*Anajibu Msaikolojia Ev Elisha Kazimoto*
*Hapa inabidi turudi nyuma sana,katika INTIMACY YAO, tusianze kuangalia kituko alichokifanya mume, kila kitu kina Catalyst*
👉Kuna mambo yanapelekea maamuzi mabaya au ya adhabu ya kisaikolojia kufanyika.
1⃣Kama watu wana mahusiano mazuri ya kindoa,mwanaume awezi fanya kitu kama hicho,na kama anatabia ya unzinzi atafanya kwa siri huko ila si kiivi alivyo fanya.
2⃣Kama wana mgogoro ambao umepelekea mwanaume kukosa baadhi ya haki zake kama SEX,HESHIMA nk, ataamua kukuonyesha anaweza kupata mahitaji hayo nje na wewe.
👉Sasa hapo hatuhukumu mtu mmoja lazima tuwangalie wote,chanzo cha shida kiko wapi,nani anapaswa kubadirika ili mwenzake abadirike.
Ila kisaikolojia hapa *Mwanamke kuna mahali amejisahau*
👉Wanaume wengine si wepesi wa kupiga,kutukana,au kukufukuza ila ATAKUJIBU KWA KUKUUMIZA KISAIKOLOJIA, inaitwa *Psychological Punishment*
No comments:
Post a Comment