❤️❤️ *SAIKOLOJIA YA MAHUSIANO NI NGUMU SANA*❤️❤️
_Watu wengi ushangaa hivi imekuwaje na huyu tume break!!tume divorce!! Hivi huyu mtu amekuwaje tulianza kwa upendoooo wa motooo leo dah kama tunalazimisha vile!!_
👉Iko hivi, ili mahusiano yako yadumu, jambo la kwanza:
*_Unajua udhaifu wako na mapungufu yako, udhibiti mapungufu yako kwanza kabla ya kuyapigia kelele ya mwenzako,utafanya muda wa break up kusogea mbele,muda wa kuchokana usogee mbele( Yaani kama ilibidi (mbreak ndani ya miezi 6 muda utasogea mpaka mwaka 1)_*(Hiyo ni Faida kubwa)
👉Pili, _Akikisha unapomsifia mwenzako na Kumuona anakufaa sana (Katika Muda huo Yachungulie Madhaifu yake uyabaini) usikae unamsifia tu na Kujifanya Huoni madhaifu yake kisa upendo wenu mbichi na upo fire.(Muda wa upendo ukiwa juu ndo muda wa kumshauri na kumkosoa mwenzako na akaendelea kukupenda zaidi,ukisubiri upendo ushuke ukimkosoa ataona hufai na atakuchukia na itakuwa lango la break up au divorce_)
👉Tatu, Usisubiri ufanyiwe jambo ndo umfanyie mwenzako,wewe fanya kwake utalinda upendo na mahusiano( *Usisubiri upigiwe simu,usalimiwe,utafutwe,usifiwe,upewe zawadi, fanya wewe kwanza*) hayo mahusiano yata dumu imara.
*_Kutoka Meza ya Mwanasaikolojia Ev Elisha Kazimoto_*
©2020
No comments:
Post a Comment