Tuesday, 26 September 2017

KUVALISHANA PETE

💍💍 *PETE YA UCHUMBA NA NDOA KATIKA KUVALISHANA*💍💍
    _Ev Elisha Kazimoto_
WhatsApp 0755444078
Swali limeulizwa: *_Nani anapaswa kupiga goti wakati wa kuvalishana pete_*
MAJIBU:
👉 _Kwanza pete niishara ya agano baina ya watu wawili kwa maridhiano ya kuwa pamoja, ni Ishara,Alama inayoashira Umilikiwa. Tangu mwanzo kwenye biblia pete zilitumika kwa tafsiri hiyo, ila ukitaka kuvaa,au kuto vaa siyo dhambi ila kimapokeo na kitafsiri yafaa kutumika kuashiria badiriko katika ulimwengu wa mwili kwa wale waonao. Kwenye Biblia Pete zipo na zimetumika, hila si Andiko la Biblia kuwa imeagizwa kuvaa pete, ila kama kuna watu walivaa,walitumia na si katika dhambi ila ni katika utaratibu wa kawaida kuvaa tuna vaa_
👉 *Kuvalishana pete ya uchumba* Kwanza tuachane na kuiga,bila kujua asili na tamaduni za watu kwa nini wanafanya hivi, tufanye kulingana na tamaduni zetu,na *Kimantiki*
👉Swali hili si la kiroho,ila lina mantiki ya kiroho,pia siyo sheria,japo linamantiki ya kikanuni.
💍 *_Mantiki katika kupiga goti kati ya mwanaume na mwanamke wakati wa kuvalishana pete hiko hivi_*(Mantiki ya kibiblia ila siyo andiko)
✍ Kati ya kijana na binti nani anatafutwa( jibu ni binti) hii ni sawa na kati ya mwanadamu na Yesu nani anamtafuta mwenzake(jibu ni Yesu), Kati ya kijana na binti,nani anastahili kushuka,kunyenyekea,kupiga goti,kuona kati ya weeengi,amenichagua mimi akiona na mfaa? Kabla ya kukupa jibu,tujiulize(kati ya nwanadamu na Yesu nani anastahili kushuka,kunyenyekea,kuona nimechaguliwa mimi kuwa sehemu ya maisha ya Yesu?) jibu ni jepesi ni mwanadamu,maana  mpo wengi atafutaye ni mmoja,kama amekuchagua wewe unapomoka mpaka nchi,kuonyesha why anichague mimi? Nashuku
👉Kumbuka biblia inasema,Mwanaume ni kichwa cha mwanamke,na ni mfano wa Yesu Kristo alivyo kichwa cha Kanisa. (kwa mantiki hiyo,unataka kusema Yesu akimtafuta mtu dhambini imempasa kunyenyekea,kuona hakustahili,imekuwaje amenikubali,nashukuru kwa kunikubali, hiyo ni roho ya uasi ya kishetani ya kubadili kanuni za Kimungu kwa jutaka kuwepo usawa na mfanano wa haki,na utashi.
👉Biblia inatuita watu wote tubao mkubali Yesu kuwa ni mabibi harusi na Yesu Bwana harusi,kanisa ambalo ndo bibi harusi tunapofanyiwa jamvo na bwana harusi wetu tunapiga goti,tunanyenyekea na kushukuru,why mimi amenichagua,angeenda kwa wengine,wala nisinge mlaumu kwa kutokuja kwangu,( *_Ndo hivyo hivyo,binti hachagui,hapeleki proposal, yeye anaitikia au kukataa,sasa uhuru wa kuitikia na kukataa haukupi kibali cha kuonekana unyenyekewe kama umemsaidia)ndomaana Yohana 1:11-12,anasema Yesu alikuja kwa walio wake,wakamkataa,ila akayageukia mataifa tukaokolewa kuwa watoto wa Mungu,kukataa kwso hakumfanyi Yesu kuonekana naye amepoteza,bado yeye ana choices nyingi na mda wowote,na ndo alivyo kijana
👉Mantiki ya pili,(ya kibinadamu na kimakuzi) *_Kati ya anaye toa kitu na anaye pokea, nani anapaswa kushukuru? Kuonyesha ishara ya heshima? Jibu ni aliyepewa ndo ata shukuru,na kunyenyekea hata kupiga goti(Kijana anampa binti alama ya agano pete 💍 wa kupiga goti ni msichana,kaheshimiwa,kachaguliwa,kapendwa.
_Sasa mitazamo mingine,niyakuiga Western culture ambazo wala hamziwezi, makuzi,malezi,namna ya kuonyesha upendo tofauti na sisi, wazungu kuonyesha anakupenda anakuletea ua🌹mwafrika ili ujue anakupenda akununuli smartphone kali,nguo,gari nk,ujiiga iga vyote,ikikushinda tumia makuzi yako ila yaboreshe yapendeze._
*_Huo ni uchambuzi wangu siyo sheria, ukitaka kija kupiga goti mchumba wako asimame sawa,ujiweza mvaoishe ukiwa umelala kifudifudi au chali sawa,haikupeleki jehenamu wala haikufanti uwe na ndoa nzuuri, hayo ni maigizo,ukimleta ndani unaanza kujionyesha mwanaume mpaka anajuta kwa ubabe,sasa ulipiga goti la nini? Ila nakushauri binti mwente akili timamu, piga goti,shuka pokea heshima ya mmeo mtarajiwa anayo kupa,wewe huwezi mtafura,ila yeye anaweza kukutafuta,lakini utakuwa uneonyesha tafsiri halisi ya kanisa na Yesu Kristo,tofauti na hapo utakuwa umeonyesha tafsiri ya rusifa na Mungu_*
Mcgambuzi wa masuala ya ndoa na mahusiano, mwanasaikolojia *Ev Elisha Kazimoto(Baba Evan)*
WhatsApp 0755444078

Tuesday, 19 September 2017

KIJANA MVIVU KUCHUMBIA

*Swali:Hivi inakuwaje kijana anakuja kukuchumbia,hajishughulishi na chochote,kwa kifupi mvivu,anaanzisha mahusiano na wewe ila anamtegemea binti amtunze mwanzo mwisho, hapa kweli kuna uwezekano wa kuwepo ndoa?*

Majibu na Ev Elisha Kazimoto.
WhatsApp 0755444078.
Katika swali hili,kuna mambo ya msingi yakuyaangalia,:
*_Ndoa haijengwi kwenye vitu,ila kwenye upendo wa dhati ulogundua kitu cha ziada kwa mwenzako,chenye faida kwenye maisha yako, na hicho huwa kinawafanya watu wenye vision kukubali kumuoa huyo mtu,au kuolewa na huyo mtu_* kijana kuwa na pesa na kutokuwa na pesa,hakipimi uwezo wa kuwa na wewe. Anaweza kuwa hana kitu muda huo,ila mbele ya safari atakuwa navyo,au wewe ndo uliye lango la yeye kufikia ndoto zake.
2.Pili Tunapo anzisha mahusiano(au kabla ya kuanzisha mahusiano)au kusema yes tuanze safari lazima ujue *_mahusiano ni gharama, gharama ya pesa,muda,gharama ya kuumizwa,gharama ya kusamehe,na gharama ya kuonyesha mwelekeo wa maisha_* kijama wa kiume kama huna uwezo wa kujua gharama hizi lazima nizibebe,au kama unazikwepa,hupaswi kuoa,na unastahili kuachwa.
NB: *_Kwenye kitafuta na kuelekea ndoa,tunaishi kwa vision na plans, kwenye ndoa tunaishi kwa Imani na Uvumilivu, sasa usilete tabia za ndoa imani na uvumilivu kwenye mahusiano,tafsiri yake ni wewe hujielewi,na huna uwezo wa kuishi na mtu._*
Fanya kazi,pambana kwa namna yoyote uonyeshe vision na plan kwa unaye taka kumuoa,usimfanye kuvumilia na kuwa na imani kabla ya muda.
*MWISHO WA MADA*

Thursday, 14 September 2017

WALOKOLE NA WAPAGANI

*SWALI KUHUSU WALOKOLE NA MAHUSIANO NA WATU WA MATAIFA*
      _______
Ninaswali kiongozi.
Linanitatiza sana napenda nijibiwe kwa fikra zaidi moja.

1) _Hivi kwanini walokole wengi huwa hawana upendo na watu wasio walokole.. Yaani hujitenga sana kiasi cha kuweka mipaka._

2.) _Nimeliona hili nilipokuwa sekondari mpaka chuoni.Hasa wale wa makanisa wanaoita ya kiroho_

3.) _Lakini matendo yao wengi ni Wachoyo Wasengenyaji,Wachochezi,Viburi_

4.) _Na hawana uhusiano mzuri na watu anaolala nao kwa kujiona wao ni watakatifu sana hawatakiwi kuwa karibu na mataifa hata kwa jambo la jumuia kama kusoma na michezo (mpira wa miguu na pete)_

5.) *Naomba unisaidie.*
_Chanzo ni nini..Nini kifanyike kuwasaidia walokole wa namna hii maana kila taasisi wapo tena wengi tu._


*Mchambuzi wa Swali hili ni Ev Elisha  Kazimoto*
WhatsApp 0755444078.
_Ndugu na rafiki yangu uliye uliza swali,swali lako ni moja,ila *nimelitenga katika vipengele 5 ili Nikupe ufafanuzi kwa kuzingatia vipengele hivyo* naamini kufikia mwisho utajua Walokole ni watu gani na kwa nini wanaishi maisha hayo unayoyaona na kuyatafsiri hivyo ulivyo uliza swali lako_
👉Swali lako majibu yake yapo kimaandiko zaidi kuliko kifikira,na kwakuwa umeuliza vizuri kuwa *_.....Hasa walokole wa Makanisa ya Kiroho....._* tayari tunatafuta Itikadi yao,katiba yao inawaelekeza vipi ndipo tujue namna ya kuelezea tabia zao. ( _Kwanza tuanze na Ufunguo wa Kwanza wa Msitari wa biblia unaotuonyesha Chanzo cha watu 2 kutofautiana tabia na matendo_)👇👇👇👇
*Amosi 3 : 3 - Je! Watu wawili waweza kutembea pamoja, wasipokuwa wamepatana?*
👉Hapa Biblia inaongelea watu wawili walio eneo moja(Duniani) ila wanasafiri kwenda maeneo 2 tofauti( Mbinguni na Jehanamu) _Safari ya watu hawa,ina mahitaji mawili tofauti,kila njia ina kanuni zake,mizigo yake ya kusafiri nayo,maadili yake, kila mmoja anaenda kulingana na kanuni za aendapo, ndo akasema *hawa watu, hawawezi kwenda pamoja sambamba,kushikamana,mpaka kwanza wapatane, aidha wakubaliane njia moja iwekwe pembeni,watumie njia moja, yaani mmoja wapo,aamue kuachana na njia yake,afuatane na mwenzake,hapo watatembea pamoja,wata panga moja,watashirikiana katika kila jambo maana wamepatana kutembea njia moja*_ 👉Sasa Watu waliookoka,(walokole) huonekana tofauti na wapagani kutokana na kutofautiana *katika kile wanacho kiamini,maadili ya safari yao, tumainilao* aliyeokoka Anaambiwa,na anaamini Kuishi maisha matakatifu hapa duniani,ambaye hajaokoka,au mwana dini anasema huwezi kuishi maisha matakatifu hapa duniani, tunaokoka baada ya kufa. (Kwa hilo tu,watatofautiana mahitaji ya kuishi,kukaa,kufanya mambo yao) anaye amini katika utakatifu *Atajilinda na mambo mengi,* asiye amini katika utakatifu,hana kizuizi,atafanya lolote,na kuishi vyoyote.👇👇👇👇👇
*_Waebrania 12 : 14 - Tafuteni kwa bidii kuwa na amani na watu wote, na huo utakatifu, ambao hapana mtu atakayemwona Bwana asipokuwa nao;_*
👆👆👆👆Aliyeokoka ameambiwa atafute utakatifu,maana hakuna mtu atakaye mwona Mungu asipokuwa nao. Ambaye hajaokoka hana sharti hilo.
*_1 Petro 1:15 - 16 bali kama yeye aliyewaita alivyo mtakatifu, ninyi nanyi iweni watakatifu katika mwenendo wenu wote; 16. Kwakuwa imeandikwa mtakuwa watakatifu,kama mimi ni mtakatifu_*
👆👆👆hii ndo sababu ya walokole kuwa makini na nazingira yanayoweza kuwaondolea sifa ya utakatifu.
*Sasa nianze namba moja hadi nyingine katika swali lako moja la msingi, kwa nini walokole wanaonekana hawana upendo lwa mataifa*
_Kwanza hapa niweke sawa,tunatofautiana katika kutafsiri neno upendo, kunaanaye tafsiri upendo,mwingine Anaamini upendo ni mtu kuambatana na mimi katika kila jambo nitakalo mwambia,liwe zuri au baya akikubaliana nami huyo anamipenda(huu ni mtazamo wa mtu asiye sahihi)_👇👇👇
*_Waamuzi 16 : 15 - Mwanamke akamwambia, Wawezaje kusema, Nakupenda; na moyo wako haupo pamoja nami? Umenidhihaki mara hizi tatu, wala hukuniambia asili ya nguvu zako nyingi._*
👆👆👆kama wewe ni Mkristo utaijua habari hii ya Samsoni na Delila, Delila aliutafsiri upendo ni Samsoni amwambie siri ya nguvu zale,lakini lengo la Delila lilikuwa kumuuza Samsoni kwa adui zake.
👉Upendo wa kuuana,kupotezeana mwelekeo wa tumaini langu siyo upendo,ila ni Sumu iliyopakwa asali. ( _Upendo wa walokole ni mwingi sana kwa watu ambao hawajaokoka,maana hufunga na kuomba kuwaombea wale wenye shida,wasiomjua Mungu watoke mikononi mwa shetani,hulipa gharama ya kiuchumi,kuandaa mikutano,safari kwenda kuwahubiria neno la Mungu,kuombea watu wenye vifungo vijakali mpaka wafunguliwe wawe huru, huu ni upendo mkubwa,ambao mpagani hawezi kufanya,gharama kuilipa,ya kufunga siku 3,7,10,14 huli chakula,hunywi maji,na unatoa pesa laki 1,5,mil 1,2 ili muite muhubiri awaletee sulihisho hawa wapagani wanao teswa na mapepo na wachawi, huu ndo upendo mkuu_  upendo wa kwenda kilabuni kupiga bia,kufanya zinaa,na vijiwe vya story za kihuni,huo siyo upendo sahihi.
*Kwa nini walokole kujitenga na wamataifa?*
👉Tumeishaanza kuona majibu,wanajitenga kwakuwa hawafanani matarakio yao na matendo yao,kipa mmoja anajiadhari mwenzake asimuondoe katika lengo lake. Mbali na hiyo Neno la Mungu limeonya mahusiano yasiyo zaa jambo jema kati ya walokole na wapagani yasowepo.
*2Wakorintho 6:15-17*
14 Msifungiwe nira pamoja na wasioamini, kwa jinsi isivyo sawasawa; kwa maana pana urafiki gani kati ya haki na uasi? Tena pana shirika gani kati ya nuru na giza? 

15 Tena pana ulinganifu gani kati ya Kristo na Beliari? Au yeye aaminiye ana sehemu gani pamoja na yeye asiyeamini? 

16 Tena pana mapatano gani kati ya hekalu la Mungu na sanamu? Kwa maana sisi tu hekalu la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema, ya kwamba, Nitakaa ndani yao, na kati yao nitatembea, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu. 

17 Kwa hiyo, Tokeni kati yao, Mkatengwe nao, asema Bwana, Msiguse kitu kilicho kichafu, Nami nitawakaribisha. 

18 Nitakuwa Baba kwenu, Nanyi mtakuwa kwangu wanangu wa kiume na wa kike,
*_Msitari wa15,na 17 ina majibuya wazi,ni katika kulinda kitu kinachoitwa Utakatifu_*  Kujitenga huku si kama wanavyokusema wale wasiookoka, kujitenga huku kunalenga kutoambatana katika mambo yawezayo kuchafua vazi lako la wokovu la usafi( ila mtu akianza harakati hizo,uhesabika kuwa anajitenga kwa mambo yoote)
_Aliye okoka hapaswi kuafuatisha kila kitu wanachokifanya wapagani,maana lengo letu siyo moja_👇👇👇👇
*Warumi 12 : 2 - Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu.*
👉Pointi ya tatu ya walokole wengi wachoyo,waongo,wenye viburi nk.... Hii inategemea aliyeona haya matabia ni wa mlengo gani,anatasiri wokovu katika sura ipi,aliomba nini mpaka akaona ni wachoyo,alisikia wanasema nini mpaka akasema niwasengenyaji( huwenda walikuwa wakisema tabia zake mbaya,zinawaumiza,waongea ili wamwonbee atoke huko, nk) mfno, vijana wengi wakiume wasiookoka huwasema vibaya wasicgana wakilokole kwamba wana viburi,wanajiona,wachoyo, kisa alimtongoza akakataa,alimshiti,alimpa kauli ya usirudi tena. _lakini biblia inasemaje kwa mtazamo wa watu wa mataifa kwa walokole? Huyu ni Yesu mwenyewe anasema haya maneno_👇👇👇
*_Yohana 15 : 19 - Kama mngekuwa wa ulimwengu, ulimwengu ungewapenda walio wake; lakini kwa kuwa ninyi si wa ulimwengu, bali mimi naliwachagua katika ulimwengu, kwa sababu hiyo ulimwengu huwachukia._*
👆👆Sasa siku zote mtu anaye kuchukia hata ungetenda jema analiona baya,hatakusena vizuri kwa lolote. Ila mzizi wachuki umetokana na kutofautiana na njia.
*_Pointi ya nne ya wao kutokuwa na mahusiano na watu wanao lala nao au kaa nao_* Hii inarudi katika tafsiri ya mwanzo ya watu wenye mahusiano mazuri lazima wawe na lengo moja,wanafanya mambo yanayo fanana, mfano chuoni, *_Mpo hostel  wanafunzi wa4, mmoja ameokoja watatu hawajaokoka, au vice versa, huyu anakuja na demu wake,au boyfriend wake kufanya uchafu humo,huyu hana hayo mambo,au hawa wanakuja na bia huyu hanywi,twende disco hutu hawezi kwenda njia yake na katiba yake hairuhusu, automatically watamwona hafai,anajitenga anajifanya mtakatifu,siyo anajifanya ndivyo ilivyo ni mtakatifu,hapaswi kushiriki matendo ya giza_*
👉Kwa lugha fupi ni kwamba wanatimiza kilichoandikwa na kusemwa na Mungu kupitia neno lake.
*_Waefeso 5 : 11 - Wala msishirikiane na matendo yasiyozaa ya giza, bali myakemee;_*
👆Ukiyakemea matendo yao hayo,ya ulevi,ngono,ukahaba,disco,nk ndo utaonekana wewe unajifanya mtakatifu sana,na ndipo utaanza kuambiwa wewe nawe unadhambi,unakufuru kujiita mtakatifu. Hii kwa walokole si jambo la kushangaza *Hata Yesu mwenyewe walimsema hivyo,aliposema mimi ni mwana wa mungu* kwa hiyo ni mwendelezo wa kile kilichoanzishwa na mwasisi wa imani ya Kikristo.👇👇👇
*Mathayo 26:59-67*
59 Basi wakuu wa makuhani na baraza yote wakatafuta ushuhuda wa uongo juu ya Yesu, wapate kumwua; 

60 wasiuone wangawa walitokea mashahidi wa uongo wengi. 

61 Hata baadaye wawili wakatokea, wakasema, Huyu alisema, Naweza kulivunja hekalu la Mungu, na kulijenga kwa siku tatu. 

62 Kisha Kuhani Mkuu akasimama akamwambia, Hujibu neno? Hawa wanakushuhudia nini? 

63 Lakini, Yesu akanyamaza. Kuhani Mkuu akamwambia, Nakuapisha kwa Mungu aliye hai, utuambie kama wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu. 

64 Yesu akamwambia, Wewe umesema; lakini nawaambieni, Tangu sasa mtamwona Mwana wa Adamu ameketi mkono wa kuume wa nguvu, akija juu ya mawingu ya mbinguni. 

65 Ndipo Kuhani Mkuu akararua mavazi yake, akisema, Amekufuru; mna haja gani tena ya mashahidi? Tazameni, sasa mmesikia hiyo kufuru yake; 

66 mwaonaje ninyi? Wakajibu, wakasema, Imempasa kuuawa. 

67 Ndipo wakamtemea mate ya uso, wakampiga makonde; wengine wakampiga makofi, 
Pointi ya 5, Nini kifanyike kuwasaidia watu wa aina hiyo, ni hii.... *_Jambo la ili usione tatizo lao KUOKOKA kuamua kuambatana nao hilo ndo jibu la msingi,utakuja kuona mpo kitu kimoja,mnashirikiana,mnapendana na hautaona utofauti ulokuwa ukiuona kwanza. Ukiokoka unakuja kwe ye familia ya Mungu,kwa hiyo mnakuwa na upendo wa kindugu_* kama watoto wa familia moja ya Kimungu.
*Yohana 1:12*
_Bali wote wakiompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu ndoyo wale waliaminio jina lake_
*NDUGU MPENDWA KARIBU KWA YESU*
_Imeandaliwa na Ev Elisha Kazimoto_
WhatsApp 0755444078

WALOKOLE NA WAPAGANI

*SWALI KUHUSU WALOKOLE NA MAHUSIANO NA WATU WA MATAIFA*
      _______
Ninaswali kiongozi.
Linanitatiza sana napenda nijibiwe kwa fikra zaidi moja.

1) _Hivi kwanini walokole wengi huwa hawana upendo na watu wasio walokole.. Yaani hujitenga sana kiasi cha kuweka mipaka._

2.) _Nimeliona hili nilipokuwa sekondari mpaka chuoni.Hasa wale wa makanisa wanaoita ya kiroho_

3.) _Lakini matendo yao wengi ni Wachoyo Wasengenyaji,Wachochezi,Viburi_

4.) _Na hawana uhusiano mzuri na watu anaolala nao kwa kujiona wao ni watakatifu sana hawatakiwi kuwa karibu na mataifa hata kwa jambo la jumuia kama kusoma na michezo (mpira wa miguu na pete)_

5.) *Naomba unisaidie.*
_Chanzo ni nini..Nini kifanyike kuwasaidia walokole wa namna hii maana kila taasisi wapo tena wengi tu._


*Mchambuzi wa Swali hili ni Ev Elisha  Kazimoto*
WhatsApp 0755444078.
_Ndugu na rafiki yangu uliye uliza swali,swali lako ni moja,ila *nimelitenga katika vipengele 5 ili Nikupe ufafanuzi kwa kuzingatia vipengele hivyo* naamini kufikia mwisho utajua Walokole ni watu gani na kwa nini wanaishi maisha hayo unayoyaona na kuyatafsiri hivyo ulivyo uliza swali lako_
👉Swali lako majibu yake yapo kimaandiko zaidi kuliko kifikira,na kwakuwa umeuliza vizuri kuwa *_.....Hasa walokole wa Makanisa ya Kiroho....._* tayari tunatafuta Itikadi yao,katiba yao inawaelekeza vipi ndipo tujue namna ya kuelezea tabia zao. ( _Kwanza tuanze na Ufunguo wa Kwanza wa Msitari wa biblia unaotuonyesha Chanzo cha watu 2 kutofautiana tabia na matendo_)👇👇👇👇
*Amosi 3 : 3 - Je! Watu wawili waweza kutembea pamoja, wasipokuwa wamepatana?*
👉Hapa Biblia inaongelea watu wawili walio eneo moja(Duniani) ila wanasafiri kwenda maeneo 2 tofauti( Mbinguni na Jehanamu) _Safari ya watu hawa,ina mahitaji mawili tofauti,kila njia ina kanuni zake,mizigo yake ya kusafiri nayo,maadili yake, kila mmoja anaenda kulingana na kanuni za aendapo, ndo akasema *hawa watu, hawawezi kwenda pamoja sambamba,kushikamana,mpaka kwanza wapatane, aidha wakubaliane njia moja iwekwe pembeni,watumie njia moja, yaani mmoja wapo,aamue kuachana na njia yake,afuatane na mwenzake,hapo watatembea pamoja,wata panga moja,watashirikiana katika kila jambo maana wamepatana kutembea njia moja*_ 👉Sasa Watu waliookoka,(walokole) huonekana tofauti na wapagani kutokana na kutofautiana *katika kile wanacho kiamini,maadili ya safari yao, tumainilao* aliyeokoka Anaambiwa,na anaamini Kuishi maisha matakatifu hapa duniani,ambaye hajaokoka,au mwana dini anasema huwezi kuishi maisha matakatifu hapa duniani, tunaokoka baada ya kufa. (Kwa hilo tu,watatofautiana mahitaji ya kuishi,kukaa,kufanya mambo yao) anaye amini katika utakatifu *Atajilinda na mambo mengi,* asiye amini katika utakatifu,hana kizuizi,atafanya lolote,na kuishi vyoyote.👇👇👇👇👇
*_Waebrania 12 : 14 - Tafuteni kwa bidii kuwa na amani na watu wote, na huo utakatifu, ambao hapana mtu atakayemwona Bwana asipokuwa nao;_*
👆👆👆👆Aliyeokoka ameambiwa atafute utakatifu,maana hakuna mtu atakaye mwona Mungu asipokuwa nao. Ambaye hajaokoka hana sharti hilo.
*_1 Petro 1:15 - 16 bali kama yeye aliyewaita alivyo mtakatifu, ninyi nanyi iweni watakatifu katika mwenendo wenu wote; 16. Kwakuwa imeandikwa mtakuwa watakatifu,kama mimi ni mtakatifu_*
👆👆👆hii ndo sababu ya walokole kuwa makini na nazingira yanayoweza kuwaondolea sifa ya utakatifu.
*Sasa nianze namba moja hadi nyingine katika swali lako moja la msingi, kwa nini walokole wanaonekana hawana upendo lwa mataifa*
_Kwanza hapa niweke sawa,tunatofautiana katika kutafsiri neno upendo, kunaanaye tafsiri upendo,mwingine Anaamini upendo ni mtu kuambatana na mimi katika kila jambo nitakalo mwambia,liwe zuri au baya akikubaliana nami huyo anamipenda(huu ni mtazamo wa mtu asiye sahihi)_👇👇👇
*_Waamuzi 16 : 15 - Mwanamke akamwambia, Wawezaje kusema, Nakupenda; na moyo wako haupo pamoja nami? Umenidhihaki mara hizi tatu, wala hukuniambia asili ya nguvu zako nyingi._*
👆👆👆kama wewe ni Mkristo utaijua habari hii ya Samsoni na Delila, Delila aliutafsiri upendo ni Samsoni amwambie siri ya nguvu zale,lakini lengo la Delila lilikuwa kumuuza Samsoni kwa adui zake.
👉Upendo wa kuuana,kupotezeana mwelekeo wa tumaini langu siyo upendo,ila ni Sumu iliyopakwa asali. ( _Upendo wa walokole ni mwingi sana kwa watu ambao hawajaokoka,maana hufunga na kuomba kuwaombea wale wenye shida,wasiomjua Mungu watoke mikononi mwa shetani,hulipa gharama ya kiuchumi,kuandaa mikutano,safari kwenda kuwahubiria neno la Mungu,kuombea watu wenye vifungo vijakali mpaka wafunguliwe wawe huru, huu ni upendo mkubwa,ambao mpagani hawezi kufanya,gharama kuilipa,ya kufunga siku 3,7,10,14 huli chakula,hunywi maji,na unatoa pesa laki 1,5,mil 1,2 ili muite muhubiri awaletee sulihisho hawa wapagani wanao teswa na mapepo na wachawi, huu ndo upendo mkuu_  upendo wa kwenda kilabuni kupiga bia,kufanya zinaa,na vijiwe vya story za kihuni,huo siyo upendo sahihi.
*Kwa nini walokole kujitenga na wamataifa?*
👉Tumeishaanza kuona majibu,wanajitenga kwakuwa hawafanani matarakio yao na matendo yao,kipa mmoja anajiadhari mwenzake asimuondoe katika lengo lake. Mbali na hiyo Neno la Mungu limeonya mahusiano yasiyo zaa jambo jema kati ya walokole na wapagani yasowepo.
*2Wakorintho 6:15-17*
14 Msifungiwe nira pamoja na wasioamini, kwa jinsi isivyo sawasawa; kwa maana pana urafiki gani kati ya haki na uasi? Tena pana shirika gani kati ya nuru na giza? 

15 Tena pana ulinganifu gani kati ya Kristo na Beliari? Au yeye aaminiye ana sehemu gani pamoja na yeye asiyeamini? 

16 Tena pana mapatano gani kati ya hekalu la Mungu na sanamu? Kwa maana sisi tu hekalu la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema, ya kwamba, Nitakaa ndani yao, na kati yao nitatembea, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu. 

17 Kwa hiyo, Tokeni kati yao, Mkatengwe nao, asema Bwana, Msiguse kitu kilicho kichafu, Nami nitawakaribisha. 

18 Nitakuwa Baba kwenu, Nanyi mtakuwa kwangu wanangu wa kiume na wa kike,
*_Msitari wa15,na 17 ina majibuya wazi,ni katika kulinda kitu kinachoitwa Utakatifu_*  Kujitenga huku si kama wanavyokusema wale wasiookoka, kujitenga huku kunalenga kutoambatana katika mambo yawezayo kuchafua vazi lako la wokovu la usafi( ila mtu akianza harakati hizo,uhesabika kuwa anajitenga kwa mambo yoote)
_Aliye okoka hapaswi kuafuatisha kila kitu wanachokifanya wapagani,maana lengo letu siyo moja_👇👇👇👇
*Warumi 12 : 2 - Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu.*
👉Pointi ya tatu ya walokole wengi wachoyo,waongo,wenye viburi nk.... Hii inategemea aliyeona haya matabia ni wa mlengo gani,anatasiri wokovu katika sura ipi,aliomba nini mpaka akaona ni wachoyo,alisikia wanasema nini mpaka akasema niwasengenyaji( huwenda walikuwa wakisema tabia zake mbaya,zinawaumiza,waongea ili wamwonbee atoke huko, nk) mfno, vijana wengi wakiume wasiookoka huwasema vibaya wasicgana wakilokole kwamba wana viburi,wanajiona,wachoyo, kisa alimtongoza akakataa,alimshiti,alimpa kauli ya usirudi tena. _lakini biblia inasemaje kwa mtazamo wa watu wa mataifa kwa walokole? Huyu ni Yesu mwenyewe anasema haya maneno_👇👇👇
*_Yohana 15 : 19 - Kama mngekuwa wa ulimwengu, ulimwengu ungewapenda walio wake; lakini kwa kuwa ninyi si wa ulimwengu, bali mimi naliwachagua katika ulimwengu, kwa sababu hiyo ulimwengu huwachukia._*
👆👆Sasa siku zote mtu anaye kuchukia hata ungetenda jema analiona baya,hatakusena vizuri kwa lolote. Ila mzizi wachuki umetokana na kutofautiana na njia.
*_Pointi ya nne ya wao kutokuwa na mahusiano na watu wanao lala nao au kaa nao_* Hii inarudi katika tafsiri ya mwanzo ya watu wenye mahusiano mazuri lazima wawe na lengo moja,wanafanya mambo yanayo fanana, mfano chuoni, *_Mpo hostel  wanafunzi wa4, mmoja ameokoja watatu hawajaokoka, au vice versa, huyu anakuja na demu wake,au boyfriend wake kufanya uchafu humo,huyu hana hayo mambo,au hawa wanakuja na bia huyu hanywi,twende disco hutu hawezi kwenda njia yake na katiba yake hairuhusu, automatically watamwona hafai,anajitenga anajifanya mtakatifu,siyo anajifanya ndivyo ilivyo ni mtakatifu,hapaswi kushiriki matendo ya giza_*
👉Kwa lugha fupi ni kwamba wanatimiza kilichoandikwa na kusemwa na Mungu kupitia neno lake.
*_Waefeso 5 : 11 - Wala msishirikiane na matendo yasiyozaa ya giza, bali myakemee;_*
👆Ukiyakemea matendo yao hayo,ya ulevi,ngono,ukahaba,disco,nk ndo utaonekana wewe unajifanya mtakatifu sana,na ndipo utaanza kuambiwa wewe nawe unadhambi,unakufuru kujiita mtakatifu. Hii kwa walokole si jambo la kushangaza *Hata Yesu mwenyewe walimsema hivyo,aliposema mimi ni mwana wa mungu* kwa hiyo ni mwendelezo wa kile kilichoanzishwa na mwasisi wa imani ya Kikristo.👇👇👇
*Mathayo 26:59-67*
59 Basi wakuu wa makuhani na baraza yote wakatafuta ushuhuda wa uongo juu ya Yesu, wapate kumwua; 

60 wasiuone wangawa walitokea mashahidi wa uongo wengi. 

61 Hata baadaye wawili wakatokea, wakasema, Huyu alisema, Naweza kulivunja hekalu la Mungu, na kulijenga kwa siku tatu. 

62 Kisha Kuhani Mkuu akasimama akamwambia, Hujibu neno? Hawa wanakushuhudia nini? 

63 Lakini, Yesu akanyamaza. Kuhani Mkuu akamwambia, Nakuapisha kwa Mungu aliye hai, utuambie kama wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu. 

64 Yesu akamwambia, Wewe umesema; lakini nawaambieni, Tangu sasa mtamwona Mwana wa Adamu ameketi mkono wa kuume wa nguvu, akija juu ya mawingu ya mbinguni. 

65 Ndipo Kuhani Mkuu akararua mavazi yake, akisema, Amekufuru; mna haja gani tena ya mashahidi? Tazameni, sasa mmesikia hiyo kufuru yake; 

66 mwaonaje ninyi? Wakajibu, wakasema, Imempasa kuuawa. 

67 Ndipo wakamtemea mate ya uso, wakampiga makonde; wengine wakampiga makofi, 
Pointi ya 5, Nini kifanyike kuwasaidia watu wa aina hiyo, ni hii.... *_Jambo la ili usione tatizo lao KUOKOKA kuamua kuambatana nao hilo ndo jibu la msingi,utakuja kuona mpo kitu kimoja,mnashirikiana,mnapendana na hautaona utofauti ulokuwa ukiuona kwanza. Ukiokoka unakuja kwe ye familia ya Mungu,kwa hiyo mnakuwa na upendo wa kindugu_* kama watoto wa familia moja ya Kimungu.
*Yohana 1:12*
_Bali wote wakiompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu ndoyo wale waliaminio jina lake_
*NDUGU MPENDWA KARIBU KWA YESU*
_Imeandaliwa na Ev Elisha Kazimoto_
WhatsApp 0755444078

Tuesday, 12 September 2017

TATIZO LA KITANDANI

*Swali: Utafanyaje ikitokea umefunga ndoa na kijana unaingia ndani siku ya kwanza,anashindwa kufanya kazi,wiki,mwezi...mnara hausomi.?*
_Anajibu Ev Elisha Kazimoto_
WhatsApp 0755444078
*_Kwanza kabisa,wapendwa suala la ndoa ni suala tata sana na jepesi sana,na ni la kiroho 50% na la kimwili 50%,kwasababu hiyo umakini u ahitajika sana_*
👉Nianze kwa kuwashauri vijana na kuwaondolea wasiwasi, Ndoa inahitaji uiendee ukiwa vizuri mbele za Mungu,uwe na uwezo wa kiroho wa kuweza kushughulika na changamoto mbakimbali kiroho na kimwili,.
👉Ukiiwndea ndoa ukiwa vizuri na Mungu atakupa mtu wa kufanana na wewe,atakuepushia balaa zingine kama hizo( _Lakini kama zitaruhusiwa na Mungu,ujue Mungu ameona uwezo wako wa kiroho unaliweza kulibeba,na litakuwa na jibu,maana biblia inasema Mungu hakupi jaribu zaidi yaimani yako_) kwa hiyo ukiwa na Mungu vzr utavuka kwa namna atakavyo kupa njia ya kutokea,jaribu halikai daima, adhabu ndo inakaa daima,na jaribu haliumizi na kujuondoa mstarini,ila linakuimarisha na kukupa hatua.
👉 Pia vijana ambao hamja oa,kuweni na maarifa ya kuombea ndo yako ijayo,ombea kila kitu acha kuwa na aibu mbele za Mungu, mfn. *_Ukiwauliza wachumba mlo humu,na wana ndoa,nani alikuwa akiomba Mungu ampe mme au mke wa kumtosheleza katika tendo la ndoa,ampe mtu wa size yake kimaumbile?_* utakuta katika 100 ni 5 tu au 2.tunakosa maarifa wakati mwingine, Ndoa ni taasisi inayo windwa mno,unaweza andaliwa stress kubwa na shetani ili uiache imani. Haya mambo yashugulikie mapema kuwa wazi kwa baba,au *Unatatizo mwambie Mungu ili tatizo mbona litamnyima furaha mwenzangu?* shugulikia
*Usipo kaa na Mungu vizuri na Mungu,ndo utajichanganya kufanya sex kabla ya ndoa ili kujua uzima wa mwenzako, ndugu yangu huja win ila ume fail, vp ukishaoana ukakatika kiuno? Au ukapoteza viungo muhimu vya kukusaidia kufanya sex kwa uhuru?utakaa kwenye ndoa au utatoka?* silaha kubwa kwako kijana si kuogoa changamoto bali kujiweka vzr na Mungu atakupa mtu sahihi na aliye vizuri.
👉Jambo lingine, *_watumishi wa Mungu tumezidi kuongea na vijana,wawe wawazi,kusema kama yuko fit au anamapungufu, lakini pia waaimamizi wa ndia ni watu wakaribu kwa hawa wana ndoa watarajiwa, wa kiume kwa wakiume,wakike kwa wakike,kuulizana ata kutazama kama minara inasoma. Huku wachungaji nikumwapisha kijana,hata kabla ya kufunga ndoa,tuhakikishie uimara wako,hatuitaji kesi baada ya ndoa_* nyakati hizi haya yanafanyika.
👉 Lakini kuna suala la kushambuliwa ki nguvu za giza,unaweza kuwa fit,kijana au binti,ila unaingia ndani tu, kijana unaona laini haisomi,wiki,mwezi nk,au mdada ile kubisha hodi mlangoni wala hata kuweka mguu ndani,binti kilio machozi kama maji,maumivu makali, utafanyaje ?ndo maana yangu ya kuwa na mngu vizuri. *Ntawaletea somo la maandalizi ya kiroho ya kuingia katika ndoa* kuna kina ameo rafiki yangu mwaka jana yuko fiti,ila kwenye harusi walichezewa game na wachawi,mambo ya zawadi mtu alimpa pipi akala wakati wa kutoa zawadi,na sabuni, kufika ndani walionja tu,network zika kata miezi karibu3,walipanda mlimani,network zikarudi, mwezi ulo pita wamepata mtoto. Sasa si kila network kukata ni ugonjwa kwamba kijana hakusema,kuna *Kushambuliwa*
👉Jambo lingine,watu mkiwa katika uchumba,nimambo ya kawaida, kumuuliza kitekiniki mfano, *_Ana ugonjwa gani,tatizo linalo msumbua, nk_,amezaa watoto,kuna ex wake anaye msumbua,* na wakati wa kuwa wazi ili kuepusha migogo ya ndoa baadaye.
*Kama mmepitia hatua zote tangu mwanzo,na mmewashirikisha watumishi wa Mungu (walezi)wenu tangu mnaanza mtaepusha mengi,wanajua mengi, shida ya vijana wanachumbiana kimya kimya wanawashirikisha watumishi yote walisha maliza,sasa ukiambiwa *huyo kijana ni Toashi mnara hausomi,utakubali,?au utaona wanakuonea wivu, au huyu binti ametoa mimba nyingi na kizazi hana,utaamini, au huyu kwao wachawi naye dada ni mpaaji balaa,utamuacha na mmeisha fika mbali?* shirikisha watumishi mpunguze matatizo.
👉Kama limekukuta kama huyo honeymoon *_Usipaniki,tulia,ongea na mwenzako kwa upendo na utaratibu,ujue ni tatizo la kuzaliwa,ukubwani,ndo wa kuathirika na kunichua,au ndo ameshambuliwa, kama lipo nje ya uwezo wenu,waone watumishi wawashauri,wawaombee,kama ni hospital mpate matibabu, maadamu mmependana,mmekubaliana kuoana,na kuapa kuishi wotw milele Mungu atatoa njia_*
NB: kwa watumishi wengine kama kijana ni Toashi,yaani hafanyi kazi,wanaifungua ndoa,maana ndoa inakamilika kwa tendo la ndoa.
*Ev Elisha Kazimoto*
0755444078

Monday, 11 September 2017

MAHUSIANO MTANDAONI

*_Tunafunga mada hii kwa namna hii_*
_Ifike hatua,vijana wa kike na wakiume,mjue jambo moja kuwa, ndoa siyo biashara,kwamba nisipo pata wateja soko hili napeleka pengine na nikipata hasara ntafanya biashara nyingine. Ndoa ni maisha,unapo amua kuoa au kuolewa,unatengeneza mkataba wa maisha ya Amani,au wa majuto mpaka kaburini(kwa ndoa za wana wa Mungu )hivyo usifanye mambo ya RISK(kujihatarisha)ndo maana vijana wengi wanasema siku hizi hakuna waoaji,na wakaka wanasema hakuna wanawake waolewaji,ndoa hazidumu ila migogoro ni mingi, shida vijana MNA RAHISISHA SANA NDOA kama kumtuma mtoto kwa MANGI DUKANI ANUNUE CHUMVI, ndoa inahitaji;_
👉  *Maandalizi ya kisaikolojia ,kimwili na kiroho*
👉 *Ndoa inahitaji Uhakika wa kujiridhisha kuwa chaguo hili litanifaa kiroho,kimwili*
👉 Ndoa ahitaji kudhania(to predict) mbeleya safari atabadirika
👉 *Ndoa inahitaji uingie na mtu unaye mfahamu vizuri,ndo maana inashauriwa,usimtamkie mtu kumuoa/kukubali  akuoe bila kumfahamu kwa kina*
_Sasa jambo la hatari na kushangaza,unaanzishaje mahusiano online mtu humjui(hamjawahi kumeet face to face),huu si niuongo wa Phd,ukiulizwa,umenipendea nini,unajibu( utasema sura?),anavyo type haraka? Voice note zake au,tabia?umeiona wapi........ Kwa namna hii wengi wameoa majini_
*Unaachiaje moyo kwa mtu,moyo wa upendo wa ndoa kwa mtu usiye jua kwao,hujui ndugu zake,wazazi,historia yake na familia, ndo maana wengi wanapigwa mimba na kuachwa,wengine wanaolewa kwa wachawi balaa,watoto wako wote wanaliwa wakiwa wadogo*
Vijana msiseme siku hizi ndoa mbovu,sema ninyi ndo wabovu,mke/mme unempataje?yaani *_Eti unavyoona watu wanachangia humu,fasta unafata mtu inbox,nimekupenda tuanze mahusiano yakuelekea ndoa, wee Jambazi mkubwa,unependa au umetamani na hujui unalofanya,_*
Ndiyo maana wachumba wote mnaowapata mitandaoni wanawapiga kibuti humo humo mitandaoni.
*KAA ULIMPENDA MTU ONLINE SASA AMANI INATOWEKA JUU YAKE,UNATAKA NINI,URUDISHIWE AMANI FEKI YA KISHETANI ILI UFE? HUTAKI MUNGU AKUSAIDIE KUKUEPUSHA MABAYA?*
   Ev Elisha-Counselor

Saturday, 9 September 2017

UCHUMBA,MUDA WAKE KISAIKOLOJIA NA KIROHO

*UCHUMBA NA MUDA WAKE KISAIKOLOJIA NA KIROHO*
      _Ev Elisha Kazimoto_
WhatsApp 0755444078
_Shalom vijana wote mnao taka kuingia katika mahusiano na mlio kwenye mahusiano, karibu tuchambue Uchumba na makando kando yake kisaikolojia na kiroho_
👉 Kuna mkanganyiko kati ya uchumba na urafiki(mahusiano) kwanza nivitofautishe hivi vitu viwili ili tujue muda unao faa wa uchumba,na muda wa kutambulishana kwa wazazi na marafiki nk.
1⃣ *Mahusiano ya kirafiki* ni mahusiano yaliyojengeka baina ya watu wawili,yenye msingi wa *_Mrandano,kupatana,na kuona umuhimu wa Huyo mtu katika kufikia malengo flani_* mahusiano ya kirafiki ndani yake hayana kauli ya agano la kuoana,na mara nyingi urafiki auna siku maalumu ya kuunda,ila unatokea Autonatic kutokana na kuona vitu flani muhimu juu ya mtu mwingine vinavyo kufaa wewe,ndipo ukaribu uanza kujengeka na kugubdua mnaelewana sana.
👉Urafiki hauna mtu mmoja,unaweza kuwa na marafiki hata zaidi ya 10,20 ila marafiki hutofautiana ukaribu kulingana na vitu kila mmoja alivyo navyo vinavyo kuvutia.
👉Katika urafiki wa kijana na binti hauna habari za ndani za kiba,wala hakuna makubaliano yoyote(wala hakuna zuio la huyo rafiki,kumnyima uhuru wa kuwa na maamuzi mbadala ya kuwa na marafiki wengine wengi)
👉Lakini katika urafiki haishauriki ufunue siri zako zote kwa hao/huyo rafiki maana hauna afano naye, na pamoja na kuwa naurafiki wa kina kuna mipaka mikubwa ya kufanya vitu(sex no,mazawadi ukiyatoa hakuna ujira wake,wala tegemeo maana hakuna agano)
👉 *Uchumba* Ni hatua nyingine kubwa inayo husisha maamuzi ya watu wawili,wanaoona waweza kuishi pamoja kama mke na mme,walio tayari kupeleka taarifa zilizo rasmi kwa watu wanaohusika katika pande zote mbili,ili kurasmisha nia yenu ya kuoana,hatua hizi zifuatazo zikifanyika ndo watu uitwa Wachumba:-
1⃣ Wawili walopendana kukubaliana kuwa twaweza kuoana.
2⃣Walezi wa kiroho wenu kupewa taarifa(hapa ziko aina 2 za taarifa,moja _Kuna taarifa ya kuna mtu nimemuoana anahitaji kunichumbia/kumchumbia vipi maisha yake ya kiroho na ya kimwili kwa ujumla_) sasa mlezi wa kiroho atakacho kwambia ndo kina kupa kuendelea mbele au kusitisha safari. Taarifa ya pili ni, _Baba nina mtu niliyempata tayari,tumeongea,tumekubaliana kuoana,sasa tunalileta mbele yako ili liwe rasmi na taratibu zote zianze za kuelekea ndoa_
3⃣ Kupeleka barua ya posa kwa wazazi wa binti,ukikubaliwa mnaendelea mbele. Ikigoma basi hekima zingne utafutwa.
4⃣Kupima afya zenu kama mna maambukizi au la, kama kuna maambukizi,safari imeishia hapo,au mpaka kwa maridhiano mengine.
5⃣Taratibu za kutambukishana kifamilia hufuata.
_Baada ya hatua hizo muhimu ndipo wengibe hupeleka mahari ya kwanza,ili wazazi waruhusu hatua ya kuvikana pete💍💍 ndipo sasa Hasa watu uitwa wachumba,na kanisani utangaza Rasmi flani na flani ni Wachumba_ *Na hiyi ndo hatua rasmi ya hatua watu kuitwa Wachumba* kabla ya hapo ninyi ni *_Marafiki tu kwa lolote la kutokea,break up,kutapeliwa pesa,mali nk usimlaumu mtu yeyote ukubali kuumia peke yako_*
👉Sasa suala la *Kutambulishana kwa marafiki na ndugu* nimerleza hapo juu hatua hizo zikifuatwa automatic kuna watu watakuwa wamejua kulingana na hatua mnazoingia na ukaribu na umuhimu wa watu kwenu. Ila kwa marafiki wengine mnajitambulisja kulingana na umuhimu wa rafiki yako kwako.
*Ushauri wa kisaikolojia na kiroho,usifanye biashara ya kutambulisha mahusiano yako kwa kila mtu,maana kuna Athari kuu 2,ya kiroho na kisaikolojia :*
1⃣ Kisaikolojia, kwakadiri watu wanavyoongezeka wanaojua mahusiano yako,utapata changamoto ya mahusiano yako kuchambuliwa,kuibuliwa madhaifu ya mwenzako,kuzushiwa mambo mabaya,jambo ambalo linaweza athiri mahusiano yenu,upendo,kuaminiana nk.hata kurumbana kwasababu ya maneno ya watu
2⃣ Kwa kadiri mnavyo ongeza idadi ya watu kufahamu mahusiano yenu,ndivyo *Mnavyoongeza uwanja wa mashambulizi ya kiroho juu ya safari yenu ya ndoa* hivyo mjipange, mishale kutoka kwa watu 5,kuikwepa ni rahisi kuliko itoke kwa watu 100.
👉 *Muda wa kukaa katika uchumba* unategemea na maandalizi na uwezo wenu juu ya harusi. Japo inashauriwa isipungue miezi 6,na isizidi miaka 1.5 hadi 2 kuepusha uchumba kuvunjika,kuchokana na kuanguka katika dhambi ya zina.( na muda maana yake unahesabika tangu mlipoitwa wachumba kwa mujibu wa hatua nilizoeleza juu) wengi  mna hesabu na muda wa urafiki ambao unakuta miaka 3,4...jambo ambalo si kweli.
NB: _Uchumba si ndoa,ni ruksa kuvunja hata siku mnakula kiapo ukakataa,ndoa haifungwi,na hakuna dhambi,maadamu kuna the shocking information,isiyo vumilika. Ndiyo maana pia,kisheria kabla ya siku ya kufunga ndoa,uchunba unatangazwa siku 21,na fomu zibabandikwa makanisani,akitokea mtu anasababu ya kusitisha,anaruhusiwa. Japo,omba sana lisikutokee maishani ni kovu la kisaikolojia la kukugharimu kimawazo._
*Ulikuwa nami mchambuzi wa masuala ya mahusiamo na ndoa Ev Elisha Kazimoto*
WhatsApp 0755444078

Friday, 8 September 2017

NITAZIMA SHANGWE ZAO GHAFLA

✅ *NITAZIMA SHANGWE ZA ADUI ZANGU GHAFLA*✅
   *_Ev Elisha Kazimoto_*
    WhatsApp 0755444078
_Shalom watu wa vita. Usiku huu wa mkesha ni usiku wa Operation ya Kuzima shangwe ya adui zangu ghafla_
*WAAMUZI 16:23-30*
23 Kisha wakuu wa Wafilisti wakakusanyika ili kumtolea sadaka Dagoni mungu wao, na kufurahi; maana walisema, Mungu wetu amemtia Samsoni adui wetu mikononi mwetu. 

24 Na hao watu walipomwona wakamhimidi mungu wao, maana walisema, Mungu wetu amemtia mikononi mwetu huyu adui wetu, aliyeiharibu nchi yetu na kuwaua watu wengi miongoni mwetu. 

25 Ikawa mioyo yao iliposhangilia, wakasema, Mwiteni Samsoni, ili atufanyie michezo. Basi wakamwita Samsoni atoke gerezani, akacheze mbele yao wakamweka katikati ya nguzo mbili. 

26 Samsoni akamwambia yule kijana aliyemshika mkono, Niache nizipapase nguzo ambazo nyumba hii inazikalia, nipate kuzitegemea. 

27 Basi nyumba ile ilikuwa imejaa watu waume kwa wake; na wakuu wote wa Wafilisti walikuwamo humo, na juu ya dari palikuwa na watu elfu tatu waume kwa wake waliokuwa wakitazama, wakati Samsoni alipocheza. 

28 Samsoni akamwita Bwana, akasema, Ee Bwana MUNGU, unikumbuke, nakuomba, ukanitie nguvu, nakuomba, mara hii tu, Ee Mungu, ili nipate kujilipiza kisasi juu ya Wafilisti kwa ajili ya macho yangu mawili. 

29 Kisha Samsoni akazishika nguzo mbili za katikati ambazo nyumba ile ilikaa juu yake, akazitegemea, moja kwa mkono wake wa kuume na moja kwa mkono wake wa kushoto. 

30 Samsoni akasema; Na nife pamoja na hawa Wafilisti. Akainama kwa nguvu zake zote; ile nyumba ikawaangukia hao wakuu, na watu wote waliokuwa ndani yake. Basi wale watu aliowaua wakati wa kufa kwake walikuwa wengi kuliko wale aliowaua wakati wa uhai wake. 
👉👆Kupitia mistari hiyo,Roho wa Bwana akufundishe kitu tunapoenda kuanza maombi ya kuzima Shangwe ya hao maadui wanao shangilia shida yako.
👉Samsoni alilibeba kusudi la Mungu,na alitumika kwa nguvu zake zote kuhakikisha Mungu anainuliwa daima( _Hii ndiyo kazi tunayo fanyasiku zote,na kama unahitaji ushindi siku ya jaribu lako tumika kwa Mungu kwa nguvu zako zote_)
👉👆Utumishi wa Samsoni ulileta hasara kubwa kwa maadui wa taifa la Mungu (wafilisti),walimsagia meno,walimuwinda kumuua( _Ndicho kinacho endelea kwako na kwangu,tunapo omba,fanya kazi ya Mungu kwa nguvu,ni hasara kwa shetani,wachawi nk, wanaanza kutuwinda watuue_)
👉👆Samsoni alipita katika  *kipindi cha kutoona, kutokuwa na tumaini,nywele hana,macho hana,na yupo katika kambi la adui zake* ( _Hiki ni kipindi cha wengi wanakipitia,adui amekushambulia,huoni njia,jaribu kali wala hujui na huoni pa kupenyea,lakini watu wanakudhihaki kwa jaribu lako,tatizo lako_)
👉👆Wafilisti walishangilia,walisifu miungu yao na mungu wao Dagoni wakisema mungu wao amemtia Samsoni adui yao mikoni mwao( _Unapo pita katika jaribu na wakati mambo yako magumu,ndoa ina shida,uchumi umeyumba,umri unaenda hujaoa au kuolewa,bado Uzao huna katika ndoa miaka inasonga,wapo wanao dhihaki,wanashangilia,wanadhani dawa zao,kafara zao,mganga wao amekushugulikia, *Hilo lisikuvunje moyo* hicho ni kipindi tu cha Nywele za Samsoni hazijaota_)
👉👆Nywele zako zokiwa bado fupi hazijaota,utatukanwa matusi yote,kila mmoja atakudharau,isikupe shida *Nywele zako zina rudi,utumishi wako mbele za Mungu hazijasahaulika,utazizima shangwe zao Ghafla*
👉👆Shangwe zilipo zidi za maadui wa Samsoni (wafilisti) waliitisha sherehe ili wamlete samsoni hadharani awachezee wafurahi(yaani wafurahie tatizo lake la kutokuwa na macho) ( _Siku zote adui zako huwa hawajui kipindi chao kupigwa na kuziba vinywa vyao,ili wewe utoke katika jaribu_) hawa wafilisti walimuita Samsoni wakasahau nywele zake zimeota tena( wakati wako unakuja,furaha yako inarudi tena)
👉👆Samsoni aliletwa haoni,ila kuna kijana alimshika mkono kumsaidia kwenda mwisho wa jaribu lake( _Nawe Mungu akuinulie mtu wa kukushika mkono akusaidie katika jaribu lako unapoelekea mwisho wake_)
👉👆Samsoni alipofika ukumbini maadui zake walishangilia kweli,shangwe ya dhiaka,ilimuuma sana(kama unavyoumia wewe unavyosimangwa), ila Samsoni akamwambia kijana yule aliye mleta *_Niache niziegemee nguzo hizi mbili ambazo jengo hili lote linazikalia_* (uuuuuuuh saa ya kichapo imefikaaa, shangwe yao inakwenda kuzima ghafla wao bila habari)
👉👆  *_Usiku wa leo tafuta nguzo mbili za jaribu lako,tatizo lako,maadui zako,twende kuzima shangwe ya wahuni waliotudhihaki muda mrefu_*
👉👆 Katika nguzo Samsoni aliomba maombi makali akiwa amezishikilia nguzo( *_Nawe sasa ukiwa umeshikilia nguzo za tatizo lako,za maadui omba maombi makali, mwambie Bwana nikumbuke leo nipate kuzizima shangwe za maadui zangu_*
👉👆 Kwa nguvu zote samsoni akazivuta nguzo,nyunva ikaanguka,na kuua watu wengi mno kuliko aliowaua kipindi cha uhai wake( _Maombi yetu leo tunavuta nguzo hizo za utasa,umaskini,magonjwa,kukataliwa na yote yanayo kusibu_) sikiliza, mwisho wa jaribu lako ni mkuu sana utukufu wake kuliko ulivyokuwa wakati unaanza tatizo.
_Sasa anza maombi ya kuita kwa nguvu, Ee Mungu unikumbuke sasa jengo hili la maadui liangushwe na shangwe zao zizimike_ Anza maombi.
     *By Ev Elisha Kazimoto*

NITAZIMA SHANGWE ZAO GHAFLA

✅ *NITAZIMA SHANGWE ZA ADUI ZANGU GHAFLA*✅
   *_Ev Elisha Kazimoto_*
    WhatsApp 0755444078
_Shalom watu wa vita. Usiku huu wa mkesha ni usiku wa Operation ya Kuzima shangwe ya adui zangu ghafla_
*WAAMUZI 16:23-30*
23 Kisha wakuu wa Wafilisti wakakusanyika ili kumtolea sadaka Dagoni mungu wao, na kufurahi; maana walisema, Mungu wetu amemtia Samsoni adui wetu mikononi mwetu. 

24 Na hao watu walipomwona wakamhimidi mungu wao, maana walisema, Mungu wetu amemtia mikononi mwetu huyu adui wetu, aliyeiharibu nchi yetu na kuwaua watu wengi miongoni mwetu. 

25 Ikawa mioyo yao iliposhangilia, wakasema, Mwiteni Samsoni, ili atufanyie michezo. Basi wakamwita Samsoni atoke gerezani, akacheze mbele yao wakamweka katikati ya nguzo mbili. 

26 Samsoni akamwambia yule kijana aliyemshika mkono, Niache nizipapase nguzo ambazo nyumba hii inazikalia, nipate kuzitegemea. 

27 Basi nyumba ile ilikuwa imejaa watu waume kwa wake; na wakuu wote wa Wafilisti walikuwamo humo, na juu ya dari palikuwa na watu elfu tatu waume kwa wake waliokuwa wakitazama, wakati Samsoni alipocheza. 

28 Samsoni akamwita Bwana, akasema, Ee Bwana MUNGU, unikumbuke, nakuomba, ukanitie nguvu, nakuomba, mara hii tu, Ee Mungu, ili nipate kujilipiza kisasi juu ya Wafilisti kwa ajili ya macho yangu mawili. 

29 Kisha Samsoni akazishika nguzo mbili za katikati ambazo nyumba ile ilikaa juu yake, akazitegemea, moja kwa mkono wake wa kuume na moja kwa mkono wake wa kushoto. 

30 Samsoni akasema; Na nife pamoja na hawa Wafilisti. Akainama kwa nguvu zake zote; ile nyumba ikawaangukia hao wakuu, na watu wote waliokuwa ndani yake. Basi wale watu aliowaua wakati wa kufa kwake walikuwa wengi kuliko wale aliowaua wakati wa uhai wake. 
👉👆Kupitia mistari hiyo,Roho wa Bwana akufundishe kitu tunapoenda kuanza maombi ya kuzima Shangwe ya hao maadui wanao shangilia shida yako.
👉Samsoni alilibeba kusudi la Mungu,na alitumika kwa nguvu zake zote kuhakikisha Mungu anainuliwa daima( _Hii ndiyo kazi tunayo fanyasiku zote,na kama unahitaji ushindi siku ya jaribu lako tumika kwa Mungu kwa nguvu zako zote_)
👉👆Utumishi wa Samsoni ulileta hasara kubwa kwa maadui wa taifa la Mungu (wafilisti),walimsagia meno,walimuwinda kumuua( _Ndicho kinacho endelea kwako na kwangu,tunapo omba,fanya kazi ya Mungu kwa nguvu,ni hasara kwa shetani,wachawi nk, wanaanza kutuwinda watuue_)
👉👆Samsoni alipita katika  *kipindi cha kutoona, kutokuwa na tumaini,nywele hana,macho hana,na yupo katika kambi la adui zake* ( _Hiki ni kipindi cha wengi wanakipitia,adui amekushambulia,huoni njia,jaribu kali wala hujui na huoni pa kupenyea,lakini watu wanakudhihaki kwa jaribu lako,tatizo lako_)
👉👆Wafilisti walishangilia,walisifu miungu yao na mungu wao Dagoni wakisema mungu wao amemtia Samsoni adui yao mikoni mwao( _Unapo pita katika jaribu na wakati mambo yako magumu,ndoa ina shida,uchumi umeyumba,umri unaenda hujaoa au kuolewa,bado Uzao huna katika ndoa miaka inasonga,wapo wanao dhihaki,wanashangilia,wanadhani dawa zao,kafara zao,mganga wao amekushugulikia, *Hilo lisikuvunje moyo* hicho ni kipindi tu cha Nywele za Samsoni hazijaota_)
👉👆Nywele zako zokiwa bado fupi hazijaota,utatukanwa matusi yote,kila mmoja atakudharau,isikupe shida *Nywele zako zina rudi,utumishi wako mbele za Mungu hazijasahaulika,utazizima shangwe zao Ghafla*
👉👆Shangwe zilipo zidi za maadui wa Samsoni (wafilisti) waliitisha sherehe ili wamlete samsoni hadharani awachezee wafurahi(yaani wafurahie tatizo lake la kutokuwa na macho) ( _Siku zote adui zako huwa hawajui kipindi chao kupigwa na kuziba vinywa vyao,ili wewe utoke katika jaribu_) hawa wafilisti walimuita Samsoni wakasahau nywele zake zimeota tena( wakati wako unakuja,furaha yako inarudi tena)
👉👆Samsoni aliletwa haoni,ila kuna kijana alimshika mkono kumsaidia kwenda mwisho wa jaribu lake( _Nawe Mungu akuinulie mtu wa kukushika mkono akusaidie katika jaribu lako unapoelekea mwisho wake_)
👉👆Samsoni alipofika ukumbini maadui zake walishangilia kweli,shangwe ya dhiaka,ilimuuma sana(kama unavyoumia wewe unavyosimangwa), ila Samsoni akamwambia kijana yule aliye mleta *_Niache niziegemee nguzo hizi mbili ambazo jengo hili lote linazikalia_* (uuuuuuuh saa ya kichapo imefikaaa, shangwe yao inakwenda kuzima ghafla wao bila habari)
👉👆  *_Usiku wa leo tafuta nguzo mbili za jaribu lako,tatizo lako,maadui zako,twende kuzima shangwe ya wahuni waliotudhihaki muda mrefu_*
👉👆 Katika nguzo Samsoni aliomba maombi makali akiwa amezishikilia nguzo( *_Nawe sasa ukiwa umeshikilia nguzo za tatizo lako,za maadui omba maombi makali, mwambie Bwana nikumbuke leo nipate kuzizima shangwe za maadui zangu_*
👉👆 Kwa nguvu zote samsoni akazivuta nguzo,nyunva ikaanguka,na kuua watu wengi mno kuliko aliowaua kipindi cha uhai wake( _Maombi yetu leo tunavuta nguzo hizo za utasa,umaskini,magonjwa,kukataliwa na yote yanayo kusibu_) sikiliza, mwisho wa jaribu lako ni mkuu sana utukufu wake kuliko ulivyokuwa wakati unaanza tatizo.
_Sasa anza maombi ya kuita kwa nguvu, Ee Mungu unikumbuke sasa jengo hili la maadui liangushwe na shangwe zao zizimike_ Anza maombi.
     *By Ev Elisha Kazimoto*

