Friday, 27 January 2017

MAWASILIANO KWA WACHUMBA

*_Issue ya mawasiliano katika uchumba ni kitu kikubwa mno,ambacho kina hold safari yenu ya uchumba to ndoa,usipuuzie mawasiliano,kisaikolojia mawasiliano hupima kiwango cha upendo wa mtu kwako na Attention aliyo nayo kwako,na Area coverage uliyo nayo kwenye akili yake,sasa unapo kuwa kwenye mahusiano Rasmi ya uchumba au hata kwenye ndoa,unahitaji kujua Imekupasa kulipa Gharama ya muda ili ubebe na kuimarisha moyo wa mwenzako, tenga muda ukio mzuri,uwe wazi kwa mwenzako ajue ratiba zako vzr,lakini umwonyeshe ulivyo tenga dakika kadhaa za utulivu kwaajili yake._*
Sasa katika mawasiliano yenu kama ratiba zenu ni ngumu sana,ukipata hata dk 20 zitumieni vzr kupanga,au kutiana moyo na kufurahishana kwa story muhimu.....muda mwingine wa ubize tunieni hata texts kuwasiliana.
_Muda wa usiku sana kwa wachumba ni mzuri ika ni mtego kwenu,maana wengine hupitiliza mipaka hata humaliza mazungumzo wamejichafua miili yao,yaani wametokwa na uchafu wa ngono_ ndiyo maana ukiweza tumia usiku vizuri kupanga,kutiana moyo,kuombeana na kuzungumza mazungunzo mepesi.
   *By Ev Elisha*

No comments:

Post a Comment