Thursday, 10 May 2018

KUOMBA RUHUSA/KUTOA TAARIFA KWA CHUMBA

🌈🌈 *SWALI; JE, NI SAHII KUOMBA RUHUSA AU KUTOA TAARIFA KWA MTU MLO KATIKA MAHUSIANO KATIKA MAAMUZI FLANI UNATAKA KUFANYA AU KWENDA SAFARI?*🌈🌈
Anajibu: Psychologist & Counselor Ev Elisha Kazimoto.
.............................................
Whatsapp *0755444078*
Facebook Elisha Kazimoto.
*NI HITIMISHE MADA HII KWA MITAZAMO KAMA 2/3*
_Kwanza ni muhimu kujua,kuna vitu 2 hapa ndani ya kitu kimoja, kwanza kuna kitu kinaitwa *Utu/Ubinadamu,na Pili kuna Kiwango cha Mahusiano* muuliza swali amesema (Nivibaya kuaga au kuomba ruhusa kwa mtu mlokwenye mahusiano?)_ swali liko hapa👈.
.
.
Sasa ni vizuri kujua kwanza,kwa watu mnao fahamiana,aidha majirani,au rafiki mnaunganishwa na kutu kinaitwa Utu,ubinadamu kwa maana hiyo kushirikishana taarifa mbali mbali,safari,dharula si mbaya ni sehemu ya utu,undugu,si kama wanyama.
👉Lakini pia tujue kuna tofauti kati ya *Kutoa taarifa/Kuaga na Kuomba Ruhusa.* Anaye Toa taarifa( _Anaashiria na kumaanisha kuthamini uwepo wa mwenzake,regardless mpo kwenye mahusiano ya uchumba au ndoa,au rafiki,au jirani. Lakini pia anadhihirisha ni mtu mwenye mahusiano mema na wanaomzunguka(utu na ubinadamu)pia anamaanisha katika safari yangu lolote laweza tokea,jema au baya,wewe ndo mtu wangu wa karibu kujua niko wapi na wakunipa msaada,lakini wakujua nini kimeendelea kama binadamu mwenzangu._
👉 Anaye omba Ruhusa,ana anamaanisha na kuashiria kuwa _Yuko chini ya mamlaka nyingine ambayo inabidi ibariki maamuzi yake,pia anaashiria kuheshimu nafasi ya mtu aliye juu yake,pia anatambua kuwa hataki kufanya maamuzi yanayoweza athiri mahusiano yake,na mwisho anakuwa anaashiria,anayemwomba ruhusa apime,maamuzi hayo,safari hiyo,yaweza kuwa na athari,ubaya kwa muhusika au mahusiano_ hizo ndizo maana za kuomba ruhusa. Na ndizo tofauti kati ya kutoa taarifa popote au kuomba ruhusa.
.
.
.........................................
*Sasa Tujibu Hoja ya Kutoa taarifa au kuomba ruhusa ya safari,au kufanya jambo,kwa mtu mliye katika mahusiano*
✍Kwanza ni muhimu kujua upo level gani ya mahusiano( _Urafiki,Urafiki wenye matarajio ya kuchumbiana,au Uchumba kamilifu_),kwa level zpte hizo 3 *_Kutoa taarifa kwa mwenzako kwa vitu au baadhi ya vitu SI MBAYA_* na taarifa inaweza kuwa kabla ya kwenda au baada ya kurudi,inatokana na jambo lenyewe unalofanya,na umuhimu wa jambo ukoje kwako binafsi na huyo mwenzako.(Kwa hiyo Si vibaya).
✍Ila katika mahusiano ya uchumba Kamilifu( vigezo na masharti kuzingatiwa)yaani *_Ni uchumba Rasmi,utambulisho kwa wazazi wa kiroho na kimwili,posa,au Mahari kutolewa,au pete ya uchumba hivi ndivyo vinavyo Ashiria UMILIKI/KUMILIKIWA kwa mtu_* hapa ndipo NENO KUOMBA RUHUSA NA KUTOA TAARIFA uenda pamoja. Maana si kila jambo utaomba ruhusa,na si kila jambo utatoa taarifa,kuna vitu na vitu na mazingira.
👉Sababu za kutoa taarifa na kuomba ruhusa nimeeleza. Ni muda wako wewe binafsi kujitafakari mahusiano yako yakoj.
NB: *_Kutoa taarifa na kuomba ruhusa ni matokeo ya vitu kama 2,(hapa ni kuanzia utoto,ujana,mahusiano hata kwenye ndoa) Moja,Malezi na Makuzi,kuna watu niwagumu kutoa taarifa au kuomba ruhusa,nitangu utoto walivyo lelewa,na walivyokuwa(grown up),Pili,inategemea umuhimu wa mtu huyo maishani mwako,ukiwa very cheep(unathamani kidogo kwake)haoni haja ya kufanya hivyo.(wanaoagwa,ombwa ruhusa wanakuwa na Impact kubwa kwa mtu),na Tatu inategemea mnahusianaje,kama mahusiano ni dhaifu usitegemee kuombaau kutoa taarifa,kama mahusiano ni mazuri,hot love,aisee HATA KWENDA UWANI,KUOGA UTAPEWA TAARIFA NA KUOMBWA RUHUSA YA SAA NGAPI NILE CHAKULA_*
.
.
.
...........................................
By Psychologist & Counselor Ev Elisha Kazimoto.
Whatsapp 0755444078.

No comments:

Post a Comment