🪁🪁 *SUALA LA NDOA NI SUALA LA WAKATI*🪁🪁
_Kila jambo muhimu katika maisha ya mwanadamu,uwa tamu na zuri kama likitokea kwa wakati wake unaofaa_
🪁Wakati wa ndoa siyo umri, wala wkati wa ndoa siyo uwe umepata kazi, wala siyo uwe uko well off,suala la Ndoa *_Nila wakati ambao Mungu anamleta mtu sahihi, awezaye kusimama nawe kwa wakati ulio nao_*
🪁Siyo kila mtu anaweza kusimama nawe kwa wakati flani(hata kama amaeokoka au anauwezo kiuchumi)
🪁Kuna Majira ukimpata mtu kwa wakati wa Mungu, anafuta *Historia za Maumivu ulizo pitia,anaondoa Distance ya muda mrefu ukiokaa bila kuoa au kuolewa*
🪁Kwa upande mwingine waweza pata mtu katika muda wa haraka sana,mwenye uwezo sana,ila *Akauumiza Moyo wako na Ukachukia Mahusiano* Shida siyo yeye,shida ni Muda mliokutana haukuwa Muda sahihi kwako kukutana naye.
*_Jifunze Kuutafuta na Kuungoja na kuuombea Wakati wa Bwana kwako ambao utakuletea Furaha ya maisha katika ndoa na si majuto. Unapaswa kujua Mungu aliumba watu PAIRE, kila mtu anawake,usiwe na hofu ya kutokuolewa au kuoa_*
©2020
*Ev Elisha Kazimoto*(Psychologist)
Whatsapp 0755444078
No comments:
Post a Comment