Thursday, 4 October 2018

BINTI AMEJIPANGIA MAHARI MIL2

♠♠ *Swali bintibanajipangia Mahari ni Milioni 2 huna kaa chini*♠♠
Ninaye rafiki wa kike. Nampenda sana. Ananipenda pia. Natamwani mwakani disemba nimuoe. Kwa ndoa ya kanisani na sherehe ndoogo tu ya kawaida. Ndog isiyojaza watu mia. Mwenzangu anataka kuolewa na mimi mwakani pia. Ilaa anadai km nispomlipia mahali mil 2 ambazo alijiwekea km ahadi kwa wazazi wake,kwamba nikimtolea mahali chini ya izo HATAISHI NA MIMI KWA FURAHA. alaf anaithamini sana harusi. Anataka iwe kubwa na watu wengi jambo ambalo kwa uchumi wangu naona haliwezekani. Maandalizi ya kama anavyotaka yeye labda nisogeze muda mwaja mmoja tena baadae wakat mi naona wakati sahihi wa kuoa ni mwakan disemba.

ndugu yangu,binti wa hivi ni mtafsiri vipi? Kuna lugha anajarbu kunieleza siielewi au ndio tayari ashajipatia kwigine mimi tu nd namchelewesha?
Wote tumeokoka
........................................
*_Anajibu Mchambuzi wa Masuala ya Mahusuano na Ndoa Ev Elisha Kazimoto(whatsapp 0755444078)_*
........
........
*SI KILA UNAYE INGIA NAYE KWENYE MAHUSIANO ANAAKILI TIMAMU*(UTANIELEWA MWISHONI)
👉Kuna mambo mengi kwenye mahusiano yanafanyika mengine ukiyasikia unahisi *_Hapa ufahamu wa Kimungu ni mdogo,hapa Kisaikolojia hakuna kitu,hapa akili ya kawaida hakuna kabisa_* kuma matatizo mengine hayahitaji kuumwa njaa ya masaa 12,24,36,48 au 72 ukimuuliza Mungu huyu ni mtu sahihi au la,nipige chini au nibebe ndo maana Biblia ikasema TUTUMIE AKILI IPASAVYO.
Tumieni akili kama ipasavyo, wala msitende dhambi; kwa maana wengine hawamjui Mungu. Ninanena hayo niwafedheheshe.

1 Wakorintho 15:34
👉👆Ndoa,ni makubaliano ya watu 2,binti na kijana,walopendana na kuamua kuishi pamoja ( *Yaani kuacha familia zao,na kuunda familia yao*)
👉Kikawaida(katika akili timamu, *Wachumba wanafahamiana hali zao za kuuchumi,na famikia zao* lakini hawa watu wawili wana kazi ya *Kujenga Familia yao iwe na nguvu kiuchumi ili wazisaidie familia zao* kwa watu wenye akili timamu.
👉Pili suala la Mahari,ni Mgao unaofanywa na familia ya binti kwa kijana anaye mtaka bibti yao, na mgao huo *Kimantiki haulengi kuwa mtaji wa sendoff,au biashara,au kuuza,au kufidia gharama za matunzo* ni zawadi na heshima ya shukrani ya kijana kwa wazazi wa binti.(kiafrika) lakini kimaendeleo na kimaana halisi( *Familia ya binti na ya kijana zijipinde kuwatafutia kiwango cha uchumi wa kianzio cha maisha,hawa wanaanza maisha,ninyi ndo mnakaribia kumaliza maisha,nani anamzigo?* yule anaye anza.
👉Binti mwenye akili timamu ya kimaisha na kisaikolojia anacheza *midfield* kuhakikisha mme wake mtarajiwa *Haumii kwa mahari* maana akiumia si kwamba anaumia kijana,ila wote mnaumia maana si unaolewa naye,kama madeni si mtalipa wote?kwani wee utaishi wapi?kama kula vibaya mtakula vibaya mpaka deni liishe. Ok anayway nini nasema hapa kulipa mil 2,siyo shida hata kama 10,je mmeo mtarajiwa anauwezo?
*KABLA SIJA HITIMISHA NIKUPE SIFA ZA BINTI HUYU NA KAMA UNATAMANI NDOA YA AMANI PIGA CHINI HUYU HARAKA SANA KABLA WEWE HUJAWA REMOTE*
1⃣Ni binti mwenye dharau kubwa, dharau yake imepita viwango kiasi cha kujuonyesha thamani yake ikoje tofauti na unavyoweza kuwa unamtazama.
2⃣Ni binti mwenye jeuri na moyo wa kutawala, huyu dada kumuoa unaweza jikuta unatawaliwa badala ya kutawala. Mdada anayejipangia Mahari aisee huyu hafai kuolewa ila kupiga *umalaya*(unielewe,neno gumu ila waweza likumbuka baada ya kuishi si zaidi ya miaka 3.
3⃣Ni binti mwenye moyo wa ushindani wa kipumbavu. Aisee huyu ni miongoni mwa wanawake wanaoshindana na watu kuvaa,kula,mitindo bila kujali *Uchumi wa familia yake ukoje* huyu ukioa umeumia.( yaani mtu anayejipangia mahari kisa anataka kushindananadada zake walotangukia kuolewa,awapite kiwango cha mahari,huyu hamna kutu)
4⃣Ni binti mwenye misimamo isiyo faa, yaani, *Amejiwekea kuolewa kwa mil 2* hapo haijalishi kijana anauwezo gani huyu ni hafai kwa familia.
*LABDA NI MUHOJI HUYU DADA KIDOGO*
👉Ulipiwe mahari mil 2,kwakuwa una nini *Kipya* ambacho hakioatikani kwa wengine ili mtu apambane na hicho.
👉Kuwa na bikira ndo kuwa na tabia njema⁉,ndo kuwa na akili ya kuendesha familia? Bikira ni upekee?wapo wengiii wenye bikira ila wametulia,sanapanga na kuelewana na wachumba zao kulingana na hali zao za kiuchumi.
👉Kwani unahisi mil 2 ni pesa nyiiiingi kiasi kwamba ukiolewa kwa mahari ya mil 2 utakuwa wapekee⁉ wakati wenzako mil 2 *Nipesa ya pete tu za harusi* ndo unalilia iwe mahari yako(mpaka hapo unaonyesha level ya familia yenu kiuchumi)
👉Nikusaidie, wewe huna haki ya kupanga chochote,kabda mmeo mtarajiwana wazazi wako,yaani wewe jeuri huna,maana unasubiri kutafutwa,na unaweza kuachwa leo na akapata mwingine wiki moja,ila wewe kupata mwingine na mwaka waweza isha.
*_Mwisho,huyu kijana anaweza pata tabu sana kuoana na huyu mdada,yaani hapa hapahitaji maombi ya kufunga,huyu nikumuita nakumwambia ukweli kwamba masharti yako siyawezi,na kwa hari hii kwenye ndoa ndo nitakuwa house boy,tafuta atakaye weza lipa mil 2 za mahari, na kufanya harushi kuubwa,mimi nitatafuta wa kuendana na uwezo wangu_*
NB: _Ukipenda usiwe kipofu na kiziwi,usione athari za baadaye, heri kuvunja uchumba kuliko ndoa_
Mchambuzi wa Masuala ya Mahusiano na Ndoa *Ev Elisha Kazimoto* (whatsapp 0755444078)

No comments:

Post a Comment