*Sehemu ya Tano ya Somo, Ukijitambua Kama Dada wa Thamani, Utapata Mme Haraka*
_Mnenaji ni mimi Mtumishi wa Mungu *Ev Elisha Kazimoto(Psychologist )*_
Whatsapp 0755444078
Facebook Elisha Kazimoto
E-mail :babaeve755@gmail.com
......................
Karibu Tumalizie somo letu...
👉Ukisha jua siri mbalimbali zikupasazo kufanya ili kupandisha Status yako ya Kiroho na Kimwili,hapo sasa ndipo inakupasa kuingia Magotini kuomba,kushugulika na Ngome za Giza ambazo mara zote ushindana kuzuia kusudi lililo jema lisitimie kwenye maisha yako.
👉Muhusishe Bwana akutangulie mbele yako katika kukusafishia njia ya kumpata aliye chaguo la Mungu kwako(Mme mwema)
1 Haya ndiyo Bwana amwambiayo Koreshi, masihi wake,ambaye nimemshika mkono wake wa kuume,ili kutiisha mataifa mbele yake,name nitalegeza viuno vya wafalme;ili kufungua milango mbele yake,hata malango hayatafungwa.
Isaya 45:1
2 Nitakwenda mbele yako, na kupasawazisha mahali palipoparuza; nitavunja vipande vipande milango ya shaba, na kukata-kata mapingo ya chuma;
Isaya 45:2
3 nami nitakupa hazina za gizani, na mali zilizofichwa za mahali pa siri, upate kujua ya kuwa mimi ni Bwana, nikuitaye kwa jina lako, naam, Mungu wa Israeli.
Isaya 45:3
....................
👉Sasa njoo uoate siri za namna gani na mambo ya kushugulikia katika maombi yako ili kumpata mmeo aliyekusudiwa na Mungu kwako.
🔥 *HATARI ZA KUSHUGHURIKIA KATIKA MAOMBI DHIDI YA UBINTI WAKO*🔥
🔥Shugurika na Roho/Madhabahu za kifamilia na ukoo wenu.
👉Kuna mambo huyajui kwenye familia,matabia yamefunga milango kwenye mafanikio yako,kuna rohobzinang'ang'nia mtu hata akiokoka hizo usizipe nafasi kil siku zishughurikie.
🔥Shugurika na Roho za kuchelewesha mambo. Unakuta mdada upo ni mzuri umekamilika kila kona ila *Unachelewa kuolewa mpaka unaingia 40s* piga roho hizo za jangwani za kukuzungusha
🔥Shughurika na Roho za Kukataliwa. Kuna watu wanakataliwa live na wengine wanakataliwa kwenye ulimwengubwa roho, kimwili anaonekana anapendwa na watu ila kiroho anakataliwa na hawezi olewa kirahisi.
🔥Kataa roho za ndoa ya jinsia moja. Kuna wadada wanapendwa sana na wadada wenzao mpaka wanaambiwa yaani ningekuwa mwanaume ningekuoa wewe, ila wanaume HAWA MPENDI NA HAWAMKUBALI, hizo ni roho za Lesbian.
🔥Shughurikia Roho za Uchafu juu yako. Kuna wadada wazuri sana ila wanaonekana kwenye ulimwengu wa Roho wachafu na wana nuka, huwezi olewa kama umepakwa mavi kwenye ukimwengu wa Roho,utavaa nguo za gharama na unyunyu lakini wapi wanaume wanapita kushoto.
🔥Shughurika na Ndoa za Majini(mapepo). Kuna wadada hawawezi olewa kwakuwa wao walisha funga ndoa na mapepo kwenye ulimwengu wa Roho.
👉Mara nyingi wadada hao *Alama zao* ( _Wanaota wana sex,wanaingiliwa kimwili wakiwa wamelala na wanaune wanao wajua au wasiowajua, Wanaota wana nyonyesha watoto, wanaota wanafunga ndoa baharini, wanaota ndoto za baharini baharini, wanaota wanavalishwa pete, wanaota wanafunga ndoa, wanaota wako Beach na mwanaume, wanapenda sana kushikwa maziwa sana, wana penda sex sana hata kujichua, wanapenda wadada kimapenzi zaidi ya kupenda wakaka, Wana Hasira za Karibu na za haraka sana na wagumu kueaamehe mtu hasa jinsia ya kiume_) ukiona vijidalili hivyo kwako na hujaolewa,hujapata mchumba,au unamchumba ila mahusiano yanasua sua,au yameenda miaka 3,4,5 pambana kwenye maombi unaweza USIOLEWE.
*_Basi mimi niishie hapo najua dada umepata dozi ya kutosha katika Series ya Somo hili Refu kweli kweli lenye shemu karibu 5(Part 1 hadi Part 5) Mungu akupe Neema ya Kujifunza na kufunguka._*
Mwandaaji wa Somo hili ni Mtumishi wa Mungu
*Ev Elisha Kazimoto(Psychologist & Counselor*)
Whatsapp 0755444078
Facebook Elisha Kazimoto
e-mail :babaeve755@gmail.com
No comments:
Post a Comment