Monday, 18 February 2019

MAAJABU 6 YA WANA NDOA

❓❓ *MAAJABU SITA (6) YA WANA NDOA*❓❓
_Haya ni maajabu ya kisaikolojia,waweza yaona ya kawaida ila ndo hivyo kama umekamatwa hapo huwezi kuwa na furaha,kwa namna yoyote unaishi kiugumu ugumu_
1⃣Huwezi mwamini mkeo au Mmeo, ila unakubali kulala naye kitanda kimoja na shuka moja❗
2⃣Huwezi mwambia nakupenda mke wangu au mme wangu, ila Unazaa naye watoto.❗
3⃣Huwezi muaga mkeo au mmeo popote unapo kwenda, ila Unamuomba Tendo la ndoa kwa sura ya upole.❗
4⃣Huwezi ongozana naye,wala kumtambulisha kwa watu kuwa huyu ni mpenzi wangu(wife/husband ),ila unaweza eneza ubaya wake kwa watu na bado mnakaa wote nyumba moja.❗
4⃣Huwezi kukaa na mmeo au mkeo mkazungumza kama marafiki,na kubadirishana mawazo, ila unapenda mkae muda wa kutosha kwenye tendo la ndoa.❗
6⃣Huwezi kumthamini mwenzako kama mtu mwenye umuhimu kwako,dhaifu sana hana uwezo wowote, ila Unamuita Baba/mama wa watoto wako.❗
_Haya yanashangaza sana, na Yajayo yanafurahisha_
*Raha ni kujipa mwenyewe na Stress ni Kujitengenezea*
#Mwanasaikolojiahazeeki.

No comments:

Post a Comment