💒💒 *KONGAMANO LA KIHISTORIA LA MADINI ADIMU YA KISAIKOLOJIA,KIROHO KATIKA MAHUSIANO NA NDOA NA SIRI ZA UTUMISHI WA MADHANAHU*💒💒
💒Kongamano hili kimeandaliwa na Kamati kuu ya Umoja wa Magroup 8 ya WhatsApp yanayosimamiwa na Mtumishi wa Mungu na mwana Saikolojia *Ev Elisha Kazimoto(0755444078)* Kutoka mkoa wa Kagera.
🎀Hili litakuwa kongamano la kwanza na la Kihistoria kutokea,litakalo wakusanya watu kutoka mikoa yote Tanzania na Zanzibar na nje ya Tanzania.
💒Lengo kuu la Kongamano hilo ni *Kufahamiana,Kujifunza madini adimu ya Kisaikolojia na ya kiroho katika sekta ya Kimahusiamo,kindoa na kihuduma,bila kusahau kushare Experience za kiroho na kijamii* Lakini pia Utapata Fursa ya Kuhudhuria LIVE LECTURE na Kuuliza maswali ya papo kwa papo katika nyanja zote zilizotajwa.
💒Pia tutakuwa na Maombi Maalumu ya kuombea Vijana na Mahusiano,Wana ndoa na wale wenye Huduma mbali mbali za KIROHO.
💒Tutakuwa na mipango Mahususi kwaajili ya kuwa watu wenye Impact katika Kanisa na jamii katika kizazi chetu.
*_Hakuna kiingilio ni bure,kazi yako ni Kujisajili Kwa fomu maalumu yenye Maelekezo ili kujua umapatikana wapi,ili ujue eneo ambalo Kongamano litafanyika(Eneo utaambiwa litakuwa ni rahisi kufika kwawatu wote kutoka pande zote za nchi,tutakuwa na muda wa kutosha wa kujiandaa,Changamkia Fursa hiyo moja kwa mwaka 2020_*
Imetolewa na ofisi ya Maadmin waliochini ya Ev Elisha Kazimoto na kupitishwa na Senior Admin Ev Elisha Kazimoto(0755444078)
_Ulikuwa ukimfatilia mafundisho yake Facebook,WhatsApp na YouTube sasa Kukutana naye Live na kujifunza siri zote bure_.
©2019
Tuesday, 22 October 2019
TANGAZO LA KONGAMANO LA WHATSAPP
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment