Tuesday, 26 September 2017

KUVALISHANA PETE

💍💍 *PETE YA UCHUMBA NA NDOA KATIKA KUVALISHANA*💍💍
    _Ev Elisha Kazimoto_
WhatsApp 0755444078
Swali limeulizwa: *_Nani anapaswa kupiga goti wakati wa kuvalishana pete_*
MAJIBU:
👉 _Kwanza pete niishara ya agano baina ya watu wawili kwa maridhiano ya kuwa pamoja, ni Ishara,Alama inayoashira Umilikiwa. Tangu mwanzo kwenye biblia pete zilitumika kwa tafsiri hiyo, ila ukitaka kuvaa,au kuto vaa siyo dhambi ila kimapokeo na kitafsiri yafaa kutumika kuashiria badiriko katika ulimwengu wa mwili kwa wale waonao. Kwenye Biblia Pete zipo na zimetumika, hila si Andiko la Biblia kuwa imeagizwa kuvaa pete, ila kama kuna watu walivaa,walitumia na si katika dhambi ila ni katika utaratibu wa kawaida kuvaa tuna vaa_
👉 *Kuvalishana pete ya uchumba* Kwanza tuachane na kuiga,bila kujua asili na tamaduni za watu kwa nini wanafanya hivi, tufanye kulingana na tamaduni zetu,na *Kimantiki*
👉Swali hili si la kiroho,ila lina mantiki ya kiroho,pia siyo sheria,japo linamantiki ya kikanuni.
💍 *_Mantiki katika kupiga goti kati ya mwanaume na mwanamke wakati wa kuvalishana pete hiko hivi_*(Mantiki ya kibiblia ila siyo andiko)
✍ Kati ya kijana na binti nani anatafutwa( jibu ni binti) hii ni sawa na kati ya mwanadamu na Yesu nani anamtafuta mwenzake(jibu ni Yesu), Kati ya kijana na binti,nani anastahili kushuka,kunyenyekea,kupiga goti,kuona kati ya weeengi,amenichagua mimi akiona na mfaa? Kabla ya kukupa jibu,tujiulize(kati ya nwanadamu na Yesu nani anastahili kushuka,kunyenyekea,kuona nimechaguliwa mimi kuwa sehemu ya maisha ya Yesu?) jibu ni jepesi ni mwanadamu,maana  mpo wengi atafutaye ni mmoja,kama amekuchagua wewe unapomoka mpaka nchi,kuonyesha why anichague mimi? Nashuku
👉Kumbuka biblia inasema,Mwanaume ni kichwa cha mwanamke,na ni mfano wa Yesu Kristo alivyo kichwa cha Kanisa. (kwa mantiki hiyo,unataka kusema Yesu akimtafuta mtu dhambini imempasa kunyenyekea,kuona hakustahili,imekuwaje amenikubali,nashukuru kwa kunikubali, hiyo ni roho ya uasi ya kishetani ya kubadili kanuni za Kimungu kwa jutaka kuwepo usawa na mfanano wa haki,na utashi.
👉Biblia inatuita watu wote tubao mkubali Yesu kuwa ni mabibi harusi na Yesu Bwana harusi,kanisa ambalo ndo bibi harusi tunapofanyiwa jamvo na bwana harusi wetu tunapiga goti,tunanyenyekea na kushukuru,why mimi amenichagua,angeenda kwa wengine,wala nisinge mlaumu kwa kutokuja kwangu,( *_Ndo hivyo hivyo,binti hachagui,hapeleki proposal, yeye anaitikia au kukataa,sasa uhuru wa kuitikia na kukataa haukupi kibali cha kuonekana unyenyekewe kama umemsaidia)ndomaana Yohana 1:11-12,anasema Yesu alikuja kwa walio wake,wakamkataa,ila akayageukia mataifa tukaokolewa kuwa watoto wa Mungu,kukataa kwso hakumfanyi Yesu kuonekana naye amepoteza,bado yeye ana choices nyingi na mda wowote,na ndo alivyo kijana
👉Mantiki ya pili,(ya kibinadamu na kimakuzi) *_Kati ya anaye toa kitu na anaye pokea, nani anapaswa kushukuru? Kuonyesha ishara ya heshima? Jibu ni aliyepewa ndo ata shukuru,na kunyenyekea hata kupiga goti(Kijana anampa binti alama ya agano pete 💍 wa kupiga goti ni msichana,kaheshimiwa,kachaguliwa,kapendwa.
_Sasa mitazamo mingine,niyakuiga Western culture ambazo wala hamziwezi, makuzi,malezi,namna ya kuonyesha upendo tofauti na sisi, wazungu kuonyesha anakupenda anakuletea ua🌹mwafrika ili ujue anakupenda akununuli smartphone kali,nguo,gari nk,ujiiga iga vyote,ikikushinda tumia makuzi yako ila yaboreshe yapendeze._
*_Huo ni uchambuzi wangu siyo sheria, ukitaka kija kupiga goti mchumba wako asimame sawa,ujiweza mvaoishe ukiwa umelala kifudifudi au chali sawa,haikupeleki jehenamu wala haikufanti uwe na ndoa nzuuri, hayo ni maigizo,ukimleta ndani unaanza kujionyesha mwanaume mpaka anajuta kwa ubabe,sasa ulipiga goti la nini? Ila nakushauri binti mwente akili timamu, piga goti,shuka pokea heshima ya mmeo mtarajiwa anayo kupa,wewe huwezi mtafura,ila yeye anaweza kukutafuta,lakini utakuwa uneonyesha tafsiri halisi ya kanisa na Yesu Kristo,tofauti na hapo utakuwa umeonyesha tafsiri ya rusifa na Mungu_*
Mcgambuzi wa masuala ya ndoa na mahusiano, mwanasaikolojia *Ev Elisha Kazimoto(Baba Evan)*
WhatsApp 0755444078

No comments:

Post a Comment