*KWA MSAADA WAKO NA WENGINE HAPA TUWEKE KUKBUKUMBU VIZURI ZA KIROHO NA KISAOLOJIA*
👉Kwanza kabisa,hali yoyote unayoweza kuiona huifurahii au ni changamoto kwako juu ya mchumba,mkeo,mpenzi wako huyo..... *Inamahusiano ya moja kwa moja ya kiroho na Kisaikolojia Umeisababisha wewe Mwenyewe Kijana na SI BINTI* ( Hivyo katika lawama unazoweza kutoa,zitoe kwa NAFSI YAKO halafu utafute msaada wa kutoka katika mzigo huu)nasi na darasa hili lipo kwaajili ya kukusaidia.
NB: *_Tunakila sababu ya kusema ukweli,kuchanganua kwa kina ili TUKUSAIDIE,tukikupa polee na ushauri mwepesi,Tutakupoteza na kuwaua wengine wajao ila hatutakupa ufumbuzi_* (Sasa Fuatana nami)
1⃣Alama ya kwanza kwa mwanaume au mwanamke mwenye mapenzi ya Dhati kwako na anayeweza kukupenda daima hata kwenye ndoa,ila ambaye HAWEZI KUKUSALITI na kuwa na mahusiano ya siri mengine ni yule *Anayeweza Kuwa mwaminifu Kutokutaka MFANYE NGONO kabla ya Ndoa*
👉Sasa kwa maelezo yako, binti alijitahidi kwa mara ya kwanza kutimiza kanuni hii ya kukukwepa Msishiriki Ngono(SIYO TENDO LA NDOA KAMA ULIVYOLIITA MAANA NINYI SI WANA NDOA) ALIKATAA KUSHIRIKI NGONO NA WEWE,lakini ukatafuta ushauri pengine,ukaja na mbinu nyingine UKAMSHINDA mkashiriki NGONO kinyume na kanuni za kiroho,kinyume na kanuni za Kisaikolojia( *Hapo ndo uliharibu kila kitu*)
👆👉Upendo wa dhati na furaha yake juu yako,na uaminifu wake kwako ulikuwa umefungwa kwenye Siri ya kutojuana kimwili,baadaya ya kujuana....
1.Heshima,Upendo,Uaminifu Vikapotea(Maana mlivifungua kabla ya Kiapo ch Uaminifu)
👉Sasa unataka Akupede kama nani? Akuheshimu kama nani?Akuamini na kukulindia uaminifu kama nani? *_Wakati anakuona wewe ni muhuni,mlaghai,mtu asiye mvumilivu,na mwaminifu?_* Kwasababu tendo la mpakanafanya ngono Lugha ya udanganyifu ilitumika,lakini mlifanya wote mkijua hii SI HALALI.
👉Kwa maneno mengine kiroho mmeuondoa mkono wa Mungu juu yenu uletao amani,furaha na upendo kwenu,mkabaki WAKIWA.(Laana hiyo ya Zinaa kibiblia)
👉Lakini kisaikolojia mkavuruga system ya Siri ya uminifu na hamu ya kujua siri(mkabaki WAKAWAIDA)
2️⃣Ulifanya jambo la kuumiza moyo wa binti kwa wakati ambao alikuwa hajawa tayari kuumizwa ndo maana AKAKUCHUKIA.
1.Umemlazimisha kufanya ngono,Ukambebesha Mzigo wa Majukumu ya malezi....Nje na wakati.
A)Mfano kama alikuwa bikira wewe umemdhalilisha na kuondoa heshima yake kabla ya kiapo...Unataka akupendeje,akuheshimu na kukuamini kwa Lipi?
B)Kama alikuwa si bikira, alijilinda asipate mimba muda mrefu ila wewe UMEMLAZIMISHA APATE MIMBA BILA KUTAKA(Unataka akupende kwa lipi hapo,au akuheshimu,ajivunie uwepo wako kwake kwa lipi?)wakati umemuanzishia safari ya miaka yakutokuwa huru?
3⃣Umemvuruga kisaikojia wakati alikuwa hajajipanga kiwa mama mwenye mtoto,changanya na maudhi ya mimba(mlio olewa na kuoa mnajua kipindi cha mimba kilivyo)sasa huyu mdada anateseka wakati jamaa aliye mtesa HANA MUDA WA KUMUHUDUMIA 24HRS/7DAYS? Asikuchukie wee nani?.
👉Kwanza kama alikuwa na wapenzi wengine means alikuwa bado hajadhibitisha nani wakumuoa,we ukamuwahi ukampamzigo wa mimba,kwa hiyo anaingia katika hofu na wasiwasi wa nani atamuoa na kukpa furaha..Je niwewe uliyempa mzigo?,ni yule aliyempenda kwanza je ataendelea kumpenda na mzigo wa mwingine?
NB:Vijana kwa mabinti fahamuni hili, *_Upendo wa uchumba au mahusianobya urafiki,Haulindwi au kuimarishwa na NGONO kabla ya ndoa,Inalindwa na Uaminifu wa wewe KUKATAA NGONO kabla ya ndoa,Kijana au binti atakaye kuacha kwa kigezo cha humpendi kwakuwa imemnyima ngono, Jua huyo ALIKUWA TAPELI,KIBAKA NA MUHUNI na Hafai kuwa mke au Mme_*
👉Sasa kijana nikushauri sasa. _Jambo la kufanya hapa baada ya kuharibu, Kwanza nenda katubu,uokoke upya,uongozwe sala ya toba upya,halafu ongea na mzazi mwenzio kuhusu hatima yenu,muulize atakuwa tayari muoane au muachane Utunze damu yako tu? Jibu atakalokupa yeye NDO ULIFUATE,Ukishakosea huna namna,tumikia kosa lako kwa amani ili usizalishe Matatizo makubwa bya baadaye_
*Imechambuliwa na Mchambuzi wa masuala ya Mahusiano na Ndoa Ev Elisha Kazimoto(psychologist)*
WHATSAPP 0755444078
©2020