_Swali: Kwa nini wadada ambao uwakataa watu waliowachumbia,wakikaa bila kuolewa uwarudia na kuomba au kutengeneza mazingira ya kurudiana?_
Anajibu: Msaikolojia Ev Elisha Kazimoto(0755444078)
*HAPA KUNA MAMBO MAKUBWA 2 YA KUANGALIA, KISAIKOLOJIA NA KIROHO*
👉Kuolewa na kuoa ni jambo la kiroho na kisaikolojia linaloenda na muda na kusudi.
👉Nianze na KISAIKOLOJIA.
👉Nikizungumza kisaikolojia najifanya kama kiroho sijatazama,ila mwisho nitayaunganisha nikisha chambua na kiroho.....
1⃣Kuoa na kuolewa kisaikolojia kunaenda na muda na mvuto wa hisia.....
1⃣Miaka 15-18, wadada wanakuwa wanapenda sanaa jinsia ya kiume(au mapenzi) hapa ni shida kwa wazazi yaani binti anafukuzia wakaka anaye hisi anampenda, hapa ndo unakuta mtu ana marafiki wa kiume hata 10,au wapenzi 10 na wore anawamudu.
2⃣miaka 19-25 anaanza kujiona mzuri sana anavyopendwa, hapa anakuwa na majibu ya dharau maana muda huu anamvuto mkubwa wa sura,kimaumbile (shape imekaa sawa) Anaanza kuchambua wanaume wapi wa kumuoa na hapa anapandisha vigezo vya mtu wa kumuoa,vigumu gumu na kujiona kama Malkia wa dunia, wanaume wote wanamtazama yeye tu.
Na hapa ni muda wa foleni ta wanaume kumchumbia, mambo yanageuka hapa Wanaume wanatiririka kumchumbia,kumtongoza wamchezee, siyo yeye kuwatafuta.( *Huu muda binti anahitaji kuwa makini sana, maana kwenye foleni inayokuja waweza poteza hata wa kwako) maana kipindi hiki ndo wadada ukataa kila mwanaume, anaye mkubali ni *Kwa kumtega kuona kama atakidhi vigezo vyote,siyo baadhi vyote*(Hapa wadada ujiona bado wadogo na wana take headlines za wavulana)
3⃣miaka 26- 30 wadada kama hana mchumba maalumu wanaanza kushtuka shutuka, kupunguza vigezo vyao, *Foleni ya wanaume inaanza kupungua* Muda huu uanza kujiona wamekuwa,uanza kuogopa kusema umri wao halisi, uanza kutafuta no au mwasiliano ya wanaume waliowahi mcuumbia kujua kama ameoa tayari, anaanza kutafuta urafiki kama kipindi cha miaka 15-18.
4⃣31-40 hiki ni kipindi kigumu sana kwa wadada, foleni za wanaume Ukata kabisa,mvuto aliokuwa nao mwanzo uanza kupotea, suraya kukomaa uanza kutokea,wamaume(vijana uanza kumpita mbali,anaanza kuheshimia kama mtu mzima., uanza kujilaumu, upunguza vigezo vyote ubakiza kigezo 1 tu cha awe ni MWANAUME aliyeokoka, wengine ubakiza mwaume tu.
👉Muda huu niwaupweke,wa kuomba sana mme,uanza kujutia makosa aloyafanya ya kukataa wanaume.
5⃣Miaka 40 kuendelea....muda huu niwakusuburia Neema za Mungu na Muujiza wa Bwana, saikolojia inakuwa imeisha koma kufanya kazi.
👉Kwa Upande wa Kiroho, ndoa inaenda na muda wa kusudi ka Mungu, kwa hiyo nimuhimu kukaa na Mungu vizuri,ili foleni ya wanaume inapokuwa nyingi,ujue nani kakusuduwa na Mungu au hayupo. Ukilitupilia mbali kusudi la Mungu akipita ndo imetoka hiyo,itakugharimu sana kumtafuta Mungu akutengenezee ubavu wako tena,au na mwanaume kule afungwe mje kukutana ukubwani huko.
*_Kwa hiyo kinacho sababisha kukaa wadada bila kuolewa kipo kiroho na kisaikolojia_*
By Ev Elisha Kazimoto(Anointed)
WhatsApp 0755444078
©2019
Wednesday, 30 January 2019
MIAKA YA KUCHANUA NA KUSINYAA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment