*_Issue ya kumtembelea expected mchumba wako,lipo katika kona mbili kulingana na tamaduni za kiafrika au kitanzania,unaenda kusalimia ukweni kwa binti na kulala....kwa kijana anaye jitambua,mwenye heshima zake hawezi kufanya hivyo,Jifunze kwa Yesu,ndugu zake walimwambia kajionyeshe kwa watu,akagoma,mama yake kamwambia hawa watu wameishiwa na divai,Yesu alimjibu....hivi..MAMA WAKATI WANGU BADO, kuba wakati wa kwenda kulala utapewa na heshima kubwa,na wewe utajisikia vzr,na mwenzako atajisikia vzr amepata mtu anaye heshimiwa hata na familia. Unajipeleka kisa wanajua huyu anaweza akawa mkwe,hujui unachorwa na kupimwa,mwisho unaondoka,wanaanza kumkandia mwenzako na kusema huyu hamna kitu....mnajiharibia....kitabu cha mithali anasema usiende kwa rafiki yako mara kwa mara asije akakuchoka,kama unahitaji kuichunguza familia,tuma maspy,ukienda wewe,siyo wewe ndo unawachunguza ila wao wanakuchunguza_
Mwishowe ufanye tukio la kujiabisha,huwezi pata nguvu za kurudi kutoa posa.
Watu wakikuzoea,na heshima inashuka....hauna maana wala faida yoyote kwenda kulala kwa fanilia ya binti au kijana kabla ya kuoana.
*_Kwanza amazing ni ile binti au kijana anakutambulishaa kwa familia rasmi kila mmoja ananyoosha shingo na kukodoa macho ili wakuone,halafu wee upo kimyaaa,halafu ubaondoka mapema hawajakujua wee ni mtu wa aina gani,mwongeaji,mpole au vipi....usiwape adui nafasi kukuwekea vigingi mapema_*
BY EV ELISHA
Friday, 27 January 2017
MCHUMBA KULALA UKWENI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment