🍇🍇 *NINI DIRA YANGU YAKUMPATA MWENZI WANGU*🍇🍇
*_By Ev Elisha Kazimoto_*
*0755444078*
_Haleluya🙋🏻♂ vijana wote wa kike na kiume,karibu tuendelee kufunguana macho na masikio ili usifanye makosa yatakayo gharimu kupoteza furaha yako,vision yako,huduma yako na ufalme wa Mungu_
*_N̥ͦḁͦḁͦm̥ͦ k̥ͦu̥ͦn̥ͦḁͦ m̥ͦḁͦm̥ͦb̥ͦo̥ͦ y̥ͦḁͦn̥ͦḁͦs̥ͦu̥ͦm̥ͦb̥ͦu̥ͦḁͦ v̥ͦi̥ͦc̥ͦh̥ͦw̥ͦḁͦ v̥ͦy̥ͦḁͦ v̥ͦi̥ͦj̥ͦḁͦn̥ͦḁͦ,k̥ͦḁͦt̥ͦi̥ͦk̥ͦḁͦ h̥ͦḁͦr̥ͦḁͦk̥ͦḁͦt̥ͦi̥ͦ z̥ͦḁͦ k̥ͦu̥ͦi̥ͦn̥ͦg̥ͦi̥ͦḁͦ k̥ͦḁͦt̥ͦi̥ͦk̥ͦḁͦ n̥ͦd̥ͦo̥ͦḁͦ,n̥ͦḁͦo̥ͦ h̥ͦu̥ͦj̥ͦi̥ͦk̥ͦu̥ͦt̥ͦḁͦ w̥ͦḁͦk̥ͦo̥ͦ n̥ͦj̥ͦi̥ͦḁͦ p̥ͦḁͦn̥ͦd̥ͦḁͦ, l̥ͦe̥ͦo̥ͦ M̥ͦt̥ͦḁͦḁͦl̥ͦḁͦm̥ͦu̥ͦ w̥ͦḁͦ M̥ͦḁͦh̥ͦu̥ͦs̥ͦi̥ͦḁͦn̥ͦo̥ͦ n̥ͦḁͦ N̥ͦd̥ͦo̥ͦḁͦ m̥ͦw̥ͦḁͦn̥ͦḁͦs̥ͦḁͦi̥ͦk̥ͦo̥ͦl̥ͦo̥ͦj̥ͦi̥ͦḁͦ E̥ͦv̥ͦ E̥ͦl̥ͦi̥ͦs̥ͦh̥ͦḁͦ,n̥ͦḁͦk̥ͦu̥ͦm̥ͦe̥ͦg̥ͦe̥ͦḁͦ t̥ͦe̥ͦn̥ͦḁͦ f̥ͦu̥ͦn̥ͦg̥ͦu̥ͦ h̥ͦi̥ͦl̥ͦi̥ͦ l̥ͦḁͦ f̥ͦḁͦi̥ͦd̥ͦḁͦ k̥ͦw̥ͦḁͦk̥ͦo̥ͦ h̥ͦḁͦs̥ͦḁͦ w̥ͦe̥ͦw̥ͦe̥ͦ m̥ͦt̥ͦu̥ͦ w̥ͦḁͦ M̥ͦu̥ͦn̥ͦg̥ͦu̥ͦ u̥ͦl̥ͦi̥ͦy̥ͦe̥ͦ o̥ͦk̥ͦo̥ͦk̥ͦḁͦ._*
🍇 Kuna vitu kadhaa vinaangaliwa sana na vijana katika kumtafuta mtu wa kuishi naye, kama vile; *Elimu,Uchumi mzuri,Kabila,Umbo,rangi,Imani na Kazi uliyo nayo* _Hivi vyote ni vitu muhimu sana kwa ndoa,ila ni vitu vinavyo weza kukutoa machozi baada ya kuingia katika ndoa pindi tu,kama ulivibeba vikuongoze kumpata mwenzi pasipo maarifa._( *Nitachambua kimoja,kimoja na faida yake au hasara katika ndoa*)
🍇Kwanza kabla ya kuoa au kuolewa,kabla ya kuweka vigezo vyovyote vikuongoze,jiulize maswali haya ndo utafanya the Best Selection:
1⃣ Kwa nini nataka kuoa au kuolewa?
2⃣ Nahitaji wa kuniongeza au kunipunguza?
3⃣ Nahitaji kwenda mbinguni baada ya kuoa/kuolewa au Jehanamu?
