💊💊 *KATIKA MAUMIVU YA MAHUSIANO KUNA FAIDA YA KUTIBU MOYO WAKO*💊💊
_Mara nyingi watu wanaotuumiza katika mahusiano hawajui kuwa wanatujengea uwezo mkubwa wa kuendesha mahusiano mengine au ndoa yako bora zaidi kuliko jinsi wangetufurahisha. Kwa mwenye uwezo wa kuingia katika mahusiano kwa nia ya kuandaa FUTURE yake, kila maumivu ya kwenye mahusiano ni Darasa la Ushindi kwa Kesho yako,na ukishindwa kujifunza kwa yale yaliyokuumiza uwezi kujifunza kuboresha au kustawisha mahusiano yako au ndoa yako.Kwa hiyo Usimchukie aliyekuumiza kwenye mahusiano,bali amekujengea uwezo wa kutokosea tena ukaumia zaidi._
*Falsafa ya Kisaikolojia na Ev Elisha Kazimoto*(Psychologist )0755444078
©2020
No comments:
Post a Comment