Thursday, 26 November 2020

MAHUSIANO AYLIYO KUFA

*Hapa Kuna sababu kadhaa Hatari*
1⃣Mlianzisha mahusiano BILA MALENGO HALISI, inafikia hatua uhalisia ukikosa watu wanapoteza hamu kati yao.(maana kinacho BOND watu ni Malengo)
2⃣Umeanzisha mahusiano ukiwa na Mbadala moyoni au njiani katika safari ya mahusiano kuna Abiria mwingine umempa lift ameshusha upendo wa mtu wa kwanza.(uwezi kubeba watu 2 kwa upendo sawa ndani yako, mmoja atapotea)
3⃣Mmekosa Maarifa ya Kisaikolojia ya kuendesha mahusiano ili mtie bidii kuyalinda na kuchochea upendo.
4⃣Mkisha juana kimwili(sex) kunazaliwa mazoea na dharau unzuri(kuna dharau mbaya) ambayo mtu anakudharau kwa kukuchukia, ila dharau mzuri ni mtu *Anakuona kawaida,huna jipya kwake,mvuto wa kumuangaisha akae akikiutafuta tafuta* ila kwa uhalisia HAKUCHUKII.
*By Ev Elisha Kazimoto(Psychologist)*

No comments:

Post a Comment