*Swali : UMEJIENGAGE KWENYE UHUSIANO NA MTU AMBAYE SURELY UNAJUA NI MTU KUTOKA KWA MUNGU NA NDIVYO ILIVYO THEN KATIKA KUWA KATIKA MAHUSIANO MKAJIKUTA KATIKA DHAMBI YA KUFORNICATE JE NINI KIFANYIKE KUNUSURU MAHUSIANO YENU NA HAMTAKI KUACHANA BADO MNAPENDANA SANA SANA*.
_Majibu mafupi kutoka kwa Ev Elisha Kazimoto_
WhatsApp 0755444078
*Toba ya zinaa inagharama kubwa kama ilivyo gharama kufanya zinaa* kabla hujafanya zinaa kuna hatua ngumu,na za makusudi watu wanazipitia,na ndo maana kwa Tafsiri yangu ya kiroho,kisaikolojia,na kimwili *Hakunaga suala la Ninejikuta nimezini, yaani bahati mbaya nimeanguka kwenye zinaa* hakuna kitu cha namna hiyo kwa zinaa, isipo kuwa *Mtu aliye vamiwa ghafla na kundi la watu,au mtu mwenye nguvu, akambaka* na hapo uwe umeonyesha jitihasa za kumshinda,amekushimda nguvu,siyo amekukanata kidogo unarusharusha tu mikono na miguu halafu unatulia aendelee, hiyo ni *Umejibaka*
*ONA HATUA ZA ZINAA NDO UTAJUA SIYO YA BAHATI MBAYA AU KUJIKUTA* Ili ukienda kutubu,usifikiri nikitoa sadaka Mungu ananisamehe fasta,aliye kwambia Mungu ni kama TRA kuwa na uchu na sadaka yako nani,kwanza anasema sadaka ya mwenye dhambi ni chukizo kwake *Inanuka* na watu wamejidanganya,anasheratika,anakimbia kutoa sadaka,nakujikopa anajikopa atoe hata laki 1,hiyo ni hewa,hata baraka hakuna, mwingine eti anafunga 3 kavu chumbani anatubu hiyo umefanya ila bado hujaigusa zinaa.
1⃣ Unamshawishi mtu,na kumfanyia kila likilo zuri,ili mradi akuweke akilini mwake(uibue hisia zake za ngono)
2⃣ Unamuomba au kumtengenezea mazingira kumuonyesha unahitaji ngono(unalazimisha asome hisia zako na kukubaliana nazo)
3⃣Mnapanga eneo la kukutana lisiwe la wazi(mnahakikisha hakuna wa kuwaona wala kuwasumbua mpaja mmalize yote)
4⃣Mnakutana na kuanza kupandishana hisia za mwili kwa kufanya vitendo vya kupasha miili joto la zinaa(mpaka hapo umejikuta tu,yaani hujui?)
5⃣Mnaamua kuziba macho ya aibu, unaondoa nguo ya juu(aibu ya kawaida)
6⃣Mnaondoa nguo ya kati ndogo(aibu ya kati)
7⃣ mnaondoa nguo ya ndani 👙aibu kubwa(mpaka hapo unajikuta eeh)
8⃣Mnaamua kujiweka mlalo mzuri ili mpate raha ya kina,miguu na mikono na macho vinashiriki kutafuta pozi zuri la penetration of .....(bado wewe hujui,umejikuta)
9⃣ Unaanza in and out na kujiliza unajiliza,na wewe maneno ya mahaba yote yanakutoka(bado uko kwenye bahati mbaya!) Tapeli mkubwa wewe,unamdanganya nani kuwa umejikuta.
1⃣0⃣ Una ejaculate, bado ni bahati mbaya
1⃣1⃣ Unamaliza round 1,unaenda second selection mpaka 3,au unaishia na moja, (bado ni bahati mbaya) muhuni mkubwa wewe
1⃣2⃣ Mnamaliza,mnajipanguza ma uchafu yenu(bado nibahati mbaya)hujielewi wewe
1⃣3⃣ Mnavaa nguo ya kwanza hadi ya mwisho,mnatoka kwa interval ya muda eneo mlilo kubaliana kukutana(halafu unasema bahati mbaya)jambazi mkubwa wewe
1⃣4⃣ Unafika nyumbani unampigia simu kama amefika salama(bado tu mmejikuta mmeanguka) wee umelaaniwa kabisa.
*_Uongo huo hata shetani mwenyewe hajawahi kuutunga_*
_Usiwadanganye watu,sema matamaa yamenipelekesha nikaona niyape yanachokihitaji, na hili ngazi zote hizi 14 ziporomoke kwa toba,kaianike dhambi hiyo wazi kwa watumishi wa Mungu wakuombee na wakushauri la kufanya,wewe huji la kufanya *Maana wewe ni marehemu tayari* marehemu atafungaje,atatoaje sadaka? Nenda wakufufue kwanza ndo ujue la kufanya.
*Ev Elisha Kazimoto*(Sii entertain dhambi,wala kuipaka mafuta)
WhatsApp 0755444078
No comments:
Post a Comment