Sunday, 17 February 2019

WAWEZA KUKAA BILA SEX

*JE, KUNA UWEZEKANO WA MTU MWANAUME AU MWANAMKE KUKAA MUDA MREFU BILA KUSEX?*
_Suala hili hatuwezi lipa jibu ya mtazamo mmoja ili kulipa majibu ya uhakika lazima tuangalie Kisaikolojia linatafsiriwa vipi na kiroho linatafsiriwa kivipi_
✍Kwanza sex ni suala la Kihisia linalo ratibiwa na Hormones ( hisia zinaweza kutibuliwa na mazingira kwa kuona au kushikwa/contacts).
✍Shahuku/uhitaji wa sex kwa mwanaume na mwanamke unatofautiana, Kisaikolojia mwanaume anahitaji sana sex kuliko mwanamke japo( *Kuna wanawake wana kiwango kikubwa sana cha hamu ya sex kama au zaidi ya wanaume*) walio wachache....
✍Ila wanaume wanauwezo mdogo wa kuhimili kukaa bila sex kuliko wanawake kwasababu hawana njia mbadala ya regulation of body kama wana wake isipo kuwa kwenye ndoyo nyevu au wale wanaofanya Uharamu wa Masterbation.
✍Kwanini wanaume wanashindwa kustahimili kukaa bila sex kwa muda murefu? *Ni kwasababu Tamaa yao ipo kwenye Macho, kwa hiyo mara kwa mara wanatibuliwa Hisia zao kwa kutazama* tofauti na wanawake ambao hisia zao Utibuliwa kwa *Kushikwa shikwa na Kusifiwa saana na kwa sauti ya mahaba* jambo ambalo kwa halifanyiki mara kwa mara linatokea kwa nadra kwa muda maalumu. Kwa msingi huo kisaikolojia wanaume Sex kuikwepa ni nadra sana.
✍ *NB: Uwezo wa kijana kukaa bila sex muda mrefu bila shida ni mkubwa kuliko Mwanaume aliyeoa au Yule ambaye alisha onja sex* Aliyeonja sex uwezo wake wa kisaikolojia umeathiriwa kulinganisha na ambaye hajawahi kugusa.
✍ *Kiroho hapa ambapo penye msingi wa usalama kwa watu walio na Mungu* Udhibiti wa miili upo katika Nguvu za Roho Mtakatifu (Wafilipi 4:13....Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu.) Kwa maana hiyo kuhimili kutofanya sex si kwamba kunashindikana ila Umeshikiliwa na nini....? Kama umeshikiliwa na Pepo,hisia tabia mazingira hutaikwepa zinaa ila kama Umeshikiliwa na Roho mtakatifu kuna nguvu ya KUSHINDA. Watu waliookoka kweli kweli wanajua Siri hii ya KUSHINDA kama, kiroho hauko vizuri HUWEZI JUA ninacho SEMA.
✍Ila kwa siri hii ya Nguvu ya KUSHINDA tunapewa na Roho mtakatifu ndo maana watu *wanaoa na kuolewa miaka 25,30,35,40 BILA KUGUSA SEX.* si kwamba hawana hisia,hawaoni SITES za kusex,wanaziona ila ndani yao wanapigiwa ALARM NA ROHO WA BWANA.
7 Ikawa baada ya mambo hayo, mke wa bwana wake akamtamani Yusufu, akamwambia, Lala nami.
Mwanzo 39:7

8 Lakini akakataa, akamwambia mke wa bwana wake, Tazama, bwana wangu hajui kitu kilichowekwa kwangu nyumbani, na vyote alivyo navyo amevitia mkononi mwangu.
Mwanzo 39:8

9 Hakuna mkuu katika nyumba hii kuliko mimi, wala hakunizuilia kitu cho chote ila wewe, kwa kuwa wewe u mkewe. Nifanyeje ubaya huu mkubwa nikamkose Mungu?
Mwanzo 39:9
👆👉 Kwa hiyo KUSHINDA kwetu kunatoka ndani.
✍ *NB* KUSHINDWA KWA MTU MMOJA SIYO KWAMBA WOTE WAMESHINDWA.
*_Kufanya sex ni maamuzi na kukaa bila kufanya sex ni maamuzi, na dhambi ngumu kuliko zote na yenye mazingira magumu ya kuitimiza ni sex_*
By Ev Elisha Kazimoto
          ©2019

No comments:

Post a Comment