*FAIDA ZA SEX YA MARA KWA MARA NI KWAWANANDOA TU,KWAKO KIJANA NI SUMU KUBWA HATA KUDUMBUKIA MARA MOJA*
_Kwanza niondoe dhana ambayo hasa vijana wa kiume na wakike uitumia kuji defend ili wafanye sex au michezo ya sex, kwa kisingizio kwamba ukikaa muda mrefu bila ku sex kuna matatizo makubwa kama kupata shida za kiafya au tatizo la ugonjwa wa chekelea *Hili ni pepo la ngono, Mungu hakuumba watu wajichafue kabla ya muda wake ili kuepuka chekelea na magonjwa ya kubuni.* Suala ni Kijana kukaa na Mungu vizuri na kuwa na muda na mambo ya Mungu na kuwa busy na shughuli zako,mwili wako utakaa sawa, binti hutavamiwa na vimapepo vya kuchekelea na kutamani ngono_.
*KWA WANA NDOA*
👉🏾Kwa waliooana sex ni kitu kimoja muhimu sana kwa watu walio couple kina faida zake muhimu kisaikolojia katuka kuijenga ndoa ikawa imara sana.
1.Sex kisaikolojia inafungua nafsi za wanandoa na kuruhusu furaha
2.Sex inapunguza au kuondoa stress(msongo wa mawazo)
3.Sex inaufanya mwili kuwa mwepesi
4.Sex inatuliza akili na kumfanya mtu kufanya shughuli zake kwa umakini bila kukosea kosea(hasa wale wa ofisini,wana mahesabu,wanaofanya kazi za typing, na wanao hudunia wateja)
5.Sex unamfanya mtu kuwa na uso wa furaha(welcoming face)
6.Sex inawaungamisha wana ndoa kinafsi(kuaminiana na kupendana).
7.Sex ina leta heshima na kujaliana kati ya wana ndoa ikifanywa kwa ubora.
*MADHARA*
👉🏾Kana mtaifanya mara kwa mara ila pasipo ufundi, mtaichoka, mtaumizana,mtatamani kutoifanya kwa muda mrefu.
👉🏾Kwa mwanaume ni kuchoka mwili,maana inahitaji nguvu.
*NB: _Sex ina madhara machache kwa watu washamba wanaoikurupukia madhara ni marefu, ila ushauri huwa ni huu jaina haja ya mara kwa mara kila siku,kila siku wakati mpo wote milele, hata chakula kutamu ukikila kila siku mnakichoka,ila uzuri wake uko palepale, pia wanaume hushauriwa kila mechi,usifunge mabao zaidi ya 3 kiafya, kumbuka bao kutoka ni nguvu kubwa unachomoa, (ndo maana biblia ikasema usimoe nguvu zako kahaba). Kama itakuwa mara kwa mara basi funga bao 1,2.. Kwa kadri mnavyo sex mara kwa mara nguvu ya kupakua maya ili ufunge bao usogea nyuma mupungua, ndo maana mtu aliye kaa mwezi,1,2,3 bila kusex na yule ambaye kwa wiki ni mara 5, mkianza pamoja kusex yule wa maea 5 kwa wiki atachelewa sana kufunga goli la 1, ila wa miez 2,3 hata dk3 haziishi ameisha funga goli la 1_*
Sex inafaida kwa waba ndoa kwa mabachela inakongoroa nafsi,moyo,akili hata sura na kukuzalishia hatia. Tulia ufikiwe kwenye foleni yako.
By Ev Elisha Kazimoto
WhatsApp 0755444078
No comments:
Post a Comment