_Hayo ni maswali ya kijana yoyote aliye na akili timamu,aliyekomaa kiroho,anaye fanya mambo kwa faida_
*T̆ŭj̆ĭb̆ŭ m̆ăs̆w̆ăl̆ĭ h̆ăy̆ŏ 3,h̆ăl̆ăf̆ŭ t̆ŭv̆ĭăn̆ğăl̆ĭĕ v̆ĭl̆ĕ v̆ĭp̆ăŭm̆b̆ĕl̆ĕ.*
🍇1.Mara kadhaa kila mtu ana jibu swali la kwanza kwa namna yake kulingana na msukumo ulio nao ndani unao kupelelea kuoa/kuolewa, *_Hila jibu la msukumo huo laweza kuwa sumu kwa ndoa yako,maana msukumo huo ndo utakupa kupanga vipaumbele kadhaa vya mtu unaye mtaka_*
💈Kuna wanao taka kuingia kwenye ndoa, *Kwa sababu age mate/classmate wake wote wameisha ingia Kwa ndoa* _Huyu ni rahisi kumkuta amechukua mtu kulingana na age mate/classmate wake walivyo chukua watu wa aina flani( Competition Marriage)_ hapa waweza pata au umia.
💈Wapo wanaoingia kwenye ndoa, *Kwa kutaka kuridhisha familia au Kampani yake* _Hawa wanaingia kwenye ndoa kwa kusikiliza mawazo na mashauri ya familia au kampani yake,wanataka nini,wanamsemeaje mme/mke wa aina flani_ (Third Person Marriage) hapa napo kuumia kuko nje nje,uchaguzi wako ni mdogo sana kwa aina hii.
💈Wapo wanaoingia kwenye ndoa, *Kwa sababu wamezidiwa na hisia,kazi,au wahahitaji huduma flani,Kupata watoto* _Hawa sababu hizo zikipatikana wanaifurahia ndoa ila ikikosekana au kuwa na mapungufu katika upatikanaji,hujutia maamuzi yao_( Conditional Expectation Marriage ), ndoa hii lile lililo tarajiwa likikwama ndoa inakuwa chungu,na huchagua watu kwa kukadiria.
💈Wapo wanaoingia katika ndoa, *Kwa lengo la kutimiza kusudi la Mungu,Kutaka kupata mtu wa kutimiza Maono yake,kumpa support ya kazi ya Mungu,Kutimiza furaha yake* _Watu hawa,mara nyingi huyatafuta mapenzi ya Mungu,huchunguza sana nani anafaa,huogopa kukosea,hulinda mahusiano yao na Mungu_ (Positive Perception Marriage), Hawa kigezo chao cha kwanza kwa anaye mtaka awe mwenza wake,ni *Awe Mcha Mungu*
🍇2. *Kabla ya kufanya maamuzi ya kuoa au kuolewa,jiulize kama mtu unaye taka kuambatana naye maishani mwako,atakuongeza kiroho na kimwili au atakupunguza*, Kosa kubwa la vijana nikuangalia shape na sio Vision,kabila na siyo Unako kwenda,Elimu na siyo furaha ya ndoa nk,nk. Unaweza pata mtu kulingana na hisia zako za haraka,au mtazamo wa jamii lakini ukashuka kimaisha kila mwaka kiroho na kimwili.Hapa kunahitaji tafakari kubwa sana.
*_Faida kubwa ya kuoana na mtu sahihii ni kukusaidia kupiga hatua ya maendeleo ya kiroho na Kimwili_* Elimu,kabila,pesa au shape havikupi nguvu ya ku face future yako kwa ujasiri.
🍇3. *Suala la Kwenda mbinguni au Jehanamu linategemea mtu uliye fungamanishwa naye katika safari ya maisha yako. Mtu sahihii atakupa nguvu ya kupambana kiroho na kushinda,hatimaye kwenda mbinguni,na mtu mbovu,atakuwa kikwazo,changamoto ya jitihada zako za kuutafuta ukamilifu na utakatifu,na mwisho wa changamoto ni kushindwa na kuishia jehanamu.
