💝💝 *UKIANZISHA MAHUSIANO HAKIKISHA UNAJUA HATIMA YAKE KWANZA*💝💝
_Uko Nami Mchambuzi wa Masuala ya Mahusiano na Ndoa na Mwanasaikolojia *Ev Elisha Kazimoto*_
WhatsApp 0755444078
.........
.........
Leo nipo kutibu majeraha ya Stress zisizo za Lazima zinazotengenezwana ukosefu wa Maarifa ya Saikolojia ya Mahusiano. *Special kwa Vijana wakike na wakiume* mlio katika Mahusiano na mtakao anzisha Mahusiano.
✍Unapo anzisha Mahusiano na mtu, jambo la kwanza *Hakikisha unajua haya mahusiano ni ya nini? Hatima yake niya nini?* Kujua ahatima ya Mahusiano yako itakusaidia kujipanga, kupalilia Mahusiano au Kuvunja Mahusiano yasije kukuletea Stress za bure na kuku haribia Sifa,muda na Malengo.
✍Zipo aina za Mahusiano yanayo anzishwa kwa lengo husika, ni muhimu kujua: *Kijana Sikia,Binti tulia kwa makini* usipo kuwa makini Utaishia kuumua na kulaani wakaka au wadada.
1⃣Mahusiano ya Kujioyesha.( *Show up*) _Haya haendi popote ni kwaajiliya yakujionyesha kwawatu kuwa nawe una mtu wa kukuweka busy kimahusiano_
👉Mahusiano ya mitoko zaidi, story nyingi, *I love you* nyingi ila HAKUNA NDOA.
2⃣Mahusiano ya Kutojiamini( *Partial Relationship*) _Mahusiano haya niya kupotezeana muda, mwanzilishi wa mahusiano,au aliye katika uhusiano Hana uhakika kama aliye naye ndo chaguo sahihi lake_ kuna wakati anaonyesha kuwa ndo yeye chaguo,kuna wakati anakuwa na wasiwasi anajivuta kama anataka asitishe ila anakosa namna ya kusitisha. *Mahusiano haya Uishia na ukaa kwenye lugha za I love you tu* hakuna Step yakuonyesha Kuna sehemu tunaekekea,umebaki muda flani tuoane, kila siku nikama ndo naanza Mahusiano.( WAWEZA ZEEKEA HUMUBIKA NDOA) lugha ni nzuri ila vitendo hewa.
3⃣ Mahusiano ya Ngono( *Sexual Relationship*) _Mahusiano haya yanadumu kwa kupena sex,lakini utumika lugha ya tutaoana kwakuwa nimejua uzuri wako,radha yako sitakuacha,lakini ukweli wake, pale mdada anapo onyesha kuhutaji Engagement kijana umzungusha,ndipo vituko uanza hata kukata mawasiliano,matusi ya uzembe wa sex uanza na hamu ya kijana kuingia katika ndoa uisha._ Hapa kama ni kijana atamtumia binti sana ila ndoa atakwepa kwepa.
4⃣Mahusiano ya Kitoto( *Childish Relationship*) _Mahusiano haya wahusika ni kama watoto wanaochezea tope na mikojo,wanatumia gharama,zawadi,muda,kuitana majina ya Mtarajiwa,kuambizana nakupenda lakini wanaweza maliza hata miaka 5 *Hakuna hatua,mipango maalumu inayoonyesha wanaingia kwenye ndoa lini* hawauishia kuachana huku wakipendana baada ya kuona muda unasonga ila hakuna dalili ya ndoa._
5⃣Mahusuano ya Ndoa ( *Marriage Relationship*) _Haya ni Mahusiano muhimu,yenye mipango,yenye malengo,yenye heshima,yenye kulinda hisia,yenye kulinda heshima,na yenye kumtanguliza Mungu_ Hapa muhusika Kijana *Utoa mwelekeo wa kuekekea ndoa* uonyesha harakati za michakato mahususi ya kuingia katika ndoa. Wakati huo huo mdada umtia moyo mwenzake,na kumwonyesha ushirikiano wa namna inavyowezekana kuifikia ndoa.
*_Kwenye Mahusiano haya wote wanakuwa wanataarifa wako wapi,wafanye nini na lini wanaingia kwenye ndoa_* wanakuwa na ujasiri wote wakuelezea Uhai wa mahusiano yao na Nia yao, mawasiliano yao yako juu.
NB: _Ukiona unapata ukakasi,utata wa kuelezea uhai,uimara wa mahusiano yako, jua mahusiano yako hayapo no 5,yatafute no 1 hadi 4._
*_Ulikuwa nami mchambuzi wa masuala ya Mahusiano na ndoa Mwanasaikolojia Ev Elisha Kazimoto(Anointed)_*
WhatsApp 0755444078
©2019
No comments:
Post a Comment