
Call 0657557570

Tuesday, 7 August 2018

SWALI KUHUDUMIA WAZAZI KAMA WANANDOA

*Swali*
Ivi ikitokea umeoa alafu mama yako mzazi akapata matatizo ya kiafya ambayo yanalazimu tu ukae nae umuuguze, tena hayo matatizo ya kiafya siyo ya kupona Leo au kesho, (ingawa anakuwa siyo serious sana)
Alafu mke wako akawa hataki kukaa na mama yako mzazi, utafanyaje?

Naombeni mchango katika hili ndugu zangu.
........
........
Anajibu,Psychologist & Counselor *Ev Elisha Kazimoto*
Whatsapp 0755444078
Facebook Elisha Kazimoto

....................................
*_Mada hii tuihitimishe kwa Mtazamo huu wa Kisaikolojia na Kiroho na Kibinadamu_*
👉Kwanza niizungumzie ndoa kama ndoa katika Context ya Kisaikolojia.... Ndoa ni muunganiko wa Hisia ambatano za watu wawili me na ke,ambao mioyo yao imeaminiana na kuridhiana kuficha mapungufu ya mwenzake na kutosheleza mahitaji ya kihisia ya mwenzake.
ukiijua ndoa kwa mfumo huu wa kisaikolojia,utawaza zaidi nje ya box,mwenzangu anaupungu wapi hautakimbilia kuufunua,ila utakimbilia Kuufunika ili abaki akiwa mwenye Sifa na siyo Aibu mtazamo wa kwanza ni kulinda Status ya mwenzako kwa jamii inayowazunguka na watoto wenu.
Pili, Kisaikolijia mpaka umeamua kuishi na mtu kama mmiliki wa Hisia zako milele, maana yake Umemuamini hawezi Kuangusha moyo wako,awezi Shusha Hisia zako bali kuzipandisha. Na Hisia ziko ndani ya mtu ila hisia Utibuliwa na Mazingira kwa sababu hiyo kazi ya mwana ndoa ni Kuhakikisha anatengeneza mazingira kwa mwenzake yakutibua hisia za furaha siyo kutibua hisia za Masikitiko na uzuni.( Kumbuka najibu swali la mwana ndoa huyu baba mwenye mzazi mgonjwa lakini mke kama anaweka ngumu kumuhudumia) unganisha doti za kisaikolojia hapo,mwisho utaona shida iko wapi na wajipange vipi.
👉Tatu, Ukiamua kuoana na mtu,ujipange kutosheleza hisia zake,mbali na hapo hukufaa kuwa naye(kosa kubwa la kiufundi wana ndoa wanafanyaga) aidha kwa kutojifunza au kwa kuya dharau mambo au kwa kulipa kisasi badala ya kuondoa sumu. *_Kumtosheleza mwenzako, Kisaikoljia ni kuhakikisha shahuku ya kitu aliyokuwa nayo inakamilika,aoni kupungua ila anaona kupata msaada kama umemtua Mzigo)_*  kumwacha mwenzako analalamikia kitu ambacho aliona unauwezo wa kukikamilisha ila umekitupilia mbali,kwa kutojali,kwa kuupuza,au kuona haikuhusu sana wewe NI KOSA LA KISAIKOLOJIA linaloweza gharimu ndoa yako
👉Kimtazamo wa Biblia Ndoa ni Agano la milele la watu wawili me na ke waliokusudiwa na Mungu kuwa mwili mmoja, kuishi maisha ya umoja na upendo ili *Wakamilishe Kusudi la Mungu kuwaunganisha wawili* Ndoa ina mtawala( Mwanaume) ambaye ndiye msimamizi na mtoa mwongozo wa maisha ya kila siku( angalizo alopewa) ni _Asitawale kwa mabavu ila kwa upendo na huruma_ (kwa lugha ya utawala kuna mtawaliwa anayepokea maelekezo na kuya tekeleza bila kunung'unika ambaye ni mke)
👉Dhana ya Msaidizi hii imetafsiriwa vibaya na wana ndoa au watu wengine kulingana na hisia zake na mwelekeo wa matakwa yake. *_Lakini dhana ya Usaidizi na kufanana naye_* inabeba Mtazamo wa Kuhakikisha aliyeletwa katika maisha yako *Anawezeshwa Kutimiza Kusudi la Mungu lililowekwa kwake(ndani yake)* hii ndo Dhana ya MSAIDIZI. (dhana hii haiangalii   kazi tu na majukumu) na kumtazama mtu mke tu ndo amekuja kusaidia huo ni mtazamo wa chini sana wa kimwili.(Ndoa ni Equal Sharing)
👉Lakini kusudi la Mungu ni *Uwe mwezeshaji wa Mwenzako Kutimiza Kusudi la Mungu* na hii ni kwa watu wote Mke na Mme wote ni Msaidizi kwa mwenzake,ila Mungu alitumia Lugha kwa Adamu ya *Nitakufanyia Msaidizi* kwa kuwa Adamu ndo aliye kuwepo kwanza bila uwepo wa mwana mke yeyote na binadamu yeyeote,na alipewa maelekezo kwanza yeye na kwa kofia yake ya utawala alikuwa akipewa taarifa anakuja mwezeshaji mwenzako wa kufanana na wewe. Ila ukienda ndani zaidi unaona Uwezeshaji huu si wa mwanamke tu kwa mwanume,ila ni kila mmoja anamwezesha mwenzake,utaona pale MUNGU anaposema *Si wawili Tena bali ni Mwili Mmoja* hapa ndo anaunda kitu kinachoitwa Marriage Two way Traffic (ndoa ni maisha mpeanao toa-pokea)kwa kuwa mwili mmoja inakufanya uwe sawa na mwenzako (Similar but not the same) kwahiyo Mnasaidiana kutimiza lengo kila mmoja alilowekewa maishani mwake
👉Na ndiyo maana Aliposema Msaidizi hakuishia hapo aliongeza *Wa Kufanana Nawe* dhana ya kufanana hailengi tabia,kimo na uzuri,inalenga SOME ONE TO FIT IN YOUR LIFE(mtu wa kujaza kwenye mapungufu yako,siyo mwenye mapungufu kama wewe) anayeweza kuziba bonde lako,na kushusha kilima chako(na yeye ana bonde na kilima) ili mwende mbele sambamba (mke au mme)
👉Hapa kuna mfano mmoja muhimu sana ningekuwa ubaoni ningechora ila pata image hii, *_Kuna chain ya baiskeli au pikipiki,(wengine wanaita mnyororo kiswahili kisicho sanifu) na kuna ring ya meno ambayo chain inazumgukia kusababisha mwendo(inaitwa Freewheel )nimetafuta kiswahili chaki sijapata. Sasa chain  ni mwanamke,na freewheel ni mwanaume,kawaida ya chain ina matundu matundu na freewheel ina meno na nafasi)nenda kachunguze kutembea kwa baiskeli au pikipiki ni matokeo ya Jino moja kukanyaga kwenye tundu_*(gap  au mapungufu)ndo dhana ya kufanana.(kwa mantiki hiyo chain inafanana na na ringi la meno(freewheel ) ila kama yote ni chain,au yote ni maringi yenye meno huko sio kufanana huko ni KUENDANA kwa mtazamo si kwa matumizi
👉Katika mtazamo wa kibinadamu ndoa ni watu waliopendana kusaidiana katika shida na Raha na kujenga maisha yao.
*_Ukiiangalia mitazamo yote 3 inagusia kitu cha Kubebana pale panapotokea changamoto yoyote kwa mwenzako,ili kumfanya mwenzako naye afurahie ujio wako kwenye maisha yake_*
⚔ Sasa nizungumzie *Dhana ya wana ndoa na kuhudumia familia zao* kuna jambo ambalo ni la kiufundi ukilikosea linakugharimu ila ukitulia na kutumia hekima mnaliweka vizuri maisha yanaenda kwa amani.
👉1⃣ Kwanza ifahamike ndoa ni Taasisi inayo jitegemea na kujiendesha bila msukumo wa mtu yeyote kutoka nje au upande wowote wa familia iwe kwa mme au kwa mke,awe aliyeoa au kuolewa ni mdogo wa mwisho au wa kwanza katika familia, akisha Ingia kwenye ndoa hiyo Ni *Serikali kuu inayojitegemea* isiyo guswa/amrishwa kutoka nje isipokuwa wana ndoa wao wawili na Mungu wao, wengine Niwashauri,na Mnatumia maombi Siyo kauli ya Lazima/au Maagizo  kupata msaada kutoka kwa serikali hiyo.
2⃣Kuwa Taasisi inayojitegemea(wana ndoa) Haiwaondolei Sifa ya kuwa watoto kwa wazazi au ndugu wa ndugu zetu,haiwaondolei wajibu wenu kwa wazazi wenu na ndugu zetu kuwahudumia au kuwasaidia.
3⃣Mnahitaji kuwa na mfumo wenu wa makubaliano kama Taasisi inyojitengemea namna ya Kuzihudumia Familia zenu kwa kadri ya uwezo wenu huku mkiangalia namna ambavyo hamuwezi Athiri Uhuru wenu au Taasisi yenu.( hapa kunahitaji kupeana taarifa,kuelekezana,kushauriana kwa pamoja mpaka kufikia muafaka)
👉Shida kubwa katika kipengele hiki cha 3,kuna shida ya *Double standard* (Kupendelea familia yako kuliko ya mwenzako) hapa hamuwezi kufikia muhafaka mpaka muwe mmejenga msingi wa kuzibeba familia zote kwa usawa pale inapotokea shida au raha.
👉Chamgamoto ya pili ni Udhibiti wenu wa mwanzo tangu mnaoana wa ndugu,wazazi kutokuwa na usumbufu,kero kwa moja wenu( *Namna unavyo mlinda mwenzako asishambuliwe na familia yako*) inamfanya kuwa na imani nawe na familia yako,atakuwa huru kuwahumia kwa hali zote..
👉Changamoto nyingine ni kupeana taarifa halisi za familia yako,siyo kushtukiza ila kila mtu awe anajua kinachoendelea mana ho wote ni wazazi wenu au ndugu zenu.
_kwa pointi hizo hapo kijina mwenye shida katika swali hili la kifamilia anaweza ona wapi kulitokea shida_.
NINI KIFANYIKE.?
👉Uwenda mke hataki kumuhudumia mama wa kijana kwa kumleta hapa kwake kulingana na mazingira ya familia yako,nafasi,uhuru kama wana ndoa, au uwenda anaogopa kuingia kwenye mgongano na familia ya mke maana katika kutoa huduma huwezi toa 100% je,anaouwezo wa kubeba lawama?hivyo vinaweza kuwa baadhi ya sababu.
👉Lakini kulingana na uwezo wao wa kiuchumi na kimaisha(kama wana panga au wamejenga) kijana ampe somo mkewe kuhusu umuhimu wa wazazi wao katika maisha ya baraka na laana,na leo kwa kijana kesho kwa mwanamke aonyeshe wajibu wao kwa wazazi,pili wakubaliane njia ipi anahitaji mke itumike kumuhudumia mama? ( *Wa mwache kijijini watume pesa,huduma itatosha? Waajili mtu wa kumuhudumia kijijini? Au waajili mtu wa kumuhudumia hapa nyumbani, amsikilize mke anachagua njia ipi lakini MAMA APATE HUDUMA INAYO KIDHI.
👉Na kijana atumie saikolojia ya kuongea na mama yake na baba kama yupo,njia wanayoona inafaa kumuhumia mama,asionyeshe ugumu wa mke wake ila amlinde ionekane ni makubalianao yao wote au maamuzi ya mme. Mama ahudumiwe.
👉Lakini kama mke anaonyesha kutokuwa na dhamira njema ya mama wa kijana kuhudumiwa kwa namna yoyote, hapo ndipo MAAMUZI YA KIUME KAMA KICHWA CHA FAMILIA YACHUKUKIWE yenye busara,mama asiumie na yeye mme asiumie,hapo asimlete mama maana anaweza pewa hata sumu au asipate huduma inayohitajika mama akaacha laana kabla ya kufa. Ahakikishe anatumia njia yoyote kwa gharama yoyote Mama ahudumiwe.
👉Njia ya mwisho,naamini huyo kijana hakuzaliwa peke yake,kama kuna ndugu anayeweza kumchukua mama aongee na ndugubzake ili yeye akaiwezeshe familia hiyo na kusaidia gharama za matibabu basi wafanye hivyo kwa makubaluano.
*_Niishie hapo ukikuwa nami mchambuzi wa masuala ya mahusiano na ndoa Msaikolojia na mshauri Ev Elisha Kazimoto_*
Whatsapp 0755444078
Facebook Elisha Kazimoto.

Monday, 6 August 2018

SEMINA YA SEHEMU YA 10

🛣 *SEMINA YA NENO LA MUNGU KUHUSU UTUMISHI WA MADHABAHUNI PA BWANA*🛣
   *_By Ev Elisha Kazimoto(Whatsapp  0755444078)_*
......................................
_Utumishi wa Kweli katika Kristo Yesu_
       *SEHEMU YA 10*
*Tambua Nguvu Kuu 3 Zinazo Pambana na Huduma yako*
..........
..........
..........
_Haleluyaa wana wa ufalme wa Mungu mnaotumika katika madhabahu Takatifu ya Mungu,nakuletea mwendelezo wa somo letu muhimu la Utumishi wa Madhabahuni pa Bwana sehemu ya 10,tuziangalie *Silaha 3 hatari* zinazo haribu Huduma nyingi za Kiroho duniani kote,na leo tunaingia Silaha ya 2._
2⃣ *TAMAA YA MALI NA PESA*
💰Hii ni Silaha ya pili kutumwa kwa mtumishi wa Mungu anayeingia katika Huduma,au aliye mkongwe katika huduma. Silaha hii inaachiliwa kwa mtu ili kuigeuza *_Nafsi yake badala ya Kumtumikia Mungu kwa Moyo wake wote, basi Nafsi yake Inaangalia Maslahi gani atapata katika kufanya kazi hiyo ya Mungu_* Anacho kitafuta shetani siyo kingine ni ili uende kinyume na Neno la Mungu kwanza,ukishatoka kwenye neno la Mungu utakuwa nje ya Mfumo wa Kimungu na utakuwa unaendeshwa na Ibirisi badala ya Roho wa Bwana.( MATHAYO 4:6-7)....Shetani hapa alimtengenezea Yesu Fauru moja ili amwendeshe ila Yesu alimshinda kwa kulinda Kusudi alilopewa na Kauli ya Neno la Mungu.
💰Unapoingia kwenye huduma ni muhimu kujua mambo ya fuatayo;
A)Huduma,Vipawa vya Roho mtakatifu Haviuzwi wala Havinunuliwi kwa bei yoyote.👇👇👇👇👇
18 Hata Simoni alipoona ya kuwa watu wanapewa Roho Mtakatifu kwa kuwekewa mikono ya mitume, akataka kuwapa fedha akisema,
Matendo ya Mitume 8:18

19 Nipeni na mimi uwezo huu, ili kila mtu nitakayemweka mikono yangu, apokee Roho Mtakatifu.
Matendo ya Mitume 8:19

20 Lakini Petro akamwambia, Fedha yako na ipotelee mbali pamoja nawe, kwa kuwa umedhania ya kuwa karama ya Mungu yapatikana kwa mali.
Matendo ya Mitume 8:20

21 Huna fungu wala huna sehemu katika jambo hili, kwa kuwa moyo wako si mnyofu mbele za Mungu.
Matendo ya Mitume 8:21
👉Kuna watumishi ambao ugundua mapema Hila ya shetani na kuikwepa nao huduma zao ushika kasi na kumalizika kwa utukufu mkuu.
B)Heshima,sifa na kibali vinaambatana na huduma yoyote,hivyo Shahuku ya kuwa na maisha yanayoendana na sifa unazopewa,heshima uumbika kwenye moyo hapo ndipo watu uanza kutengeneza *Mbinu zao feki za namna gani ya kupa Mali,Pesa ili aendane na sifa yake* hapa ndipo watu uanza kubadirishana *Exchange* Kati ya Huduma ya Kiroho na Fedha/Mali.
💰👉 Hapa unielewe, kuna tofauti ya Njia za Mungu za kukufanikisha katika Huduma yako kwa Kukubariki, kuinua watu wakakubariki baraka za mwilini,mali na pesa baada ya wewe kutumika kwa unyenyekevu na moyo mmoja kwa Bwana kama mtumwa asiye na Faida.👇👇👇
_Vivyo hivyo nanyi, mtakapokwisha kuyafanya yote mliyoagizwa, semeni, Sisi tu watumwa wasio na faida; tumefanya tu yaliyotupasa kufanya._
*Luka 17:10* na kuna Mtumishi anayetumia Neema alopewa kubuni mbinu za Kuchuma pesa na mali.
C)Katika huduma kuna Neema ya Pekee unapewa na vitu (vipawa )vya kuwahudumia watu nao wanakuhitaji mno kwa Gharama yoyote ili mradi wapate wanachokihitaji.
💰👉Hapa ndo utakuta watu Wanauza Uponyaji, *Ili uombewe Sharti ulipe Pesa,au mali,ili Uonane na mtumishi wa Mungu akuhudumie kwa karama alizo pewa na Mungu sharti Ulipe* Japo mbinu hizi zinapakwa rangi flani ya maandiko,au lugha laini *Eti Sadaka Maalumu, Mbegu,Sadaka ya ukombozi* nk... hapa kuna tatizo la kiroho na Uvamizi katika huduma jua kwa mtumishi huyu kama hajashtuka kuna *_Roho ya Tamaa ya Mali na Pesa_* inawinda roho yake na Huduma yake, ili Kumwondoa katika List ya Watumishi wa Kweli wa Yesu Kristo( MATHAYO 10:8)
👉Wengine wanaitwa kufanya huduma anapanga Kiwango,cha kuachia familia, kiwango chake mwenyewe na mavumbuzi mengi(unielewe vizuri, _Sizungumzii nauli ya kukusafirisha katika huduma, nazungumzia kiwango umachopanga cha wewe ili wakupate uwape huduma lazima iwe mil2,3,5 yakuacha nyumbani na matumizi yako_) hapa kuna shambulio.
💰Pesa ni nzuri,na imetupasa tuitafute kwa nguvu kubwa katika njia sahihi ya za Mungu,ila *Pesa isilipue mioyo yetu na kuacha Kulitumikia Kusudi la Mungu* tukaanza kulitumikia kusudi la Pesa. (1PETRO 5:2)....Adui wa wa Huduma ni Kupenda Pesa,kutanguliza pesa badala ya Huduma.
💰Kuna watu wanashahuku ya kuingia kwenye Huduma si wamtumikie Mungu ila wajitajirishe,wapate Maslahi yao( *Hao ndo mbweha*) unajua kwa wanao Tumika chini ya Upako wa Kishetani ni haki yao Kuuza Huduma,kwakuwa nao upako wameupata kwa gharama kubwa ya Kafara,damu za watu,waumini wao wamekabidhiwa kuzimu(wako rehani), kwa kuuza nafsi zao kwa shetani,akitoka huko anatoka na uchungu mkubwa lazima kila kitu kitauzwa ili afidie gharama ya nafsi yake au damu za watu alotoa kafara.
💰👉Na wengine kwa kutumika na Shahuku ya kutaka watoke kimaisha kwa kutumia Huduma,wamejikuta huduma zao haziendi,zinakosa kibali mbele za Mungu na mbele za wanadamu,wanaingia kwenye tuhuma nzito za kuwachafua kiutumishi,kwakuwa huduma zao haziongozwi kwa Msukumo wa Roho mtakatifu wakutaka Mungu ainuliwe bali wanatafuta wao wajulikane na kufanikiwa. Wengi wao wametumbukia kwenye nguvu za Giza ili mambo yao yaende.
👉Wewe uliyejipanga kumtumikia Mungu aliye hai tulia kwa mkono wa Bwana,jiulize je Wampenda Yesu na Kazi zake kuliko Mali na Pesa?( YPHANA 21:15-17) Mpende Yesu,mtumikie kwa moyo wako wote,mwombe Mungu akufanikishe akupe baraka zote za kiroho na za kimwili kwa kadri apendavyo yeye.
*_Nikupe siri moja mtumishi,Mafanikio katika Utumishi wa Kweli wa Yesu Kristo yanahitaji Uvumilivu mkubwa sana,na kumwamini Mungu unaye mtumikia kuwa upo wakati wa Bwana wa kukufanikisha_* wengi wa watumishi wanatumika kwa kuangalia watumishi wenzao walivyo fanikiwa nao wanaanzisha harakati waingie katika ushindani na wao wakimbizane na Mafanikio  nao wawe na heshima kubwa, ndugu utapotea. *Waweza vipata Ila ukaishia Duniani hapa* usiuone uzima wa Milele.Sasa hapo kunafaida gani ya kutumika?maisha ya duniani ni miaka 120,maisha ya mbinguni na jehanamu ni Mile na milele chagua mwenyewe. Endelea kukimbizana na Mali na Pesa ukibadirishana huduma na pesa lakini kumbuka unakimbizana na Mauti ya pili Jehanamu,wengine tunausubiri wakati wa Bwana wa kufanikiwa,tunaziombea roho zetu *Zisiwaze pesa na mali kwanza kupitia huduma* bali ziwaze kwanza *Watu wa Mungu wanawezaje kufunguliwa na Kristo kuinuliwa* na sisi Mungu atukumbuke kutubariki.
_Niishie hapa nikukaribishe katika sehemu ya 11 tutakapo iangalia silaha ya 3 na ya mwisho kwa Kadri alivyo nifunulia Mungu,alipokuwa akiniandaa kwa utumishi wake_
*Ulikuwa nami Mwl, Ev Elisha Kazimoto*
WhatsApp 0755444078
Facebook Elisha Kazimoto