Friday, 27 January 2017

UMRI MPISHANO KWA WANANDOA

*_SUALA LA UMRI MPISHANO NA MWENZI WAKO_*
_Ni kisaikolojia,na kibiblia waba ndoa kupisha umri,na niki biblia na kisaikolojia mwanaume kumzidi mwanamke umri. Kitabu cha mwanzo kina twambia mpishanobwa umri,Adamu aliumbwa kwanza,baada ya muda kupita(unknown years)ndo Hawa akaumbwa,so Adamu ni mkubwa kwa Hawa,lakini tunaona Ibrahim na Sara ,walipishana miaka 10,Ibrahimu akiwa mbele miaka 10 hiyo ni kibiblia_
Kisaikolojia inashauliwa kijana amzidi mwanamke kuanzia miaka 2 mpaka 6,7 ikizidi sana 10.
-Kwa nini,mwanamke anakua haraka,lakini mwili wake unachamgamoto nyingi za mabadiliko ya ukuaji kuliko mwanaume,mfano, Mzunguko wa siku unaathiri mwili wake,mwanaume hana,kubeba mimba,mwanaune habebi,kunyonyesha,mwanaume hakuna...mambo hayo yanamfanya kubadirika sana kuliko mwanaume,kwahiyo unaweza hisi mke wako kachoka,au mkubwa kuliko wewe kumbe ni kwasababu ya mabadikiko yake._
Kwamaana hiyo,ukiolewa na mme anaye kuzidi miaka 2-5,6 unakuwa umebalance gap lile la mwili,ila mkilingana au ukampita,baada ya miaka 5-20,watu na wewe mdada utaonekana ni mama kwa mme wako,au dasa yake mkubwa.
_Lakini kisaikolojia haushauriwi kuzidiana zaidi ya miaka 10,hasa isizidi 6,7 hapa nikwa kulinda Psychological interests,mkipishana sana mtatofautiana kimawazo sana,kutakuwepo mwente mawazo ya kitoto mwingibe ya kiutu uzima na baadhi ya michezo na utani ya wana ndoa utaikosa na uhuru utapungua_
    *By Ev Elisha*

No comments:

Post a Comment