🖤🖤 *Swali la Wachumba waloanguka kwenye Zinaa*🖤🖤
Alikua kweny mahusiano na huyo mdada wote ni born again christians
Katika mahusiano yao walikuwa hawa date kipendwa Namaanisha walikuwa Wameangk kweny dhambi ya Uzinzi .Ila Sasa huyo kaka Kamshauri mdada wake wakatubu kanisani na Waweke wazi kwa mchungaji na wazee wa kanisa hiyo dhambi Ili watubu .Swali linakuja hawa watu baada ya hapo Wavunje uchumba Kila mtu amwombe Mungu ampe mwingine au Waendelee na mahusiano Yaliyo ya mipaka nasio kama ya mwanzo Ya kuhusisha dhambi hapo inakaaaje .
.......................................
*_Anajibu mchambuzi wa Masuala ya Mahusiano na Ndoa Ev Elisha Kazimoto(Whatsapp 0755444078)_*
(Mjumbe Mkali- *Mithali 17:11*)
........
........
*NI HITIMISHE HII MADA*
_Kwanza kabisa, nawapa polee kwa kushindwa KIPIMO CHA UAMINIFU WAO KATIKA UCHUMBA KITAKACHO WAGHARIMU HATA KATIKA NDOA wawe wametubu au hawakutubu,watafauru sehemu A,ila sehemu B itawagharimu_
Pili, niweke sawa kwanza msimamo wa Kiroho na kisaikolojia. *Hatutoi Faraja Feki kwa watu walioshindwa kwa Kigezo cha Mungu anasamehe,au Kuna Reference za watu walioanguka dhambini nawakatubu kama DAUDI. Isitoshe kizazi hiki hakuna mwenye hata robo ya moyo wa TOBA KAMA DAUDI,kijana wa sasa akiambiwa afanye toba kama aloifanya Daudi ATAACHA WOKOVU,kwa hiyo kiufundi Usijilinganishe hata kidogo kwa mtu ambaye hata theruthi ya viwango vyake Huna*
👉Andiko la Daudi kuanguka na mke wa Uria wamelitumia vijana wengi( *wahuni na wachafu*)kujihalalishia ZINAA kabla ya ndoa, na kujifariji eti watatubu kama Daudi.....Hivi mnauelewa wa Toba ya Daudi⁉ ukiielewa Toba ya Daudi utatetemeka, Lakini *Mnasomaga Majibu ya Mungu baada ya Toba ya zinaa,Alivyo Gharimika kwa zinaa ile pamoja na kuomba Toba⁉*
👉God is not cheap like people assuming. Daudi Alisamehewa ila Alilipigia gharama ya zinaa, soma Bible uone,mtoto wake alobebesha mimba Mungu *Alimuua*,lakini ikawepo laana kwa uzao wake *NDUGU WAKA BAKANA*(Tamari na Amnoni),tena akaambiwa mchana kweupe watu watalala nawakeze..... *Usijifariji kwa Zinaa*
👉Tatu, Zinaa kabla ya ndoa inafanya kazi kuu 2 kwenye ndoa yenu kiroho na kisaikolojia.
1⃣Hamtaaminiana kamwe mpaka mnazeeka(hiyo ni Biblically )hata mkitubu mtasamehewa,ila Moyo wa uaminifu *Unaondolewa kwenu* (Ninashuhuda nyingiii)kwa watu walofoji ndoa, hawakuwa salama,hata kama mnapendana namna gani, hii ni Kanuni ya Mungu( *Uaminifu kati yenu nimatokeo ya kutunza siri ya miili yenu mpaka mruhusiwe rasmi*)mkiindoa HAKUNA MUUJIZA,WALA MAOMBI YAKUOMBEA AMANI,WALA UAMINIFU KATI YENU, mtakula matunda ya kazi yenu(kiroho kama mtatubu toba ya kweli,aaha ninyi watakatifu na mbinguni mnaenda,ila ishu za amani na uaminifu mta struggle sana)
👉 *NIWASHAURI SASA HAWA*
*_Fanyeni toba kamilifu,ntatuma lecture ya zinaa kama 2,3 zisome vizuri,kama kuna mtu mwingine alihisi afanye atatubu,KIMBIA,SI RAHISI KIVILE,unaweza ukatubu,hata miaka 10 bado hupati amani,na kila kitu unaona hakiendi._* na kwakuwa wanapendana WAOANE kwasababu kuachana eti kila mtu atafute mwingine ni KUENDELEZA UHALIBIFU,ukienda kwa mwingine ukamwangusha naye?maana wee mzoefu,utaacha wangapi? Lakini ukichumbiwa au kuchumbia ambaye hajawahi kuanguka na bahati mbaya tamaa ileile ikainuka ukamwangusha,umeongeza kundi la majeruhi.
*Ni heri bhana mkachukuana mlofoji marks pamoja za mtihani* kila mtu abebe mzigo wake( Na hapa Tusiweke ukiroho kupita Yesu,kwamba nikunyanyapaa,tukitubu tumekuwa kiumbe kipya,kiumbe kipya cha wapi, *Upya wa wapi wa roho au kimwili,au vyote*? Kama wa kiroho, *Roho anahusika nayo Mungu,mume au mke anahitaji upya wa mwili* mambo ya upya wa roho mpelekee Yesu Kristo aliye mbinguni,ila hapa duniani,tuletee mwili mpya.
🎁👆Kwanini nasema haya yote, *Watu wameirahisha Zinaa sanaaaaa,na kutuumizia mabibti zetu,na vijana wetu, eti tuta Tubu*
KAURI YANGU USIFANYE ZINAA NA MCHUMBA WAKO,AU RAFIKI YAKO KWA NAMNA YOYOTE. Na HAKUNAFA BAHATI MBAYA YA ZINAA...Haipo.
*HAWA WAOANE,WAZIDI KUSAIDIANA MUDA HUU WASIANGUKE TENA,JAPO NI KAZI KUBWA,KUONJA HALAFU USIENDELEE,ILA WAWEKEANE MIPAKA,JAPO HESHIMA MPAKA SASA HAKUNA,WANAONANA KAWAIDA SANA,ILA WAJITAHIDI KUMPENDA MUNGU SANA ILI MZIGO WAO UWE MWEPESI*
By Ev Elisha Kazimoto(whatsapp 0755444078)
Mithali 17:11(Jina la Kazi)
Thursday, 4 October 2018
WACHUMBA WALOANGUKA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment