Monday, 22 January 2024

ZINAA INA GHARAMA KUITUBIA


Wednesday 30 November 2016

ZINAA INAGHARAMA KUBWA KUITUBIA

🔥🔥 *K̤̈Ṳ̈N̤̈Ä̤ G̤̈Ḧ̤Ä̤R̤̈Ä̤M̤̈Ä̤ K̤̈Ṳ̈B̤̈Ẅ̤Ä̤ Ÿ̤Ä̤ K̤̈Ṳ̈L̤̈Ï̤P̤̈Ä̤ B̤̈Ä̤Ä̤D̤̈Ä̤ Ÿ̤Ä̤ Z̤̈Ï̤N̤̈Ä̤Ä̤ Ï̤L̤̈Ï̤ Ṳ̈K̤̈Ä̤Ë̤ S̤̈Ä̤Ẅ̤Ä̤*🔥🔥
   _B̺͆Y̺͆ E̺͆V̺͆.E̺͆L̺͆I̺͆S̺͆H̺͆A̺͆ K̺͆A̺͆Z̺͆I̺͆M̺͆O̺͆T̺͆O̺͆_
       *0755444078*
_Shalom,shalom watu mlio na safari ya kwenda mbinguni,ili somo linakuhusu sana kijana na mwana ndoa,unaye ishi katika kizazi hiki kibaya, *Kinacho tembea na Zinaa maishani kama tendo la kunywa maji upatapo kiu* kizazi kinacho tukuza na kueneza zinaa kwa picha,matangazo,video za ngono na hata kwa mahusiano ya uchumba na ndoa_  Uliye na safaribya Uhakika ya kumuona Bwana Yesu,fuatana nami upate kiurejezwa na Bwana.( *_Mchambuzi wako ni Ev.Elisha Kazimoto(Mjumbe Mkali Mithali 17:11)_* Mungu akubariki usomapo.
🔥🔥 *USIJIFARIJI KWA HABARI YA DHAMBI YA ZINAA* 🔥🔥
🔥Dhambi, ni uasi kwa Mujibu wa Biblia (1 Yohana 3:4)
🔥Kila dhambi ni mbaya mbele za Mungu, na zote tiketi yake ni jehanamu (uongo, masengenyo, wizi, Uzinzi nk)
🔥Pamoja na tiketi ya dhambi ya kwenda jehanamu, Kuna dhambi ambazo Hubeba (MAPATILIZO/ADHABU HAPA DUNIANI) kwa kuwa dhambi hizo huambatana na UOVU
🔥Kama kijana, na kama mtu wa Mungu uliye okoka, USIJIFARIJI, kuwa dhambi zote ni sawa, ukatenda dhambi ya ZINAA ukahisi gharama yake, ya malipo, na Gharama ya TOBA ni sawa.
🔥Miongoni mwa Dhambi za Uchafu, Zinazo mkasirisha Mungu, zilizo beba Uovu na nguvu ya MAPATILIZO kutoka kwa Mungu, ni Dhambi ya Uchawi, Uuaji, na Zinaa.
🔥Kumbuka, Biblia inasema, mshahara wa dhambi ni Mauti (Rumi 6:23)dhambi yoyote ni mauti (Mauti ya pili yaani Ziwa la moto /jehanamu.. Ufunuo 20:14)
🔥Lakini yeye aliye zifanya dhambi zote kuwa sawa kwa kuwa na hukumu moja ziwa la moto, ndiye aliye zitaja dhambi hizi 3 kuzipa Adhabu /MAPATILIZO.
🌃🌃 *NGUVU YA ZINAA,* 🌃🌃
🌃Kabla ya kutenda dhambi, au kuwaza toba, angalia Gharama ya dhambi kufanyika, Biblia imesemaje kuhusu dhambi hiyo na toba yake
🌃Nguvu ya dhambi na hasara zake katika maisha ya kiroho na kimwili, ndiyo iliyo sababisha hata makanisa, wachungaji kuwa na sheria /utaratibu mkali wa kutenga na kufukuza watu wanao ingia ktk shimo la dhambi hiyo
🌃Kuna ushahidi wa kibiblia na kibinadamu juu ya nguvu ya dhambi ya zinaa, hasara zake, matokeo yake ktk maisha ya mtu, nayo ntayaeleza hapa ktk uchambuzi huu
😡😡 *ZINAA INAUA UTU WA NDANI*,... Katika dhambi biblia imetamka wazi kuzichukia ni ZINAA, kwa namna hiyo usitegemee na matokeo yake ni madogo na toba yake ni nyepesi kihivyo 👇🏻👇🏻👇🏻
18  Ikimbieni zinaa. Kila dhambi aitendayo mwanadamu ni nje ya mwili wake; ila yeye afanyaye zinaa hutenda dhambi juu ya mwili wake mwenye
*1 Wakorintho 6 :18*

32 Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa;Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.

33 Atapata jeraha na kuvunjiwa heshima;Wala fedheha yake haitafutika.
*Mithali 6:32-33*
🔥🔥Tafuta katika biblia, dhambi ambayo imesema Kuna kitu hakitafutika 🙅🏻, unajua dhambi nyingi hazina majeraha yasiyo futika, isipo kuwa dhambi ya zinaa,
🔥Usije ukasema, nikitubu tu mambo yamekuwa sawa, ni kweli ukifanya toba ya Dhati, unasamehewa, ila Jeraha, kovu, outcomes za hiyo dhambi hazifungwi utazitumikia
🔥(mfano mtu aliye pata HIV/AIDS ktk zinaa, akiomba toba ya dhambi yake anasamehewa, na akifa mbinguni anaingia, ila toba yake na msamaha haumuondolei Jeraha, malipo ya zinaa (HIV) labda kwa rehema tu za Mungu
😡😡 *ZINAA INAFUTA FUTURE YAKO* Miongoni mwa dhambi za kuku fanya upoteze vision uliyo kuwa nayo ya maisha ni ZINAA, ina nguvu ya kukuondolea nguvu ya kutimiza vision yako
🔥Yusufu alipo jikuta yupo mikononi mwa shimo la ZINAA, Alisema, Nifanyeje ubaya huu mkuu ni mkosee Mungu wangu, tafsiri ya hapo Yusufu alikuwa hasemei dhambi kama dhambi, alikuwa anasemea kupoteza ndoto zake (ZINAA inavuruga vision yako)
6. Akayaacha yote aliyokuwa nayo mkononi mwa Yusufu; wala hakujua habari za kitu cho chote chake, ila hicho chakula alichokula tu.Naye Yusufu alikuwa mtu mzuri, na mwenye uso mzuri.

7 Ikawa baada ya mambo hayo, mke wa bwana wake akamtamani Yusufu, akamwambia, Lala nami.

8 Lakini akakataa, akamwambia mke wa bwana wake, Tazama, bwana wangu hajui kitu kilichowekwa kwangu nyumbani, na vyote alivyo navyo amevitia mkononi mwangu.

9 Hakuna mkuu katika nyumba hii kuliko mimi, wala hakunizuilia kitu cho chote ila wewe, kwa kuwa wewe u mkewe. Nifanyeje ubaya huu mkubwa nikamkose Mungu?

10 Akawa akizidi kusema na Yusufu siku baada ya siku, lakini hakumsikia alale naye, wala aongee naye.

11 Ikawa, siku moja, akaingia nyumbani atende kazi yake, wala hapakuwa na mtu katika watu wa nyumbani humo ndani;

12 huyo mwanamke akamshika nguo zake, akisema, Lala nami. Yusufu akaiacha nguo yake mkononi mwake, akakimbia, akatoka nje.
😡😡 *ZINAA INAKUONDOLEA UJASIRI WA KUKEMEA DHAMBI NA KUIPINGA DHAMBI KWA NGUVU,*  Zinaa ni sumu ya Nafsi na moyo, wote walio anguka katika dhambi ya zinaa wana sura mbili
🔥Sura ya kutetea udhahifu wa mwili, kuona mwili una nguvu na unaweza kukukosesha, hivyo usijilaumu, au kumlaumu mtu, kushindwa kuisimamia kweli kuhusu kuipinga dhambi, Kushindwa kuikemea dhambi ya zinaa wazi wazi na kwa ujasiri kwa sababu wana hatia ndani ya wao Kushindwa ktk eneo hilo
🔥Sura ya kuikemea dhambi ya zinaa kwa uchungu na kutahadharisha wengine, wakiangalia hasara walizo pata kwa sababu ya kuanguka ktk zinaa 👇🏻👇🏻👇🏻
20 ikiwa mioyo yetu inatuhukumu; kwa maana Mungu ni mkuu kuliko mioyo yetu naye anajua yote.

21 Wapenzi, mioyo yetu isipotuhukumu, tuna ujasiri kwa Mungu;

22 na lo lote tuombalo, twalipokea kwake, kwa kuwa twazishika amri zake, na kuyatenda yapendezayo machoni pake.
👆🏻👆🏻Watu wengi walio anguka katika dhambi ya zinaa, wana hali ya *HATIA KUU* mioyoni mwao, hata wakitubu hawajiamini kama wamesamehewa, hii inawanyima ujasiri wa kuikemea dhambi ya zinaa kwa watu, na mara nyingi wanajihesabia kuwa wadhahifu kimwili
🙏🙏 *TOBA YA ZINAA NA UTARATIBU WA KANISA KUHUSU ZINAA* 🙏🙏
🙏Ikimbukwe kuwa, dhambi ya zinaa *HAINA BAHATI MBAYA*
🙅🏻🙅🏻, dhambi ya zinaa, ni mpango mkakati unao husisha, akili, macho, masikio, kinywa ulimi, miguu, mikono, Gharama ya muda na pesa, na Gharama ya kufunua nguo na kuizika Aibu ya mwili wako mbele za mwenzako, na Kuanza zinaa kuondoa tofauti zenu na kujiungamanisha miili, akili na maji ya mwili,
🙏Kwa Uzito wa Gharama za dhambi hiyo, hasara zake, makanisa yameiwekea sheria kali itokanayo na Neno la Mungu kuithibiti, malengo si kuwakomoa walio tenda dhambi, ila kuzuia mlolongo wa watu Kuingia ktk shimo la dhambi hiyo ya zinaa, na kupata hasara kubwa ya maisha, na kanisa kwa ujumla
🙏 *TOBA YA ZINAA*, kwanza usijutubishe, dhambi kwa kufunga na kuomba ili usamehewe, toba ya Dhati ni kuiabisha dhambi, kama ilivyo fanywa kwa siri, iaibishwe wazi ktk toba ndipo utaishinda
🙏wengi wa watu walio anguka katika dhambi ya zinaa, wakajitubisha, wamejikuta wakaanguka tena, na tena, na tena, wamebaki kuiona ya kawaida, au ni jaribu kwao, au udhahifu wao
🙏Andika hili linatoa picha ya hatua za kushughulikia dhambi kanisani 👇🏻👇🏻
9 Naliwaandikia katika waraka wangu, kwamba msichangamane na wazinzi.

10 Sisemi msichangamane kabisa na wazinzi wa dunia hii, au na wenye kutamani, au na wanyang’anyi, au na wenye kuabudu sanamu; maana hapo ingewalazimu kutoka katika dunia.

11 Lakini, mambo yalivyo, naliwaandikia kwamba msichangamane na mtu aitwaye ndugu, akiwa ni mzinzi au mwenye kutamani au mwenye kuabudu sanamu au mtukanaji au mlevi au mnyang’anyi; mtu wa namna hii msikubali hata kula naye.

12 Maana yanihusu nini kuwahukumu wale walio nje? Ninyi hamwahukumu hao walio ndani?
👫Kama mkianguka ktk zinaa, haraka sana ombeni toba kwa Mungu ninyi kama ninyi
👫Toba yenu iwe ya Dhati, yaani muhakikishe hamurudii tope hilo
👫Kimbieni kwa mchungaji wekeni wazi dhambi hiyo, na muwe tayari kufuata ushauri mtakao pewa kuhusu anguko hilo
👫Ombeni Rehema Juu ya maisha yenu na ndoa yenu
👫Msihi Mungu abatirishe roho ya kutoaminiana kati yenu
👫Wekeni mipaka mikali ya kujilinda msirudie tena ktk anguko
👫Kubaliana na matokeo ya tendo lenu la ZINAA kama ni mimba ilee, funga ndoa mkiwa mmeweka wazi hali hiyo, msifunge ndoa kimya kimya, kumbe mmeisha haribu mtapata laana kubwa
✔ *EPUKA MAJUTO KATIKA NDOA* ✔
✔Sina uhakika kama kweli mtazamo nilio nao, picha ninayo pata kwa neema ya Mungu aliyo nipa, na sehemu ya maarifa niliyo pewa kama na watu wengine hasa vijana wamepewa
✔Lakini kwa kutambua hivyo ndo maana namshukuru Mungu kwa neema hiyo, pia anaye tufanya tushirikishane mambo mbali mbali, uliyo nayo sina, niliyo nayo huna
✔Kwa sababu hii, Leo nakuongezea Siri nyingine za kujenga, kulinda ndoa yako
✔Usisome na kufurahi tu, tafakari chukua hatua, usije ililia ndoa yako, au ujana wako au maisha yako
✔Siku zote, huwa nasema, tamani kupata maarifa, ni utajiri mkuu, utawafanya hata wenye pesa na Mali kusujudu au kukuheshimu daima
💥Unahitaji ndoa ya maana, nzuri, baraka, utulivu, basi *_"USICHEZEE UJANA WAKO"_*
💥Nivigumu kuelewa sentensi hii niliyo sema hapo juu" *_USICHEZEE UJANA WAKO"_* usiitazame katika mwonekano wake, itazame katika upana wake, utaelewa uchambuzi huu.
💥Ndoa nyingi zinaleta shida makanisani mpaka Talaka zimeingia kanisani, kuachana na kuolewa, kuoa kupo makanisani, Kuto oa au kuolewa kupo makanisani, hivi unahisi nini chanzo chake??
💥Kwanza nikufungue macho unaye taka kuoa au kuolewa, juu ya vijana wa kike na wakiume walio makanisani,
💥Wapo vijana *"MATAPELI"* kanisani, wanahudumu ktk mazingira mbali mbali, lakini ni Matapeli wakuu katika mahusiano
💥Wako Mabinti *"WAHUNI"* wanasifa zote za kiroho kwa kuigiza lakini ni sumu kali katika maisha ya mahusiano
💥Usipo kuwa makini, ukipambana na mmoja wa wavulana au Wasichana hao, utajitwisha mikono daima katika ndoa
🔥Sumu ya maisha yako ya ndoa Nitabia yako ya sasa ukiwa kijana❗
🔥Vijana wa kike kwa kiume, wanaendekeza *"NGONO"* kama Ajira yao, hofu imetoweka ya kuogopa ngono, ngono katika maisha nje ya ndoa (kabla ya ndoa) imekuwa kawaida lifestyle❗
🔥Watu kuanzisha mahusiano ya uchumba kwa kutumia kipimo cha Ngono imekuwa kawaida, hakuna anaye mtafuta Mungu aseme naye nani amuoe au aolewe naye, kigezo kimerudi, "we mkali wa mapenzi" tuoane❗
🔥Ni nani katika vijana wa kike na wakiume, mwenye kiapo mbele za Mungu na katika maisha yake, asemaye *_"SITA MVULIA NGUO KIJANA AU BINTI NIMJUE KIMWILI MPAKA MME WANGU AU MKE WANGU"_* ❓❗
🔥Imekuwa ni Hadithi kusikia au kuona Binti anaye sema *"MIMI NI BIKRA NA KWELI AKAWA NI BIKRA*" ❗
🔥Imefikia hatua vijana wa kike na wakiume, uwezo wa Kusimamia Neno la Mungu la " *IKIMBIE ZINAA*" wengi wanaogopa, wamebaki kuhalalisha kuwa dhambi zote ni sawa ❗❗
🔥MIJADALA katika makanisa kwa vijana imekuwa si ndoa yangu iwe ya ushindi na baraka bali iwe ya wenye pesa, gari, nyumba na elimu ya juu, kwa njia hiyo wamekuwa radhi Kufanya zinaa na mtu ambaye atasababisha mazingira hayo anayo yatamani yawepo
👑Vijana wengi wanajiuliza, kwa nini wameshuhudia ndoa za kale zimedumu sana mpaka uzeeni, watu wanapendana, wanaheshimiana, wanajaliana?
👑Watu walikuwa makini na *KUTO JIINGIZA KATIKA ZINAA KABLA YA NDOA*
👑Niutamaduni UPI mpaka sasa wanaweka mashuka meupe kwa siku ya kwanza kwa wana ndoa, ili wathibitishe Ubikra wa msichana aliye olewa, wazee wapi wanakagua mashuka hayo kwa sasa?
👑Hata sasa makanisani watu wanachumbiana hawaaminiani, kila mmoja anasema vyovyote itakavyo kuwa basi, ndiyo maana tabia ya kuonjana imeshamiri mpaka makanisani, hakuna anaye hisi huyu ni Bikra nimgoje aje kwangu tuanze na moja pamoja
👑Kwa sasa ukisema namtaka kijana Bikra asiye mjua mke, Mabinti watakushangaa, hivyo hivyo kijana ukisema namuomba Mungu anipe msichana Bikra watu watakucheka
👑Kwa nini, Ngono Imekuwa ndo KISHIKA uchumba wa watu, Badala ya Uaminifu na Mungu
👑Vijana wengi, wa kike na wakiume, hawapendi kuzungumza msimamo wao kuhusu mapenzi au zinaa, wanahisi ukisema yakakushinda kuvumilia itakuwaje?!
👑Huu ni udhahifu mkubwa na maandalizi ya Anguko la mara kwa mara ktk zinaa
👑Niliwahi kusema, na sifichi, na hii ndo Imani yangu kwa Mungu na kwa mke wangu mtarajiwa, " _HAITATOKEA KABLA YA KUOA KUMJUA MSICHANA YEYOTE, HAITATOKEA BAADA YA KUOA NIMJUE MKE MWINGINE ZAIDI YA MKE WANGU"_
👑Biblia inasema tutakula matunda ya vinywa vyetu,(Mithali 12:14)si kujiona, kujiaminisha, kujisifu, _NAYAWEZA MAMBO YOTE KATIKA YEYE ANITIAYE_ nguvu" *wafilipi 4:13*
*_Ukijua madhara ya zinaa na Gharama yake katika Toba,hutathubutu kuvua👉�👙ili ufanye zinaa.Utajilinda,usubiri ndoa yako,lakini pia kama umeharibu,fanya matengenezo ya kweli,Toba ya kweli ili urudi mbele ya Mungu uwe na nguvu na ujasiri rohoni mwako unapo mwendea Mungu wewe binafsi_*
    _Ulikuwa na mchambuzi wa mahusiano na Ndoa,Ev.Elisha Kazimoto_
    *0755444078*

BREAK UP KWENYE MAHUSIANO ZINA UMIZA SANA

💔💔  *B̥ͦR̥ͦE̥ͦḀͦK̥ͦ U̥ͦP̥ͦ K̥ͦW̥ͦE̥ͦN̥ͦY̥ͦE̥ͦ M̥ͦḀͦH̥ͦU̥ͦS̥ͦI̥ͦḀͦN̥ͦO̥ͦ Z̥ͦI̥ͦN̥ͦḀͦU̥ͦM̥ͦI̥ͦZ̥ͦḀͦ I̥ͦL̥ͦḀͦ Z̥ͦI̥ͦN̥ͦḀͦ S̥ͦḀͦB̥ͦḀͦB̥ͦU̥ͦ*💔💔
    *_B̥ͦy̥ͦ E̥ͦv̥ͦ.E̥ͦl̥ͦi̥ͦs̥ͦh̥ͦḁͦ K̥ͦḁͦz̥ͦi̥ͦm̥ͦo̥ͦt̥ͦo̥ͦ_*
        *0755444078*
*_S̥ͦh̥ͦḁͦl̥ͦo̥ͦm̥ͦ v̥ͦi̥ͦj̥ͦḁͦn̥ͦḁͦ m̥ͦn̥ͦḁͦo̥ͦ m̥ͦp̥ͦe̥ͦn̥ͦd̥ͦḁͦ B̥ͦw̥ͦḁͦn̥ͦḁͦ,m̥ͦl̥ͦi̥ͦo̥ͦḁͦz̥ͦi̥ͦm̥ͦi̥ͦḁͦ k̥ͦw̥ͦe̥ͦn̥ͦd̥ͦḁͦ M̥ͦb̥ͦi̥ͦn̥ͦg̥ͦu̥ͦn̥ͦi̥ͦ n̥ͦḁͦ k̥ͦu̥ͦi̥ͦs̥ͦh̥ͦi̥ͦ ḁͦu̥ͦ k̥ͦu̥ͦp̥ͦḁͦt̥ͦḁͦ n̥ͦd̥ͦo̥ͦḁͦ y̥ͦḁͦ Ḁͦm̥ͦḁͦn̥ͦi̥ͦ n̥ͦḁͦ b̥ͦḁͦr̥ͦḁͦk̥ͦḁͦ, n̥ͦḁͦo̥ͦm̥ͦb̥ͦḁͦ u̥ͦf̥ͦu̥ͦḁͦt̥ͦḁͦn̥ͦe̥ͦ n̥ͦḁͦm̥ͦi̥ͦ m̥ͦc̥ͦh̥ͦḁͦm̥ͦb̥ͦu̥ͦz̥ͦi̥ͦ w̥ͦḁͦ m̥ͦḁͦs̥ͦu̥ͦḁͦl̥ͦḁͦ y̥ͦḁͦ m̥ͦḁͦh̥ͦu̥ͦs̥ͦi̥ͦḁͦn̥ͦo̥ͦ n̥ͦḁͦ n̥ͦd̥ͦo̥ͦḁͦ M̥ͦw̥ͦḁͦn̥ͦḁͦs̥ͦḁͦi̥ͦk̥ͦo̥ͦl̥ͦo̥ͦj̥ͦi̥ͦḁͦ E̥ͦv̥ͦ.E̥ͦl̥ͦi̥ͦs̥ͦh̥ͦḁͦ K̥ͦḁͦz̥ͦi̥ͦm̥ͦo̥ͦt̥ͦo̥ͦ ,u̥ͦp̥ͦḁͦt̥ͦe̥ͦ k̥ͦu̥ͦj̥ͦu̥ͦḁͦ k̥ͦw̥ͦḁͦn̥ͦi̥ͦn̥ͦi̥ͦ u̥ͦn̥ͦḁͦw̥ͦe̥ͦz̥ͦḁͦ ḁͦn̥ͦz̥ͦḁͦ s̥ͦḁͦf̥ͦḁͦr̥ͦi̥ͦ y̥ͦḁͦ m̥ͦḁͦh̥ͦu̥ͦs̥ͦi̥ͦḁͦn̥ͦo̥ͦ k̥ͦu̥ͦe̥ͦl̥ͦe̥ͦk̥ͦe̥ͦḁͦ n̥ͦd̥ͦo̥ͦḁͦ l̥ͦḁͦk̥ͦi̥ͦn̥ͦi̥ͦ s̥ͦḁͦf̥ͦḁͦr̥ͦi̥ͦ i̥ͦk̥ͦḁͦi̥ͦs̥ͦh̥ͦi̥ͦḁͦ n̥ͦj̥ͦi̥ͦḁͦn̥ͦi̥ͦ._*
✍� K͠u͠n͠a͠ m͠a͠d͠h͠a͠r͠a͠ m͠e͠n͠g͠i͠ k͠a͠b͠l͠a͠ n͠a͠ w͠a͠k͠a͠t͠i͠ w͠a͠ n͠d͠o͠a͠,y͠a͠t͠o͠k͠a͠n͠a͠y͠o͠ n͠a͠ b͠r͠e͠a͠k͠ u͠p͠,u͠n͠a͠w͠e͠z͠a͠ u͠k͠a͠f͠u͠r͠a͠h͠i͠a͠ b͠r͠e͠a͠k͠ u͠p͠,u͠k͠a͠m͠p͠a͠t͠a͠ m͠w͠i͠n͠g͠i͠n͠e͠ k͠u͠m͠b͠e͠ w͠e͠w͠e͠ n͠d͠o͠ U͠l͠i͠k͠u͠w͠a͠ s͠u͠m͠u͠,u͠k͠a͠s͠a͠b͠a͠b͠i͠s͠h͠a͠ b͠r͠e͠a͠k͠,h͠i͠y͠o͠ s͠u͠m͠u͠ i͠k͠i͠i͠n͠u͠k͠a͠ k͠w͠e͠n͠y͠e͠ n͠d͠o͠a͠,h͠i͠y͠o͠ n͠d͠o͠a͠ u͠t͠a͠i͠c͠h͠o͠k͠a͠ n͠d͠a͠m͠i͠ y͠a͠ m͠w͠a͠k͠a͠ m͠m͠o͠j͠a͠, a͠u͠  *_I̺͆m̺͆e̺͆t̺͆o̺͆k̺͆e̺͆a̺͆ b̺͆r̺͆e̺͆a̺͆k̺͆ u̺͆p̺͆,u̺͆m̺͆e̺͆l̺͆a̺͆z̺͆i̺͆m̺͆i̺͆s̺͆h̺͆a̺͆ m̺͆r̺͆u̺͆d̺͆i̺͆a̺͆n̺͆e̺͆ K̺͆w̺͆a̺͆  G̺͆h̺͆a̺͆r̺͆a̺͆m̺͆a̺͆ z̺͆o̺͆t̺͆e̺͆,k̺͆u̺͆m̺͆b̺͆e̺͆ m̺͆w̺͆e̺͆n̺͆z̺͆a̺͆k̺͆o̺͆ n̺͆i̺͆ m̺͆w̺͆i̺͆b̺͆a̺͆,s̺͆i̺͆y̺͆o̺͆ s̺͆i̺͆z̺͆e̺͆ y̺͆a̺͆k̺͆o̺͆,u̺͆b̺͆a̺͆v̺͆u̺͆ w̺͆a̺͆k̺͆o̺͆,,s̺͆u̺͆m̺͆u̺͆ h̺͆i̺͆y̺͆o̺͆ i̺͆k̺͆i̺͆i̺͆n̺͆u̺͆k̺͆a̺͆ k̺͆w̺͆e̺͆n̺͆y̺͆e̺͆ n̺͆d̺͆o̺͆a̺͆ u̺͆t̺͆a̺͆l̺͆i̺͆a̺͆ m̺͆a̺͆p̺͆e̺͆m̺͆a̺͆_*
✍Lakini unaweza kuwa mtu wa kuingia katika mahusiano bila *Maarifa ya Kuendesha Mahusiano Hayo* ikapelekea break up nyingi zikakuletea magonjwa ya kisaikolojoa kama, *_Stress, Ulcers, Fear, Inferiority complex,_* ili kishinda hayo fuatana nami katika uchambuzi huu.
👉🏻Karibu katika mada nzuri na muhimu kwa vijana ambao wanajiandaa au wanakaribia kuingia katika ndoa, itakufungua sana na kukupa mwanga mpya katika maisha yako
👉🏻Lakini mchanganuo huu, utakuwa TIBA, kwa walio na wanao pita katika changamoto hii ya Break up.
👉🏻Kuna vitu vya msingi vya kuvijua, unapo taka ku trace sababu ya kuwa na break up katika mahusiano, ukizijua, hutapata tena Psychological disturbances, uta clear mistake utasonga mbele.
👉🏻Swali letu kubwa ni, "Why Break up", nahisi wewe unayesoma, umewahi kukutana na changamoto hii, na unatamani kupata majibu. Welcome...
🌳Chimbuko, mwanzo wa Relationship(Point of connection between you and your Partner)
👉🏻👆🏻Nini kiliwaunganisha kuanza mahusiano? Ni pesa? Ni ngono? Ni level of education, marafiki, family forces, sura, katika haya yote no static factors all are Dynamic factors. Ukiona katika hizi factors zilichangia kuanza kwa relationship, jua from those factors the history will repeat itself Dynamism princeple will take place and break up will come soon, au ndo maana ilitokea.
🌳👉🏻  *_Which Kingdom you belong(Evil Spirits)_*
👉🏻Watu wengi wamekuwa wakushangaa, why me?? Kila nikianza relationship Hafiki tamati ya ndoa, wengine mpaja break up inatokea 1 week before engagement😔😔
👉🏻👆🏻Siri ni kwamba all evil spirits are agaist marriage by nature (Sababu za y ziwe kinyume na Marriage ni somo kubwa lingine, tutalichambua siku nyingine)
👉🏻Kuna watu, wanamilikiwa na evil spirits, pasipo kujua na zime end up relationship zao, utajuaje unamilikiwa na evil spirits, ili ujue ndo zili break au zita break relationship yako?
👉🏻👹Usiku unaona una sex na mtu usingizini
👉🏻👹Unaota upo baharini some time unaogelea
👉🏻👹Unaota upo makaburini
👉🏻👹Unaota unakula vyakula usingizini, especially nyama
👉🏻👹Unaota unafukuzwa na wanyama wakali kama nyoka, simba nk
👉🏻👹Unaota unanyonyesha watoto
👉🏻👹Unaota umekufa, upo kwenye jeneza
👉👹Hizo ni baadhi ya ndoto wanazo ziota watu wanao milikiwa na evil spirits, and at the end will end up with break up.
🌳👉🏻  *_Who is a Director, /Master of your  Relationship,_* Break up nyingi nimatokeo ya kusimika relationship katika Environmental Issues na si Mungu.
👉🏻Unavyo kumbuka, mpaka mnapitisha mahusiano haya yaanze, yadumu, yatufanye tuwe mke na mme, mlithibitisha kabisa mbele za Mungu mkapata kibali na Amani ya Kristo ilitawala moyoni? Au ulilazimisha Amani ya Kristo ifuate hisia, Msukumo, mwono wako wewe?
👉🏻Wengine wameanza kwa kuunganishwa na dhambi Zinaa, halafu ndo wamejihakikishia kukaa ktk relationship, hiyo lazima ivunjike, au ndo maana ili vunjika.
👉🏻Wengine, wameanzisha relationship kwa conditions, hali ya kiuchumi ikikukalia vizuri tutaoana, hali ilipo kuwa vizri, vision na hisia zika change... Break up tayari, Au muda umepita hali haijatengamaa... Break up tayari.
👉🏻Wengine walianza bila ya kumshirikisha Mungu, na kwakuwa waliona kila siku penzi linakua na kuchanua, wakahisi lazima waoane, wakajisahau kumuhusisha Mungu, na shida ilipo tokea ndo wakakumbuka kuwa Mungu yupo, wakarudi kwa Mungu... Hiyo lazima iwe Break up, au ndo maana ilitokea Break up.
👉🏻👆🏻Siku zote Mungu hashuguliki na mambo anbayo hakuanza nayo(You must start afresh with God.... Proverb 3:5-6, 16:3-4)Hiyo Break up tayari..
🌳👉🏻  *_Your Nature(Personality, Individual Behaviors)_*
👉🏻Break up zingine, ni matokeo intolerant able behavior ulizo nazo.
👉🏻Mwanzoni mwa mahusiano, watu wengi uficha uhalisia wao, na uishi pretending life style, na wengine huwa na misimamo ya hajabu, wengi wa partners, huvumilia wakitafuta namna gani akushape, akikosa namna na haubadiriki, anaamua kuachia Ngazi... Break up inatokea au ndo maana ilitokea
👉🏻Kuna kila mtu katika kumpata mwenzi ana some wishes ktk mindset yake anatarajia kumuona partner wake awe namna flan, akishindwa kuona hata kama alikupenda, bila ugomvi kutokea ata break relationship.
👉🏻Kuna tabia unaziendekeza, na haujajifunza saikolojia ya mahusiano, uta fall ktk break up mpaka unaingia 30s, tabia kama
💨Uchafu, 💨Hasira, 💨Kuongea ovyo, 💨Ubabe, 💨Kujiona💨kuwa buzy bila  sababu, 💨Kutojali, 💨Ubaili, 💨Kutoridhika, 💨Kuiga wengine nk.
🌳👉🏻  *_God's Purpose for your Future._*
👉🏻Sikila break up, ni bahati mbaya au pepo, zingine ni makusudi ya Mungu kwa kuwa Mungu anajua mwisho wako kabla ya mwanzo.
👉🏻Break up hii inawahusu watumishi wa Mungu, watu wenye great vision connected to the kingdom of God, mara nyingi hupata break up kwa sabu zifuatazo...
☔Wanapewa experience ya ku deal au to handle difficult situation ktk maisha yao.
☔Wanapewa experience ya kuwasaidia watu walo nyuma yao because they wish to be great people, they suppose to have Real Reference for their clients
☔Mungu anawapitisha ktk feki relationship to minimize, or to clear errors that could be possibly erupt in Actual marriage
☔Mungu anairuhusu break up, kumnusulisha na great tragedy ambayo ingemsumbua pindi angeoana na huyo
☔Mungu anaruhusu break up kulinda maono yako because some one you are attached cannot hold them.
🌳🌳Kwa hiyo kila Break up ina mzizi na Inasababu🌳🌳
☔☔Mwisho wa Sehemu ya kwanza ya uchambuzi huu, karibu katika Sehemu ya II, Nini kifanyike baada ya Break up.
👉🏻  *_Uko na mimi Mchambuzi wa Masuala ya Mahusianois  na Ndoa, Ev. Elisha Kazimoto, Psychologist  & Coinselor)Whatsapp not O755444078_*
🌲🌲  *_Nini Kifanyike baada ya kukumbana na changamoto ya kisaikolojia ya Break up?_* 🌲🌲👇🏻👇🏻👇🏻
🌲👉🏻Mara nyingi, ikitokea break up kwa mtu, wengi hupata Psychological problems kama Stress, Burning out, Distress, Ulcers, na wengine huitimisha na Revenge or Suicide. (Hujitendei Haki)
🌲👉🏻Break up ikikukumba, get a time to relax psychologically, take enough food that is most delicious to you, Tell your soul, "Still I can make it better"
🌲👉🏻Hatua ya pili fanya tathimini ya mahusiano since mnaanza mpaka break up inatokea, angalia wapi kuna kulikuwa na shida, nani chimbuko la matatizo?
🌲👉🏻Hatua ya tatu, Preview your Vision[Piga pichs ya maono yako, husianisha na characters, behaviors za partner wako mlo break, anza ku cross check uone je,3 Angeweza kubeba au kufanikisha ndoto zako. Bila shida?
🌲👉🏻Hatua ya nne, Fanya self evaluation, kuwa je, nina mapungufu gani, yasiyo pendwa na watu wa jinsia tofauti na Mimi? Ukiona weakness correct it before starting a new relationship., usipo oona,Tell your soul, I will get some who is best than him/her🌲👉🏻Hatua ya tano, Usianzishe new relationship before 3months, after break up kuna kipindi cha Psychological Recovery {2-3months}
👉🏻Ukifanya maanuzi ya kuanza relationship ndani ya mwezi 1, hichovni kipindi cha, bitterness, uncertainty, Generalization, Worry and Prejudgment time, uta fall under break up nyingine mapema.
🌲👉🏻Uliye mtu wa Mungu, omba, uliza mapenzi ya Mungu ktk hilo, mshukuru Mungu, mungoje Bwana.
🌲🌲Mwisho wa uchambuzi,tukutane katika mada nyingine🌲🌲
*_By Ev. Elisha Kazimoto (Baba Eve)Counselor & Psychojjlogist. Phone. 0755444078_*

MAHUSIANO YENYE HATARI

💙💙 *M̤̈Ä̤Ḧ̤Ṳ̈S̤̈Ï̤Ä̤N̤̈Ö̤ Ḧ̤Ä̤Ÿ̤Ä̤ Ṳ̈K̤̈Ï̤Ë̤N̤̈D̤̈Ë̤L̤̈Ë̤Ä̤ N̤̈Ä̤Ÿ̤Ö̤ Ÿ̤Ä̤T̤̈Ä̤K̤̈Ṳ̈G̤̈Ḧ̤Ä̤R̤̈Ï̤M̤̈Ṳ̈*💙💙
   *_B̤̈ÿ̤ Ë̤v̤̈.Ë̤l̤̈ï̤s̤̈ḧ̤ä̤ K̤̈az̤̤̈̈ï̤m̤̈ö̤ẗ̤ö̤_*
      *0755444078*
*_Ḧ̤ä̤l̤̈ë̤l̤̈ṳ̈ÿ̤ä̤ä̤ ẅ̤ä̤n̤̈ä̤ ẅ̤ä̤ ṳ̈f̤̈ä̤l̤̈m̤̈ë̤ ẅ̤ä̤ M̤̈ṳ̈n̤̈g̤̈ṳ̈,l̤̈ë̤ö̤ n̤̈ï̤s̤̈ë̤m̤̈ë̤ n̤̈ä̤ v̤̈ï̤j̤̈ä̤n̤̈ä̤ ä̤m̤̈b̤̈ä̤ö̤ m̤̈n̤̈ä̤j̤̈ï̤ä̤n̤̈d̤̈ä̤ä̤ k̤̈ṳ̈ï̤n̤̈g̤̈ï̤ä̤ k̤̈ä̤ẗ̤ï̤k̤̈ä̤ n̤̈d̤̈ö̤ä̤ n̤̈ä̤ ẅ̤ä̤l̤̈ë̤ m̤̈l̤̈ï̤ö̤ n̤̈ä̤ ẅ̤ä̤c̤̈ḧ̤ṳ̈m̤̈b̤̈ä̤,n̤̈ä̤ ẅ̤ë̤n̤̈g̤̈ï̤n̤̈ë̤ B̤̈ä̤d̤̈ö m̤̈n̤̈ä̤ẗ̤ä̤f̤̈ṳ̈ẗ̤ä̤ ä̤ṳ̈ k̤̈ṳ̈ẗ̤ä̤f̤̈ṳ̈ẗ̤ẅ̤ä̤,ẗ̤ë̤g̤̈ä̤ s̤̈ï̤k̤̈ï̤ö̤ n̤̈ï̤s̤̈ë̤m̤̈ë̤ n̤̈ä̤ẅ̤ë̤ ï̤l̤̈ï̤ n̤̈d̤̈ö̤ä̤ ÿ̤ä̤k̤̈ö̤ ï̤ẅ̤ë̤ s̤̈ä̤l̤̈ä̤m̤̈ä̤ k̤̈ä̤b̤̈l̤̈ä̤ ḧ̤ṳ̈j̤̈ä̤ s̤̈ë̤m̤̈ä̤,ḧ̤ë̤r̤̈ï̤ n̤̈ï̤n̤̈g̤̈ë̤k̤̈ṳ̈ẅ̤ä̤ s̤̈ï̤s̤̈ẗ̤ë̤r̤̈,ä̤ṳ̈ ẗ̤ö̤ẅ̤ä̤s̤̈ḧ̤ï̤ n̤̈ï̤s̤̈ï̤ö̤ë̤/k̤̈ṳ̈ö̤l̤̈ë̤ẅ̤ä̤,k̤̈ä̤b̤̈l̤̈ä̤ ÿ̤ä̤ k̤̈ṳ̈z̤̈ï̤m̤̈ë̤z̤̈ë̤ä̤ m̤̈ä̤ẗ̤ë̤ n̤̈d̤̈ö̤ä̤ z̤̈ä̤ ẅ̤ë̤n̤̈g̤̈ï̤n̤̈ë̤ ḧ̤ṳ̈k̤̈ṳ̈ ÿ̤ä̤ k̤̈ẅ̤ä̤k̤̈ö̤ ï̤n̤̈ä̤ẅ̤ä̤k̤̈ä̤ m̤̈ö̤ẗ̤ö̤ ṳ̈ä̤ï̤ö̤ z̤̈ï̤m̤̈ï̤k̤̈ä̤ m̤̈p̤̈ä̤k̤̈ä̤ ṳ̈n̤̈ä̤ï̤n̤̈g̤̈ï̤ä̤ k̤̈ä̤b̤̈ṳ̈r̤̈ï̤n̤̈ï̤._*
Ambatana nami Mchambuzi wa masuala ya Mahusiano na Ndoa, *_Mwana Saikolojia Ev.Elisha Kazimoto(Baba Eve)_* Uchambuzi huu utakuponya na ndoa ya migogoro,michepuko,stress na Jehanamu. Karibu:
✍� Vijana wote wa kike na wakiume,unapotaka kuingia katika ndoa fahamu kuwa ndoa siyo *random selection*,ni *Specific Purposeful Selection*, hatuingii katika ndoa for sex purpose, au kuzaa watoto,au kupika na kupikiwa,tunaingia katika ndoa *_Kwa Kusudi la Mungu kutimiza mapenzi ya Mungu,kuleta faida katika maisha yetu binafsi na katika ufalme wa Mungu_* huo ndo mlango wa furaha katika ndoa na upendo👇�👇�👇�👇�
*_Mithali 19 : 14 - Nyumba na mali ni urithi apatao mtu kwa babaye; Bali mke mwenye busara, mtu hupewa na Bwana._*
✍� Kwa hiyo ikitokea umejipa mke au mme kwa hisia zako na tamaa zako,sahau amani,furaha na upendo na mkono wa Mungu katika ndoa yako.
✍�Mara nyingi ikifikia wakati wa kuoa na kuolewa,vijana wanajitoa akili kana kwamba hawajui nini kitatokea baada ya ndoa,wengi wamelazimisha kukaa kwenye mahusiano ambayo anajua kabisa *Siyo ya Kimungu*, anajua kabisa *Sina Amani nayo* Anajua kabisa Mahusiano haya siyo Salama, lakini anajikaza tu *Kwa sababu Amependa sana,ameona pesa na ulaji,amekaa sana bila kupata mtu ,sasa amempata,basi tu wazazi na ndugu wameshinikiza* Nata kukwambia mpaka hapo unaisogelea kaburi ya ndoa👇�👇�👇�👇�
*_Mithali 7 : 22 - Huyo akafuatana naye mara hiyo, Kama vile ng'ombe aendavyo machinjoni; Au mpumbavu kuadhibiwa katika pingu._*
✍�Kijana/Binti umejikaza uoane na huyo mtu asiye *Imani moja nawe(Asiye okoka)Alozini na wewe,Alo kupiga mimba, taratibu unaelekea machinjioni,ng'ombe akienda machinjioni harudi akitembea anarudi akiwa nyama ya kupikwa,na wewe ukiingia kwa ndoa na huyo mtu kwenye ndoa haturudi tukiitwa vijana, Unarudi ukiitwa Aliyeachika,Mjane,Alofukuzwa,Alotelekeza mke na watoto,* kwa mazingira hayo utaujutia ujana wako na kumlaani huyo alokuingiza kwenye ndoa hiyo,but is *Too Late*
✍�Ukitaka kuingia katika ndoa usiwe na Upendo wa kipumbavu,wa mauti,wa upofu na uziwi,hata unapenda hata huwezi kung'amua Mazingira hatarishi kwa maisha yako,unashindwa kutetea hatima yako ya maisha ya furaha ya ndoa,na hatima ya roho yako mbinguni,unapenda mpaka unasahau Thamani ya mwili wako,(Lijamaa linakuendesha na Ngono,yaani anataka ngono kwanza ndo akuoe,kila mkikutana anakuchezea mwili kama mke wake/mme wake,mpaka unatoka umejaa Hatia kibao moyoni,amani kwisha,mnanusurika chupuchupu kusex hakafu bado anakutishia kukuacha kama hukubali michezo yake na ngono,unabaki unalia * Eti unampendaaa* unapenda matatizo,unapenda laana,unapenda msaliti wa ndoa, acha kupenda mpaka unakuwa kipofu, hiyo Piga Chini. (yaani umeisha shuhudia ubovu wake,unataka Mungu aseme nawe kwa jinsi gani, PIGA CHINI huyo hakuwa fungu lako,omba upewe mwingine.)Unapenda mpaka unasahau Mamlaka ya Mungu aliyekupa akili,nguvu,hisia,uzima wa mwili wako huo mpaka unakusudia kumlipa Mungu fadhila ya Uovu na dharau mbele zake! *_Upendo huo ni wa upumbavu na unakupeleka kwenye majuto_*👇�👇�👇�
*_Mithali 7 : 7 - Nikaona katikati ya wajinga, Nikamtambua miongoni mwa vijana, Kijana mmoja asiyekuwa na akili,_* soma mpaka mstari wa 10.
✍� Kuna lugha nyingi za ushawishi zinatumika katika kumtafuta mchumba,ubembelezi mwingi,mpaka unaanguka katika zinaa,mpaka mnaamua kukubaliana kuoana watu mlo tofauti kabisa kiimani,Hiyo ndugu unaandaa Jeneza⚰⚰⚰ lako maalumu la maisha ya ndoa yako...👇�👇�👇�
*_Mithali 7 : 21 - Kwa maneno yake mengi na ulaini akamshawishi, Kwa ubembelezi wa midomo yake akamshinda._*
✍�Unang'ang'ana na nini na huyo mtu mwana Dini tu,wokovu haumo ndani yake? Mpagani,mwabudu sanamu,asiyeamini nguvu za Mungu,asiye na mkazo wa kuishi maisha matakatifu?unahisi Mungu Anapendezwa na Mahusiano yasiyotoka kwake? Unatafuta kuiweka ndoa yako chini ya Laana👇�👇�👇�
*_2 Wakorintho 6 : 14 - Msifungiwe nira pamoja na wasioamini, kwa jinsi isivyo sawasawa; kwa maana pana urafiki gani kati ya haki na uasi? Tena pana shirika gani kati ya nuru na giza?_*
Hivi unajua Gharama ya kulinda ndoa wewe?au unadhani ukioa na kuolewa ni mtelemko,utapambanaje  wewe na adui anaye shambulia ndoa wakati umebebana na mtu ambaye maombi yake haya zidi Dakika 15,kufunga hata masaa 24 hawezi,Neno hata Yohana 3:16 hawezi kuielezea, Kuishi na kuenenda katika Roho hajui hata inamaanisha nini,kunena kwa lugha mpya kwake ni jambo lililo mbali naye kama mashariki na magharibi, Dhambi kwake yeye anaamini kila binadamu ni mkosefu,kwa hiyo Zaburi 16:3,na Wafilipi 4:13 na 1Yohana 5:1-5 hizo zote amechana kwenye Biblia yake,au hajawahi kuyasoma.sasa ndugu yangu unahitaji ndoa💍 au Jeneza?⚰
✍�Hujui ukiunganishwa kwa ndoa na *Tapeli,Mpagani,Mzinifu,Kahaba na wewe unakuwa sawa na yeye?👇�👇�👇�👇�
*_1 Wakorintho 6 : 16 - Au hamjui ya kuwa yeye aliyeungwa na kahaba ni mwili mmoja naye? Maana asema, Wale wawili watakuwa mwili mmoja._*
Mbona unajifariji eti tukioana amesema atahamia kanisani kwetu,ataokoka,kwenye wokovu hatunaga viraka,na vibanio na mikopo,Wee unamkopesha Yesu mke,mme wako eti akija tukioana atokoka! *_Umemfanya Yesu Masikini,ameishiwa vijana safi,mabinti safi mpaka unamkopesha huyo mpagani wako,unamwazimisha Yesu, Hakika wewe Umelaaniwa,na Ndoa yako haiwezi kutulia milele_*
*_M̥ͦw̥ͦḁͦn̥ͦḁͦ S̥ͦḁͦi̥ͦk̥ͦo̥ͦl̥ͦo̥ͦj̥ͦi̥ͦḁͦ n̥ͦḁͦ M̥ͦt̥ͦu̥ͦm̥ͦi̥ͦs̥ͦh̥ͦi̥ͦ w̥ͦḁͦ M̥ͦu̥ͦn̥ͦg̥ͦu̥ͦ ḁͦl̥ͦi̥ͦy̥ͦe̥ͦ h̥ͦḁͦi̥ͦ, M̥ͦw̥ͦi̥ͦn̥ͦj̥ͦi̥ͦl̥ͦi̥ͦs̥ͦt̥ͦi̥ͦ E̥ͦl̥ͦi̥ͦs̥ͦh̥ͦḁͦ K̥ͦḁͦz̥ͦi̥ͦm̥ͦo̥ͦt̥ͦo̥ͦ n̥ͦḁͦk̥ͦu̥ͦs̥ͦh̥ͦḁͦu̥ͦr̥ͦi̥ͦ h̥ͦḁͦy̥ͦḁͦ u̥ͦy̥ͦḁͦt̥ͦe̥ͦn̥ͦd̥ͦe̥ͦe̥ͦ k̥ͦḁͦz̥ͦi̥ͦ n̥ͦd̥ͦo̥ͦ n̥ͦd̥ͦo̥ͦḁͦ y̥ͦḁͦk̥ͦo̥ͦ i̥ͦw̥ͦe̥ͦ n̥ͦḁͦ m̥ͦk̥ͦo̥ͦn̥ͦo̥ͦ w̥ͦḁͦ M̥ͦu̥ͦn̥ͦg̥ͦu̥ͦ_*
💈 Usichumbie wala kuchumbiwa na Mpagani,utaingia gharama ya kushambuliwa na adui kila nyanja(kiafya,kiuchumi,kiupendo,kitendo la ndoa-michepuko,kiroho-jehanamu inakungoja), ninapo sema mpagani kwa sasa utapata shida kujua nani mpagani ,maana kila mtu sikuhizi anasema *Nimeokoka na mpenda Yesu* Lakini kwa 💯% anajua Dini,dhehebu lake,kanisa lake hawaamini kwa habari ya wokovu,anajua kabisa yupo chini ya kiongozi anayeendesha ibada ya sanamu,anajua kabisa ibada zao zote hajawahi kusikia *Utakatifu unatiliwa mkazo,na kukemea dhambi*,anajua kabisa Tangu ameanza kuabudu hapo,hajawahi sikia,wala kuona mtu anaongozwa sala ya toba,wala kuona mgonjwa mwenye pepo anaombewa na kupona, anajua kabisa yeye anafanya zinaa na kiongozi wa kanisani(pastor,mwinjilisti,kiongozi wa kwaya,praise team na washirika wenzake,au na wapagani)lakini hajawahi kuonywa,wala kugundulika na anaendelea na huduma kanisani kusimama madhabahuni,  *_Na huyo naye anasema ameokoka nasali........jaza mwenyewe maana ndo unaye jua Uhai na umauti wa Roho yako katika eneo lako la ibada_*  kwa hiyo kuwa makini nani unaoana naye
✍�Sasa kama unaongozwa na hisia sana kuliko Roho mtakatifu na Neno la Mungu utabambana na huyo *mwokovu bandia*, lakini Neno moja na Amini nalo ni amina na kweli nami ni shahidi wa hilo, *_Hakuna kijana/binti aliye sawa kiroho na Mungu akajibamiza kwa tapeli, ukiona unachumbia au unachumbiwa na mpagani,mwenye wokovu bandia,jua na wewe ni Mpagani na una wokovu wa kifafa_* si umepata wa kufanana nawe?
💈Ukiona mchumba wako /mtu uliye naye kwenye mahusiano anakuomba picha za utupu ili atulize hisia,au anakuomba mfanye ngono,na yupo tayari kukuacha kisa umemnyima huyo *Piga chini*(SHETANI KASORO KUFUNGIWA KWENYE SHIMO LA GIZA) hakufai, mtu huyo umepewa na ufalme wa kuzimu ili aharibu destiny yako,hajatoka kwa Mungu.
💈Ukiona mtu amekusaidia kukutunza,kukulipia ada ya chuo,pango la nyumba,na misaada yote,lakini shukrani anayo itaka ni *Ngono* hata kama ni mchumba wako *Vunja mara moja mahusiano* huyo ni Wakala wa kuzimu,amebeba mapepo ya zinaa ukioana naye utajuta.
💈Ukiona mtu mlo kwenye mahusiano naye anakwambia Zinaa ni kama dhambi zingine,tufanye tutatubu,jua huyo *Ni Shemasi kwa Kanisa la Shetani Vunja haraka uchumba huo* utaikosa amani kwenye ndoa.
*_L̥ͦe̥ͦo̥ͦ n̥ͦi̥ͦi̥ͦs̥ͦh̥ͦi̥ͦe̥ͦ h̥ͦḁͦp̥ͦḁͦ n̥ͦḁͦḁͦm̥ͦi̥ͦn̥ͦi̥ͦ u̥ͦm̥ͦe̥ͦp̥ͦḁͦt̥ͦḁͦ m̥ͦs̥ͦḁͦd̥ͦḁͦ w̥ͦḁͦ k̥ͦu̥ͦt̥ͦo̥ͦs̥ͦh̥ͦḁͦ,k̥ͦw̥ͦḁͦ m̥ͦḁͦt̥ͦe̥ͦn̥ͦg̥ͦe̥ͦn̥ͦe̥ͦz̥ͦo̥ͦ y̥ͦḁͦ n̥ͦd̥ͦo̥ͦḁͦ y̥ͦj̥ͦo̥ͦ t̥ͦḁͦr̥ͦḁͦj̥ͦi̥ͦw̥ͦḁͦ,m̥ͦḁͦs̥ͦo̥ͦm̥ͦo̥ͦ y̥ͦḁͦn̥ͦg̥ͦu̥ͦ m̥ͦe̥ͦn̥ͦg̥ͦi̥ͦ y̥ͦḁͦn̥ͦḁͦp̥ͦḁͦt̥ͦi̥ͦk̥ͦḁͦn̥ͦḁͦ k̥ͦw̥ͦḁͦ f̥ͦḁͦc̥ͦe̥ͦb̥ͦo̥ͦo̥ͦk̥ͦ,ḁͦc̥ͦc̥ͦo̥ͦu̥ͦn̥ͦt̥ͦ y̥ͦḁͦ E̥ͦl̥ͦi̥ͦs̥ͦh̥ͦḁͦ K̥ͦḁͦz̥ͦi̥ͦm̥ͦo̥ͦt̥ͦo̥ͦ,n̥ͦḁͦ k̥ͦw̥ͦe̥ͦn̥ͦy̥ͦe̥ͦ G̥ͦr̥ͦo̥ͦu̥ͦp̥ͦ l̥ͦḁͦn̥ͦg̥ͦu̥ͦ l̥ͦḁͦ W̥ͦh̥ͦḁͦt̥ͦs̥ͦḁͦp̥ͦp̥ͦ l̥ͦḁͦ M̥ͦḁͦh̥ͦu̥ͦs̥ͦi̥ͦḁͦn̥ͦo̥ͦ ,u̥ͦc̥ͦh̥ͦu̥ͦm̥ͦb̥ͦḁͦ n̥ͦḁͦ N̥ͦd̥ͦo̥ͦḁͦ_*(  *Kujiunga ni kwa Interview*)
   *_By Ev.Elisha Kazimoto(Baba Eve)_*
         *0755444078*

KWA NINI KUCHOKANA KATIKA NDOA?

💞💞 *K̥ͦW̥ͦḀͦ N̥ͦI̥ͦN̥ͦI̥ͦ K̥ͦU̥ͦC̥ͦH̥ͦO̥ͦK̥ͦḀͦN̥ͦḀͦ K̥ͦḀͦT̥ͦI̥ͦK̥ͦḀͦ N̥ͦD̥ͦO̥ͦ*💞💞
     *_B̥ͦy̥ͦ E̥ͦv̥ͦ.E̥ͦl̥ͦi̥ͦs̥ͦh̥ͦḁͦ K̥ͦḁͦz̥ͦi̥ͦm̥ͦo̥ͦt̥ͦoͦ(B̥̥ͦͦḁͦb̥ͦḁͦ E̥ͦv̥ͦe̥ͦ)_*
     *0755444078*
_Shalom wana ndoa,mlooana kwa kusudi la Mungu,kwa upendo mkuu,na gharama kubwa ya kulipa Maali na kufanya sherehe kubwa na Kuwathibitishia watu wote kanisani kwa *Kiapo cha Ujasiri kabisa*Kuwa nitakupenda,nitakulinda,na kuwa na wewe sikuzote za maisha yangu,nitawaacha wanawake/wanaume woote,nakuambatana na wewe siku zote,na kumalizia na neno zuuri, *"Ee Mungu Nisaidie"*,sasa kuchokana huko kumetoka wapi?_
✍�Basi mtaalamu na Mwana Saikolojia,mchambuzi wa masuala ya Mahusiano na Ndoa, *Ev.Elisha Kazimoto(Baba Eve)* nitakujuza yakupasayo kuyaangalia ili urejeshe ndoa yako katika siku ya kwanza ya Kiapo cha Upendo.
✍�  _Wana ndoa,kabla ya kuangalia,kwa nini tunachokana,Julize ilikuwaje,kulikuwa kuna nini tunafanya,pale mwanzo mpaka tukawa tunapendana sana,shahuku ya mwenzako asikae mbali nawe ilikuwepo,kipindi hicho,tulikuwa tunafanya nini?_
✍� kumbuka Biblia haisemi *Ukatubu* inasema,  *_Kumbuka ni wapi ulipo anguka Ukatubu_* kuna umuhimu wa kufanya marejeo ya upendo wenu wa awali ulikuwa unasukumwa na nini hata kuwa mkubwaa?hapo ndo mnaweza anza harakati za kutibu ndoa yenu unapo hisi kumchoka mwenzako.
*_Ufunuo wa Yohana 2 : 5 - Basi, kumbuka ni wapi ulikoanguka; ukatubu, ukayafanye matendo ya kwanza. Lakini, usipofanya hivyo, naja kwako, nami nitakiondoa kinara chako katika mahali pake, usipotubu._*
✍�wana ndoa,kabla ya mambo yote,kumlaumu mmeo,mkeo au chochote,Kumbuka niwapi ulipo poteza matendo ya kwanza katika ndoa yenu,yaliyo kuwa yanakufanya hata akiondoka siku moja,unahisi ni mwaka,akicheka unatamani asiache,akizungumza unatamani uendelee kusikia maneno yake,kumbuka yale matendo umeyapotezea wapi? *_Ulipo pata pesa?,Ulipo pata mtoto?ulipo pata kazi?Ulipo anza kusema uongo?ulipo anza urafiki na mashosti wako?Ulipo anza kuwasikiliza ndugu zako na wazazi wako kuliko mkeo/mmeo? Kumbuka ukatubu(yaani. utengeneze)ukayatende yalee ya kwanza_* Huo ndo uponyaji wa Kuchokana.
✍�  _Leo sitakuletea makara ndefu,fupi na tiba_  Mara hoo,mwenzangu siku hizi simuelewi! Kwa nini mwanzo mnachumbiana mpaka mnaoana,ulimwelewa? kwa nini saizi?kumbuka nini kilikuwa kinakufanya unamwelewa, *Kifanye hicho hicho ataeleweka tu*
✍� Mwanzoni ulikuwa unamwambia wewe ni mzuri,saizi umeacha,kwa nini msichokane?
✍�Mwanzoni,ulikuwa unafua nguo,unamnyoshea,maji ya moto ya kuoga,andaa kila kitu mapema cha kula,leo anajiandalia,au ni house girl anaanda,kwa nini msichokane?
✍�Mwanzoni tendo la ndoa,ilikuwa tu mnatumia ishara ya macho,umeisha jua kwamba hapa ni nusu fainali,saizi mpaka udanganywe,uahidiwe zawadi hewa,au ukabwe ndo unakubali,kwa nini msichokane?
*_Mwisho,wana ndoa rudisheni Matendo ya kwanza,ya uchumba na honeymoon na miezi 6 ya kwanza ya ndoa yenu,yawe ndo matendo yenu ya kila siku hamtachokana_*
   *_By Ev.Elisha Kazimoto(Baba Eve)_*
       *0755444078*

Tuesday 29 November 2016

SAIKOLOJIA YA MAHUSIANO

🌍🌍  *SAIKOLOJIA YA MAHUSIANO*🌍🌍
     *_BY EV ELISHA KAZIMOTO_*
        *0755444078*
_Shalom mtu wa Mungu,leo nimeona nikuletee uchambuzi maalumu kuhusu MAHUSIANO kwa ujumla,hapa ntazungumzia mahusiano ya kirafiki,ya uchumba na ya ndoa_
🏓Mahusiano ni suala la kisaikolojia yaani linalo husu(Akili,fikra ma hisia),wengi wetu tumejikuta tukipoteza marafiki wetu muhimu,wachumba wakituacha,ndoa zikianza migogoro hata kuachana,shida ni ufinyo wa Taaluma ya Saikolojia ya Mahusiano.
🏓  *_Leo Mtaalamu wa Saikolojia na Mchambuzi wa Masuala ya Mahusiano na Ndoa(  Ev Elisha Kazimoto) na kuletea uchambuzi ulobeba Siri za uponyaji wa Mahusiano yako_*
🏓Huwezi kuwa na mahusiano imara kama  _Hujui kwa nini Umeingia katika Mahusiano hayo_ Hii imekuwa na changamoto katika mahusiano ya urafiki,uchumba na hata ndoa, kama umeingia katika mahusiano yotote Hujui nini kimekusukuma kuanzisha mahusiano hayo,ni rahisi sana kushindwa kuendesha mahusiano hayo,lakini pia ni rahisi kuvunja mahusiano hayo. *_Nina maanisha kwamba,Kisaikolojia mtu anaye jua kuwa nimeanza mahusiano haya kwa faida kadha wa kadha,hatokubali mazingira korofi yabadirishe Kusudi lake,furaha yake_* Mtu mwenye lengo imara lenye faida kwa nafsi yake,hayuko tayari changamoto kubwa wala ndogo,zi sitishe Kusudi la mahusiano alo yaanzisha.
Mfano,nirahisi sana kuvunja uchumba,kama hujajua kwa nini umeamua kuanzisha uchumba na mtu huyo, au ni rahisi kutokubali kusuruhisha mgogoro wa ndoa yako,na kuona ni bora kila mtu awe kivyake kwa sababu hukujua kwa nini uliamua kuoa/kuolewa na huyo mtu.
*_Kisaikolojia nina maanisha kwamba,mpaka unaamua kuanzisha mahusiano ya uchumba,au kuoana,umejiridhisha,kuwa huyu mtu ninaye ungana naye anavitu muhimu ndani yake kuliko mtu mwingine awaye yote ndo maana ukaamua kuanza mahusiano naye,na kama unaona huyo mtu hakidhi kiu ya moyo wako ni vyema usianzishe mahusiano naye maana utaathiri mfumo wa kuwaza,kunena,kutazama katika maisha yako,utakao kugharimu kuishi maisha bandia yasiyo yako.
🏓 Lakini pia,Saikolojia inakutaka kutambua GHARAMA ya mahusiano kabla ya kuanzisha mahusiano yoyote. *_Hii ina maana kwamba,ujiridhishe uwezo wako wa kujubali kulipa au kubeba gharama yoyote itokanayo na mahusiano yawe ya urafiki,uchumba au ndoa_*  Kitu chamsingi cha kujua,Gharama ya mahusiano huongezeka kulingana na nafasi(umbali) na unufaikaji: yaani gharama ya rafiki ni ndogo kwasababu ya umbali wake kwako na unufaikaji ni ndogo, Gharama ya mchumba inaongezeka maana umbali unapungua na unufaikaji unaanza kutarajiwa,na Gharama ya Ndoa ni Kubwa mno maana umbali ni *Zero Distance* na unufaikaji ni mkubwa maana mnashiriki maisha ya pamoja mpaka miili yenu mnashirikiana hapo ni gharama kubwa.
_Kwa hiyo kama hujawa na uwezo wa kulipa gharama kubwa,usifanye maamuzi ya kuingia katika mahusiano ya Uchumba na ndoa,baki kwenye urafiki_
*Baadhi ya Gharama za Mahusiano*
⚓Mahusiano yanahitaji Muda wa Kutosha.  _Kama bado unathamini muda wa mambo yako sana kuliko kitu kingine,tulia usiingie kwa mahusiano utavunja mahusiano ndani ya miezi michache_  Mahusiano yanahitaji muda,mwenzako unaye anza safari naye anahitaji kutumia muda wako kukufahamu,ajiridhishe kama unafaha kuwa mtu wa kuambatana naye maishani. Ukiona unahisi kero kupotezewa muda na mwenzako iwe kwa mazungumzo,kutoka out,kupumzika,kupanga,na kufanya shughuli alokuhusisha,jua wewe bado kisaikolojia ni mdogo(mtoto)hujakomaa huruhusiwi kuingia katika mahusiano maana mtapigizana kelele na mwenzako za hujali,uko busy na mambo yako mtaachana.
⚓Gharama ya Kuomba Samahani. Unaweza kuona ni jambo dogo kumbe hii ni Gharama kubwa inayoshinda wengi na kupelekea mpasuko wa mahusiano. Kama bado kinywa chako ni kizito kusema nisamehe mke wangu,mme wangu,mchumba wangu,usianzishe majusiano hayo hayatadumu. *_Maana hakuna asiye kosea,ila namna gani unatatua makosa_*  Samahani ni nguzo kubwa katika mahusiano,kama huwezi lipa gharama hiyo,usiingie kwa mahusiano.
⚓Gharama ya Kupenda. _Kila anaye taka kuanzisha mahusiano tafakari kama bank ya moyo wako ina Akiba ya Matendo ya Upendo ya Kutosha yakumshibisha unayeingia naye katika mahusiano,kama hujajaza bank yako,subiri,utaachwa katika njia panda utakosa thamani ( *Upendo unaambatana na kutoa,kujinyima,kulinda,kufurahisha,kubembeleza,kusikiliza,kujali na kusifia*)kama haya mambo huyawezi usiingie kwa mahusiano.
⚓Kuna Gharama ya kuheshimu na kutii. Kama unaona huwezi kuwa msikivu,kufuata na kutii kwa mwenzako kwa sasa,usifanye haraka kuingia,jipange kwanza uandae saikolojia yako,kuongozwa(Ewe mwanamke) ndo utaifurahia ndoa au uchumba.
⚓Gharama ya Kuachana na wazazi,ndugu na marafiki. Kama bado hukawa na uwezo wa kutengana na wazazi na ndugu marafiki zako wa mwanzo,ili uambate na mfanye maamuzi yenu kama wana mahusiano,basi ujaribu kuanzisha mahusiano,mtavurugana na mwenzako mapemano. Ila ukifikia viwango vya kuwela mipaka kati ya wazazi ,ndugu na marafiki dhidi ya mmeo/mkeo ili wasiwaingilie hapo umekomaa kisaikolojia.
⚓Gharama ya Vita ya Kiroho, pamoja na kuenjoy maisha ya mahusiano,mnapaswa kujua, kwa kadiri unavyoongeza mtu pembeni yako ndivyo unavyoongeza uwanja wa vita na nguvu ya kushinda. *Sasa kama huwezi kujisimamia kupambana dhidi ya ufalme wa giza mwenyewe,usiongeze ukubwa wa vita kwa kuanzisha mahusiano  a mtu,mtapigwa kabla hamjafika mbali,au mtaishi kwa kuumia sana,hamtafurahia maisha*  Ndo maana kuna umuhimu wa kujiridhisha unaingia na nani katika mahusiano,ni mpambanaji au mzembe!.? Polee kwao wanao zoa watu dhaifu.
🏓Lakini katika yote mahusiano yanahitaji Akili sana kuliko nguvu katika kuyaendesha,ndoa zingekuwa na amani,wachumba break up zingepungua.
(  *Nataka nikutafakarishe jambo moja ninapo hitimisha uchambzi huu*)
_Hivi Unajua Mahusiano ya Ndoa ndo Kilele cha mwisho cha furaha ya mwanadamu hapa duniani? Je,unajua ukikosa furaha katika ndoa huna njia mbadala wa furaha katika masha,hat ukichepuka huwezi kuwa na furah kama ya ndoa yako.? Je,unajuakuwa ni Gharama ndogo kupoteza haki zako binafsi ili uli ulinde Furaha ya ndoa yako,kuliko kupigania kupata haki zako binafsi na kufuta harufu ya Amani ya ndoa..?_
*Ulikuwa na mimi mchambuzi wa Masuala Mahusiano na Ndoa,Mwana Saikolojia Ev Elisha Kazimoto(Baba Eve)*
_Masomo mengi ya mahusiano,uchumba na Ndoa tembelea kwenye Blog yangu Material Adimu, pomoja na group la WhatsApp la Material Adimu University na pages mbalibali za facebook kwa akaunti ya Elisha Kazimoto_
*_Tayari ninalo Darasa maalumu la Uponyaji wa Kisaikolojia katika mahusiano,Uchumba na Ndoa(Darasa hili ni free kujiunga  Ila sheria zake kali na Competition ni kubwa,linajaa mpaka watu wengine wapunguzwe wengine waingie,usichoke kujaribu ukipata link Maana hii ni Taaluma inayotolewa kuponya majeraha yaliyotokana na mahusiano,migogoro ya ndoa,kupewa mbinu mpya za kushinda changamoto za mahusiano,mbinu za kisaikolojia na za kiroho za kuendesha uchumba au ndoa kwa raha sana.Darasa hilo  linaitwa(  Psychological Healing Class_*)
Mawasiliano ya WhatsApp na kujisajiri katika Darasa hilo ni:
    *0755444078


SAIKOLOJIA YA MAHUSIANO

🌍🌍  *SAIKOLOJIA YA MAHUSIANO*🌍🌍
     *_BY EV ELISHA KAZIMOTO_*
        *0755444078*
_Shalom mtu wa Mungu,leo nimeona nikuletee uchambuzi maalumu kuhusu MAHUSIANO kwa ujumla,hapa ntazungumzia mahusiano ya kirafiki,ya uchumba na ya ndoa_
🏓Mahusiano ni suala la kisaikolojia yaani linalo husu(Akili,fikra ma hisia),wengi wetu tumejikuta tukipoteza marafiki wetu muhimu,wachumba wakituacha,ndoa zikianza migogoro hata kuachana,shida ni ufinyo wa Taaluma ya Saikolojia ya Mahusiano.
🏓  *_Leo Mtaalamu wa Saikolojia na Mchambuzi wa Masuala ya Mahusiano na Ndoa(  Ev Elisha Kazimoto) na kuletea uchambuzi ulobeba Siri za uponyaji wa Mahusiano yako_*
🏓Huwezi kuwa na mahusiano imara kama  _Hujui kwa nini Umeingia katika Mahusiano hayo_ Hii imekuwa na changamoto katika mahusiano ya urafiki,uchumba na hata ndoa, kama umeingia katika mahusiano yotote Hujui nini kimekusukuma kuanzisha mahusiano hayo,ni rahisi sana kushindwa kuendesha mahusiano hayo,lakini pia ni rahisi kuvunja mahusiano hayo. *_Nina maanisha kwamba,Kisaikolojia mtu anaye jua kuwa nimeanza mahusiano haya kwa faida kadha wa kadha,hatokubali mazingira korofi yabadirishe Kusudi lake,furaha yake_* Mtu mwenye lengo imara lenye faida kwa nafsi yake,hayuko tayari changamoto kubwa wala ndogo,zi sitishe Kusudi la mahusiano alo yaanzisha.
Mfano,nirahisi sana kuvunja uchumba,kama hujajua kwa nini umeamua kuanzisha uchumba na mtu huyo, au ni rahisi kutokubali kusuruhisha mgogoro wa ndoa yako,na kuona ni bora kila mtu awe kivyake kwa sababu hukujua kwa nini uliamua kuoa/kuolewa na huyo mtu.
*_Kisaikolojia nina maanisha kwamba,mpaka unaamua kuanzisha mahusiano ya uchumba,au kuoana,umejiridhisha,kuwa huyu mtu ninaye ungana naye anavitu muhimu ndani yake kuliko mtu mwingine awaye yote ndo maana ukaamua kuanza mahusiano naye,na kama unaona huyo mtu hakidhi kiu ya moyo wako ni vyema usianzishe mahusiano naye maana utaathiri mfumo wa kuwaza,kunena,kutazama katika maisha yako,utakao kugharimu kuishi maisha bandia yasiyo yako.
🏓 Lakini pia,Saikolojia inakutaka kutambua GHARAMA ya mahusiano kabla ya kuanzisha mahusiano yoyote. *_Hii ina maana kwamba,ujiridhishe uwezo wako wa kujubali kulipa au kubeba gharama yoyote itokanayo na mahusiano yawe ya urafiki,uchumba au ndoa_*  Kitu chamsingi cha kujua,Gharama ya mahusiano huongezeka kulingana na nafasi(umbali) na unufaikaji: yaani gharama ya rafiki ni ndogo kwasababu ya umbali wake kwako na unufaikaji ni ndogo, Gharama ya mchumba inaongezeka maana umbali unapungua na unufaikaji unaanza kutarajiwa,na Gharama ya Ndoa ni Kubwa mno maana umbali ni *Zero Distance* na unufaikaji ni mkubwa maana mnashiriki maisha ya pamoja mpaka miili yenu mnashirikiana hapo ni gharama kubwa.
_Kwa hiyo kama hujawa na uwezo wa kulipa gharama kubwa,usifanye maamuzi ya kuingia katika mahusiano ya Uchumba na ndoa,baki kwenye urafiki_
*Baadhi ya Gharama za Mahusiano*
⚓Mahusiano yanahitaji Muda wa Kutosha.  _Kama bado unathamini muda wa mambo yako sana kuliko kitu kingine,tulia usiingie kwa mahusiano utavunja mahusiano ndani ya miezi michache_  Mahusiano yanahitaji muda,mwenzako unaye anza safari naye anahitaji kutumia muda wako kukufahamu,ajiridhishe kama unafaha kuwa mtu wa kuambatana naye maishani. Ukiona unahisi kero kupotezewa muda na mwenzako iwe kwa mazungumzo,kutoka out,kupumzika,kupanga,na kufanya shughuli alokuhusisha,jua wewe bado kisaikolojia ni mdogo(mtoto)hujakomaa huruhusiwi kuingia katika mahusiano maana mtapigizana kelele na mwenzako za hujali,uko busy na mambo yako mtaachana.
⚓Gharama ya Kuomba Samahani. Unaweza kuona ni jambo dogo kumbe hii ni Gharama kubwa inayoshinda wengi na kupelekea mpasuko wa mahusiano. Kama bado kinywa chako ni kizito kusema nisamehe mke wangu,mme wangu,mchumba wangu,usianzishe majusiano hayo hayatadumu. *_Maana hakuna asiye kosea,ila namna gani unatatua makosa_*  Samahani ni nguzo kubwa katika mahusiano,kama huwezi lipa gharama hiyo,usiingie kwa mahusiano.
⚓Gharama ya Kupenda. _Kila anaye taka kuanzisha mahusiano tafakari kama bank ya moyo wako ina Akiba ya Matendo ya Upendo ya Kutosha yakumshibisha unayeingia naye katika mahusiano,kama hujajaza bank yako,subiri,utaachwa katika njia panda utakosa thamani ( *Upendo unaambatana na kutoa,kujinyima,kulinda,kufurahisha,kubembeleza,kusikiliza,kujali na kusifia*)kama haya mambo huyawezi usiingie kwa mahusiano.
⚓Kuna Gharama ya kuheshimu na kutii. Kama unaona huwezi kuwa msikivu,kufuata na kutii kwa mwenzako kwa sasa,usifanye haraka kuingia,jipange kwanza uandae saikolojia yako,kuongozwa(Ewe mwanamke) ndo utaifurahia ndoa au uchumba.
⚓Gharama ya Kuachana na wazazi,ndugu na marafiki. Kama bado hukawa na uwezo wa kutengana na wazazi na ndugu marafiki zako wa mwanzo,ili uambate na mfanye maamuzi yenu kama wana mahusiano,basi ujaribu kuanzisha mahusiano,mtavurugana na mwenzako mapemano. Ila ukifikia viwango vya kuwela mipaka kati ya wazazi ,ndugu na marafiki dhidi ya mmeo/mkeo ili wasiwaingilie hapo umekomaa kisaikolojia.
⚓Gharama ya Vita ya Kiroho, pamoja na kuenjoy maisha ya mahusiano,mnapaswa kujua, kwa kadiri unavyoongeza mtu pembeni yako ndivyo unavyoongeza uwanja wa vita na nguvu ya kushinda. *Sasa kama huwezi kujisimamia kupambana dhidi ya ufalme wa giza mwenyewe,usiongeze ukubwa wa vita kwa kuanzisha mahusiano  a mtu,mtapigwa kabla hamjafika mbali,au mtaishi kwa kuumia sana,hamtafurahia maisha*  Ndo maana kuna umuhimu wa kujiridhisha unaingia na nani katika mahusiano,ni mpambanaji au mzembe!.? Polee kwao wanao zoa watu dhaifu.
🏓Lakini katika yote mahusiano yanahitaji Akili sana kuliko nguvu katika kuyaendesha,ndoa zingekuwa na amani,wachumba break up zingepungua.
(  *Nataka nikutafakarishe jambo moja ninapo hitimisha uchambzi huu*)
_Hivi Unajua Mahusiano ya Ndoa ndo Kilele cha mwisho cha furaha ya mwanadamu hapa duniani? Je,unajua ukikosa furaha katika ndoa huna njia mbadala wa furaha katika masha,hat ukichepuka huwezi kuwa na furah kama ya ndoa yako.? Je,unajuakuwa ni Gharama ndogo kupoteza haki zako binafsi ili uli ulinde Furaha ya ndoa yako,kuliko kupigania kupata haki zako binafsi na kufuta harufu ya Amani ya ndoa..?_
*Ulikuwa na mimi mchambuzi wa Masuala Mahusiano na Ndoa,Mwana Saikolojia Ev Elisha Kazimoto(Baba Eve)*
_Masomo mengi ya mahusiano,uchumba na Ndoa tembelea kwenye Blog yangu Material Adimu, pomoja na group la WhatsApp la Material Adimu University na pages mbalibali za facebook kwa akaunti ya Elisha Kazimoto_
*_Lakini muda si murefu nitakuletea Darasa maalumu la Uponyaji wa Kisaikolojia katika mahusiano,Uchumba na Ndoa(Darasa hili litakuwa na gharama ya malipo kidogo)Maana ni Taaluma inayotolewa kuonya majeraha yaliyotokana na mahusiano,migogoro ya ndoa,kipewa mbinu mpya za kushinda changamoto za mahusiano,mbinu za kisaikolojia za kuendesha uchumba au ndoa kwa raha sana.Darasa hilo linakuja 🔜 linaitwa(  Psychological Healing Class_*)
Mawasiliano ya WhatsApp na kujisajiri katika Darasa hilo ni:
    *0755444078*

ATHARI ZA KUWA NA MAHUSIANO ZAIDI YA MTU MMOJA

🔥🔥 *HATARI YA KUWA NA MAHUSIANO YA UCHUMBA NA ZAIDI YA MTU MMOJA*🔥🔥
  *_By Ev. Elisha Kazimoto_*
   *0755444078*
💧Miongoni mwa utapeli unaofanyika makanisani na vijana, ni kuchumbi au kuchumbiwa na watu zaidi ya mmoja na wote unawapa matumaini Ya kuwaoa au kuolewa nao
💧Huo ni utapeli, uhuni  na upagani ulokomaa.
💧Hii ni dalili kuwa hujiamini na hufai kuaminiwa katika sekta ya mahusiano na ndoa
💧Hii ni dalili kuwa hukumuomba Mungu wala kumuhusisha katika suala lako la kumpata mwenzi wa maisha, badala yake unavamia tu.
💧Hiyo ni ishara ya namna gani huna maarifa hata kidogo katika sekta ya mahusiano na ndoa (hisia na mapenzi)
💧Hiyo ni ishara ya namna gani usivyo mwaminifu na huwezi kuwa mwaminifu ktk ndoa
💧Hiyo  ni ishara ya jinsi ulivyo na roho ya Kuto ridhika na hutoridhika kwa huyo utakaye mpata
🙅🏻Acha Utapeli wa Mapenzi Jipange upya
😫 *NINI KITAKUKUMBA  KWA KUWA NA MAHUSIANO ZAIDI YA MOJA* 😫
👹Utakuwa na roho ya Kuto ridhika ktk ndoa
👹Siku mkihitirafiana na mwenzako katika ndoa utamkumbuka yule ulo mpiga chini utahisi angekuwa afadhali kuliko huyu
👹Utaoa/kuolewa na ambaye hukukusudia kumuoa /kuolewa naye
👹Utakuwa mtu wa kumkosoa mwenzako kila mara, kwa kumlinganisha na mchumba ulo mpiga chini
👹Utapata tatizo la kisaikolojia katika ndoa yako, ambalo halifutika
🙅🏻Acha kujitengenezea matatizo makubwa ya baadaye yatakayo kugharimu maishani mwako
🙅🏻 *ACHA UTAPELI WA MAPENZI*🙅🏻
👉🏻Binti Kama humpendi kijana, acha kumtumainisha kwa kumwonyesha upendo wa kisanii ili akusindikize kabla ya wewe kupata umpendaye ili usiwe mpweke.
👉🏻Binti usipokee zawadi yeyote kutoka kwa kijana kama humpendi na huna mpango naye wa kuoana naye.
👉🏻Binti usijifanye maarufu wa kukataa vijana na kuwa piga vibuti, siku wakikoma kukufuata, utawafuata kwa machozi.
👉🏻Kijana, usifanye haraka kumwambia binti nataka nikuoe, kama hujajihakikisha kuwa huyu ndiye hata aje wa viwango zaidi ya huyu sibadiri msimamo.
👉🏻Kijana, usifanye haraka kutoa zawadi nyingi na kubwa kwa binti kama hamja fika ngazi ya juu ya uchumba (kulipa maali) siku ukipigwa kibuti utazimia, na usimdai ulivyo mpa
👉🏻Kijana /binti usipende kusema uongo na kuficha hali yako na ya familia yako kisa utaachwa, usijifanye matawi kumbe mizizi, utakuja kuumbuka.
👉🏻Usipende kuazima vitu kama nguo, usafiri, mawasiliano, pesa ili mwenzako akuone uko vizuri, onyesha uhalisia wako, akupende kama ulivyo
👉🏻Usipende kuumiza watu hisia zao, kupiga vibuti ipo siku Mungu atayageuza kwako itakuuma vibaya.
👉🏻Usimdharau mtu kwa hali unayomuona nayo kwa mara ya kwanza anapo elezea feelings zake kwako, hujui baadaye atakuwa na maisha gani, Wewe siyo Mungu upange maisha, mkatae mtu kwa sababu Mungu hajakupa kibali moyoni juu yake.
           *By Ev Elisha Kazimoto,*
     *0755444078*

TAALUMA YA TENDO LA NDOA(PART III)

SEHEMU YA 3. YA SOMO LA TAALUMA YA TENDO LA NDOA
          By Ev. Elisha Kazimoto
               0755444078
_Shalom, shalom, karibu tuendelee na sehemu ya tatu, huku tukiingoja sehemu ya nne ya somo, lengo na makusudi, kukomesha vilio, michepuko na majuto katika ndoa, tumia taaluma ili ikupe Raha mwana ndoa, sasa fuatana nami mchambuzi wa masuala ya Mahusiano, *Ev. Elisha Kazimoto*_
💑 *UNAHITAJI KUJUA MAADILI YA TENDO LA NDOA* 💑
💋Tendo la ndoa siyo la kuonea Aibu, hata mfanye gizani mmezima taa,
💋Tendo la ndoa ni takatifu na linakubalika mbele za Mungu kwa wana ndoa, nivizuri kujikabidhi kwa Bwana kabla ya Kuanza, mnaweza kufanya muda wowote hata kama asubuhi mnaenda ibadani na unaratiba ya Kuhudumu madhabahuni
💋Tendo la ndoa linaeleza hisia, msilifanye mkiwa kimya kimya, mabubu, sema unajisikiaje mwenzako anapo badili mapigo
💋Muda wa Tendo la ndoa, siyo muda wa kueleza kesi, kudai zawadi, au kumlalamikia mwenzako, ni muda wa kushiriki hisia za upendo wa ndani
💋Tendo la ndoa siyo la kukariri mfumo, lina hitaji Ubunifu kila siku, uje na mambo mapya mwenzako asikuchoke
💋Tendo la ndoa linahitaji kusikilizana na kuthamini hisia za mwenzako
Tendo la ndoa halina kazi ya kupata watoto tu na kutimiza tamaa za mwili, linaenda ndani zaidi.
👑 *KAZI ZA TENDO LA NDOA* 👑
🎁Ni zawadi ya pongezi kati yenu kwa mambo mema mlo tendeana, ni shukrani kwa mwenzako, ni kumwonyesha mwenzako unatambua umuhi wake kwako
🎁Ni kuwaunganisha kimwili, kihisia, na kimoyo, linaibua furaha, upendo na faraja kati yenu
🎁Ni chimbuko la uzao, watoto
🎁Ni la Refreshment, burudani, enjoyment and resting.
🎁Kukamilisha, kuridhisha hisia na hamu ya mwili
🎎👑Usipo jua kazi za tendo la ndoa hutalifanya kwa Ubora, na ni muhimu kujua, Leo tuna game la kitandani, je, ni kwaajili ya nini kwa Mujibu wa points hapo juu 👆🏻👆🏻❓hapo ndo mtaenjoy sex.
❤ *ZIJUE SEHEMU 11 ZA MWILI WA MWANAMKE ZINAZO MLETEA HISIA KALI NA KUNOGESHA MCHEZO*❤
🔱NYWELE: ( Mwanamke nywele ni Hazina na utajiri mkubwa wa tendo la ndoa) Usikate nywele, fuga sana. Mwanaume chezea nywele taratiibu huku ukimsifia mkeo kwa uzuri na raha unayoipata unanapo vuta vuta nywele zake.
🌹ukichezea nywele zake vzr utaona anapata shida sana anatekwa na hisia kali na kulembua macho.
🔱ULIMI NA LIPS(two in one) Romance huwa inamuacha hoi Mwanamke, lakin mnyonye kwa utaalamu , taratiibu, utaona anavyo pagawa kwa hisia kali.
🔱MASIKIO:mambo 2waweza ya fanya Kwa masikio, moja kumnong'oneza sikioni kwa sauti ya mahaba, ukimwambia unavyojisikia kihisia, alivyo mzuri, anavyo kupa raha, ukimuelekeza akushike wapi. Pili, kutumia mcha ya ulimi kupitisha pembezoni mwa sikioni lake, ndo maana tunasema tendo la ndoa linahitaji usafi wa hali ya juu
🔱SHINGO:shingo ipapase papase, igusishe kidevu chako chenye ndevu fupii zilizo katwa, zitamchoma chama na kuibua hisia kali, lamba lamba kwa utaalamu shingo, utasikia majibu
🔱KIFUA NA MAZIWA;hili ni eneo la pili kwa ukubwa wa kutibua hisia, Mwanamke akianza kupata hisia kali za ku sex, kufua na maziwa huwa vinalemewa, hatamani mkono wa Mwanaume utoke kifuani pake, ubinye binye maziwa.
🌹Mambo 2waweza ya fanya Kwa kifua na maziwa, Moja, papasa papasa kifua chake kwa utaalamu, binya binya maziwa na kuzifikicha fikicha taratiibu chuchu zake, Pili, Nyonya maziwa yake kama mkeo hajazaa na maziwa kushuka. Utasikia anavyo piga ukelele na kulalamika kimahaba.
🔱TUMBO & KITOVU.:Tumbo la Mwanamke na kitovu chake vina hisia nzuri kwake kama vita papaswa taratiibu na kwa ufundi, atajisikia raha na kuelekea kuiva tayari kwa kula.
🔱MAPAJA:haya ni maeneo ya tatu kwa kuchemsha hisia za Mwanamke, ya papase papase kwa utaalamu, pia unaweza tumia hata mtambo mkuu(Uume) kusugua sugua taratiibu kwa mapozi sehemu za ndani za mapaja, utaona mwenzako anavyo lalamika kwa kuzidiwa na hisia kali 🔱UKE(MASHAVU YAKE) LABIA:mpaka hapo unaelekea kumfanya mtu aabudu na kububujika machozi pasipo vyombo vya mziki, kwa mashavu ya uke, yabane na kuyaachia taratiibu, huku ukipisha kidole kimoja (ncha ya kidole) pembeni kuuzunguka uke, halafu una yabinya mashavu (usipo kuwa mjanja) anaweza kukurukia na kukuangusha maana umemtibua hisia vilivyo
🔱KINEMBE(CLITORIS) :Sasa Kisayansi hili ndo Eneo la Kwanza kwa Mwanamke katika kuzalisha hisia za kimapenzi, raha. Kisayansi sehemu hii haina kazi yeyote ktk mwili wa Mwanamke isipo kuwa Kuzalisha raha, kutibua hisia za kimapenzi tu.
🌹Sasa Mwanaume mtaalamu aliye jifunza na kupata material Adimu anawaza kumfanyia wonders mke wake mpaka akampigia saluti na kumuona ni bonge la Mwanaume anaye jua mchezo.
🌹Unacho takiwa kufanya kwa CLITORIS ni kuwa makini sana, maana ukikosea atachukia daima kila siku ukimshika anaogopa au anakukataza usikashike,
🌹Wengi wamewaumiza wanakichezea kinembe locally kwa fujo, wanawaumiza wenzi wao hatimaye wamewekewa mgomo na wake zao washike sehemu zote ila hapo wasishike
🌹Unachotakiwa kukifanya, kwanza Hakikisha umekata kucha zote, pili tumia ufundi na Sayansi kuki chezea, kivutevute, binya, binya taratiibu, kigonge gonge kwa kutumia Uume wako, kisugue kwa kutumia Uume wako, utamuona mwenzako anavyo badirika na kuzama ktk kilindi cha mahaba. Kelele za mahaba, vilio za mahaba haviwezi kukosa, kitakacho endelea kaa makini unaweza kushikwa mashine yako ghafla akajipachika ndani ili uendelee maana amezidiwa.
🔱🌹🌹Sasa ndugu wana ndoa, hiyo yote ilikuwa ni maandalizi ya Mwanaume kwa mke wake, ili wakianza sex na mke afike kileleni, ukifanya hayo hata kama si yote ila 50%yake utaona dalili hizi kwa mkeo, au mama utaona matokeo haya...
🌹Joto la mwili kupanda sana na kutetemeka kwa raha
🌹Macho yanabadirika na kuwa mekundu au machozi ya kimahaba
🌹Miguno isiyo zuilika ya kimahaba
🌹sehemu za ndani za uke zimelowa hasa
🌹Mwanamke kumg'ang'ania mme wake na kumbana kwake
🌹Kung'ang'ania Uume na kumuomba mme aanze kazi mara moja
🔱Hayo yakitokea ndo majibu ya Experiment ya Sayansi ulokuwa Unafanya, hapo mkianza lazima mke apige bado (akojoe) na wewe ndo utakuwa umewapita wanaume wengi wanaowafanya wake zao wakojoe (waachie bao) na kufika kileleni.

🍄 *UFUNDI WA TENDO LA NDOA* 🍄
🍌Baada ya maandalizi yote ya baba ya kumwandaa mke wake vya kutosha sehemu 11 umeshughulika nazo ili naye afaidi mchezo, ni saa ya Kuanza kazi (In and Out) movements
🍌Hapa Mwanamke zamu yako ya kunogesha mchezo inakuwa imewadia, usikae kitandani kama gogo au gunia jitume
🍌Vitu vya kukusaidia Mwana mama kutawala mchezo kitandani ni,;kukata kiuno ili kona zako zote za ndani za uke zisuguliwe ndo uta enjoy, Miguno na tuu kelele twa mahaba tuwepo ili mme asiboreke, kama upo site na mko style unayo weza kuchezea mwili wa mmeo ku mmassage fanya hiyo
🍌Mwanaume, jua hili wanawake wengi saikolojia yao, wanachukia kuchomoa chomoa mtambo (Uume) ndani, unawakatisha raha na enjoyment, usifanane anaye twanga, ila anaye kanda ngono
🍌Mwanamke, tambua Mwanaume akisha piga bao (kumwaga mbegu) huwa Uume unalegea na kuwa sinyaa, anaweza akaishia hapo wakat wee ndo kwanza unaingiza gia, Hakikisha una mchezea Uume, una mshika shika na kumwongelesha kimahaba ili hisia zipande tena, na mtambo usimame fasta urudi ndani kushughulika.
🍌Anzeni na mikao miepesi, na msikae style moja muda mrefu utamchosha mwenzako, badili kulingana mnavyozidi kuzama kimahaba
         *_By Ev Elisha Kazimoto_*
           *0755444078*

SIFA ZA MTU ANAYE FAA KUWA MME/MKE WAKO

🌳🌳  KIJANA/BINTI ANAYE FAA KUWA MME WAKO/MKE WAKO🌳🌳
             Ev Elisha Kazimoto
                 0755444078
Shalom, shalom vijana watumishi wa Kristo, leo napenda niongee na wewe kijana wa kiume na wa kike, unaye tamani kuoa, au kuolewa, au umechumbia au umechumbiwa, au bado unatafuta, au umetafutwa ila hujatoa jibu la ndiyo au hapana, basi kaa mkao wa kusikia ili nikuletee uchambuzi huu wa nani Anafaa kuitwa mmeo, au mkeo katika kizazi hiki kigumu_ Fuatana nami Mtaalamu na mchambuzi wa mahusiano na Ndoa *_Ev. Elisha Kazimoto(Baba Eve)_* Tutanguliwe na Neno hili la kijana huyu mfano wa kuigwa tuchambue hapo. 👇👇👇👇
*Mwanzo 39:4-12*
4  *_Yusufu akaona neema machoni pake, akamtumikia. Naye akamweka awe msimamizi juu ya nyumba yake, na yote yaliyomo akayaweka mkononi mwake._*

5 _Ikawa tokea wakati alipomweka awe msimamizi juu ya nyumba yake, na vyote vilivyomo, Bwana akabariki nyumba ya yule Mmisri kwa ajili ya Yusufu._ Mbaraka wa Bwana ukawa juu ya vyote alivyokuwa navyo katika nyumba, na katika shamba

6 Akayaacha yote aliyokuwa nayo mkononi mwa Yusufu; wala hakujua habari za kitu cho chote chake, ila hicho chakula alichokula tu. 

7   *_Ikawa baada ya mambo hayo, mke wa bwana wake akamtamani Yusufu, akamwambia, Lala nami._*

8   *Lakini akakataa, akamwambia mke wa bwana wake, Tazama, bwana wangu hajui kitu kilichowekwa kwangu nyumbani, na vyote alivyo navyo amevitia mkononi mwangu.*

9 Hakuna mkuu katika nyumba hii kuliko mimi, wala hakunizuilia kitu cho chote ila wewe, kwa kuwa wewe u mkewe.  *_Nifanyeje ubaya huu mkubwa nikamkose Mungu?_* 

10  _Akawa akizidi kusema na Yusufu siku baada ya siku, lakini hakumsikia alale naye, wala aongee naye._

11 Ikawa, siku moja, akaingia nyumbani atende kazi yake, wala hapakuwa na mtu katika watu wa nyumbani humo ndani; 

12  *_huyo mwanamke akamshika nguo zake, akisema, Lala nami. Yusufu akaiacha nguo yake mkononi mwake, akakimbia, akatoka nje._*
✍ Katika uchambuzi huu nazungumza na watu wanao mjua Mungu, yaani waliookoka ndiyo wanaweza kunielewa zaidi maana nita nena kibliblia zaidi kuliko kitaaluma(Kisaikolojia).
✍  *_Kijana unaye tafuta mke au mme, kwanza jiulize maswali haya usije zunguka na kutafuta kisicho kuwepo, au ukavamia kisicho kuhusu au ukaokota kilicho tupwa kwa sababu hakina thamani_*    *JIULIZE:=*
👉 _Mahusiano yangu na Mungu yako vizuri?_
👉 _Hivi kweli mimi najitambua kwa nini nipo duniani_?
👉 _Hivi Nafaa kuwe mme/mke wa mtu makini au nichukue wa kawaida?_
👉 _Hivi nimejitunza au nimeisha jiharibu?_
👉Hivi nimeizoea zinaa au siijui, na niko tayari kumpata mtu kama mimi au tofauti na mimi?
👉 Kama niliharibu ujana wangu,bado nashawishika kuanguka anguka? Kama bado hata katika wokovu naanguka anguka kweli nitapata mtu sahihi?
👉Nina uaminifu gani kwa Mungu sasa hivi kufuta historia zangu mbaya?Mungu aone sababu ya kuachikia kitu cha pekee kwangu
👉 _Hivi Nastahili kupewa msaidizi au nipewe mtu wa kukaa naye?_
👉 _Hivi nina maono gani ya kimaisha?_
✍ Basi kijana yeyote mwenye akili njema anaye oa/kuolewa kwa malengo lazima awaze na ajibu maswali haya, mbali na hapo uwe unahitaji mtu wa kufua, kupika, mtoko, kukupa matumizi ya saloon na wa kuzaa naye.
✍ Kijana unaanzaje kuchumbia/kuchumbiwa bila kupima mahusiano yako na Mungu? _Hujui mahusiano yako na Mungu ndo yanatoa jibu la upate mke/mme wa aina ipi?_ Huwezi kuwa tapeli kwenye Wokovu, njia zako za kona kona, hueleweki umeokoka au nimwana jumuiya ya ibada, halafu ukategemea Mungu akuchomolee kifaa kikali kizuri, kinacho mpenda Mungu, kilicho wekeza maisha yake ya ujana kwa Yesu, *NEVER SAHAU* Mungu si dhalimu kiasi hicho, utapata Tapeli mwenzako, ili mtapeliane, mpandishane presha kila siku ninyi kwa ninyi. *_Na uliye na mahusiano mazuri na Mungu unahitaji mtu mwenye mahusiano mazuri na Mungu ili uendelee kwenye kasi hiyi mbele za Mungu_* Usipo mungoja Mungu utachukua mtu wa kushusha viwango vyako vya kiroho siku kwa siku.(MUNGU HAWEZI KUKUOA MTU FEKI WAKATI WEWE NI ORIGINAL)
✍ Kijana unaanzaje kuchumbia /kuchumbiwa wakati hujitambui kwa nini upo duniani, that means huna malengo ya kimaisha zaidi ya kula, kuvaa, na kununua hivyo unavyo taka kununua,  *_Kijana asiye ishi kwa malengo, asiye na malengo ni mzigo katika ndoa,_*  Unampango gani wa kukulinda ili uishi miaka mingi duniani na mmeo/mkeo? Kama huna mpango wa kuleta faida katika ufalme wa Mungu wewe ni uchafu katika mazingira hivyo utatupwa kwa dustbin muda wowote ( *You are pollutant*),  Kijana anaye Faa kuoa /kuolewa ni yule aliye jiwekea malengo ya kuyatimiza katika miaka ya uhai wake na anatamani ajaye maishani mwake awe mchango mkubwa wa kuyatimiza.  *_Wewe unaye ishi kwa kuwa kumekucha, ukiambiwa na huyo unaye mtaka muwe mme na mke, Ukaulizwa nini Maono yako ya kimaisha na mikakati ya kuyafikia utajibuje?_*
Unajua maono si kila mtu anaweza ya beba.
👉 Sasa ikiwa utazoa yoyote maadamu amekubali, au anaonekana ni umbo namba nane, sura ya *_Kwetu Pazuri_* Six pack, Sura na umbo au fedha havitimizi, kubeba naono, unamwitaji mtu anaye tazama mbele,
✍ Kijana unaanzaje kutafuta mtu makini, wakati wewe haupo makini? Unaishi maisha yasiyoeleweka, hayana mpangilio, *_Huna mpangilio wa mavazi,_* nguo unavaa yoyote tu, heleni, mkufu, viatu, lip shine na 👜 handbag kila kitu rangi yake, hujui ni shati gani la kuchomekea au kutochokea.  *_Huna mpangilio wa kula, njiani unatembea unakula, kwa watu wengi umeshika andazi unakula,_* Unaongea wee huna break, kila neno, kila story unaijua,  kweli umakini ni mdogo, ukipata mtu makini utamtesa, atakuwa na kazi kubwa kukupanga ukae sawa. *_Dada vipi chumba chako, wigi, losheni, ndoo yakuogea, underwear, sufuria, vyote vipi sehemu moja kitandani, unaloweka nguo kufua siku 3 kama anayeloweka mahindi ya kupanda._*
Ukiolewa na kuzaa watoto vidaso si vitakuwa mezani na kwa makochi/sofa?
👉 Kama unataka mtu makini nawe jiweke makini uvutie, mwonekano na hata huko unako kaa, uwe na mpangilio wa maisha, ndoa ni taasisi kubwa, inapokea wageni wengi wa kila aina msije tia aibu mkawa gumzo la mtaani.( *Badilika*)
✍ Kijana unaanzaje kuchumbia/kuchumbiwa bila kuji fanyia tathmini umeishi maisha gani, umejitunza? Au ndo hivyo kuna maeneo huwezi pita kila mmoja anajua mwili wako, kila mtaa wa pili una mtoto, wengine umewakataa, ulo wakubali 4, sita 6 umegoma, halafu kwenye maombi unaomba Mungu nipe bikra safi, na unamuuliza binti kama siyo bikra unampiga chini, kwani wewe bikira?

👉 Na wewe dadaangu, vipi mbona kila mtu anaye kuja una mpiga kibuti👢, unataka mchungaji na mwinjilisti, kijana aliye jitunza safi ndo unamsubilia, umejiuliza?  _Wanaume wangapi wanajua mwili wako, ulowafunulia malinda👉👙?, umetoa mimba ngapi,? Una watoto wangapi?_ Sasa kijana wa watu asiye jua kitu huyo pastor na Ev, huyo unaye taka mbona sasa utakuwa unamuonea? ( *_Omba tu maombi mazuri ya Mungu nipe wa kufanana na mimi na wa Kunitosha_*)  kubali haki itendeke na Mungu ni wa haki 100%
✍ Kijana unaanzaje kuoa/kuolewa bila kujiuliza kama unahitaji msaidizi au mtu wa kukaa naye tu?  *_Ninamaanisha wewe uko busy na mambo ya Mungu au yako? Kumbuka msaidizi anayetolewa na Mungu, anakuja kukutia nguvu kwa kazi alokupa Mungu, soma mwanzo 2:1-20 uone chanzo cha Adamu kupewa Hawa ilikuwa ni kazi_* sass wewe unategea mambo ya Mungu dakika za mwisho umeisha banwa unauhitaji wa mke/mme ndo tunakuona kudeki kanisa, kufagia, ruti za kwa mchugaji kufua, kunyoosha nguo, hizo ni kazi za zima moto, zina lengo la kunasa mtu.
👉 _Jenga tabia ya kupiga kazi ya Mungu kwa moyo wa kumpenda siyo kazi ya kuwinda mtu, hapo utapata mjanja kama wewe anayeigiza._
👉Wewe kijana unaye mtumikia Mungu kwa bidii, ongeza kasi, tumika kwa moyo huduma yoyote, kazi yoyote uliyo na mzigo nayo ifanye kwa huaminifu Mungu lazima akupe msaidizi Sahihi, ukipewa msaidizi ndoa yako itakuwa na amani, ila ukipewa mtu wa kukaa naye maana wote hamna ajenda na mambo ya Mungu, mtatifuana muda si mrefu na itakuwa ndoa isiyo na baraka. ( *_Kauli mbiu yangu ni Piga Kazi Upate Chombo_*)  Usipo piga kazi unapata Mzigo.
✍ Kijana unaanzaje kuoa /kuolewa bila kujiuliza upana na uzito wa maono yako na mtu gani anaweza kuya beba,  _Si kila kijana, binti anaweza beba maono yako, wengine mkioana tu unarudi kuwa mpagani, au unarudi zero kiroho hata kimwili._  Ndiyo maana Kijana Unaonywa sana usithubutu kuokokesha mtu ili muoane, au kuolewa, kuoa mwana dini tu hiyo ndoa mtayumba na hamtakuwa na uwezo wa kupiga hatua za kiroho kwenda mbele. Oana na mtu anaye mpenda Mungu mwenye mzigo na mambo ya Mungu utaenjoy maisha. Tendo tu la kumpenda Mungu sana ni ulinzi wa ndoa yako, mpaka hapo presha za michepuko, vibao hakuna. Maono yako ndo uhai wako yakifa inabidi na wewe ufe, maono ndo yanakufanya uishi.
*_Na nena nawe kijana kama niliye shinda, mi ni shahidi wa maneno haya, jipange kama kijana utamuona Mungu akikutokea, achana na Dhana ya watu kuwa dunia imeharibika, hakuna mabikra, wala vijana walio jitunza, huo ni uongo wa adui, bado akina Yusufu, akina Ev, Elisha, Evelyne(Mama Ev. Elisha walio jitunza wapo) Mungu atakupa sawasawa na uaminifu wako, usi panic, usikate tamaa, mwangalie Bwana atakuletea A pure wife or husband_*
✍ _Mwisho, masomo mengi, mengi yapo Facebook, nitafute kwa jina la Elisha Kazimoto, huko utakuna na pages hizi, Hazina ya Maarifa, Prophet Elisha anointed person, Bado Liko Tumaini Ministry, lakini pia kama unahitaji kujiunga na group langu la Whatsapp la mafundisho ya Mahusiano, Uchumba na ndoa, nitafute whatsapp kwa no hizo hapo juu na chini ya somo, utakuja inbox ufanye Interview ndipo nikuunge, si kila mmoja anaingia Group Hili linaitwa Material Adimu University 🎓 limekuwa faida kwa vijaba wengi, ndoa nyingi, unaweza pata nafasi au ukakosa uwe na amani tu,_
  *Mungu Akubariki tukutane katika uchambuzi mwingine*
_By Ev. Elisha Kazimoto (Baba Eve)_
    *0755444078*

UZALIWA WA KWANZA WA MWILI WAKO UMEMUUZIA NANI?(PART I)


UZALIWA WA KWANZA WA MWILI WAKO UMEMUUZIA NANI
    ❤( Kijana Ongeza Umakini Hapa) ❤
            Ev. Elisha Kazimoto
                 0755444078
💰Shalom, Shalom watakatifu wa Bwana, Leo ma kuletea ujumbe huu wa Uzaliwa wa Kwanza wa mwili wako, _Vijana wa kike na wa kiume ambao hamjaingia katika Ndoa, wazazi wenye watoto, watumishi mnaosimama madhabahuni (mnaolea kundi la Bwana) fatilia somo hili kwa umakini, ili Turudishe matumaini ya Ndoa takatifu, Wokovu sahihi wenye nguvu (Impacts) kwa ufalme wa shetani_
*Uzaliwa wa Kwanza Ulibeba Nguvu ya Baraka Kwa mtoto iliyoendesha maisha yake kwa mafanikio na furaha kuu*
*MWANZO 25:29-34*
29  _Yakobo akapika chakula cha dengu. Esau akaja kutoka nyikani, naye alikuwa amechoka sana._

30  _Esau akamwambia Yakobo, Tafadhali, unipe hicho chakula chekundu nile, kwa kuwa ninazimia mimi. Kwa hiyo walimwita jina lake Edomu._

31  *_Yakobo akamwambia, Kwanza niuzie leo haki yako ya mzaliwa wa kwanza._*

32   *_Esau akasema, Tazama, mimi ni karibu kufa, itanifaa nini haki hii ya uzazi?_*

33  _Yakobo akamwambia, Uniapie kwanza. Naye akamwapia, akamwuzia Yakobo haki yake ya mzaliwa wa kwanza._

34   *_Yakobo akampa Esau mkate na chakula cha dengu, naye akala, akanywa, kisha akaondoka, akaenda zake. Hivyo Esau akaidharau haki yake ya mzaliwa wa kwanza._*
⚽  *Ziko Aina 3 za Uzaliwa wa Kwanza*
1⃣ _Uzaliwa wa Kwanza wa Kutoka tumboni mwa mama kama mtoto wa kwanza katika Familia_  ( *Ukubwa*)
2⃣ _Uzaliwa wa Kwanza wa Wokovu tulio upata mara moja tu kwanjia ya Yesu Kristo( *Utakatifu*)
3⃣ Uzaliwa wa Kwanza wa Mwili wako/ ujana wako ( *Ubikra*)
⚽ Aina zote hizi zina nguvu kubwa katika maisha mtu kama atakuwa mwamunifu kutouza Uzaliwa wa Kwanza wowote katika aina hizo, maisha yake lazima yawe ya furaha, ushindi, na kufanikiwa.
⚽ _Lakini pia, ukiuza moja wapo, au zote wewe maisha yako yatakuwa ya majuto, kukataliwa, yasiyo na utulivu wa moyo, kujihukumu na kudharauliwa na kupoteza Ndoto zako zote._
⚽1⃣ *UZALIWA WA KWANZA WA UKUBWA KATIKA FAMILIA*⚽1⃣
🌲Huu ulibeba baraka za Mungu kupitia mzazi, na aliye barikiwa alitembea kwa ushindi katikati ya ndugu zake.
🌲 Tumeona Esau anauza Uzaliwa wa Kwanza kwa njaa ya Chakula cha siku moja, Biblia inasema *Akaudharau Uzaliwa wa Kwanza* chakula cha mlo mmoja, kikapoteza *mfumo mzima wa maisha yako zaidi ya miaka 80 umri tuliopewa kuishi.
🌲Wakati anauza uzaliwa wa kwanza hakuona shida, Shida ilitokea pale alipo hitaji kutumia uzaliwa wa kwanza kwa faida ya maisha yake.
*Mwanzo 27:26-34*
26 Isaka, baba yake, akamwambia, Njoo karibu sasa, ukanibusu, mwanangu.

27 Akakaribia akambusu. Naye akasikia harufu ya mavazi yake, akambariki akasema, Tazama, harufu ya mwanangu Ni kama harufu ya shamba alilolibariki Bwana.

28 Mungu na akupe ya umande wa mbingu, Na ya manono ya nchi, Na wingi wa nafaka na mvinyo.

29 Mataifa na wakutumikie Na makabila wakusujudie, Uwe bwana wa ndugu zako, Na wana wa mama yako na wakusujudie. Atakayekulaani alaaniwe, Na atakayekubariki abarikiwe.

30 Ikawa Isaka alipokwisha kumbariki Yakobo, na alipokuwa Yakobo ndiyo kwanza ametoka mbele ya Isaka, baba yake, mara Esau ndugu yake akaja kutoka katika kuwinda kwake.

31 Naye pia amefanya chakula kitamu akamletea babaye, akamwambia baba yake. Babangu na aondoke, ale mawindo ya mwanawe, ili roho yako inibariki.

32 Isaka, baba yake, akamwuliza, U nani wewe? Akasema, Mimi ni mwanao, Esau, mzaliwa wako wa kwanza.

33  _Isaka akatetemeka tetemeko kuu sana, akasema, Ni nani basi yule aliyetwaa mawindo akaniletea? Nami nimekwisha kula kabla hujaja wewe, nikambariki; naam, naye atabarikiwa._

34   *_Esau aliposikia maneno ya babaye, akalia kilio kikubwa cha uchungu sana, akamwambia babaye, Nibariki na mimi, mimi nami, Ee babangu._*
🌲👆Usiche na kupoteza Uzaliwa wa Kwanza, Kinacho mliza Esau ni nini? _Anajua kabisa Dira ya maisha yake imepotea kabisa_chakula hakikumbukwi kwakuwa kilikuwa cha muda, ila Uzaliwa wa Kwanza unaoshikiria future, (maishabyake yote) ndo hana Tena, hicho ndo kilikuwa kilio kikubwa cha uchungu kwa Esau.
*_Shika sana huu mfano utatufundisha kwa aina 2 zilizo baki za Uzaliwa wa Kwanza_*
⚽2⃣  *_UZALIWA WA KWANZA WA WOKOVU_*⚽2⃣
🌲Neema ya Wokovu tuliyoipokea kupitia Yesu Kristo ni nguvu kubwa ya kuendesha maisha yetu ya kiroho na kimwili kwa ushindi. _Kupitia Wokovu (maisha matakatifu, tunaomba na kujibiwa maombi yetu na Mungu_ *Yohana 9:31*, *Mathayo 7:7*
🌲Kwa maisha safi ya Wokovu (Uzaliwa wa Kwanza) tunayashinda malango ya kizimu na maadui wote( *Mathayo 16:18*, *Luka 10:19*
🌲 _Ukipoteza uzaliwa wa kwanza(Utakatifu), ukauza Uzaliwa wa Kwanza huu kwa zinaa, rushwa, pesa nk, utapoteza mwelekeo wa maisha na hutokuwa na maisha ya ushindi Tena, utaonewa na nguvu za giza milele na mwisho ni majuto ya maisha ya motoni jehanamu_
*Kupoteza uzaliwa wa kwanza huu, Biblia inasema kitakuwa kilio na kusaga meno, zaidi za kilio cha Esau. Kuwa makini, usibadirishane Wokovu na kitu chochote*

UZALIWA WA KWANZA WA MWILI WAKO UMEMUUZIA NANI(PART II)

Sehemu ya 2 ya somo la uzaliwa wa kwanza 👇👇👇
⚽3⃣  *UZALIWA WA KWANZA WA MWILI WAKO (UBIKRA)*⚽3⃣
❤ _Kuna balaa moja chini ya jua linaloendelea hapa chini ya jua katika kizazi hiki, cha vijana wa kike na wa kiume waliookoka Kupoteza, kuuza Uzaliwa wa Kwanza wa mili yao_
❤ Imefikia hatua ya kuzoeleka kuwa hakuna binti Bikra, au kijana bikra, hii ni hatari kubwa kwa future (maisha ya baadaye) ya vijana, hatari kubwa kwa Ndoa za vijana wa sasa.
❤ Kijana nisikilize nikupe Hekima ya Kimungu, _Unapo poteza Uzaliwa wa Kwanza wa mwili wako, moja kwa moja umepoteza na Uzaliwa wa Kwanza wa Wokovu, hata ukirudisha uzaliwa wa kwanza wa Wokovu hutapata original blessings ambazo ulitakiwa uzipate, unakumbuka Esau alibarikiwa na yeye alipo lia sana na kuomba abarikiwe(toba) ila baraka zile zilikuwa hafifu wala hazikuwa na nguvu kama za Yakobo za uzaliwa wa kwanza_
❤ Vijana wengi kwa sasa wamedharau uzaliwa wa kwanza wa miili yao, wameuza Ubikra wao kwa mlo mmoja, wamesahau uzaliwa huu, una *_nguvu kubwa katika maisha yao ya ndoa, maana unaleta mke/mme sahihi wa kuoana naye, Unaleta Uaminifu katika ndoa, Unaleta Amani na upendo katika ndoa, Unatuliza changamoto yoyote inayoibuka katika ndoa, unaleta kuishi bila stress(msongo wa mawazo) , Unaleta kujiamini, unaleta kuthamimiana, unaleta maendeleo ya familia._* Lakini kinacho endelea sasa  ni hatari, katika vijana 10 wanao oa/kuolewa 7 wamepoteza uzaliwa kwanza wa Ubikra, wengine katika uchumba, wengine wamepotezea chuoni, shuleni, ofisini na mitaani tu. Hii ni hatari sana._Nikama limekuwa la kawaida kufanya uasherati ila hujui gharama yake katika maisha ntakufumbua macho katika somo hili
❤ _Kijana Zinaa unayoiendekeza wa sasa wakati hujaoa/kuolewa, Lazima ikugharimu tu, lazima ulipwe uhuni na Utapeli wa kuuza uzaliwa wa kwanza wa mwili wako kwa kisa cha mchumba wangu asiniache, bosi Mwenye pesa amenishawishi, nimezidiwa na hisia, nimekaa bila kuoa au kuolewa, sijui Dakitari amesema nisipo zaa mapema sitaweza kuzaa baadaye,kwa sababu yoyote Utalipa gharama, kilio kikuu_kina kusubiri tangu siku hiyo umeuza uzaliwa wa kwanza (ulipo fanya zinaa) haya yote yanakusubiri wewe....
1⃣  *Kuto oa/kuolewa na mtu Sahii kitakacho kufanya usifurahie maisha ya ndoa*
2⃣  *Kubeba mimba usiyo ifurahia, na mtoto anazaliwa ana roho ya kukataliwa*
3⃣   *Kutoa mimba na kupata Laana ya kuua na ugonjwa wa Kisaikolojia*
4⃣  *Kupoteza heshima katika jamii na mbele za Mungu*
5⃣  *Kupoteza uhuru wa kuingia katika mahusiano kwa furaha na ujasiri*
❤ _Hayo ni baadhi ya mambo yakutokea kabla ya kuingia katika ndoa, na baada ya kuingia kwenye ndoa hiyo ndo safari itakayo kufanya ujutie tendo la siku moja la Zinaa_  *Tujifunze mbinu zinazo wanasa watu katika zinaa, Shida, na Uchungu wa Zinaa na ikisha fanyika nini kinatokea, Tuwaaangalie watu hawa 4,utagundua upo kundi la mtu gani kati ya hawa 4. AMNONI, TAMARI, YUSUFU NA MKE WA POTIFA_*
❤( 2 Samweli 13 : 1 - Ikawa baada ya hayo, Absalomu, mwana wa Daudi, alikuwa na umbu mzuri, jina lake akiitwa Tamari, naye Amnoni, mwana wa Daudi, akampenda.)
_Dada, kuna watu wanakupenda/wanakutamani si kwa kukuuoa ila kukuharibia Uzuri wako na nguvu ya uzaliwa wa kwanza wa mwili wako (Ubikra)_
❤ ( 2 Samweli 13 : 2 - Akasononeka Amnoni, hata akaugua, kwa ajili ya umbu lake Tamari, maana huyu msichana alikuwa mwanamwali, Amnoni akaona ni vigumu kumtendea neno lo lote)
_Dada kuna watu wanaugua kisa tu uzuri wako nao wanashindwa kukuingia kwa sababu ya Nguvu ya uzaliwa wa kwanza wa Wokovu, laikini wanajiandaa kwa mbinu mpya mpaka wa kupore Ubikra wako na Wokovu wako ambazo ndo nguzo na dira za maisha yako ya furaha na ushindi._
(2 Samweli 13 : 5 - Yonadabu akamwambia, Lala kitandani mwako ujifanye mgonjwa na babako atakapokuja kukutazama, umwambie, Mwache ndugu yangu, Tamari, aje, nakusihi, anipe mkate nile, akaandae chakula machoni pangu nikione, nikakile mkononi mwake.)
_Kuna mbinu mpya ya kubembeleza, kutishia kujiua, kutumia pesa, kukuita hotelini, kukutoa out, kukupa zawadi za gharama, Kujifanya Anaokoka na mtumishi wa Mungu, kutishia kuvunja uchumba_ Akikunasa katika moja wapo kwisha habari yako.
2 Samweli 13 : 10 - Amnoni akamwambia Tamari, Kilete chakula chumbani, nipate kula mkononi mwako. Basi Tamari akaitwaa mikate aliyoifanyiza, akamletea Amnoni nduguye mle chumbani.
_Huu ndo upofu wa wadada wengi, hivi inakuwaje unamwamini kijana yoyote hata kama ameokoka kiasi cha kwenda chumbani kwake, au kukutana guest, au nyumbani kwake Geto, lugha za naumwa njoo nyumbani unaenda peke yako, niletee smartphone 📱 yangu hotel flani na unaenda peke yako, lazima uache kule uzaliwa wa kwanza wa mwili wako (BIKRA)_
2 Samweli 13 : 11 - Naye alipokwisha kuileta karibu naye, ili ale, Amnoni akamkamata, akamwambia, Njoo ulale nami, ndugu yangu.
_Haya ndo Majanga yanawakumba wa dada wengi, ata wewe unaye soma ujumbe huu, na matukio haya hayafanywi na Stranger people (watu hatari/adui no ni mchumba, rafiki wa karibu, mshirika mwenzako, mtu uliye mwamini. Ndicho kilimkumba Tamari_
2 Samweli 13 : 13 - Nami nichukue wapi aibu yangu? Wewe nawe utakuwa kama mmoja wa wapumbavu wa Israeli. Basi, sasa, nakusihi, useme na mfalme; kwa maana hatakukataza kunioa.
_Tamari alijua aisee ukisha haribu ni Aibu ya milele maishani mwako, akasema ntaiweka wapi aibu yote hii ya kupoteza uzaliwa wa kwanza wa mwili wangu_
2 Samweli 13 : 14 - Walakini yeye hakukubali kusikiliza sauti yake; naye akiwa na nguvu kuliko yeye, akamtenza nguvu, akalala naye.
_Wanaume waharibifu ukisha ingia ndani ya 18 zao hawasikii kitu mbaka wamekuondolea uzaliwa wa kwanza wa mwili wako_
2 Samweli 13 : 15 - *Kisha Amnoni akamchukia machukio makuu sana; kwa kuwa machukio aliyomchukia yakawa makuu kuliko yale mapenzi aliyokuwa amempenda kwanza. Amnoni akamwambia, Ondoka, nenda zako*.
_Haya ndo matokeo baada ya Zinaa (kupoteza uzaliwa wa kwanza wa mwili wako, hawakuhitaji, mimba hataki, matumizi hupati, kukuoa hakuoi, unabaki kujililia, na wengine waliamua kujiripua kuolewa na huyo mpangani ili watunze mimba na mtoto_
*Kuna mtu mmoja aligundua thamani ya uzaliwa wa kwanza wa mwili wake, naye ni YUSUFU, alipo tiwa mazingira yakutokea uzaliwa wa kwanza wa mwili wake, asema nifanyeje ubaya huu ni mkose Mungu?*
Mwanzo 39 : 7 - Ikawa baada ya mambo hayo, mke wa bwana wake akamtamani Yusufu, akamwambia, Lala nami.
_wee wanao kushawishi mbona hawaeleweki na wana kuzuzua? Ungepata jaribu la Yusufu ungechomoka kweli?_
*Mwanzo 39 : 10*- *Akawa akizidi kusema na Yusufu siku baada ya siku, lakini hakumsikia alale naye, wala aongee naye.*
_Huu ndo msimamo wa kijana anaye jitambua_
❤❤  *_Raha ya muda mfupi huleta majuto ya muda mrefu_*❤❤

Imeandaliwa na mchambuzi wa Masuala ya Kisailolojia katika mahusiano na ndoa