Tuesday, 5 September 2017

UNAOANA NA MAREHEMU

πŸ’€πŸ’€πŸ’ *UNAMPANGO WA KUOANA NA MAREHEMU UNATEGEMEA NINI?*πŸ’πŸ’€πŸ’€
*Na Ev Elisha Kazimoto*( _Mjumbe Mkali. Mithali 17:11_)
WhatsApp 0755444078
*_Mhubiri 9 : 4 - Kwa kuwa liko tumaini kwa yule aliyeambatana na wote walio hai; (maana ni afadhali mbwa aliye hai kuliko simba aliyekufa);_*
_Shalom watu wote mlio makanisani na hasa wale waaminio mwito( *Wokovu*) na tumaini la wito wetu katika Kristo Yesu Bwana wetu. Kuna jambo hili ambalo limekuwa likisumbua vichwa vya vijana wakiume na wakike muda wa *Kuoa na Kuolewa* mpaka kufikia hatua ya kuibadiri kweli ya kristo kuwa uongo( *Warumi 1:25 )ili mradi kutimiza nia zao na tamaa zao za kuingia katika ndoa, jambo hili ni Ushetani wa mtu anayesema ameokoka(sina uhakika)Kuchumbiana na Mpagani(Marehemu anayetembea) na kujipa haki kuwa Mungu atambadirisha tukifika ndani*_ Naomba unitegee sikio uone Misukule ya ndoa iliyo tengenezwa makanisani, na kuwasumbua watumishi wa Mungu makanisani, mitandaoni kushauri watu na kuombea watu wenye misukule ya ndoa,misukule walio itengeneza wao kwa tamaa zao ,na kuziba masikioπŸ™‰πŸ™‰πŸ™‰ yao wasisikie kweli,na kuziba machoπŸ™ˆπŸ™ˆπŸ™ˆ wasione ukweli wa neno la Mungu.
_Ninaye kuletea uchambuzi huu dawa πŸ’ŠπŸ’Š ya wagonjwa wa mapenzi walio vitandani ni *Ev Elisha Kazimoto* Mchambuzi na Mshauri wa masuala ya Mahusiano na Ndoa_
πŸ’ŠπŸ’Š Kijana wa kiume na wakike,soma mstari huu tena,unaobeba ujumbe huu na uelewe ndo ndoa yako iwe paradiso ndogo.πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
*_Mhubiri 9 : 4 - Kwa kuwa liko tumaini kwa yule aliyeambatana na wote walio hai; (maana ni afadhali mbwa aliye hai kuliko simba aliyekufa);_* vijana wanapoingia moto wa kuoa na kuolewa na kuanza kuona πŸ“…kalenda inasoma miaka mingi na bado hajapata mtu wa uhakika wa kuoa au kumuoa,anaamua kubadili kanuni za kibiblia ziende sambamba na hisia zake.( *Anaanza Kumtafuta Aliye Hai katika wafu*  πŸ‘‰ *_Luka 24 : 5 - nao walipoingiwa na hofu na kuinama kifudifudi hata nchi, hao waliwaambia, Kwa nini mnamtafuta aliye hai katika wafu?_* )
πŸ’ŠπŸ’Š Kijana ameokoka,ni mwimbaji,ni mpiga  vyombo kanisani, wakati wakuoa na kuolewa, anaangaza macho,( *Anatafuta six packs, mwenye pesa, elimu kubwa,mwenye mshahara mzuri,mwenye usafiri hata kama ni mwanadini tu,mpagani,ili mradi anakidhi baadhi ya vigezo vya kimwili alivyo jiwekea* Sikiliza hajaokoka,ila ili mradi anakidhi baadhi ya vigezo vyake vya kimwili( hujui *Unabeba Simba aliye Kufa,(Mpagani) unaacha Mbwa aliye Hai(mtu aliyeokoka)mwenye tumaini kwa Mungu kuwa muda wowote atabarikiwa na kufanikiwa.
πŸ’ŠπŸ’Š Mtu aliye okoka ni Hai amehuishwa,Anaona,anasikia,anahisi,anaongea,anapenda,anachukia,anapumua,ana akili timamu ya kufanya maamuzi sahihi, ila mtu yeyote ambaye Hajaokoka( *_hajampokea Yesu maishani mwake,na kutembea katika Neno la Kristo huyo ni Marehemu anayetembea_* haijalishi amefanikiwa au ni msomi huyo ni *Marehemu* ukiamua kuoana naye jua umeoana na Marehemu anayetembea.πŸ‘‡πŸ‘‡
*_Waefeso 2 : 1 - Nanyi mlikuwa wafu kwa sababu ya makosa na dhambi zenu;_*huyo ndo mchumba wako ambaye hajaokoka.
*SIFA NA TABIA ZA MAREHEMU*
_Ukiamua kuchumbiana na mpagani,usiwasumbue watumishi wa Mungu na niombeeni,ninapita katika wakati mgumu, uliyataka mwenyewe kuoana na marehemu mwenye sifa hizi_
πŸ’€ *Marehemu Haoni* marehemu siyo kipofu,ni kwamba hana macho, kwahiyo jua unaoana na mtu asiyeona thamani ya Mungu,moyo wako,lipi baya na lipi zuri(utakapo ona anafanya vitu ambavyo ni kero kwako katika ndoa,usimlaumu *Haoni*chochote,na hatuwezi mwombea kuona huyo si mtu kipofu, ni marehemu asiye na macho.
πŸ’€ *Marehemu Hasikii*  vijana wanafunga ndoa na marehemu,muda mfupi miezi kadhaa,mwaka 1,2...ngumi,kesi lawama,hasikii,hasikii,yaani nimesemaa,hasikii anaendelea na tabia yake, hivi tangu lini umewahi ongea na marehemu kabulini au Mochwali ujamwambia sogea hapo tuweke marehemu mwingine akasogea? Unapoteza muda kuongea na Marehemu hasikii leo hata kesho,uliyataka mwenyewe.
πŸ’€ *Marehemu Hajitambui*  Vyovyote marehemu anakaa,uchi sawa,mvishe nguo sawa,chima moto sawa, sasa kijana unafanya maamuzi na kuoana na mpagani,jua unaoana na marehemu asoye jitambua, waliookoka kinacho tufanya tujitambue,ni Yesu Kristo chanzo cha Maarifa ( *Mithali 1:7* kumcha Bwana ni chanzo cha maarifa) na *Maarifa ni uwezo wa kufanya jambo sahihi,muda sahihi ,mahali sahihi kwa kusudi sahihi* nikuulize anaye chepuka anamaarifa,anayetelekeza familia ana maarifa,anaye mpiga myoshe mme wake ana maarifa.?Anaye kuomba sex hamjafunga ndoa nawe ukampa ninyi mna maarifa.?πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
*_Mithali 6 : 32 - Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake._*
πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†Ndo maana nikasema umeoana na Marehemu asiye jitambua(hana akili kabisa) kwa hiyo usimlaumu. *_Marehemu hakukutafuta wewe,ila wewe ndo umemtafuta, wewe uliona ni marehemu ukaenda kwake,yeye hajitambui kama ni marehemu,_* jiulize watu wakikuta mtu nafanya sex na marehemu,analaumiwa nani na kutukanwa nani?marehemu au mwenye uhai? Ukioana na mpagani mpagani halaumiwi,wala hapati laana kutoka kwa Mungu wewe uliye hai ndo moto utakuwakia.

πŸ’€ *Marehemu ana nuka* Ndoa yako inanuka siyo inanukia,na ndoa yako itanuka siyo kunukia kwasababu umeoana na marehemu,utaoana na marehemu. Hiyo ni sifa ya marehemu, saizi Hanuki ndo maana upo karivu naye,uba mahaba naye,akianza kutoa harufu utarudi kwenu au utamfukuza. *_Wengi walioana na marehemu kabla hawajaanza kutoa harufu,wachungaji wakaonya wee,mitandaoni tukafundisha wee masomo yote muhimu,ila mtu kang'ang'ana na kuoana na marehemu kisa hanuki,walipooana marehemu kaanza kutoa harufu,ndo _Mlokole Msukule anaanza kusema,"huyu hakuwa chaguo la Mungu,hayakuwa mapenzi ya Mungu,kwanza hatukufungia ndoa kanisani"_* wee ni Msukule wa kiroho, ukifanya maamuzi ukijua,umeambiwa ila umelazimisha,sasa usitegemee kutoka kwenye ndoa hiyo upate mtu sahihi tena,utapata msukule mwingine wa kiroho.
πŸ’ŠπŸ’ŠHivi hii sela ya *_Nimeona kijana/binti anasifa zote za kuwa mke/mme wangu ila hajaokoka mliipata kitabu gani cha Biblia,......... ?_*   hivi sifa zote unazijua ndo hayoo nimeona mtu kabisa amekamilika na viungo vyote *Ila Ni Marehemu Amekufa* hivi unaakili? Huyo aliye kufa hata kama ana viungo vyote atatufaa nini? Ndo maana *Leo vijana ndoa zenu za ovyo, haziwafai,na hazilifai kanisa,wala haziifai familia yenu* mmebeba marehemu hana faida popote.
πŸ’ŠπŸ’Š Shida vijana mnabeba marehemu kwakuwa mnajitafutia wake na waume kwa tamaa zenu siyo Mungu anakupa. _Ona Adamu anamwita mke wake alopewa na Mungu,anamwita HAWA,maana yake mama wa walio hai wote.πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

*_Mwanzo 3 : 20 - Adamu akamwita mkewe jina lake Hawa; kwa kuwa yeye ndiye aliye mama yao wote walio hai._*
πŸ‘†πŸ‘†wee mke wako ni mama wa wawatu gani, Mmeo ni baba wa watu gani, unaweza ukawa Hawa ila una baba wa marehemu ( hii inamaana uzao wenu,sizungumzii watoto tu mfumo wote wa maisha ni mfu)una mama/baba wa waliokufa. Chochote kitokanacho na nyinyi kimekufa.
*Mimi Mtumishi wa Mungu na Mchambuzi wa Masuala ya ndoa na Mahusiano Ev Elisha Kazimoto, kupitia uchambuzi huu na kushauri kijana Oa/Olewa na Mtu aliyesimama Kweli kweli Kwa Yesu*
_Sababu kubwa ni kwa sababu aliyeokoka ni Hai,hata akijikwaa,akiumia,akiugua kiroho,kisaikolojia anauwezo wakutibiwa siyo kama marehemu.πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
*_Mhubiri 9 : 5 - kwa sababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa; lakini wafu hawajui neno lo lote, wala hawana ijara tena; maana kumbukumbu lao limesahauliwa._*
πŸ’ŠπŸ’ŠAliyeokoka ana moyo wa kujishtukia akifanya ndivyo sivyo kwake,asiye okoka hajishtukii. Kwanza aliyeokoka anagopa kufa( kutengana na Mungu )anaweza badirishwa na neno la Mungu kanisani,sasa marehemu unambadirisha na nini. *Eti atabadirikia ndani tukioana nitamuhimiza mambo ya Mungu* 😏😏😏 lakini wewee waulize wachawi Maiti akisha zikwa kaburini wakifukua wanakuta marehemu  anapumua. Au ndo nakuoza kunaanza.
πŸ’ŠπŸ’ŠUkioana na aliyeokoka (aliye hai)unakuwa na tumaini la kuibadirisha ndoa muda wowote kwa namna yoyote kupitia maombi.(ujiwa na aliye hai hata kama ni mgonjwa una matumaini ya kupona)siyo marehemu.
*_Mhubiri 9 : 4 - Kwa kuwa liko tumaini kwa yule aliyeambatana na wote walio hai; (maana ni afadhali mbwa aliye hai kuliko simba aliyekufa);_*
_Endelea kutafuta simba waliokufa huko nje upaganini kisa alikuwa boyfriend /girlfriend wako chuoni,amekusaidia sana chuoni,amekutafutia kazi,amesema ukimkubali ataokoka, tafuta na ubebe huyo simba mfu,unaacha mbwa walio hai,wanao bweka,unawadharau kisa hawana manyoya na meno marefu, wezi watakuja nyumbani kwako hakuna mbwa wa kubweka kwa Bwana awaamshe majirani waje kukusaidia dhidi ya wezi,unalisimba marehemu ukishaibiwa Akili zitakurudia,ndo utatafuta mbwa woote,watakuwa wameisha chukuliwa,utalia na simba wako mfu daima.._
Mwenye sikio na asikie neno Roho aliambia kanisa la vijana.
*_Imeandaliwa na Mchambuzi na Mshauri wa Masuala ya Mahusiano na Ndoa Ev Elisha Kazimoto (Baba Eve)_*
Fb Elisha Kazimoto
WhatsApp 0755444078
Call: 0657557570
*Muhubiri wa Injili isiyo Chakachuliwa*