🎀🎀 *TANGAZO MAALUMU KUTOKA OFISI KUU YA GROUP*🎀🎀
🎀 _Shalom members wote,tunaombwa kuzingatia Tangazo hili kwa umuhimu sana,ili kufanikisha maono makubwa yajayo mbele zetu_
🎀 Tutakuwa na Utambulisho Maalumu kwa members wote tulio humu, kwa kuzingatia vipengele vifuatavyo
1⃣Picha yako ya sasa(current photo) *Picha yako iambatane na taatifa zote hizi chini* usitume picha bila maelezo hayo
2⃣Majina yote(full name)
3⃣Hali yako(Status) Single,Married,In relationship
4⃣Mkoa unakotokea(Regional) unakoishi kwa sasa
5⃣Wilaya unakoishi kwa sasa
6⃣Umeokoka au bado hujaokoka(be free)(KANISA UNAKO SALI)
7⃣Huduma yako(kanisani).
8⃣Mwajiliwa,Umejiajili,mwanafunzi.
*_Utambulisho huu niwa muhimu sana kwaajili ya mpango Mkakati wa maono ya Mwakani ya Uongozi wa Kuandaa Kongamano kubwa la Pamoja la LIVE LECTURE, pamoja na kufahamiana kama members wote wa Magroup 8 yaliyochini ya Mtumishi wa Mungu, na mwana Saikolojia Ev Elisha Kazimoto_*
🎀Mara baada ya utambulisho na kujua Idadi ya members kwa kila kanda tutarudi tena kupeana Maono Maalumu ya Kukutana kwa kongamano la Kihistoria.(Tuajadili pamoja,tutafikia Muafaka,tutaratibu, Tutatimiza,Tutaandika Historia ya Furaha maishani na katika ufalme wa Mungu)
*BY SENIOR ADMIN EV ELISHA KAZIMOTO*(0755444078)
_Imetolewa baada ya kikao maalumu cha Maadmin wote wa magroup yote 8 cha tarehe 22/10/2019_
Tuesday, 22 October 2019
UTAMBULISHO NA USAJILI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment