MADA SWALI
...hivi upo ktk mahusiano na mtu mmoja tu lakin ikatokea habari zinazoeneaenea kidogo kuwa u mzinzi upo na mahusiano na waschana wanne na huyo mmoja wa ukweli akiwemo!! Ukizingatia wewe ni mtu mwenye wadhifa Fulani wa kiongoz ktk kanisa,na wapo wanaokuamin na kukuheshimu sana!! Na yule Mwenzako wa ukweli yeye anaelewa na anakuamin sana kuwa u mwaminifu!!na ni kweli mwaminifu...
Je, utafanyeje??
Anajibu: Ev Elisha Kazimoto
WhatsApp 0755444078
Kwa kuhitimisha mada hii, tuyaangalie mahusiano haya katika jicho la wawili kwanza kabka ya watutu
Mara nyingi watu 2 mlo kwenye mahusiano ndo mna hatima ya kuamua mahusiano yenu yawe na harufu gani kwa watu.(kwa kuwa ameuliza nini kifanyike katika hali ambayo imeisha kuwepo,basi nitakazia upande huo.
👉Kwanza binti na kijana wakae pamoja wafanye Psychological Cross-checking ya mazingira ya mahusiano yao(maadamu wamethibitisha WANAAMINIANA) basi wakae waongee humu kanisani,ofisini,au mtaani tulimo watu wagani wamo?(wadada wengi? Vijana wakiume ndo wengi?wanawake?au wanaume?)....eqution .....(i)
(Wanaoongelea mahusiano yetu kwa wingi na kuzusha maneno hayo ni watu gani(wadada? Wakaka?wamama?au wababa?au wote?)........ Equation......(ii)
Wanaoongea wana msakama nani(binti/mkaka)..... Equation .....(iii)
Uongeaji wao watafuta nini kwetu( kutuachanisha, kutuchafua,kutusaidia kiroho,au kupata nafasi ya kupendwa wao?)......Equation......(iv)
Baada ya kusolve Equation hizo by substitution mtagundua maisha gani muishi,na agenda gani muibebe.
Tukianza kufanya Substitution katika Equations zetu
👉Equaton (i)kama wamo wengi wadada au wakaka jua mpo kwenye competition kubwa ya kutafuta nafasi ya kuoa au kuolewa(hapo ninyi kazeni kamba kuziba masikio wasiwagawanye kisaikolojia) maana hapo formula inayowasumbua kwenye mazingira ni Scarcity of Resources (girls/boys)to marry
👉(ii) kama ni wadada au wakaka (kila mmoja wenu achunguze past zake)kama ziko swa jua hao wanatafuta mpenyo.... Na kama ni wamama au wababa(jiulize nani ana binti mkubwa au kijana mkubwa umei wa kuoa au kuolewa)kama yupo tafakari mvuto wako kwa watu upo juu ? Kama huyupo tulieni.
👉Equation (iii)anaye sakamwa kaka ni mkaka(mdada ongeza ulinzi,kama ni mdada mkaka ongeza ulinzi)ulinzi wa kuwa mwaminifu,na kuongeza viwango vya kumpenda huyo,na kumsaidia mwenzio asiporwe
👉Equation ya (iv)lengo laazungumzo mtalijua kama watu wanawafuata kuwambia au unasikia wanaongea huko.(tendea kazi mazunhumzo yao)
By Ev Elisha Kazimoto
WhatsApp 0755444078
No comments:
Post a Comment