*_Katika hili,ahiitajiki elimu,pesa,kabila wala shape,hapa inahitajika mtu mchaji wa Mungu_*
*M̠c̠h̠a̠n̠g̠o̠ w̠a̠ V̠i̠t̠u̠ v̠i̠n̠a̠v̠y̠o̠ v̠u̠t̠i̠a̠ v̠i̠j̠a̠n̠a̠ k̠a̠t̠i̠k̠a̠ n̠d̠o̠a̠,n̠a̠ h̠a̠s̠a̠r̠a̠ z̠a̠k̠e̠*
📱 *Elimu*, ni nzuri katika familia pale walioipata wakiitumia vizuri,na wakiitawala isiwatawale, kazi ya Elimu katika familia itawasaidia kufanya mambo kiurahisi,kuwa na mtazamo wa mbali,na kuwasaidia kuandaa kizazi cha wapenda elimu.
_Elimu hiyo hiyo,ukimpata mtu mwenye ulimbukeni na elimu,atakuumiza katika maamuzi,katika life style ya kuishi,kiburi,jeuri,kurafuta usawa au kukandamiza,hali hii itafuta furaha ya ndoa_
📱 *Kabila* Unaye tafuta kuoa kabila flani au kabila lako,ni jambo jema maana unafaidika kuondoa utata na usumbufu wa kujifunza mila,desturi na lugha mpya za kabila lingine,lakini kuwa na uwezo wa kuthibiti mila usizo zitaka.
_Lakini kwa kabila hilo hilo,ujue Hakuna kabila kamilifu,mapungufu yale yale yakiinuka yanaweza chafua ndoa yako_
📱 *Uchumi* ni nguzo nzuri kwenye familia ila inahitaji imilikiwe na watu walokomaa kiroho,na kiichumi wanaoweza itiisha pesa na mali visiitawale ndoa na hisia,mbali na hapo mnaweza pata pesa,na mali zakutosha lakini mkaishi kwa mpasuko wa ndoa.
_Mke/mme wa kuoa soyo mwenye well off kiuchumi,ndo ndoa itakuwa nzuri,pesa haiendeshi ndoa pesa inanogesha ndoa ikitumiwa vizuri._
📱 *Umbo na Rangi* ni vivutio vya macho kwa vijana wengi,hila havina tafsiri ya Tabia ya mtu, ni vitu vya nje vinavyo badirika kulinfana na mazingira.
_Umbo na rangi,ukiviweka mbele siku mabadiriko yakitokea utaichukia ndoa_
📱 *Imani katika Bwana* Imani nikitu cha msingi kwa faida ya safari ya ndoa yenu ya kiroho na kimwili katika maisha.
_Ukichukuana na mtu dhaifu kiroho,au mpagani,mwana dini tu,utakuwa na wakati mgumu sana kuiwekea ndoa yako ulinzi,utashuhudia migogoro mingi sana ya ndoa isiyoisha na malezi mabaya ya watoto,lakini kushinda mapito na majaribu kwenye maisha yako itakuwa vigumu,lakini kuachana kupo nje nje_
*_U͓̽k͓̽i͓̽w͓̽a͓̽ K̈ïj̈än̈ä Üs̈ïf̈ür̈äḧïë M̈äz̈ïn̈g̈ïr̈ä ÿä n̈j̈ë ẗü ÿä ün̈äÿë m̈üön̈ä,ẅäz̈ä n̈d̈än̈ï äm̈ëb̈ëb̈ä n̈ïn̈ï k̈ïn̈äc̈ḧö ẅëz̈ä f̈än̈ïk̈ïs̈ḧä ḧäẗïm̈ä ÿä m̈äïs̈ḧä ÿäk̈ö,j̈äp̈ö n̈j̈ë n̈ï k̈üz̈ür̈ï k̈ẅä ḧïs̈ïä z̈äk̈ö üs̈ïp̈äd̈ḧär̈äü,ïl̈ä ẅäz̈ä s̈än̈ä k̈ẅän̈z̈ä M̈äḧüs̈ïän̈ö ÿäk̈ö n̈ä M̈ün̈g̈ü ÿän̈äïm̈är̈ïs̈ḧẅäj̈ë?_*
*N̈d̈öä s̈äf̈ï Ïn̈äf̈ür̈äḧä k̈üü,n̈d̈öä ÿä k̈ük̈ür̈üp̈ük̈ïä ïn̈ä m̈äüm̈ïv̈ü m̈äk̈äl̈ï ÿäs̈ïÿö ël̈ëz̈ëk̈ä*
( _C̈ḧäg̈üä n̈ï v̈ïp̈ï ün̈äẗäk̈ä üïs̈ḧï_)
*B̈ÿ Ëv̈ Ël̈ïs̈ḧä K̈äz̈ïm̈öẗö*
*0755444078*
Tuesday, 20 December 2016
DIRA YA KUPATA MCHUMBA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment